- 63
- 122 442
Kilimo Kwanza TV
Tanzania
Приєднався 12 лют 2022
KILIMO KWANZA PPPC NA MAONESHO YA NANE NANE
KILIMO KWANZA PPPC NA MAONESHO YA NANE NANE
Переглядів: 85
Відео
MAONESHO YA SABA YA NANE NANE ZANZIBAR
Переглядів 17714 днів тому
Haya ni maonesho ya Nane nane visiwani Zanzibar. Maonesho haya yanafanyika katika mkoa wa Mjini Magharibi katika viwanja vya Dole kizimbani na yamefunguliwa na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mh Dkt. Hussein Mwinyi. Maonesho haya yanafanyika kuanzia tarehe 01 Agosti mpaka tarehe 14 Agosti lakini shughuli mbalimbali za kutoa mafunzo ya kilimo, utafiti na upatikanaji wa pembejeo za kili...
MCHANGO WA TAASISI ZA FEDHA KATIKA KILIMO
Переглядів 1372 місяці тому
MCHANGO WA TAASISI ZA FEDHA KATIKA KILIMO
ZIARA YA DKT SAMIA SULUHU HASSANI NCHI KOREA
Переглядів 882 місяці тому
ZIARA YA DKT SAMIA SULUHU HASSANI NCHI KOREA
SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI ....UPANDAJI WA MITI TANGA
Переглядів 422 місяці тому
SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI ....UPANDAJI WA MITI TANGA
JE MIFUGO NA UVUVI INAWEZA KUINUA VIPI KIPATO CHA WATANZANIA?
Переглядів 1345 місяців тому
JE MIFUGO NA UVUVI KUINUA KIPATO CHA WATANZANIA?
CHANGAMOTO YA MAGONJWA YA MIMEA SASA INAKWISHA
Переглядів 22811 місяців тому
CHANGAMOTO YA MAGONJWA YA MIMEA SASA INAKWISHA
SULUHISHO LA CHANGAMOTO ZA MIMEA DUNIANI YAGUNDULIWA TANZANIA KUPITIA VINASABA
Переглядів 33211 місяців тому
SULUHISHO LA CHANGAMOTO ZA MIMEA DUNIANI YAGUNDULIWA TANZANIA KUPITIA VINASABA
RAIS SAMIA AKIFUNGA MAONESHO YA WAKULIMA YA 88 2023
Переглядів 108Рік тому
RAIS SAMIA AKIFUNGA MAONESHO YA WAKULIMA YA 88 2023
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM KATIKA RANCHI YA TAIFA YA KONGWA
Переглядів 138Рік тому
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM KATIKA RANCHI YA TAIFA YA KONGWA
MAANDALIZI YA AGRF - TANZANIA KUWA KITOVU CHA UZALISHAJI CHAKULA AFRIKA
Переглядів 237Рік тому
MAANDALIZI YA AGRF - TANZANIA KUWA KITOVU CHA UZALISHAJI CHAKULA AFRIKA
AJENDA 10/30 KILIMO NI BIASHARA JE TUTAFIKA?
Переглядів 156Рік тому
AJENDA 10/30 KILIMO NI BIASHARA JE TUTAFIKA?
AJENDA10/30 KILIMO NI BIASHARA JE TUTAFIKA?
Переглядів 663Рік тому
AJENDA10/30 KILIMO NI BIASHARA JE TUTAFIKA?
AGRF2023 FURSA KWA WAKULIMA NA WADAU WA KILIMO NCHINI
Переглядів 258Рік тому
AGRF2023 FURSA KWA WAKULIMA NA WADAU WA KILIMO NCHINI
CHINA IMEFUNGUA SOKO JE TANZANIA TUPO TAYARI?
Переглядів 199Рік тому
CHINA IMEFUNGUA SOKO JE TANZANIA TUPO TAYARI?
BANDARI INATOSHA KUENDESHA UCHUMI TUNAHITAJI MAAMUZI YA KIMAPINDUZI.
Переглядів 1 тис.Рік тому
BANDARI INATOSHA KUENDESHA UCHUMI TUNAHITAJI MAAMUZI YA KIMAPINDUZI.
BAGAMOYO SUGAR; KIWANDA CHENYE TEKNOLOJIA YA HALI YA JUU ZAIDI TANZANIA
Переглядів 7 тис.Рік тому
BAGAMOYO SUGAR; KIWANDA CHENYE TEKNOLOJIA YA HALI YA JUU ZAIDI TANZANIA
UMUHIMU WA KUJIUNGA KWENYE VIKUNDI....MATUMIZI YA ZANA BORA ZA KISASA
Переглядів 163Рік тому
UMUHIMU WA KUJIUNGA KWENYE VIKUNDI....MATUMIZI YA ZANA BORA ZA KISASA
ZANA ZA KISASA ZA KILIMO NI MKOMBOZI KWA WAKULIMA
Переглядів 155Рік тому
ZANA ZA KISASA ZA KILIMO NI MKOMBOZI KWA WAKULIMA
Ninaomba namba yako ya simu
Sawa
Mko wap na mim nahitaj
Tafadhali nipatie no nahitaji Vifaranga na kujifunza zaidi
Naomba namba ya cm
Unapatikana wapi hongera
Naomba namba ya sim naitaji mbuzi kum
Toeni namba za simu mnatupa taabu sana
Niko msumbiji Natália vifaranga na mapambo je watanifikaje?
Nimependa sana naomba mamba ya simu Yako Niko msumbiji
Naomba namba zako za simu
Hongera mm nahitaji vifaranga vya mapambo bei gani nipo mtwara
Hapa ninayo ikubeta ilanatakja kujifunza zaidi
Mm npozanzibar mpaka mda huu nampenda ufugaji nyinyi mpo arusha sehem gagani
Waziri Biteko umeongea vizuri sana wasichoke kutoa elimu
Ngombe anazaa mtt mmoja wapo m30 ngurue anazaa 10 wapo m3 kwann? Ngurue atakua kamelaaniwa na alomhalalisha ..........
Nimependa saana hii good job👌👍❤️
Mbogo farm and tccs hongera sana big up
Aina Gani nzuli ya mbegu ambayo ni bora
Da ningejua maonesho yapo kalibu chalinze ningekuja mwaka Jana ilikuwa molo
Watu binasi wanalima
Naomba tuwailiane mimi ni mdau wenu nipo songwe mbozi
Kuku wa mapambo Bei gani? 5:46
Mimi nipo arusha nataka kuku wa kufuga wa mayai
Kazi njema ndugu,,
Naomba mawasiliano ya kuja shamba uko kujifunza
Sorry broo I have more passion but I have no more skills to do it
Mungu atusaidie tufanye umradi uishi hata baada ya uongozi huu ambao umeanzisha maono haya kupita wakina wengine wasitelekeze Bali wawe wabunifu zaidi ili kuongeza tija ya mradi na kuonyesha thamani ya fedha za wananchi na mikopo tuliyoingia Kwa mikataba mbali mbali.
Mjomba Mimi napenda sana kilimo lkn ni mama wa miaka 60 nitakupataje Ili unipe mlolongo mzima?
Mimi niko madale napenda kupata namba ya Goba njia nne.
Nitawapateje na mawasiliano ye
0692 646677
Naomba namba zenu,nina hitaji kupata mbuzi wa mbegu
Cage ya kuku 200 nawezapata kwa bei gani?
Naitaji mbegu
Nimeelewa somo
Ila kaka hao mbuzi wamekonda sana vip wanashiba kweli
Naomba namba yako nahitaji vifaranga vya mapambo
Kfaranga kiasi gani cha kuku wa soks
Naomba namba yako,nitapata vifaranga ?
Dr mupo wapi
Mko wapi naomba namba zako
Nimekuelewa vizuri
Namb nzen je
Nahitaji vifaranga nawapataje nipo manyara
Contact please
Mnafeli. Sasa namba zipo wap au mtangazaj lengo la mwsho ni nn sasa?
nawashagaaga sana
Wabongo hatujui kujitangaza sasa tutawapaje kweli?
Pato
Naomba namba
Naomba contact kwaajili ya kuagiza Vifaranga
Naomba mawasiliano yako tafadhari
Upo vizuri vifaranga wanapatikanaje