Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
PATANISHO : NATAMANINGI USIKU NISKIEKO SAUTI YAKE_COLLINS ELKANA
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 18 сер 2024
КОМЕНТАРІ • 233
Наступне
Автоматичне відтворення
PATANISHO : ALINISHIKA KWA SHINGO STAKI MANENO YAKE ANAEZA NIUA SAA YOYOTE....Radio Jambo KENYA
Переглядів 29 тис.
PATANISHO : “Analipwa 8,000, zinaisha kwa siku 2.”Radio Jambo KENYA
Переглядів 104 тис.
MATUSI SEHEMU YA KWANZA /MADEBE LIDAI/CHANUO NCHA KALI/HAVITI MAKOTI/NGOKWEMALI MEDIA
Переглядів 110 тис.
В ДЕТСТВЕ ОТПРАШИВАЕШЬСЯ НА РЕЧКУ У МАМЫSIDELNIKOVVV
Переглядів 3,8 млн
«Зайшли п*дорам в тил у перший день штурму» #україна #війна #зсу #окупантиСлідство.Інфо | Розслідування, репортажі, викриття
Переглядів 883 тис.
Зеленський з британським премʼєром нагородили бійця у госпіталі #війна #україна #зсу #shorts #людиСуспільне Чернігів
Переглядів 629 тис.
KLAVDIA PETRIVNA, МАША КОНДРАТЕНКО - ЇДЕ ДАХ (OFFICIAL VIDEO)Klavdia Petrivna
Переглядів 902 тис.
HELLO MR RIGHT KE EP 5 | DK KWENYE BEAT & CAROL SONNIE ARE CELEBRITY GUESTS 🔥 | REMBO PLUS SATURDAYSt Rembo TV
Переглядів 351 тис.
Miekethano 24th-26th May 2024Miekethano
Переглядів 611
Bishop JJ :Witigire andu oothe aria matamukaga ritwa ria Ngai na kugemiaKAMEME OFFICIAL PAGE
Переглядів 190 тис.
PATANISHO : ANANIPENDAJE NA AKONA MKISII - FEDYRadio Jambo KENYA
Переглядів 46 тис.
'Nitakukatakata na nikuweke kwa fridge!' Those words from my ex husband led my son to depression.Metha ya Kagoni
Переглядів 79 тис.
MC Jessy UNCENSORED AND UNCUT-Wacha KakituChurchill Television
Переглядів 689 тис.
MY WIFE LEFT ME WITHOUT NOTICE- PK KARITEIJEFF KURIA
Переглядів 194 тис.
Utatupatia Bibi Yako Ama Tukukule WeweRadio Maisha
Переглядів 27 тис.
PATANISHO : MAUREEN - MUME WANGU AKO NA SUGAR MUMMYRadio Jambo KENYA
Переглядів 35 тис.
Бутылка Air Up обмани мозг вкусомКостя Павлов
Переглядів 2,1 млн
бедный дед на ламборгини проверяет силу прохожих и платит за подъем гириABRACADABRA TV
Переглядів 8 млн
ВІКТОРИНА #37. EL КРАВЧУК ТА ВАСИЛЬ БАЙДАК х КУРАН ТА ВЕНЯ | НОВИЙ НАЙБОЖЕВІЛЬНІШИЙ ВИПУСК ВІКТОРИНИВетерани космічних військ
Переглядів 539 тис.
Яшин - интервью после тюрьмы / вДудьвДудь
Переглядів 8 млн
ПЕТРО ЧЕРНИК ПОВЕРНУВСЯ! Про Курськ, реакцію Путіна та стратегічний переламСпецпроєкти Сергія Мамаєва
Переглядів 172 тис.
Sad To Announce I Did Not Qualify For Mens 2024 Olympic Gymnastics TeamThe Rock
Переглядів 28 млн
Зеленський з британським премʼєром нагородили бійця у госпіталі #війна #україна #зсу #shorts #людиСуспільне Чернігів
Переглядів 629 тис.
Huyo mwanamke asharudiana na ex wake,
I stand for boychild today,tafuta mke mwingine hapa hakuna ndoa😊
Ulikuwa umechukua bibi ya mtu😢😢pole
Aki uyo nikama bado ako kwa ndoa yake😢
Nawapata vizuri sana nikiwa Switzerland, napenda sana patanisho .
hii unaona kuna ndoa kweli
Mimi na Ghost we are employed to Laugh 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
Hiyi kicheko ya ghost hufanya hadi nacheka pia 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Huwa anaenda kwa baby Daddy🙂😙
Unapatikana huku pia😂😂😂, huwa tunapatana kwa Lynn ngugi
Wanawake wa Busia is a no go zone,hawa ni washerati namba moja halafu wanapenda ushirikina madawa ndio zao,huwa wanacross boader kwenda kwa Wasoga uganda kutafuta ushirikina,Busia women hatari kwa usalama😢😢
Si amuache aoe mwingine mbona anafuatana na bibi ya mtu
@@lilian2660 Kama bubi anasema yeye sio bibi ya mtu sasa jamaa angejuaje ni bibi ya mtu? Kukuwa na watoto inamaanisha ni bibi ya mtu? Huyo mwanamke ndio haongei ukweli na ilhali ako kwa mzee na bado mguu infine iko nje
You are right,Mimi nimekaa huko from 2013wale wanawake hapana MTU anaoleka Kwa jirani yake na ana,wacha bwana hapo ,na bado atarudi huko so mostly wao utumia Sawa MTU anachizii hawezi wachika
@@user-cg3vf2bl6b Mm niliishi kwa my uncle Busia alioa huko,zile vituko niliona na huyo mwanamke ni za hali ya juu,yani uncle aliishi akikula madawa adi usiku anaweka makaa kwa sahani anatoa suruali then hiyo makaa inatiwa madawa,alikuwa anapepeta hiyo suruali na amechuchuma kwa hiyo moshi akionfea akiita my uncle ju uncle alikuwa anaenda seminars maeneo ya mombasa,alitoa uncle kwa boma uncle alinunua shamba kwao busia na akasomesha watoto wao wote na pesa ya uncle,mshahara mjomba alikuwa anabeba yote anampea yy ndio anamgawia na kupanga vile itatumika,mm nikiona mtoto wangu na mwanamke wa Busia nitaenda kwa magoti,hao ni wachawi
True 😂 na sio warembo , kitu wakonanyo ni bidi tu 😂 I've seen several kwetu wanafanya kazi kushinda tractor,but ni washerati hajab 😂 but kwa wote nimeona bwana hao watu Wanaka mbaya
boy child aki kenya bila kakamega man weeeh
Elizer anarudi nyumbani kwa Baba watoto Baba watoto ameambiwa elizer ako job then anaenda kwa collo😊
Gidi I really love this show I listen everyday from Canada
I really like men from Canada 🎉🎉
@@RabeccawaJuma-zn9vn all men from Canada🤣🤣🤣. Canada has 10 provinces and 3 Territories . Pick your location 🤣🤣🤣
U@RabeccawaJuma-zn9vn u mean u love him😅😅😅u can't love men from Canada
@@joanakinyi2256 hehehehehe wewe Wacha matusi.. I said the show. What's hard to understand.
Collo, kichwa Yako ni mzuri?
Boychild tafuta bibi mwingine hapo sijaona bibi huyo anaeda kwa baba watoi dio hachukuangi phone usiku giddy naye instead atetee boychild anamfinyilia akimulixa kama ako na kichwa mzuri which is so bad giddy style up usiwahi uliza mwanaume hivo mbele ya bibi yake
Really talk,add volume plz
Boy child,leave that relationship asap.#ifikieKibe..
kweli kabisa
Exactly! Total disrespect to his fellow man.
I second this
I promise you patanisho nitkuwa msomali wa kwanza kwani ni kesho😂😂😂
Wewe ongeza mke acha mambo mingi
@@royalkings254 😂😂😂
bahali yakheee haaaiyeeee
Following from Qatar ❤the show
BIG kweshen, Eliza akienda Busia anaishi wapi!?!? Is it kwa baba ya watoto or kwa wazazi wake...
My quiz too
Ghost ako smarta sana bigup coaches.
Am in Panama and this is my best show
Huyu mama ni mkora ako na baba ya hao watoi but hataki kusema 😅😅😅Don't waste time ya huyo mwanaume, anatuharibia jina sisi single mothers
😂😂😂kabisa hata si Rika yake
Ukweli kabisa,mama anapotezea huyo jamaa mda wake.Ako na tamaa ya fisi
Sincerely speaking.... kolo hauna bibi
Following from white house Washington DC
Following from Germany ❤ I love this show
Plz nipee route nitoke hii kenya …nateseka tu na watoto maze
@@Mboki2
Kama hujui kujifanyia mambo yako, wafaa ukae Kenya. Zoea kufanyiwa, utakuja kujikuta umefungiwa kisanduku huezi kujitoa au kutolewa.
Hata sijui nikuambie nini zaidi.
Acha unyoko.
NB. Na mtu hata akikupeleka, utamrengelea na malawama as if ana deni yako.
Weka maisha yako kwa mikono yako. Au utakuja tolewa kafara na hiyo omba omba.
@@Mboki2DATING APPS MY DEAR!!!! BADOO, TINDER E.T.C
Gidi ni hakimu mzuri. Anahoji mshukiwa na mlalamishi vilivyo.
Gidi na Ghost you are the best I swear I love your show
Watching from USA nawapenda sana gidi na ghost🎉❤
Collo nyavu zinazushwa kile kuchao period.
Tuned from Washington
Nakubaliana n maoni y gidi🤝
Collo move on achana na hii nyang'au
truth be told;;;;hisia ya collo iko right.....that woman is married to that man
I stand for boy child... Tafta bibi mwingine
Hii story aty baby daddy/ mama, wanaongea juu ya watoto ni risky saana,you might think you're gaining but you're losing ad vice versa😢
Oa Bibi tofauti. Wachana huyu sugar mammy 😂
Tunned from Norway ❤❤❤
Plz teach me how to leave kenya, I’m really suffering 😢
@@Mboki2
KM una suffer kwenu, nnje ugenini utaweza? Hata kujipeleka huwezi na hujui. Unaona vile msichana wa Kenya aliteseka mpaka akafariki? Yet alikua amefika kule alikotaka kwenda? Ambapo ni 🇨🇦 Canada. Chunga maisha yako. Usijiekelee mambo ambayo si kiwango chako.
Ni heri utesekee kwenu, imagine utesekee kwa watu hata hawakujui wala kukutambua.
Watashughulika kujikimu kimaisha au watakusaidia wewe?
I wish mngejua maana ya hiyo ringtone
I kumaanisha Ni muislamu ama😂
You don't wish, au ungetuambia. Watu wengine husali na lugha za *kikoloni mpaka wa leo.
WaKatoliki wa Kenya 🇰🇪 walikata Sala za ki-Latini kwa vile walikua wanaropokwa tu, na hawaelewi nini kinasemwa except "Amen". Hata hiyo still sijui inamaanisha nini.
Tuned in from pluto
Mmmh
Na ndo niliwakataza kuoa wanawake wako na (mtoto) watoto. Akienda huko lazima wapige mechi na Collo anajua 100% Kila siku anaskia vibaya hapo kwake.
❤❤❤❤❤
Boy child under siege but wait 🤚🤚kijana anauma ugali kubwa kuliko mdomo
Akili yako rudisha CBC😅😅😅😅😅
Gidi is silly ...he want to side with the woman..na hapa anajua hakuna ndoa..dame amerudi kwake
But amuambie tu ukweli watoi wawili plus anampita na 2yrs chaiiiiiii na wahala be this😅
Bona unamuita silly...😊
Avoid abusive words online. Hii unaweza fungwa with clean evidence
@@andrewomondi9544mfunge.
@@andrewomondi9544mfunge basi.
😅😅 aah ati kutoka busia Hadi kakamega ni 800 really 😅😅😅
Kumbe sijastuka pekeangu 😂😂😂😂 ama tuliongeza Bei and I'm not aware 😂
Wotching from Kenya nairobi😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂
Watching from London
Giddy hii ishaenda
Koro umeskia watoto wako kwa baba yao na bado hunapoteza wakati
😢😢😢😂😂😂 boychild. Wachanenii na mabibi za watuu, wachanenii na ma single mothers, wachanenii na WANAWAKE wazee kuwalikoo.
😅😅😅 Elizer kaa na baba watoto wacha kutangatanga huon watu uku inje vle wahduru watoto wenye sio wao..kama uwez lea mwili wko mwenyewe wchana na mabwana wanaune sio restaurant
Huyu ni.malaya
@@lilian2660
Wewe mzuri tuone pale wako atakufikisha.
Eliza has a ringtone in Somali.😂
😂😂😂😂😂😂
Nathani Busia kuna Waislamu wengi. Influence kutoka Uganda, enzi za...
@@VeronicaDunbaryou know nothing...
Please respect callers
Waluhya hoyee! Hoyeeee. Hawapangangwi
gidi always taking sides with women. ghost you are on top
Hayo ni maoni yako.
Ukweli kabisaa Gidy atafute Rika yake
Hawa wanaume wa western wako hivo hawezi lea watoto wenye sio wao ila huyu ako afathali
Hapo hakuna ndoa
Eliza ako kwa babydaddy, ndiyo hashiki simu usiku
Wachana na hilo bibi xee.
Huyo mwanamke ako na makosa,aamue aishi na mume mumoja.
😂😂 i agree with you Gidi...jamaa ajipange.
In who's hand are we safe😂😂mayoo
Scw❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kijana tafuta Binti uoe huyu mama anamsimamo
😂😂😂😂😂😂 acha asikieko sauti yake
Waaah kwani uku Kila mtu Ako majuu😮😂😅
😂😂😂😂😂😂
UA-cam ni ya watu wa majuu kama hujui 😂😂😂
Kwani fea ilipanda 800 to busia from kakamega 😢maisha aki
I know this lady very well.
Tell us about her,anakaa kucheza boychild?🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo mwanamke hakuna mtu
Ndani
Collo ako na trust issues from the word go😅😅😅wasi wasi tu
Kabisa
Kolo ni sugarboy ben10. Lazima atii mamaa.
Wa nne😮
Inagulwa😂😂😂😂😂😂😂😂
Wacha2 😂😂 collo anakula mabaki
Yagulwa jeri kamare...
Huyu boys nifala ex wake Bado anakula hizi vitu bado
Leo natetea boy child aky si poa,huyu atafute tu dem mwingine awachane na huyo kabsaa
😂😂😂hapa hakuna ndoa
Nawapata vinzuli kabisaa nikiwa ichini Jordan
Ghost ni mgonjwa😂😂😂😂
Boy child😢😢😢
Hapa Collo inafaa aone red flag mapema ajitoe
😂😂😂😂elkanah anataka kutuma salamu
Gidi ,kapsaa, zimu ya nini ,na nimelala dio niamuke mapema nienda job, hakii some "Men "or Boys?
Huyu anaenda kwa baby daddy.
Hai
Macho imefunguka
Eliza ni jadoho
Huyu si wako
Èeee😮😮
pole collo kwa kulea bibi mwenye bado anatafuta future husband😂😂
Kollo ukituma fare hiyu eliza anakula na huyu baba watoto wake
Ma huyu dada alirudi kwa mzee
Priority ni watoto wake, wasome, food na shelter. A u any different.
Kakamega to busia eti 800😂😂😂
Mwanaume hauna kazi unaoa mama ako na watoto ya nini? Ata yeye kichwa yake haifanyi kazi
Gidi Huyo jamaa asijisumbue,Huyo huenda kwa Baba watoto wake😅😅😅
Kazi ya ghost nkucheka tu ndo ameachiwa!!, Anafaa tuzo coz hiyo nayo anajuwa kucheka!!
Hakuna kwao anaenda...huyu ni bibi ya wenyewe
Aki mapenzi wewe😂😂
Wakwanza hapa😂
Walai hii ni kali😂😂😂😂
This guy should get married and get his own children.
Collo tafuta bibi uoe hapo hakuna bibi
Hili limama liko kwa bwanake😮😮😮😮😮
Busia ,my city my town