🥕Nyau Kitchen🥕
🥕Nyau Kitchen🥕
  • 70
  • 1 114 242

Відео

Jinsi ya kupika tambi iriki na maini (spaghetti & liver recipe)
Переглядів 7 тис.Рік тому
#Tambi#Maini#soy souce#peanutbutter#Bilinganya#Hoho#carrot#Iriki#Ndimu#pilipili#
Jinsi ya kutengeneza juice ya parachichi kwa kutumia maziwa fresh
Переглядів 1,5 тис.Рік тому
Jinsi ya kutengeneza juice ya parachichi kwa kutumia maziwa fresh
Jinsi ya kuandaa na kuunga samaki aina ya sato(Fish roast recipe)
Переглядів 793Рік тому
# Royco#Jinger# lemon#masala ya mchuzi
Jinsi ya kupika njegere,Nyama na viazi(peas,meat,potato, recipe)
Переглядів 2,1 тис.Рік тому
#Njegere#Nyama#Viazi#soy souce#mama sita#kiungo cha pilau#nazi#karanga#
Jinsi ya kupika pilau la nyama(colored rice recipe)
Переглядів 1,9 тис.Рік тому
#Nyama#soy souce#mama sita
Jinsi ya kupika mayai na kuku(eggs & chicken recipe)
Переглядів 517Рік тому
#Kuku#mayai#soy souce#mama sita#hoho#carrot#nyanya#kitunguu
Jinsi ya kupika Kuku wa kienyeji na chips (fries chicken recipe)
Переглядів 607Рік тому
Jinsi ya kupika Kuku wa kienyeji na chips (fries chicken recipe)
Jinsi ya kupika makange ya chips kuku (fries chicken recipe)
Переглядів 1,3 тис.Рік тому
#kuku#chips#maziwa#nazi#soy souce#Royco mix
Jinsi ya kupika makande ya mahindi mabichi na njugu mawe (maize&nuts stone recipe)
Переглядів 4,2 тис.Рік тому
#maindi#njugu mawe#Hoho#carrot#tangawiz na kitunguu swaumu
Jinsi ya kupika dagaa wa Mwanza wenye biringanya(omena recipe)
Переглядів 1,5 тис.Рік тому
Jinsi ya kupika dagaa wa Mwanza wenye biringanya(omena recipe)
Jinsi ya kupika kuku wa kienyeji kwa viungo mbali mbali na kazi zake kiafya(local chicken)
Переглядів 4,7 тис.Рік тому
#kuku#soy souce#Ginger powder#Galic powder#Tumeric powder#Lemon#capsicum
Jinsi ya kupika supu ya ngo’mbe (Beef soup )
Переглядів 563 тис.Рік тому
#Meat#potato#Ginger#Galic#carrot#capsicum#Black pepper
Jinsi ya kuandaa Samaki wa nazi aina ya Magege part 02 (Tilapia fish recipe)
Переглядів 125Рік тому
#Samaki#Nazi#Viazi#Tangawizi#Kitunguu swaumu#Ndimu
Jinsi ya kukaanga na kuunga samaki aina ya Magege part 01 (Tilapia Fish)
Переглядів 142Рік тому
#Samaki#Nazi#Viazi#Tangawizi#Kitunguu swaumu#Ndimu
Maandazi ya nazi, Laini yenye Iriki part 02 (Bans recipe)
Переглядів 140Рік тому
Maandazi ya nazi, Laini yenye Iriki part 02 (Bans recipe)
Maandazi ya nazi, Laini yenye Iriki part 01 (Bans recipe)
Переглядів 205Рік тому
Maandazi ya nazi, Laini yenye Iriki part 01 (Bans recipe)
Breakfast na lunch kwa sikukuu ya Furaha choir by Nyaukitchen
Переглядів 69Рік тому
Breakfast na lunch kwa sikukuu ya Furaha choir by Nyaukitchen
Maandazi matamu laini na yaliyo chambuka
Переглядів 172Рік тому
Maandazi matamu laini na yaliyo chambuka
Cabbage, wali, maharage yenye rojo nzito na adha tamu
Переглядів 186Рік тому
Cabbage, wali, maharage yenye rojo nzito na adha tamu
Wali, Cabbage na Maharage kwa events Furaha choir Uhuru Moravian
Переглядів 329Рік тому
Wali, Cabbage na Maharage kwa events Furaha choir Uhuru Moravian
Coconut Beans recipe part 02(Maharage ya nazi)
Переглядів 95Рік тому
Coconut Beans recipe part 02(Maharage ya nazi)
Maharage makavu yenye nazi kutumia gasi (Beans recipe )
Переглядів 159Рік тому
Maharage makavu yenye nazi kutumia gasi (Beans recipe )
Eggs with tomato recipe part 02 (mayai ya nyanya kwaajili ya lunch)
Переглядів 990Рік тому
Eggs with tomato recipe part 02 (mayai ya nyanya kwaajili ya lunch)
Mayai ya nyanya kwa lunch part 01 (Egg with Tomato recipe)
Переглядів 6 тис.Рік тому
Mayai ya nyanya kwa lunch part 01 (Egg with Tomato recipe)
Mchicha ,mnafu, na Spinachi (Vegetable recipe)
Переглядів 876Рік тому
Mchicha ,mnafu, na Spinachi (Vegetable recipe)
Jinsi ya kupika makande ya nazi(Maize and beans recipe)
Переглядів 4,3 тис.Рік тому
Jinsi ya kupika makande ya nazi(Maize and beans recipe)
Jinsi ya kupika nyama ya ng’ombe(meat stew recipe)
Переглядів 1,2 тис.Рік тому
Jinsi ya kupika nyama ya ng’ombe(meat stew recipe)
Tambi nyama (Sphaghetti with Meat) S01.E04
Переглядів 3722 роки тому
Tambi nyama (Sphaghetti with Meat) S01.E04
Jinsi ya kupika tambi nyama (Sphagetti with meat)S01.E03
Переглядів 8 тис.2 роки тому
Jinsi ya kupika tambi nyama (Sphagetti with meat)S01.E03

КОМЕНТАРІ

  • @C7Christian
    @C7Christian День тому

    Sili nyama ya mnyama aliye kufa au kuuliwa

  • @tausmamboleo7092
    @tausmamboleo7092 5 днів тому

    Wow litakuwa Tamu hilo pilau ❤

  • @felicianachuwa3848
    @felicianachuwa3848 8 днів тому

    Nimependa sana

  • @Jenipha-ib1ci
    @Jenipha-ib1ci 18 днів тому

    Awee hapo pika tu na pilau tulie maana kula na chapati imegoma😅 sio supu hiyo ni mboga

  • @user-lu1by6yp4t
    @user-lu1by6yp4t 19 днів тому

    🙏

  • @benjaminshayo32
    @benjaminshayo32 26 днів тому

    Mama hongera kwa mafunzo, ila nunua mifuniko ya sufuria bhanaa😂, unapofundisha mapishi jitahidi kutumia vyombo vzr ili kuleta unadhifu na kuonyesha kuwa cio kwamba unajua kupika tu ila pia unalithamini jiko lako, chakula chako na uanamke wako pia..... Maana moja ya sifa ya mwanamke ni nyumba pamoja na kila kilichomo ndani ya nyumba yake.... Otherwise uko byee mama 😊

  • @ChrisNini-ot3bl
    @ChrisNini-ot3bl Місяць тому

    Swali Hiyo Sukali Inapimwaje? Pia Mimi Sina Hiyo Machine Ya Kusagia

  • @HalimaAwasi-hk7uc
    @HalimaAwasi-hk7uc Місяць тому

    Iyo ni mboga ya kulia ugali kabisa kwenye supu imepitiliza😋

  • @user-yu1ji8fs6y
    @user-yu1ji8fs6y Місяць тому

    Waooooooooooooo

  • @hamidasalum7763
    @hamidasalum7763 Місяць тому

    Sasa hyo ni supu, mchemsho au ni mboga mana hapo imekosekana nyanya tu kutimia mboga kamili....

  • @DamianKwahhay-i9i
    @DamianKwahhay-i9i Місяць тому

    Hongera dada nimekupenda mapishi mazuri

  • @mengikiguruwe6750
    @mengikiguruwe6750 Місяць тому

    Hovyo kabisa wewe

  • @FransiscaKimario
    @FransiscaKimario Місяць тому

    Like

  • @ZubeydaFadhili
    @ZubeydaFadhili 2 місяці тому

    Good

  • @user-jf2fs3mq8i
    @user-jf2fs3mq8i 2 місяці тому

    pamojyari

  • @OMARYHASSANI-xn5es
    @OMARYHASSANI-xn5es 2 місяці тому

    Nimeelewa mapishi

  • @SofiaCharles-gt2nr
    @SofiaCharles-gt2nr 2 місяці тому

    mafuta madogo

  • @AngelMaro-sh4ub
    @AngelMaro-sh4ub 2 місяці тому

    Kila nikipika makande lazima niangalie mapish yako chakula ni kitamu san

  • @YasintAlfred
    @YasintAlfred 2 місяці тому

    Asante madam nimejifunza ❤❤❤❤

  • @ShakilaAwadhi-ly3fu
    @ShakilaAwadhi-ly3fu 2 місяці тому

    ❤❤

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 2 місяці тому

    Sio vitunguu swahumu😅

  • @user-yt8sv4gr9t
    @user-yt8sv4gr9t 2 місяці тому

    Hakuna mwendo hapa huo ni mchuzi tu kama michuzi mingine😂😂😂

  • @AbianaPiason
    @AbianaPiason 2 місяці тому

    Mfuniko mchafu😅

  • @user-bc1er9hm4j
    @user-bc1er9hm4j 2 місяці тому

    Nice ila huo ni mchemsho sio supu

  • @user-nx1jz6ox2b
    @user-nx1jz6ox2b 2 місяці тому

    😅

  • @mohamedrajabu9055
    @mohamedrajabu9055 2 місяці тому

    Masha allah

  • @JanethMadios
    @JanethMadios 2 місяці тому

    Yaani supu umetia hadi iliki kweli 😢😢😢😢😢😢😢😢weeeee kiboko kupika hujui shoga sasa hiyo supu au mboga????? Supu haitaki mbwembwe dada umezididha ujuaji hapo

  • @HawaSaid-ru4zq
    @HawaSaid-ru4zq 3 місяці тому

    Mchuzi apo bado ubwabwa 😘

  • @NellySovanike
    @NellySovanike 3 місяці тому

    Iko good nimependa

  • @EllyMeresho
    @EllyMeresho 3 місяці тому

    Yaan me cjaelewa kabsa hiyo michanganyo hata usemi duh

  • @sobbyesmail5278
    @sobbyesmail5278 3 місяці тому

    Hapo na chapati ua moto ndio mwenziye

  • @sobbyesmail5278
    @sobbyesmail5278 3 місяці тому

    Ma shaa Allah ungerahisisha mwanzo usafi wa nyama na kukatwa ndio uhifadhi kwenye friza ukitaka kupika unabadika na kutia viungo inayayuka ikiwa kwenye moto..supu nzuri sana.

  • @joshwaooro7259
    @joshwaooro7259 3 місяці тому

    That is not a soup,it is sauce becoz of too much spices. Soup does not need spices.,water and salt only.Ngombe

  • @Salamasungura
    @Salamasungura 3 місяці тому

    Good

  • @user-mq6kl5ir2c
    @user-mq6kl5ir2c 3 місяці тому

    Aiii so kwasup hili 😂😂 hadi karoti zilizo sagwa 😂

  • @user-mq6kl5ir2c
    @user-mq6kl5ir2c 3 місяці тому

    Kwani dada ulikua hunampango wakupika umestukizwa maana umeosha nyama za juu tu kwanza unaharaka Gani mpaka uchemshe nyama ambayo haija yeyuka so kiufupi haijaoshwa vizury

  • @user-fp5to3bu4s
    @user-fp5to3bu4s 3 місяці тому

    Ki2 Radha akikupatu nyama na maji yake utaila nakishi dear wala usijali

  • @user-vy6mi2xl5c
    @user-vy6mi2xl5c 3 місяці тому

    Mpishi umenona 😋

  • @PlacidiaRwejuna
    @PlacidiaRwejuna 3 місяці тому

    Chakula kizuri sana❤

  • @user-hq5mo3dx7l
    @user-hq5mo3dx7l 3 місяці тому

    Nimeielewa hii supu nzuri sanas

  • @Maria-dg6ik
    @Maria-dg6ik 3 місяці тому

    ❤❤❤❤❤

  • @user-fn3uo1wm6r
    @user-fn3uo1wm6r 3 місяці тому

    Supu ya kihindi 😂

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 3 місяці тому

    Bado Nazi tu hapo😂

  • @BabuNL
    @BabuNL 3 місяці тому

    Yummy

  • @user-cr2fd5xq5w
    @user-cr2fd5xq5w 4 місяці тому

    Waoo🎉

  • @MARYNAGUJustin
    @MARYNAGUJustin 4 місяці тому

    Mh kweli huu mchemsho !

  • @christopherkiswaga9270
    @christopherkiswaga9270 4 місяці тому

    Safisana unafanya vizuri

  • @saeed2242
    @saeed2242 4 місяці тому

    Kwn mix iko wapi

  • @beatusthobias
    @beatusthobias 4 місяці тому

    ❤❤❤

  • @NadraYussuf
    @NadraYussuf 4 місяці тому

    😢😢😢😢