![HABARI MCHANGANYIKO](/img/default-banner.jpg)
- 156
- 106 350
HABARI MCHANGANYIKO
Приєднався 5 лип 2020
Habari Mchanganyiko ni channel inayo kupa kwa haraka matukio muhimu yanayo tokea kwa lengo la kukusogezea matukio hayo uweze kuyafahamu kliundani
CHUO CHA UHASIBU TIA CHAWAIBUA VIJANA WENYE UGUNDUZI WA APPS
Chuo cha uhasibu Tanzania kimewaleta kwenye maonesho ya sabasaba mwaka huu vijana wagunduzi wa Applications zinazo toa misaada mbali mbali kwa watumiaji, Vijana hao ambao ni wanafunzi wanao soma katika chuo hicho kwa Dar es salaam wamebuni application tatu ambazo watumiaji wa simu janja watazitumia kwa matumizi mbalimbali
Переглядів: 14
Відео
TARI MLINGANO KUWAKOMBOA WAKULIMA WA MKONGE NA MATUNDA
Переглядів 819 годин тому
TARI MLINGANO KUWAKOMBOA WAKULIMA WA MKONGE NA MATUNDA
UTARATIBU WA TARI MWAKA HUU KWENYE SABASABA HUU HAPA
Переглядів 5319 годин тому
Watafiti kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) wametoa wito kwa wadau mbalimbali wa kilimo na biashara kutumia fursa ya Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (SabaSaba) kutembelea Banda lao ili kujifunza teknolojia mbalimbali za kilimo kuanzia afya ya udongo hadi uongezaji thamani wa mazao. Wito huo umetolewa na watafiti kutoka TARI, ambao wapo katika Maonesho ya Sabasaba yanayo...
TARI YAWAALIKA WADAU SABASABA KUSHUHUDIA TEKNOLOJIA ZA KISASA KWENYE KILIMO
Переглядів 2019 годин тому
TARI YAWAALIKA WADAU SABASABA KUSHUHUDIA TEKNOLOJIA ZA KISASA KWENYE KILIMO
STAMIKO NA MKAKATI WA KUSAIDIA WATU KIUCHUMI
Переглядів 1314 днів тому
STAMIKO NA MKAKATI WA KUSAIDIA WATU KIUCHUMI
STAMICO YAWASHIKA MKONO MAKUNDI MAALUM KWENYE NISHATI MBADALA
Переглядів 214 днів тому
STAMICO YAWASHIKA MKONO MAKUNDI MAALUM KWENYE NISHATI MBADALA
FEMATA YAWAHALIKA WADAU KUWEKEZA KWENYE MNYORORO. WA DHAMANI WA MADINI
Переглядів 10414 днів тому
FEMATA YAWAHALIKA WADAU KUWEKEZA KWENYE MNYORORO. WA DHAMANI WA MADINI
STAMICO YAWASHIKA MKONO MAKUNDI MAALUM KWENYE NISHATI MBADALA
Переглядів 514 днів тому
STAMICO YAWASHIKA MKONO MAKUNDI MAALUM KWENYE NISHATI MBADALA
WAZIRI MKUU MSTAAFU PINDA ASIMULIA ALIVYO KUTANA NA KIJANA. MPAMBANAJI KIEMI
Переглядів 1414 днів тому
WAZIRI MKUU MSTAAFU PINDA ASIMULIA ALIVYO KUTANA NA KIJANA. MPAMBANAJI KIEMI
KIJANA WA MFANO KWENYE UFUGAJI NYUKI ALIVYO MFURAHISHA WAZIRI MKUU MSTAAFU PINDA
Переглядів 1114 днів тому
KIJANA WA MFANO KWENYE UFUGAJI NYUKI ALIVYO MFURAHISHA WAZIRI MKUU MSTAAFU PINDA
MCHONGO WA KUPIGA PESA KUPITIA UFUGAJI WA NYUKI
Переглядів 1121 день тому
MCHONGO WA KUPIGA PESA KUPITIA UFUGAJI WA NYUKI
SIKU YA MATUMIZI YA GESI YA KUPIKIA DUNIANI - KITAIFA DODOMA
Переглядів 16Місяць тому
SIKU YA MATUMIZI YA GESI YA KUPIKIA DUNIANI - KITAIFA DODOMA
TANESCO WAELEZA UWAJIBIKAJI WAO KATIKA KUTUNZA MAZINGIRA
Переглядів 10Місяць тому
TANESCO WAELEZA UWAJIBIKAJI WAO KATIKA KUTUNZA MAZINGIRA
CAMARTEC NA NISHATI MBADALA
Переглядів 19Місяць тому
Wakati Wiki ya mazingira ikizinduliwa rasmi Juni 3 na Naibu Waziri Mkuu Dkt. Dotto Biteko, Tanzania ina fursa lukuki vya #NishatiSafiYaKupikia. Je, umewahi kufikiria thamani ya kinyesi kama chanzo cha Nishati? CAMARTEC ni Taasisi ya serikali ambayo imepewa dhamana ya mafunzo na kuunda mifumo ya nishati hiyo. Msikilize hapa Mhandisi Nicholous Mwakisambwe
Umuhimu wa mafunzo ya Jinsia, kisa mkasa jamii ya wakulima wa chai Bungu Korogwe
Переглядів 73 місяці тому
Umuhimu wa mafunzo ya Jinsia, kisa mkasa jamii ya wakulima wa chai Bungu Korogwe
LATRA WAELEZA MAENEO YA USHIRIKIANO KWENYE MAONESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA ZANZIBAR
Переглядів 405 місяців тому
LATRA WAELEZA MAENEO YA USHIRIKIANO KWENYE MAONESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA ZANZIBAR
TAZARA WAELEZEA WALIVYO JENGA BWAWA LA MWALIMU NYERERE
Переглядів 926 місяців тому
TAZARA WAELEZEA WALIVYO JENGA BWAWA LA MWALIMU NYERERE
KUELEKEA MNADA WA KWANZA WA CHAI KUFANYIKA NCHINI TANZANIA
Переглядів 1208 місяців тому
KUELEKEA MNADA WA KWANZA WA CHAI KUFANYIKA NCHINI TANZANIA
TAWI LA SELF MF MBEYA NA MAENEO YANAYO HUDUMIWA
Переглядів 6411 місяців тому
TAWI LA SELF MF MBEYA NA MAENEO YANAYO HUDUMIWA
TPHPA NA UTARATIBU WA KUDHIBITI NZIGE
Переглядів 811 місяців тому
TPHPA NA UTARATIBU WA KUDHIBITI NZIGE
BODI YA NAFAKA NA MAZAO MCHANGANYIKO KWENYE MAONYESHO YA NANE NANE 2023
Переглядів 911 місяців тому
BODI YA NAFAKA NA MAZAO MCHANGANYIKO KWENYE MAONYESHO YA NANE NANE 2023
HUU HAPA MFUMO WAKIDIJITALI WA KUJIANDIKISHA VITAMBULISHO VY TAIFA NIDA.
Переглядів 2011 місяців тому
HUU HAPA MFUMO WAKIDIJITALI WA KUJIANDIKISHA VITAMBULISHO VY TAIFA NIDA.
MHANDISI WA KIKE ABUNI MASHINE YA KUMUINGIZIA KIPATO MJASILIAMALI.
Переглядів 4211 місяців тому
MHANDISI WA KIKE ABUNI MASHINE YA KUMUINGIZIA KIPATO MJASILIAMALI.
MNATAKA NINI TUWASAIDIE: NAIBU WAZIRI UCHUKUZI
Переглядів 1111 місяців тому
MNATAKA NINI TUWASAIDIE: NAIBU WAZIRI UCHUKUZI
CMSA: TUPO KUTOA ELIMU KUHUSU MITAJI, HISA NA DHAMANA
Переглядів 7Рік тому
CMSA: TUPO KUTOA ELIMU KUHUSU MITAJI, HISA NA DHAMANA
WANAO TAKA KUJIUNGA NA MAJESHI WAPEWA WITO NA NIDA
Переглядів 55Рік тому
WANAO TAKA KUJIUNGA NA MAJESHI WAPEWA WITO NA NIDA
Bei mbona hataji
Cage sh.ngapi za kuku wanyama?
Hello..were are you in Nairobi?? How do l find you?? please share..
Tunaweza pata namba ya uyo mwalimu
namba ya simu ndo muhimu san weken namb ya simu
Me nahitaji na niko zanzibar
Haya maghala yana patikana wap
Nakukubari sana Mwl Kharifa kira rakheri Na Somo lako la Ujazo wa Vipimo Mungu akubariki sana
Naitaji mbegu
Nahitaji
naomba namba ninauhitaj
Namba yenu
Naomba namba zenu mwanza mko wap
Bei gani izo mbegu
Dxxxdxdzdddddd🎉
Heka 1 kupanda nikilongap?
Bie ya punda milia na tumbili
Tumbili 16 kwa kilo2
Où on peut trouver ces SEMENCES pour acheter? Votre numéro
Immmmma hongera sana
Respect kwako mama🎉
Naomba kuuliza bei ya sidiko chapa ya tembo
Mwalimu mzuli sana huyo ostazi
Go go girl, sky is the starting point. So proud of you Eng. Hytham
Mbeya mtakuwa banda no ngapi
Am from mbale Uganda am interested
Mashin ya kukoboa na kusaga sh kiongoz iyo yakisasa
Asante mweshiwa samia rais wa wanyonge kwa kusikia kilio cha ileje mumgu awe nawe
Huduma zenu nimezielewa .
Asante kwaelimu nzuli
Je mashine zakusanga unga nishigap
HONGERA
Natakakujua utaratibu jinasi yakuapata trecta
Nawezaje na Mimi kujiunga na chuo icho tafadhari
Wizi wa mafuta na vilainishi vya mitambo ndio ugonjwa unaoiua TAZARA, Wafanyakazi wengi wanaishi kwa fedha za wizi na udokozi wa vifaa vya karakana hata Kama hawajàpata mishahara. TAZARA must change mindsets of the management staff and operatives so as to operate in a business-like culture. This will increase corporate efficiency, financial profitability and operational sustainability.
Tazara wamekuwa wabovu sana kuhudumu treni za abiria, treni hazifanyi kazi Kwa wepesi, mabehewa yamechoka reli inakuwa mbovu hawarekebishi, Sasa hivi tunashdwa hadi na reli ya kati wanajari abiria wao, reli imekarabatiwa na saaiz mabehewa mapya lakini tazara mnaua shirika , reli ya tazara ni kubwa kuliko reli ya kati lakini hampo tayari kuijali reli mnaniboa sana sababu huu ni usafiri wangu lakini m akera
Chalinze mpo wapi ofisi
piga namba za simu ynazo ziona mwisho
Morogoro mpo mtaa gan
Morogoro mpo mtaa gan?
Mnapatikana wapi! Nina uhitaji Sana wa hiyo huduma naomba namba zenu
Iko
Nitakupataje
Je mnakopesha
Huo ni utapeli tu tumejiandikisha lakini hatupati mbolea ya ruzuku wala mbolea ya kawaida. Mnaongea msilolijua. Hapo mmeshindwa kbs.
Nakikubali san hiking chuo one day yes ndakuja
Wanauza Kwa shilingi ngapi ?
p̶r̶o̶m̶o̶s̶m̶ 😍
Weka namba sasa
Mm nataka
Kiasi ni sh ngap
Amazing 👏