Mahali mnaongelea kwanza mmejificha..muache io upuzi yenu..miraa n drugs..makarina anaitetea kwasababu inampea pesa..izo shamba umelima miraa ingolewe yote upande maindi..
😅😅😅uchokozi Astaghfirullah Jee km alijiachilia Mwili nao ukajiachia looh kazi ipo ila hatutaki si mngokaa wala Miraa haina Nutrients yoyote Bali maradhi na kuwaist time na pesa badala kufanya ya maana cbsi tena haitakikaniwi coast ni haramu,ina madhara inaharibu mazingira,vijana na pesa hatutakiii Km noma iwe noma mwaka wari nimwange mboga anaongea upuuzi mtupu huyu kiboko 😂
Hakuna Miraa wala mngokaa Msa-klf Nooop bc hatutaki biashara fanyeni huko kwenu Meru hatutakiiii Banned and banned forever and ever kisha Coast yote nt only Msa and Klf munalia sana wajinga ni nyinyi 😅😅😅nonsense
So kunatafauti ya miraa na muguka chenye kilikuwa banned Mombasa ni muguka na sio miraa so hapo chenye omosh na Nuru wanaongelea kuhusu miraa na sio muguka
Kwa nini tunakataa muguka msa....ni kwa sababu hata kiwete kama makarena akishikisha ataasahau kama hana mguu atembee kwa akipiga nduru.....hakii aki ngai miguu imerudi.....muguks ni mbaya
Kwani ni lazima mutuuzia sisi wapwani si muwauzie watu wakisumu noor okanga nilizania una akili bt akili yako yako ni mikojo ya nyoka ndo maana unaropokwa
Kuna kitu tutafanya ili mjue pwani si ardhi ya kuchezewa Kuna viongozi walijaribu kuchezesha wanawske ngoma ndani ya mwezi mtukufu matokeo waliyaona sasa nyinyi jifanyeni mnakiburi tutawanyoosha mapema
Where are North Eastern Governors....let them stop Miraa and Mugukaa...Acheni Miraa pandeni mahindi...matunda na vitu zingine....Miraa na Mugukaa ni drugs hata hazikubaliwi UK, EUROPE, UARABUNI....Except labda tu Yemen na Somalia...na hizo pia zita haramishwa karibuni
Yani makarina unatumia nguvu mingi sana watoto wetu waaribike na io miraa..? makarina nauliza ukweli wewe watoto wako wanatumia migukaa kweli..? Io n drugs... enyewe wenye pesa 😢😢
okanga leo ndiyo nime fahamu huna akili pili muguka iliyo pigwa marufuku na siyo mira tatu ripoti kutoka kwa madaktari walo toa madhare yake muisho wacheni kujitoa akili
Acheni Miraa pandeni mahindi...matunda na vitu zingine....Miraa na Mugukaa ni drugs hata hazikubaliwi UK, EUROPE, UARABUNI....Except labda tu Yemen na Somalia...na hizo pia zita haramishwa karibuni
Miraa is a good plant 😂 , jaribuni kureta shida mombana mtapata shida kuliko iliyotokea riftvalley 😂😂
Daaaa yaani nyingi jamaa amala muko na LAZIMA mbaya Sana,si mupeleke Tanzania kwani NI coast pekee NDIYO target
Omosh amepewa na mbna hakuli😂😂😂
small brains are costing us. we can not compromise health issues over money.
Umelazimishwa kukula😅😅😅
Kutuletea mgokaa mombasa ni kutulazimisha tukule
Hatuongoji kifo ndio tuseme kama vile kwenu mwapenda pesa tuu.
This jaluo and luhya have they become bodyguard of macarena😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂 njaa kweli
Lipa nuru na omoshi
hiyo mgoga ni mbaya sana. ni kenya tu tunakaa kama mbuzi
Zamzam ni mama na amekufanya umefukungua mdomo... Jiangalie
Miraa should be banned all over Kenya...
Dawa za kulevya sio miraa
Ata manyumba yao ile tunaishi uku mombasa wanapoke pesa kila mwenzi awajui pesa inatoka kwa miraa na mugoka.
Wewe hata ni mpuzi brother sisi vijana ndio hatutaki mungkaa
wasanii hakuna vile munaongea
Mombasa kazi hakuna ndio maana vijana wako idle wanakula jaba kila wakati
Bado huja sema hawana kazi lakini pesa za jaba ziko kweli akili zenu ziko matakoni
Hawa watu wazima hawana nidhamu kabisa..maongezi yao hayana nidhamu kabisa
Nuru na omosh plz ambia makarina to give u something small ..wacha kujalibu kutumia miraa ..wacha kutmiwa like a used condom plz
Sisi hatusemi miraa twasema MUGUKAA ... Hatutaki MUGUKAA msa waende wauze Huko western na nyanza kama wanataka sisi tuleteeni vyakula...tutanunua
Jaribuni mulete..
Imeletwa mingi haukuona kanji akioigwa ikiingia
Nuru na omosh ni njaa inawasumbua😂😂 hapa ni kitu kindogo walikuwa wanataka 🤣🤣☺️
😊😊😊😊😊😊😊😊
Nuru hata hajui ku ila
😂😂😂😂😂 hapo umegonga
True😂😂😂 Nuru is an actor for hire
Gavana wa mombasani tafadhali usikubali kuhongwa..miraa mugukaa n mbaya sana kwa afya..wenye wanaitetea ni wauzaji c wakulaji..
Hii madharahu mnaonyesha wapwani Mtajuta.
Mahali mnaongelea kwanza mmejificha..muache io upuzi yenu..miraa n drugs..makarina anaitetea kwasababu inampea pesa..izo shamba umelima miraa ingolewe yote upande maindi..
Kumbe MUNGU alijua kwanini akufanye vyenye uko.
😅😅😅uchokozi Astaghfirullah Jee km alijiachilia Mwili nao ukajiachia looh kazi ipo ila hatutaki si mngokaa wala Miraa haina Nutrients yoyote Bali maradhi na kuwaist time na pesa badala kufanya ya maana cbsi tena haitakikaniwi coast ni haramu,ina madhara inaharibu mazingira,vijana na pesa hatutakiii Km noma iwe noma mwaka wari nimwange mboga anaongea upuuzi mtupu huyu kiboko 😂
Kwani kuna biashara ya lazima? Mombasa walisema hawataki mugukaa muache ujinga na ww kilema makarina jiheshimu.
Hakuna Miraa wala mngokaa Msa-klf Nooop bc hatutaki biashara fanyeni huko kwenu Meru hatutakiiii Banned and banned forever and ever kisha Coast yote nt only Msa and Klf munalia sana wajinga ni nyinyi 😅😅😅nonsense
Nuru and Omoshi are now goats chewing like goats. Mtapata mwausia mapaka kama binadamu. Sell in your acounties but No No miraa and moguka in Mombasa
So kunatafauti ya miraa na muguka chenye kilikuwa banned Mombasa ni muguka na sio miraa so hapo chenye omosh na Nuru wanaongelea kuhusu miraa na sio muguka
Body language yenu munajilazimisha kuongea hiyo ina maanisha mume leweshwa na pesa
Plz plz plz stop your stupidity Mombasa au coast hawajapinga miraa Bali wanapinga mogokaa mogokaa mogokaa ndio ndio watu hawataki
Jaribu kuuza door tu dooruone kitakachokupata huna akili wewe wala ufahamu. Kwani nilazima muuze coast hatutaki
Watu wa Meru hawajazaliwa mombsa bro na hatutishwi na mido mo yenu .Hatutaki mugukaa
Kwa nini tunakataa muguka msa....ni kwa sababu hata kiwete kama makarena akishikisha ataasahau kama hana mguu atembee kwa akipiga nduru.....hakii aki ngai miguu imerudi.....muguks ni mbaya
Kampuni ya gomba na P.K ikilipa ushuru ni pesa ya miraa na mugoka.
Exactly
We nimsenge wwe mgukaa
na miraa wapi na wapi acha ushoga babu hilo tumbo limejaa hiyo mugokaa
Usisahau pia wameru tunanazaa watoto wengi na wanakula sisi hatujai ona madhara vijana wao waschane na cocain na bhang
Kwani ni lazima mutuuzia sisi wapwani si muwauzie watu wakisumu noor okanga nilizania
una akili bt akili yako yako ni mikojo ya nyoka ndo maana unaropokwa
Nenda ukasome wewe kichwangumu atakiswahili ujui simuuzie ukokwenu
Hio muguka ni sumu muende mkauziye kwa watu wenu kule meru na embu. Shenzi types
Huyo jamaa liko kama jimama mjinga ww kula na familia yako mshenzi ww kwavile serikali niyenu
People think by opposing everything, they will become relevant. Okanga and the rest are just looking for fame.
Kuna kitu tutafanya ili mjue pwani si ardhi ya kuchezewa
Kuna viongozi walijaribu kuchezesha wanawske ngoma ndani ya mwezi mtukufu matokeo waliyaona sasa nyinyi jifanyeni mnakiburi tutawanyoosha mapema
Pwani pekee ndio huwa na mwezi mtukufu Nairobi Hainanga mwezi mtukufu, vitisho vitisho na hakuna kitu miraa inauzwa ata saa hii tunaongea
Muelewe hiyo kauli ya marufuku ya mugoka si ya gavana ni ya wananchi
LAZIMA NI mbaya,kwani kwelini nyingi NI mbari za nguvu weeee muko na LAZIMA mbaya
Hamujielewi ni mungukaa ndio hauletwe hapa nyinyi ndio akili zimejaa mavi
Hawa hawajui Watu wa Coast......wamewasikia....Wasomali pia wata burn....
Mombasa nni sisi
Wacha hivio wajrbu kuchoma ata moja awawzi pita nairbi watafte barabra yao
Atutaki Mbuzi watu Mombasa uzeni kweni sio lazima Mombasa 😈
Hamna akili nyote
Nyinyi ni njaa inawasumbua pumbavu kabsa
Miraa ni mbaya. Nothing you say will change that
Mashoga watupu hao
Mwatumia ubavu kwakuwa serikali niyenu wapumbavu nyinyi
Wasomali ya garissa pia hatutaki mira mkule wenyewe
Hakuna hatutaki hata mbuzi hakuli uzia huko kwenu
Miraa na mungoka ikishikwa i nyunyiziwe sumu yote
Uza kwenu huko meru c mombasa
Kumbe hata akili hamna ng'ombe nyinyi
Miraa ni Drugs.miraa sio samaki na sio maziwa.
Where are North Eastern Governors....let them stop Miraa and Mugukaa...Acheni Miraa pandeni mahindi...matunda na vitu zingine....Miraa na Mugukaa ni drugs hata hazikubaliwi UK, EUROPE, UARABUNI....Except labda tu Yemen na Somalia...na hizo pia zita haramishwa karibuni
Hebu tuelewane ni Mingoka ndio tumekataa na ndio imetoka
Sasa kama sisi hatutaki mbona uko na lazima ya kuletwa uku
Hawa woote ni watafunaji lazima wajitetee😂😂😂
Yani makarina unatumia nguvu mingi sana watoto wetu waaribike na io miraa..? makarina nauliza ukweli wewe watoto wako wanatumia migukaa kweli..? Io n drugs... enyewe wenye pesa 😢😢
Miraa is not cocaine or heroin..tell wakosto😂drug Barron's..we know wanajaribu kufanya Ile kitu
Madawa haitebei siku hizi ati wanajifanya
okanga leo ndiyo nime fahamu huna akili pili muguka iliyo pigwa marufuku na siyo mira tatu ripoti kutoka kwa madaktari walo toa madhare yake muisho wacheni kujitoa akili
Wajinga ni nyinyi washenzi serikali niyenu
Kuleni wenyewe jamani anae taka kuwa mbuzi kama nyinyi awafate mombasa hatuwatakiiiii
Acheni Miraa pandeni mahindi...matunda na vitu zingine....Miraa na Mugukaa ni drugs hata hazikubaliwi UK, EUROPE, UARABUNI....Except labda tu Yemen na Somalia...na hizo pia zita haramishwa karibuni
Uko na shinda sana,,, fighting plants 😂😂mtakufa mziache,no one is forced to it.... People you like live by school books alone???
Wacha porojo wewe bichwa kubwa
Hakuna mogokaa pwani liwe liwalo
Mgokaa hatutaki utanaki huko kwenu
Wewe tokea tutafukuza wameru huku
Kiwete punda, na ngombe iliyofeli jss wale wanafanyiwa kampeni na punda hizi nne hawataona uongozi wa inchi hii
Iliyo wapeleka hapo ni njaa
Lawi wewe sasa umekua mjinga sana
Mbona Mombasa mbona msikule Miraa ndio Muendelee kuzungumza upizi kama huo
Miraa na muguka ichomue
Alafu mukuje kuuza kwetu hizo uchafu tutawaua!!! Pia
Pumbavu zenu nyinyi watu wanaongea kuhusu mogokaa, si muende uko samalia basi.
unakula chenye unatska
Tena unaita watu wajinga
Wewe kiwete umetafuta kondoo wenzako munabwabwatuuu wewe leteni muone
mluhya&mmeru&mkale&mjaljo😂😂😂😂😂😂
Nuru okanga, been following you for long now but have loosen my subscription
Yani sai ndio mnaproof kua miraa na mgukaa inafaa kua banned juu munekaa wendazimu nyote.
Dadi barikiwa sana
Nenda uuze kwenu
Wale wasomali wanakula miraa hawazai.....na only 5% ya wasomali ndio wanakula
Washenzi nyingi, mazee mazima kuanika matako yenu kw screen Tu.....acheni siasa tunaongea afya hapa wanoko sana. Akili zenu kuma ya maji maji
Mwalimu wa matusi... shameless plug 😅
Shenzi zenu
See the lifestyle of the man talking then compare it with the ones standing behind him taking miraa. .. that’s the effect of miraa
Kwani nilazima kuuzia wapwani mugoka nyinyi bure kumbe
Kwani nuru ni mafi gani unasema wewe ujinga ndio uko nayo
Mukundu
For the first time nmesupport hawa jamaa
Unakulanga polepole na haujui bei ju unapewa ya bure
Makarina sema ume finywa makangari😂😂😂😂
Hatutaki miraa mombasa.🙌🏽
👹👹👹👹👹👹👹
😂😂😂😂😂😂