Wallahi cjaona kobelo akiwa kwenye hali ya kawaida bila ulevi😄😄hata interview yke cjawai hona kwa kwel ckui yuwakaaje bila kulewa🥰🤣🤣i wish nione japo ka interview
Tanzania yetu raha sana dah bado mashindano ya kuhara2 na ya kunya kitukimba , Yan mama Samia we ongoza2 ujuavo huku sisi hatuna shida yyt raia wako tukikaa tukijambia2 inatosha tunafrah na maisha yanatuendea hata km hatuna Ela tunaenjoy maisha 😂😂😂🚀🇷🇺💪🥂🤣
Hatr sana aiseeeee mpe hela yake , alafu mtu anakwambia mmmh ushindi wa hvyo siutaki mm, wacha niwape cha mashindano , Stan kwa mbali wanakwambie weeeee unatka kutuua au 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👏👏👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥
Sasa wataka wafanye kz gani ikiwa serikali yako inaawaajiri watoto wa wa mawaziri na wabunge na watoto wa wenye secta nyeti serikalini sasa wasomi wapo wengi mitaani na kila mmoja anafanya biashara wakati huo wateja ni wachache maana wote ni wafanyaji biashara ndiyo maana wanabuni vitu km hivyo vya kujambiana ili mradi watoto wapate ugali
Haya ndio walionza watu wa na bii luti walianza kushindana kujamba halafu wakaona sio mzuri wakaanza kufirana ila mwisho wakaangamizwa.. Sasa nyinyi muna anza haya mashindano elewa huo ni mwanzo kesho yake kitakuja kizazi kitaa anza kufirana
Nyie mmesha kosa sera movie zimesha kua za kifala yani matangazo dakika 5 alafu movie dakika kumi nyie hamna maana kabisa tengenezeni kitu ya kuelimisha jamii sio mambo ya kujamba
Nyinyi ni wazoefu wote Katika Sanaa Lakini mnashuti kizembe Sana haiwwzekani washiliki wote wanatkea sehemu moja
Kumbe nawe umeliona hilo...
Siyo rahis watu wote watokee upande mmoja na kila mmshrki akiingia anauliza swal lilelile
Mmmmmmm
Hafu wanajifungulia geti
Ila next time mbadilike, Stan katokea njia hiyo hiyo, kobelo pia hd bakari Anhaaaa jmn hp mmezinguwa...
Cjaona shida hapo kwa njia moja inahusisha watu wengi wanaopta kwa cku so c ajab ao kutokea njia moja chukulia
@@hopedigitalmedia34 ujui k2 mtt mdogo ww....
Wallahi cjaona kobelo akiwa kwenye hali ya kawaida bila ulevi😄😄hata interview yke cjawai hona kwa kwel ckui yuwakaaje bila kulewa🥰🤣🤣i wish nione japo ka interview
Zipo angalia utaziona anaongea kawaida
Am tz mbavu zang stan bakora🥰 ❤😅😅anakuweza NEY WA MITEGO TU😅😅😅🤣
Noma Sana Hiyo maana Tayari Kuna mashindano Ya Aina Mbili Kucheza Rede Na Kujamba Yaani Sio Poah
Dahhh aise nimecheka balaaaaa stan jaman
Mbavu zangu mie aaaaah nacheka na bdo nko mwanzo 🤣🤣🤣🤣
Kitale
Tanzania yetu raha sana dah bado mashindano ya kuhara2 na ya kunya kitukimba , Yan mama Samia we ongoza2 ujuavo huku sisi hatuna shida yyt raia wako tukikaa tukijambia2 inatosha tunafrah na maisha yanatuendea hata km hatuna Ela tunaenjoy maisha 😂😂😂🚀🇷🇺💪🥂🤣
Aswaah 👌 na atuna strees yoyote ile 😂😂😂😂🙌
huuuuuuuuwiiiiiii😁😁😁😁😁😁😁
ua-cam.com/video/d-3kQOSW-NIh/v-deo.htmlttps://ua-cam.com/video/d-3kQOSW-NI/v-deo.html
🤣🤣🤣
Ngoja nitoe chenyew cha mashindano! Watu Aaaaaaaaaaah Utatuua! 😁 Ahahaha
Nimekuja kwasababu ya kijamboo
First from Kenya 🤣🤣
Hapo Kuna diseal, mafuta ya taa na petrol kilichoonekana petrol ni nomaaaa sana
Nyie wehu😄😄😄😄
😁😁😁😁😁😁daar noma sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mbavu zangu mm Uwiiii bakari kataka kuuwa watu
Hatr sana aiseeeee mpe hela yake , alafu mtu anakwambia mmmh ushindi wa hvyo siutaki mm, wacha niwape cha mashindano , Stan kwa mbali wanakwambie weeeee unatka kutuua au 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👏👏👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥
😁😁😁😁daah aise
Nyie watzd mungu anawaona dah hicho kijambo bwana 😂😂😂
TZ kunavijana wanajuwa ubunifu na burudani, big up sana
Rajabu
Tz stress free wallah,,nimecheka kama boya
lakini zinakujaza ujinga ambao utakukuja kukupa stress mpaka unaingia kaburini
🤣🤣🤣🤣🤣🤣et cjui hajachamba mwezi mzima🤣🤣🤣🤣
kwenye maisha usimdharau mtu.
Mmmmmh stani bakola unazingua Sana hehehehe
Stan kijambo cha kichura chura🤣🤣🤣🤣💨💨💨💨nyie bn daaah
II noma sana 😂🤣Stan bana😂🤣🤣🇰🇪
Nimecheka sanaaa hasira zote zimeniisha
Ulikua unahasira jaman ndio mana wakawep kutup buldan
Nati hao nati zao zimefunguka wewe
Wewe ni mwajuma wa tanga nilipoteza namba yako
Nimecheka kwa sauti😂😂😂😂
Hata mimi pia
Hahahahahaha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nyie wehu kweli
Bakarii ni nomaaaaaa mpen nafasi nyingineeee jamaniii🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂🇰🇪
Jamaa anataka kututoa uhaiii, sijui hajajamba mwez mzima🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂nakufa nakucheka mie😂😂
Wapizani wamekubari jamaa apewe hela🤣🤣🤣🤣🤣🙋
Uwiiii jamanii aaaah ngojaaa nitoeee cha mashindanooo bwanaaa aaah jamanii Kobelo anatakaaa kutoaaa uhaiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimechekaaa mpkaaa mikojo
jaman
Aaaa pow pow broo stan
Mbavu zanguuuuuuuuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤
Duuu bakari bhana, Hadi mm mtazamaji nmezimia nmezinduka shindano limeisha jaman
Yaan wa Tanzania shikamoo yenu from Rwanda 🤣😂😅 mtaniuwaaa
Yan kwenye hayo Mashindano ya kujamba Mungeniweka mm mngefurah na shoo Zangu Yan najamba kufuru sio asubuh mchana Wala jion
🤣🤣
He nami nahtaj kushiriki
Ushindi wa namna hii mimi siukubaliiii🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂😂
Bakar hujaungua kweli
Wajinaa hatr
mpeni hela zake tu mm mwenyewe huku nimezimia😂😂
Oya nyi mmajuaaaaaaaaa
Nmecheka mpka mbavu znaniuma
Hahahaha jamaa jinga keli hili😂😂😂😂😂
Jamn hongeren , nimecheka kwa saut uwiiiii
Kwani Akili zipo kweli hapa
Kuna vitu vinasikitisha sana huku watanzania tunachekelea,tunaandaa taifa na kizazi Cha aina gani?????
Yaani mmetuchoka sasa kah
Nmecheka sanaa aaseee
Jaman mtanipasua
❤❤❤❤❤
Nyie ni nomaaaaaaa
Huyu cha pombe anaweza akaharisha hapo hapo, mbavu zangu
🤣🤣🤣
😂😂😂😂🇰🇪
Aki hii group ni noma yani mtu huchoki lzma tu uishe vipaji wanavyo kweli🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hovyo hapo sasa mnawafundisha nini vijana hayo ni maadili gani????wachukuliwe hatua.
Sasa wataka wafanye kz gani ikiwa serikali yako inaawaajiri watoto wa wa mawaziri na wabunge na watoto wa wenye secta nyeti serikalini sasa wasomi wapo wengi mitaani na kila mmoja anafanya biashara wakati huo wateja ni wachache maana wote ni wafanyaji biashara ndiyo maana wanabuni vitu km hivyo vya kujambiana ili mradi watoto wapate ugali
Yaani ni laana na ujinga ila mungu atakupeni asa hio ndio nini wanakharaam nyinyi loop
Nimecheka kwa sauti😂😂😂
Kobelo msenge xan mashindano ya 😂😂😂
Hunampinzan babaa😂😂😂
Aaaha kumamake😃😃😃😀😀
Rajabu
Nimecheka mpaka machozi🙋🤣🤣🤣
Mim nilizan cha pombe atapata pesa maan daah kaazia getin🤣🤣🏃
Wajina usiniangushee twenzetu
@@aminaamiri7684 🤣🤣🤣namuogop Bakarii😅😅😅😅😅
Majaji walikuwa wameshalewa na mashuz ya Stan, kobelo ko Bakar akaja kumaliza bendi ahahaha
Vijana wa hovyo sana sijui 2030 wazee watakuwaje
🤣🤣🤣bakar nomaaaa
Hahahaha beka noma sana
Vijan wap vizr san
Pastaresiekiel
😂😂😂😂ila nyie kaaah!😂😂😂
Bakariii daaaaah🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sina mbavuuuuuuuuuuuu😀
Yukowap mogeraa jomon
Haya ndio walionza watu wa na bii luti walianza kushindana kujamba halafu wakaona sio mzuri wakaanza kufirana ila mwisho wakaangamizwa..
Sasa nyinyi muna anza haya mashindano elewa huo ni mwanzo kesho yake kitakuja kizazi kitaa anza kufirana
Caption tu nimeanza kucheka kabra ya kuangalia🤣🤣🤣🤣
Cjui waliwaz nn
Nimecheka jaman kaah😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hahahah stani anaona anastaili
Tz yetu🖐🖐🖐🖐
hahaha et kipaji hakijaanza
Yaani hata cjamaliza kuangalia kobelo kanivunja mbavu😂😂😂
😂😂😂😂😂🔥
Wa3 c atakunya kwel 🤣🤣🤣🤣
Jamani xax munako elekea jamani
Hahahaha daah shida
Da! Sasa icho chenyewe Cha mashindano so ndo uta tuuakabisa
Kipaj kwer
Hahahahaha mbavu zangu mutatuua kwa kutuchekesha janani maana nimecheka mpaka mbavu zinauma asanten🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nyie mpaka shetani kakimbia🏃🏃🏃🏃🏃
Na hapo hajala michembe
U Guyz you gonna kill me 😂😂😂😂😂
Nomaa
Wazee mmetisha
Hii nchi ina vijana wa hovyo sana🤣🤣🤣
🤣🤣
Upo wakat wa kupoteza mawazo jaman Kaz 2fanye na kufurahi
Wanagu ninoma mkovyema
Majaji wamezimia
🤣🤣🤣
Nyie mmesha kosa sera movie zimesha kua za kifala yani matangazo dakika 5 alafu movie dakika kumi nyie hamna maana kabisa tengenezeni kitu ya kuelimisha jamii sio mambo ya kujamba
Yani hiii nikali Kila ninapo angalia nakufa na kivheka
Hahaaaa
Nawakubl san
Mbavu zanguuuu 😂😂😂😂