Asante Sana sesilia kwa kuwa muelewa maana leo nilikuwa peke angu wenzangu leo wanasherehekea sikukuu na kwenye ratiba ilikuwa ni lazima niwape kazi mpya
Jam an🤣🤣🤣🤣😃uu Kwel n ukwel Mtupu ju watoto wamerudi nyuma ju y likizo cmekua nyingi unaxoma 3months Una bak om 1yr c mtoto akakua kasahau kila k2 ila was aniii kwa akili🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@@SwahiliAnimation 😂😂😂😂 furaha kwako baba so nisemeje kwa mfano wew mwenyewe umesikia majibu aliojibu baba yke ukimsikiliza kweli vzur huyo kizibo unafikili shule kunakitu kweri? Kuhusu kuchek jichekee tuu uongeze siku za kuishi
Eti wa kwanza ni king kiba😁😁
Hahahaha King kiba ni kingdom jaman wanafunzi wa kizazi cha smartphone
@@SwahiliAnimation nimatatizo matupu😁😁
@@laliakiza371 🤣🤣🤣 ni hatari sana 🔥🔥
Nzur sana
Asante Sana Ansilia 🙏💖
Nzuri sana kbs
Asante sana Shre dor 🙏🙏
Leo sauti mbaya
Leo ni sikukuu hivyo watu wanaoingiza sauti wako na familia zao wanasherehekea pasaka. Naomba mnivumilie kwa leo 🙏🙏
Nawapenda xana jaman❤❤❤ kuhusu saut cwez laumu kwa sababu najua ni leo 2 ila cku zote zinakuaga vzr
Asante Sana sesilia kwa kuwa muelewa maana leo nilikuwa peke angu wenzangu leo wanasherehekea sikukuu na kwenye ratiba ilikuwa ni lazima niwape kazi mpya
@@SwahiliAnimation ucjal love me nmekuelewA ndo mana Cjathubutu hata cjalaum❤
@@sesiliaselevano5845 Asante Sana sesilia kwa upendo 🙏🙏❤️❤️
@@SwahiliAnimation ok dear❤❤❤
Saut leo mbaya
Pole Rehema naahidi kuifanyia kazi changamoto iliyotokea leo
Nawakubali sna
Asante sana Baraka 🙏🙏 japo leo nimewaangusha kwenye sauti
Kingkiba 👑
🤣🤣🤣 hatari Sana 🔥🔥
😂😂😂king kiba
Hahahaha kizibo hafai
🤣🤣🤣🤣🤣 Kuziboooi🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣leila
@@SwahiliAnimation 😆😆😆
Sauti ya kizibo ni nzuri ila ya baba kizibo hapo ndipo mlipo paharibu
Poleni kwa changamoto ya sauti naahidi haitojirudia tena 🙏🙏
Eeeeh baba kizibo nae noma ety abaki shule nawakati wapo likizo
Baba anataka mtoto wake awe raisi ndio maana anataka abaki shule asome kwa bidii hahahaha
@@SwahiliAnimation 😂😂😂😂😂😂😂😂😂we mwanaume umenichekesha ety yataka awe rais sasa akibaki shule ndo atakua rais? Amuache2 aende rikizo
@@emmyjessuorene6565 mzazi anaamini mtoto akibaki shule ndio anasoma 🤣🤣🤣
@@SwahiliAnimation 🤣🤣🤣🤣haya aendelee sasa kumbakisha shuleni yeye pekee yake nawakti wengine wapo likizo unafikili atasoma kweri?
@@emmyjessuorene6565 🤣🤣🤣 hakuna kusoma hapo ni kulia tu usiku na mchana
Amemrudisha kweli 🤨
🤣🤣 ndio amemrudisha. Pole zuheor kwa changamoto ya sauti iliyotokea leo 🙏
😊😊😊😊 smoking
🤣🤣 smoking 🙌. Pole salum kwa changamoto ya sauti iliyotokea leo 🙏🙏
@@SwahiliAnimation msijal but it is so great
Thank you so much much salum
Sautii jamaniii
Pole William naahidi kurekebisha changamoto ya sauti haitojirudia tena 🙏
Nzuri💖💖💖
Asante Sana zipora 🙏❤️❤️
💖💖💖Nzur💋
Asante Sana Ruwaida 🙏🙏❤️❤️
Eti king bika🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahaha king kiba nae ni king
Jam an🤣🤣🤣🤣😃uu Kwel n ukwel Mtupu ju watoto wamerudi nyuma ju y likizo cmekua nyingi unaxoma 3months Una bak om 1yr c mtoto akakua kasahau kila k2 ila was aniii kwa akili🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🤣🤣🤣 ni hatari Sana zena. Asante kwa upendo kutoka kenya ❤️❤️🙏🙏
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kizibo kapatia majibu ya baba duuh
Hahahaha kizibo kazingua anachezea tu ada ya baba ake
@@SwahiliAnimation uelewa wake kizibo ni mdogo sana hata sijui shule anaandika nini🤣🤣
@@emmyjessuorene6565 unajua comment zako Emmy zinanivunja mbavu 🤣🤣🤣 eti hujui huko shule anaandika nini 🙌🙌
@@SwahiliAnimation 😂😂😂😂 furaha kwako baba so nisemeje kwa mfano wew mwenyewe umesikia majibu aliojibu baba yke ukimsikiliza kweli vzur huyo kizibo unafikili shule kunakitu kweri? Kuhusu kuchek jichekee tuu uongeze siku za kuishi
@@emmyjessuorene6565 sawa Emmy nakubaliana na wewe 🤣🤣
Kilaza hahaha
Hahahaha masikini kizibo
😘😘😘😘😘❤️
Asante Dama 🙏 ila pole kwa changamoto ya sauti iliyotokea leo
😂😂😂
Hahahaha hatari sana
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🔥🔥
😍😍😍😍🙏
Poleni lakini leo nimetuma sauti za computer 😔😔
@@SwahiliAnimation 𝑢𝑠𝑖𝑗𝑎𝑙𝑖 𝑚𝑦 𝑠𝑖𝑘𝑢 ℎ𝑎𝑧𝑖 𝑓𝑎𝑛𝑎𝑛𝑖
@@maryamanalisi197 Asante Sana Maryam you're a true definition of a fan. Asante kwa kunielewa 🙏🙏😍
@@SwahiliAnimation never mind My dear Bcoz ukijua kitu kimja tu hapa dunian basi utakuwa ni mwepesi wa.. Kuelewa chochoe kile
@@SwahiliAnimation why not my if u want I wl. Send for you
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahaha masikini kizibo