![KILIMOSHARE](/img/default-banner.jpg)
- 2
- 57 104
KILIMOSHARE
Приєднався 2 січ 2018
An AgriTech Startup focusing on providing Agricultural Extension & Entrepreneurship Education to farmers.
UA-cam | Twitter | Facebook @kilimoshare
UA-cam | Twitter | Facebook @kilimoshare
Mapishi ya 'Bullets' kwa kutumia Breadfruit (SheliSheli)
Baada ya kuwaletea elimu juu ya tunda aina ya Shelisheli (Breadfruit) watazamaji wetu waliomba elimu juu ya uandaaji wa tunda hili.
KilimoShare inakuletea kipindi hiki ili kukufundisha hatua kwa hatua juu ya uandaaji wa 'Meat Bullets' kwa kutumia Shelisheli.
Karibu na ungana nasi na pia usisahau Ku_subscribe, Ku_share, Ku_Like pamoja na kuacha comment yako hapo chini.
Asante kwa mpishi wetu; Peris Jacton pamoja na mgeni wetu; Emma George.
Kwa Maswali, Msaada na mahitaji ya tunda hili, Breadfruit (Shelisheli) pamoja na Miche ya Breadfruit, waweza kuwasiliana nasi.
Email: kilimoshare@gmail.com
Phone: 0745184012/0753639961
KilimoShare inakuletea kipindi hiki ili kukufundisha hatua kwa hatua juu ya uandaaji wa 'Meat Bullets' kwa kutumia Shelisheli.
Karibu na ungana nasi na pia usisahau Ku_subscribe, Ku_share, Ku_Like pamoja na kuacha comment yako hapo chini.
Asante kwa mpishi wetu; Peris Jacton pamoja na mgeni wetu; Emma George.
Kwa Maswali, Msaada na mahitaji ya tunda hili, Breadfruit (Shelisheli) pamoja na Miche ya Breadfruit, waweza kuwasiliana nasi.
Email: kilimoshare@gmail.com
Phone: 0745184012/0753639961
Переглядів: 887
Відео
MBEGU YA KISASA YA MAPAPAI (MALKIA)
Переглядів 56 тис.6 років тому
Video imedhamiria kuelezea juu ya mbegu ya kisasa ya mapapai aina ya Malkia, imeandaliwa na wataalamu kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA) idara ya Uhandisi, Extension Group 1. Lengo kuu ni kumsaidia mkulima kukuza kipato kupitia mavuno mengi na bora kutoka kwa mbegu ya kisasa ya Malkia. NI MATUMAINI YETU VIDEO HII ITAKUSAIDIA NDUGU MTAZAMAJI KUKUZA UELEWA JUU YA KILIMO CHA PAPAPI KWA KUT...
Napataje mbegu au miche
nita pata wapi mbegu hiyo mwanza
Mtui
Maelekezo mazuri,
Wapi inaweza kupata kwa Dar es Salaam,na in being gani, Na pia hapi chuoni mnaziuza hizo mbegu kiasi ganina ngapi zinakuwemo ndani ya package?
TANZANIA YA VIWANDA: Sijambo. Haujambo? TULIME KISASA MIPAPAI CHOTARA AINA YA MALKIA F 1: Kama kweli unataka kulima mipapai chotara tia vocha kwenye simu yako kisha nipigie simu au tuwasiliane kwa meseji kupitia Whatsapp ili nikuelekeze bure kuanzia kuotesha mbegu wewe mwenyewe hadi kupandikiza miche shambani mpaka kuvuna mapapai au uniulize swali kuhusu kilimo hiki cha mipapai chotara nitakujibu. MAWASILIANO YANGU NI HAYA HAPA. Namba yangu hii ya simu iko wazi usiku na mchana nayo ni TIGO 0715237482. Namba zangu hizi za simu hapa chini zipo wazi mchana tu nazo ni AIRTEL 0782456794 pia TIGO 0712820392 pia hii ni namba ya simu na Whatsapp HALOTEL 0621003274 WATANZANIA TUPEANE BURE MAARIFA YA KIUCHUMI ILI SISI NA NCHI YETU TUINGIE KWENYE UCHUMI WA KATI WA VIWANDA. Juma Musa Kauli.
Mikoani zinafika??
Fukutwe Mkhwitaghwe Ndio zinafika, wasiliana na 0745 184 012 au 0753639961
Mbegu za kisasa za papai za hybrid tuwasiliane 0752972727 Tembelea tovuti yetu www.formalagro.blogspot.com
Ni taaluma nzr sana, asanteni sana
Excellent brothers .....!!!keep it up
Hongereni sana. Keep it up
Hongera sana Brother
asante. sikujua lakini nimejifunza nimeelewa. MUNGU awabariki.
Uwiano was samadi na udongo?2ukubwa wa shimo LA.kupanda.mpapai?
mbegu hii ni zuri ila nasikitika kuwa hamjui kuelekeza vizuri mtu akaelewa vizuri
Naomba kufahamu suala moja kama naweza kupata mbegu za papai? Kwakuwa shamba langu lipo Mkuranga, Pwani naona nitashindwa kusarisha miche hivyo kama itapata msaada wa kuotesha shambani kwangu itakuwa bora zaidi.
Hi..can you send me seeds in Kenya?
Mbegu za papai husaidia uzazi unafanyaje ?
kwa mbegu miche ya papai za kisasa kabisa tuwasiliane 0752972727
mosses anney unapatikana wapi mm nipo Kibaha.
Hiyo mbegu ya Malkia inastawi katika udongo upi? Kiasi gani cha mbegu kinatosha kwa ekari 3. Bei yake je? Kuna ushauri wa kitaalamu mnaotoa kwa wakulima?
hello , naomba garama ya mbegu inayotosha 4 acres ( miche 1200 Kwa acre)..?
saw yana kuwa kwa mda han sasa bon hamsemi
vizuri sana.. lakini ili msaidie watu wengi zaid munge acha mawasiliano yenu.
habali mpendwa izo mbegu tunapataje
bayser mwami 0752972727 utazipata
Mawasiliano yakupata mbegu twayapataje
Chrysostom Ngonyani 0752972727 utazipata
mosses anney shukrani kk
Mnambegu za asili
keep it up young bro
asanten san wataalam