Mbona wabunge kama mmepoa sana nahisi mmeanza kumkumbuka Mh.Mpina alikuwa yuko sahihi kufuatilia mambo ya kitaifa kwa hapo Mpina angelipika na taarifa (Mpina-Think tank ya Taifa)
Mheshimiwa spika shida ya Mpina ninani anayeaagiza na anauwezo gani hapo ndio rushwa imetembea Bashe atujibu kwa hilo. Numegundua kumbe mnaelewa ila mnatufanya mapumbavu sisi wananchi
HIYO SUKARI YA BUFFER STOCK, ITANUNULIWA WAPI, KWA NANI, NA KWA BEI GANI. JEE IWAPO ITANUNULIWA KWENYE VIWANDA VYA NCHINI ITAKUWA SUKARI YA ZIADA AMABYO HAITA LETA UPUNGUFU SOKONI. JEE HAPA HAPATAKUWA NA UFISADI NA UPENDEDELEO, NA UNUNUZI UTAKUWA WA USHIBDANI KATI YA VIWANDA
Me sijaelewa kwani ili ni Bunge la Ulaya au Tanzania? Sasa kizungu kingi cha nn ongeeni Kiswahili chetu Kwene kilakitu woote tuelewe mbona mkija kutudai Kodi amuongei kingeleza chenu
Hivi huyu Bashe hawezi KUONGEA kiswahili mahiri mpaka aongee kiingereza? Watanzania wote wanaujua kiingereza? Kama hawezi kuongea lugha yetu basi aachishwe, lakini pia Kwa nini bajeti ziwasilishwe kwa kiingereza....? Kwa nini zisiandaliwe mbili? Ya kiswahili na kiingereza for international matters and recognition?.
Yani huyo mwanasheria mkuu wa serikali, ndo simwelewagi kabisa, nadhani ni vyeo vya kupeana. Spika uko vizuri kabisa ila udhaifu wako ni pale unapo gundua tatizo, unashindwa kutoa maamuzi ya uwajibishwaji kwa kosa uliloligundua.
Hivi shule mmeenda nyinyi tu serikali tunaomba Bashe urudishe ela yetu ya zidio la sukari tuliyonunua 6000 kwa kilo sisi wananchi. Na Mpina harudi bungeni ameonewa
Hapa ninachoona wanajaribu kuweka viraka vya kuendeleza kuficha madudu ambayo yameshatokea. Mimi ningeshauri serikali wangekuwa wanakubali kukosolewa wanapoona wamekosa wakomba msamaha badala ya kufukuza nje ya Bunge watu wanowkosoa. Yaani ndio wanakumbuka kufanya maekebisho sasa wakati walishaovertake procedure!!!
mdio maana badodo niko hapoa nigekuwa nikekuja huko Tz nymbaa nagojaa maombi kuwepo kwa kazi sababu compuni yetu ya sukari hawajanibu juu ilee faida wanaypleta kwetu 500000 milioni hamsini kwa mwaka sip sahiho
sasa kizungu cha nini na wakati bunge lakitanzania na kiswahili na wanao sikiliza wengi was watu wavijijini hawajui kiswahili si muongee lugha ya taifa kwenye mambo muhimu kama haya yanayohusu raiya wote waliosoma na wasio soma
Hivi hili bunge haliwezi kuona kuwa ni ujinga mkubwa kutunga sheria za nchi kwa kizungu? Nchi gani itakuheshimu kama hutmii identity yako wewe mwenyewe.yaani bado mko colonised?hadi leo hamuwatendei haki watanzania walio wengi na lugha yao.mnachekwa sana na wakoloni wenu,bado hamjajitawala.poleni sana.
Yu tubu mnapotosha huo siyo mzozo Language kingerzawni kigumu na kila mmja ana uelewa na ufafahamu wake so they was jus difining it was in form of indigestion 😂😂❤
Tulia si ndiye anamlinda Bashe? Na si ndiye alisimsmia wastaafu wapunguziwe mafao ya kustaafu kupitia kikokotoo 1/580 badala ya 1/540, kadirio la umri baada ya kustaafu kuwa 12.5 badala ya 15.5, mkupuo kiduchu 40% badala ya 50% akatunyongelea mbali?
Hivi hii shida ya kukoment hoja you tobe mnaipata kama mimi unatach mpaka unataka kughairi au ni simu yangu au Ila nimpongeze speaker wetu anajua sheria ndani nje
mpina💪💪💪
Mpina oyeeeeeh
Wanajifanya wanajadili ili tuone kama wanafanya kazi kubwa kumbe ni danganya toto hakuna mkazo wowote
IPO siku na sisitutawakimbiza hapo bungeni mmeona wenzenu Kenya walivyo fanya nyie tuchezeeni
Ivi kwanini kistumike kiswahili kwenye kuandika vitu ya msingi kama ivyo da kweli mkoloni katuloga
kweli kabisa
Nenda shule
NI SAHIHI KABISA ...WANAONA WAMESOMA KULIKO SISI
Ni upumbavu mtupu
Mbona wabunge kama mmepoa sana nahisi mmeanza kumkumbuka Mh.Mpina alikuwa yuko sahihi kufuatilia mambo ya kitaifa kwa hapo Mpina angelipika na taarifa (Mpina-Think tank ya Taifa)
Huyo mwanasheria ingekuwa enzi za bunge la kina Tundu Lisu, Zito, Silaa jasho lingemtoka😅
Wakubali kwanza waziri wa kilimo alivunja sheria na kusema uongo bungeni. Mmembeba tu kwa heshima ya samia.
Angeomba kustaafu
Nakuunga Mkono Akili yake ni sawa na Ruto tu huyu Mwanasheria wetu
Kweli kabisa, bunge kipofu, bunge kiziwi
Mwanasheria mkuu wa serikal mbona anajibu kwa kubahatisha
Bonge la spika ..mola akulinde watu wanafundishwa mpka waelewe
Mbona maneno mengine munayabana inamaana munatuongopea au
Mheshimiwa spika shida ya Mpina ninani anayeaagiza na anauwezo gani hapo ndio rushwa imetembea Bashe atujibu kwa hilo. Numegundua kumbe mnaelewa ila mnatufanya mapumbavu sisi wananchi
Sahizi hata wale Mburula walioongozwa na mihemuko kumshambulia na kumpa adhabu Mpina ndio wanaiba umuhimu wake ...shame on our parliament
Duuuuh! AG khaaaa!
HIYO SUKARI YA BUFFER STOCK, ITANUNULIWA WAPI, KWA NANI, NA KWA BEI GANI. JEE IWAPO ITANUNULIWA KWENYE VIWANDA VYA NCHINI ITAKUWA SUKARI YA ZIADA AMABYO HAITA LETA UPUNGUFU SOKONI. JEE HAPA HAPATAKUWA NA UFISADI NA UPENDEDELEO, NA UNUNUZI UTAKUWA WA USHIBDANI KATI YA VIWANDA
Hongera Spika wa Bunge Big up❤
Mpina yupo sahihi kaonewa kwasababu kasema ukweli
Me sijaelewa kwani ili ni Bunge la Ulaya au Tanzania? Sasa kizungu kingi cha nn ongeeni Kiswahili chetu Kwene kilakitu woote tuelewe mbona mkija kutudai Kodi amuongei kingeleza chenu
Context matters
Hivi huyu Bashe hawezi KUONGEA kiswahili mahiri mpaka aongee kiingereza?
Watanzania wote wanaujua kiingereza?
Kama hawezi kuongea lugha yetu basi aachishwe, lakini pia Kwa nini bajeti ziwasilishwe kwa kiingereza....? Kwa nini zisiandaliwe mbili?
Ya kiswahili na kiingereza for international matters and recognition?.
Mnago,mbna tu kila siku eternet hakuna
Mwanasheria mkuu wa serikal mh!
Kilaza balaaaaa
mpina hongera wanafichiana madudu yawo hamna chochote hapo
Me Wananikera sana Bunge kutumia kiingereza Luga iliokuja na ndege
Mwacheria
Mzimu wa mpina unawaumbua hawa sasa wanatapatapa tu vilaza hawa
Hivi kusoma kunafaidia nini mtu akikosa maarifa? Naona aibu sana kuwa tuna vyuo vikuu.
Sisi tunaona aibu kuwa na watu wanaoendekeza mapenzi
Yani huyo mwanasheria mkuu wa serikali, ndo simwelewagi kabisa, nadhani ni vyeo vya kupeana. Spika uko vizuri kabisa ila udhaifu wako ni pale unapo gundua tatizo, unashindwa kutoa maamuzi ya uwajibishwaji kwa kosa uliloligundua.
Ukitaka kujua bunge letu Lina vilaza wengi hapa hutasikia meza kupigwa maana hakuna wanachokielewa zaidi ya kutoa macho tu
Chief Umenifurahisha Sana japo nina Imani saana na kile ulichokisema
Kwani kupiga makofi ni lazima hoja iwe nzuri, si Hata utumbo watu wanapiga makofi.
😂😂😂
kwani kunaubaya gani bungeni kikitumika Kiswahili Tu kama lugha ya taifa maana kuchanganya lugha hivii mh
Wanatuzonga tu
Hivi shule mmeenda nyinyi tu serikali tunaomba Bashe urudishe ela yetu ya zidio la sukari tuliyonunua 6000 kwa kilo sisi wananchi. Na Mpina harudi bungeni ameonewa
Hapa ninachoona wanajaribu kuweka viraka vya kuendeleza kuficha madudu ambayo yameshatokea. Mimi ningeshauri serikali wangekuwa wanakubali kukosolewa wanapoona wamekosa wakomba msamaha badala ya kufukuza nje ya Bunge watu wanowkosoa. Yaani ndio wanakumbuka kufanya maekebisho sasa wakati walishaovertake procedure!!!
Kosa la mpina liko wapi
Hapo sasa
Ni kuja kuwaambia wananchi
Kama ni ivo mpina luhaga alikuwa sahihi sana
Tunaomba mpina mmuombe msamaha.maana hajawakosea bali mmemuonea tu
Ccm nnyie ni mmetuzoea twende kazi
Mh. Spika unapata kazi ya ziada, kazi ambayo Mwanasheria mkuu angekwisha kufanya.
Kama vile ulikuwepo
Ni bunge linazima sauti? ama ndo hii channel? mpina jitayarishe kushtaki bunge lote wakulipe mahela😅😅😅😅😅
Rubbish. Watu wazima badala ya kuzungumzia lini tunaondoa umaskini wa kutisha Tanzania....
Mh. Spika Ni Hodari Sana Sana. Sasa ivi Bungu letu Lina Manufaa makubwa zaidi.
.
Ruto has lost control and is not serving Kenyans anymore but foreign Interests and himself. A failed Presidency.
Kumbe tukifikiaga kwenye mambo ya sheria ndio hakunaga taarifa au mm ndio sina D mbili😢😢
mdio maana badodo niko hapoa nigekuwa nikekuja huko Tz nymbaa nagojaa maombi kuwepo kwa kazi sababu compuni yetu ya sukari hawajanibu juu ilee faida wanaypleta kwetu 500000 milioni hamsini kwa mwaka sip sahiho
mweheshimowa punguza uhabaa hukuwepo kwa sukari bei ya choni mwsnzo tu kabla yakuwepo kwa bei kuwa juu
Mwana sheria mkuu Kuna Madudu anaficha
Mbona mnazimia spika maiki vipi tena
Kumbee mpina Yuko sahihi hata ninyi mmegundua makosa ya Bashe
😅. Aliye takiwa ajibu maswli akiwa na pingu mikononi mynacheka naye yiyi
Yani always namkubali sanaaa halima mdee
sasa kizungu cha nini na wakati bunge lakitanzania na kiswahili na wanao sikiliza wengi was watu wavijijini hawajui kiswahili si muongee lugha ya taifa kwenye mambo muhimu kama haya yanayohusu raiya wote waliosoma na wasio soma
Hawa nao cku moja tuwatimuwe na ubwabwa wao tuupige
Wasome kwa kiswahili au kisukuma
Mwanasheria wetu mmmh.Hana uhakika naanacjokifanya
Si ndio huyo aliyewalaumu watu kujisomba Kwa Makonda,,,
Halima mdee 👊
Ruto must. Stay
Hili ni Bunge LA wa Bunge. Cyo Bunge LA Watanzania
Akifa atasifiwa wala Asijali
Mapoyoyo ni wengi mbona wamemlinda Fulani.
Mama Tanzania❤
Hivi hili bunge haliwezi kuona kuwa ni ujinga mkubwa kutunga sheria za nchi kwa kizungu? Nchi gani itakuheshimu kama hutmii identity yako wewe mwenyewe.yaani bado mko colonised?hadi leo hamuwatendei haki watanzania walio wengi na lugha yao.mnachekwa sana na wakoloni wenu,bado hamjajitawala.poleni sana.
Kuna wabunge wao wamejiandaa kupiga makofi tu.. hata hawajisumbui kusoma na kuchangia.
kiswahili nichakuombea kulatu nja
Waje watumie kiingereza kwenye uchaguzi ✍️
Tatizo ni elimu wote hapo mmesoma baba na mama,wanakula ugali,na maharage mkikutana na fundi gereju tu,wote ni zero
Yu tubu mnapotosha huo siyo mzozo Language kingerzawni kigumu na kila mmja ana uelewa na ufafahamu wake so they was jus difining it was in form of indigestion 😂😂❤
Ukweli mnaomsifia tulia mmechanganyikiwa ni mtu anaongoza bungee kinafiki sana amekalia upande wa serikali so bunge la wananchi
Mh : tunaomba tuongelee kwa lugha yetu ya kiswshili ni mzuri sana tujivunie lunga. yetu. 5:55
Ni kwa nini sheria zetu haziandikwi kwa Kiswahili?
Hahahaaa mwana sheria mkuu. Pole.
Mbona mnakata kata jamaani
Nice one muheshimiwa Spika
Boring Bunge session focussing very boring issues
Spika wa bunge mh tulia dada yangu kazi unaifanya vzr sana ila kwanini unakuwa na kaupole furani unapogundua kuna kosa hulichukuliii mamzi
Forever tz i love u tutafika tu
Mm nime notice nyakara😂😂
SASA mmemfungia Mpina Kwa Nini??? Nyinyi wenyewe wabunge amjiridhika😮😮😮😮
Hatareeeee
Leo mitambo yenu imekua ya kipuuzi sauti
Mbona mkatakata
Na Aida
Jamaa huyuuu
sauti zinakatakata 😢😢
Wanawake kuvaa mitandio bungeni ni sahihi kweli?Spika angalia hili swala la kuvaa kiholela.
Unamaanisha nini
Surely,, keep on DR TULIA Mungu akutangulie katika kulijenga taifa letu
Tulia si ndiye anamlinda Bashe? Na si ndiye alisimsmia wastaafu wapunguziwe mafao ya kustaafu kupitia kikokotoo 1/580 badala ya 1/540, kadirio la umri baada ya kustaafu kuwa 12.5 badala ya 15.5, mkupuo kiduchu 40% badala ya 50% akatunyongelea mbali?
KWANI NI MSITUMIE MNATUMIA LUGHA KWA WIZI WENU WENGINE WASIELEWE
Umeona mh.Ambokile
Hivi hii shida ya kukoment hoja you tobe mnaipata kama mimi unatach mpaka unataka kughairi au ni simu yangu au
Ila nimpongeze speaker wetu anajua sheria ndani nje
Spika uko vzr sana aisee
Huyo mama Yuko vizuri sana
Best in the world
Ni ujinga tu kwa kuwa hamjui
Aya we unayejua
@@GerardMdui wewe pimbi punguza makasiriko
Spika bigap