Eee Mungu mwema umubariki baba mtakatifu, askofu na mapadre, wakubwa, waalimu na jamii. Uwafadhili marafiki na adui zetu. Uwaongoze wale wasiokujua bado, au wasiotii injili. Uwarudishe wasefu. Uwafadhili masikini na wazee. Uwasadie wagonjwa na wanaozimia au wasiotii injili. Uwahurumie roho wanateswa tohorani. Uwape heri ya milele Amina!!
Asante saana padre Kamugisha..mungu wetu akubariki na akuongezee maarifa tele tele hasua katika mwaka mpya 2025.Ni Augustino Lomulen nakupata vizuri sana kutoka kenya.Turkana county.
@@bathshebanyaboke7192 Somi gani linalosujudia vyuma na mawe yalichongwa? Somi gani linaloomba marehemu waliombee kwa Mungu au linamashaka halitasikilizwa ? Somi gani linaombea marehemu waovu eti wasamehewe dhambi zao hali injili inasema kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe Gal.6.5, na baada tu ya kufa ni HUKUMU Ebr.9:27-28? Hilo sio somi ni kubwa jinga njoo kwa Yesu (yaani kushika yaliyoandikwa katika Biblia tu) ndo somi la masomi! Wake up!
Unaonekana unaakili nyingi sana Padre but kwanini umeamua kujifungia JELA? Au na ww unaogopa KULIPA GHARAMA? Vipi kuhusu kuhubiri Mungu mwenye nafsi TATU hali ni uongo kabisa ? Hivi padri Kamugisha Mungu anawezaje kuwa na Mungu wake? (Yoh.20:17) Mtu akifa anakuwaje Peponi hali tunasubiri Ufufuo au mm sielewi maana ya neno UFUFUO? Kwann unasujudia SANAMU? Kwann unaombea wafu wakati kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe? Kwann unaomba WAFU wakuombee kwa Mungu badala ww uombe mwenyewe mfano akina Maria n.k ?
@AIKABAHATI sio kwamba nibaki na imani yangu tu iite "imani safi na ya kweli kwa kila anayeutaka ukweli" huwezi linganisha imani yangu safi na hayo masanamu yenu , mara kuomba msaada kwa watu waliokufa a.k.a WAFU mara muwaite watakatifu hali ni mifupa mitupu ha! ha 😂 Hakika mmepotelea kwenye giza nene.
mtu aliyesoma theology na phylosophy kwa miaka 15 ,unahisi hajui anacho kiamini?? kwa mtazamo wako unahisi ni hivyo lakini ,Imani ni bayana ya mambo yasiyo onekana . Hakuna miungu 3 ni MUNGU mmoja katika nafsi 3,na hakuna ibada ya sanamu hapo . Hakuna dini itakayo mfanya mtu fulani kuwa bora kupita mwingine bali Imani thabiti kuhusu uwepo wa MUNGU na matendo yako.
@anastazimichaelmbua1559 Think big brother! Kusoma miaka 15 kitu gani kwani hata ingekuwa miaka 100 unaweza kuwa unajifunza upumbavu mtupu kwa muda mrefu! Theology ni elimu juu ya Mungu hivyo unaweza kusoma kuhusu Mungu kwa kubase katika imani fulani na huo ndo mwanzo wa kushika maujinga na maushenzi kama kuheshimu masanamu, kuomba wafu, kuvaa mahirizi kama Skapulari na marozari. Omba Yesu akujaze Roho Mtakatifu huyo ndo mwalimu wa kweli hayo mengine ni ziada tu.
@@anastazimichaelmbua1559 Kusoma theology miaka 15 sio kigezo that is the weak FACT! Unawezaje kuwa msomi huku ukaheshimu na kusujudia Mawe yalichongwa na wamakonde na kupakwa rangi we utakuwa msomi au KIAZI?
Hongera sana Fr. Ilove Romans one day nakuja kwenu ! Mnajua mnachokifanya no noises wala hamjifanyi watakatifu mnanyookaga tu❤
Eee Mungu mwema umubariki baba mtakatifu, askofu na mapadre, wakubwa, waalimu na jamii. Uwafadhili marafiki na adui zetu. Uwaongoze wale wasiokujua bado, au wasiotii injili. Uwarudishe wasefu. Uwafadhili masikini na wazee. Uwasadie wagonjwa na wanaozimia au wasiotii injili. Uwahurumie roho wanateswa tohorani. Uwape heri ya milele Amina!!
Asante saana padre Kamugisha..mungu wetu akubariki na akuongezee maarifa tele tele hasua katika mwaka mpya 2025.Ni Augustino Lomulen nakupata vizuri sana kutoka kenya.Turkana county.
Asante Fr Kamugisha, hii tafakari imenifundisha mengi sana,,, Mungu aendelee kukutunza,,,🙏🙏
Father Kamugisha Mungu aliyekujalia kipaji hiki cha ufundishaji akujalie neema ya kuishi maisha marefu ili elimu yako iwafikie wengi.ubarikiwe
Nakutakia mwaka mpya wa baraka father Kamugisha,Mungu azidi kukuangazia.
Baba hongera kwa masomo mazuri uendelee kubarikiwa
Karibu sana katoro - Geita katika parokia ya mt Paul vi utupatie ujumbe wa yesu kristo
Aminaa kubwa baba
Tusupo kuelewa basi tena asante sana ubarikiwe❤🎉
Nashukuru Fr kwa somo hili mpya. Mungu akubariki
Waitu Mungu akuwe emigisha
Nitasikiliza hili somi zaidi ya mara tatu n tamu mno b blessed padre
@@bathshebanyaboke7192 Somi gani linalosujudia vyuma na mawe yalichongwa? Somi gani linaloomba marehemu waliombee kwa Mungu au linamashaka halitasikilizwa ? Somi gani linaombea marehemu waovu eti wasamehewe dhambi zao hali injili inasema kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe Gal.6.5, na baada tu ya kufa ni HUKUMU Ebr.9:27-28? Hilo sio somi ni kubwa jinga njoo kwa Yesu (yaani kushika yaliyoandikwa katika Biblia tu) ndo somi la masomi! Wake up!
Wewe father ni jembe tena ni sululu ya kuchimba yanayoshindikana mungu akuhifadhi ktk yote.
Merry Christmas to you too father.
Tulikuwa pamoja pale cuea kenya
Merry Christmas baba yetu. Mungu akuzidishie.
Merry Christmas Father kutoka USA-Utah 🖐🖐🖐
@@suzannebucyanayandi630 ubarikiwe
Merry Christmas Father kutoka Rwanda
Amin saana
Asante sana Padre
@@michaelvincentmhagama337 ubarikiwe
Aminaa Baba, Napataje Kitabu chako kimojawapo ??
🙏🙏🙏
Asanteeeh sanaa padre Mungu akutanguliee
Merry Christmas kutoka kenya
🙏👍
Leo nimejifunza, kumbe Sauli aliyekuwa akiwaua wafuasi wa Yesu aliona mfano kutoka kwa Stefano aliyekufa kwa ajili Kristu.
Tunaomba uje kibaigwa utufundishi kidogo hapa dodoma
😂😂😂😂asante Babà tunakupata vema
@@getrudmajul5137 Ubarikiwe
Hero ya Xmas PDR tuko pamoja simanjiro Massimo tunafuatilia mafundisho
@@magretmush7646 ubarikiwe
Unaonekana unaakili nyingi sana Padre but kwanini umeamua kujifungia JELA? Au na ww unaogopa KULIPA GHARAMA? Vipi kuhusu kuhubiri Mungu mwenye nafsi TATU hali ni uongo kabisa ? Hivi padri Kamugisha Mungu anawezaje kuwa na Mungu wake? (Yoh.20:17) Mtu akifa anakuwaje Peponi hali tunasubiri Ufufuo au mm sielewi maana ya neno UFUFUO? Kwann unasujudia SANAMU? Kwann unaombea wafu wakati kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe? Kwann unaomba WAFU wakuombee kwa Mungu badala ww uombe mwenyewe mfano akina Maria n.k ?
Hiyo ni Iman yako..Baki.nayo.
@AIKABAHATI sio kwamba nibaki na imani yangu tu iite "imani safi na ya kweli kwa kila anayeutaka ukweli" huwezi linganisha imani yangu safi na hayo masanamu yenu , mara kuomba msaada kwa watu waliokufa a.k.a WAFU mara muwaite watakatifu hali ni mifupa mitupu ha! ha 😂 Hakika mmepotelea kwenye giza nene.
mtu aliyesoma theology na phylosophy kwa miaka 15 ,unahisi hajui anacho kiamini?? kwa mtazamo wako unahisi ni hivyo lakini ,Imani ni bayana ya mambo yasiyo onekana . Hakuna miungu 3 ni MUNGU mmoja katika nafsi 3,na hakuna ibada ya sanamu hapo . Hakuna dini itakayo mfanya mtu fulani kuwa bora kupita mwingine bali Imani thabiti kuhusu uwepo wa MUNGU na matendo yako.
@anastazimichaelmbua1559 Think big brother! Kusoma miaka 15 kitu gani kwani hata ingekuwa miaka 100 unaweza kuwa unajifunza upumbavu mtupu kwa muda mrefu! Theology ni elimu juu ya Mungu hivyo unaweza kusoma kuhusu Mungu kwa kubase katika imani fulani na huo ndo mwanzo wa kushika maujinga na maushenzi kama kuheshimu masanamu, kuomba wafu, kuvaa mahirizi kama Skapulari na marozari. Omba Yesu akujaze Roho Mtakatifu huyo ndo mwalimu wa kweli hayo mengine ni ziada tu.
@@anastazimichaelmbua1559 Kusoma theology miaka 15 sio kigezo that is the weak FACT! Unawezaje kuwa msomi huku ukaheshimu na kusujudia Mawe yalichongwa na wamakonde na kupakwa rangi we utakuwa msomi au KIAZI?
🙏🙏🙏