"Sio tu bongo mpaka ng'ambo hakuna uhuru wa habari, Kuna uhuru wa mwenye chombo mitambo na mwenye mali, kujifanya hawasikii haiwasidii Wala haiwajengi ninachosema ni kamwe IPPt haitampinga Mengi" Fid Q bongo HipHop
Kuandika mistari ya maana kama Roma mnaogopa, na sasa wimbo ameshawaandikia bado mnaogopa kuucheza ktk vyombo vyenu vya habari! Hii nchi tuna wasanii na waandishi tena au tunayo mazezeta tu?
Roma ni roma akuna wakumfananisha nae katika hp hp kibongo bongo
"Sio tu bongo mpaka ng'ambo hakuna uhuru wa habari, Kuna uhuru wa mwenye chombo mitambo na mwenye mali, kujifanya hawasikii haiwasidii Wala haiwajengi ninachosema ni kamwe IPPt haitampinga Mengi" Fid Q bongo HipHop
Uyu dada namkbal interview zake ypo og Sana.big man big up Sana 💪 fidy q
Nakubali Sana fidi q
Fid Q wewe ni noma sana ndugu, uko sawa.
I ride cars with vibes more often
There’s Fid Q
Nyie imbeni mapenzi acha Roma atufikishie taarifa mbwaa nyiee pumbavu zenu😂😂😂
Hwawa chawa
Fid Q. Respect bro.💪
Wasanii wa bongo wakipata chakula kazi hawataki tena #Fid Q
Ukweri unauma IRA kiukweri nyimbo karii🪓
Kuandika mistari ya maana kama Roma mnaogopa, na sasa wimbo ameshawaandikia bado mnaogopa kuucheza ktk vyombo vyenu vya habari! Hii nchi tuna wasanii na waandishi tena au tunayo mazezeta tu?
Ongezen maik mnatia huluma
Waziii mtu mzima Fid Q
Q amejibu kitaalam,,hiyo haina umbea
Achaneni na king Roma ngombe nyie
FDQ mwache Roma ngombe wewe