JE MUISLAMU AFAA KUSEMA BWANA YESU ASIFIWE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 305

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du 3 роки тому +24

    Masha allah. Asante sana kwa kuzungumzia suala hili muhimu. Khususan kwetu Tanzania imeanza kuwa adi kusema msemo huu. Waislamu tunajitoa akili. Nadhani huu ni mkakati maalum wa kuathiri uislam kidogo kidogo. Asante sana kwa kutukumbusha. Allah akujaze kheri.

    • @brunamgendi2958
      @brunamgendi2958 3 роки тому

      Nan mwenye kuhangaika na uislaaam acha ujinga ww

    • @ramazubery2641
      @ramazubery2641 3 роки тому

      @@brunamgendi2958 ww yanakuusu nn mambo yadini yetu?makafiri wengine wanashida😂😂😂ulikufa sasa umefufuka nini?au ndio uchizi unaanza?

    • @Ali-nl2du
      @Ali-nl2du 3 роки тому

      @Bruna M. Maneno yako yanadhihirisha upungufu wako wa busara, kutokuwa na adabu na ufupi wa upeo wako. Bwana wako akupe hekima stahiki ya binadamu. Nabii Isa, radhi za Allah ziwe juu yake, alikuwa mstaarabu. Wewe vipi?

  • @dodoted5033
    @dodoted5033 3 роки тому +5

    Atukuzwe Yesu milele.Jina tulilopewa lina nguvu linavunja kila ngome za giza. Halleluya 🤩🤩😄

  • @mwanakombaabbas93
    @mwanakombaabbas93 3 роки тому +4

    Wallahi shekh umeongea poit sana shukran sana jazakallahu kheir

  • @jumaharuna3995
    @jumaharuna3995 3 роки тому +1

    Mashallah shukran shekhe jazakallwahu llahu khaira mwenyezimungu akupe uwezo zaid

  • @seremenikibwene8633
    @seremenikibwene8633 3 роки тому +6

    Shaykh Izdun naona sasa wazungumza kwa haki lillah, unatoa jawabu zilizo nyooka, Allah akusimamie uzidi kutufikishia yaliyo haki. From tanzania.

  • @johntay8813
    @johntay8813 3 роки тому +4

    Asalaam Alaykum Warhamatullahi Wabarakatuh kwakweli umetuelimisha kwailo Allah akupe umri mrefu kuzidi kulingania dini tukufu

  • @afric01
    @afric01 3 роки тому +4

    Aslm alkm wtw.... Ma sha Allah!!! Darsa tamu. Tumeelewa barbara Sheikh wetu. Allah akulinde, akukinge na akuhifadhi. Jazakallahu kheir Sheikh.

  • @yahayaali7970
    @yahayaali7970 3 роки тому +11

    Allaah akujaalie umri mrefu zaid utufundishe siko zotee

  • @زينببنتسعيد-د9ح
    @زينببنتسعيد-د9ح 3 роки тому +2

    Asalaam alleykum warahmatulah wabaraqatuu Maasha Allah sheikh @izudin shukraan jazzakah Allahu kheir kwa ufafanuzi huu Mwenyezi Mgu akupe uzima na umri mrefu barakallahu fik

  • @sherbanu9482
    @sherbanu9482 3 роки тому +6

    Asalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh, na WAKO waISLAMU wengine pia huitikia AMEEN panapotamkwa BWANA YESU ASIFIWE.

  • @stephanomlagala5016
    @stephanomlagala5016 Рік тому

    Tuna maana kubwa sana zaidi ya hiyo.Kwetu Yesu ni Mungu

  • @aishamwinyi5048
    @aishamwinyi5048 3 роки тому +1

    Asante sana sheikh Allah akulipe kwa kutukumbusha🙏

  • @hamadrashid5140
    @hamadrashid5140 3 роки тому +1

    Shukran sana sheikh kwa kuzungumza hilo. Alhamdulillah

  • @meeksson3589
    @meeksson3589 3 роки тому +11

    Message delivered to Alhad Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam.

    • @ramazubery2641
      @ramazubery2641 3 роки тому

      😂😂😂😂

    • @sherallysherally1203
      @sherallysherally1203 3 роки тому

      Message Delivered LOUD AND CLEAR.
      AKITAKA AMEZE AU AMUMUNYE , ila ASITEME. BOMU HILO.

  • @AliMohamed-wp1op
    @AliMohamed-wp1op 3 роки тому +1

    Jina Issa lakweli aitwa YESHU, jina la Musa lakweli ni MOSHE

  • @hassamaimun9103
    @hassamaimun9103 3 роки тому +2

    Kwa kweli haya maamkuzi hayo hata kwenye Harusi usiku wa vyombo utaskia waisalamu wanasalimia kwanza Tz naona Sanaa

  • @adanmohamed7180
    @adanmohamed7180 3 роки тому +1

    Kweli kabisa wanasiasa si watu wa dhamani

  • @charlesjoseph2092
    @charlesjoseph2092 3 роки тому +1

    Yani Sheih kumbe unachanganyikiwa Kuhusu jina Yesu Jina Yesu lina maana ya Bwana Mwokozi Maana Ya jina la Yesu maana Yake Bwana Mwokozi, Pia Hata Yesu mwenyewe alisema Yeye ni Bwana ,Yohana 13:13Pia hata malaika Walithibitisha Kua Yesu ni Bwana mwokozi Luka 2:11

  • @godfreymbuya2659
    @godfreymbuya2659 3 роки тому +1

    Acha wivu mzee,njoo kwa Yesu

    • @mahdsalim
      @mahdsalim 3 роки тому

      aje kwa yesu yupi, ambae wenyenu hamumjui ni mungu mtoto wa mungu au mtume wa mungu??

  • @jbhiyari
    @jbhiyari 3 роки тому +2

    Aa..umemesema ukweli ..wanasiasa waislam..sana Tanzania..imekuwa kama trend..hata aibu hawaoni Kusema B.Y.A..inasikitisha..selling their soul to gain ...!?dunia.

  • @bibletv9818
    @bibletv9818 3 роки тому +1

    Yesu akitajwa lzm majini yatokomee

  • @AhmedAli-gh1lm
    @AhmedAli-gh1lm 3 роки тому +1

    Sheikh mpiga pesa za serikali Sh. AL-HADD, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar-es-Salaam ndiye aliyeanzisha upuuzi huu wa "Bwana Yesu Asifiwe". Nafikiri ujumbe huu utamfika.

  • @jumabasaka1540
    @jumabasaka1540 3 роки тому +3

    Manshaallah Message sent

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 3 роки тому +1

    Shekh uko sawa majibu yako yesu mwenyewe alkua akiona watu wengi alkua akisema amani ya MUNGU iwe pamoja nanyi hii ndio salamu ya MUNGU hakuna mambo ya bwana yesu asifiwe

  • @abassimakamechademakubwala5580
    @abassimakamechademakubwala5580 3 роки тому +1

    Tena ubaya zaidi hawa wakristo wa asaivi wanaitakidi kua yesu ni mungu mwenyewe hasa alievaa mwili ni ukafiri mkubwa kabisa waislam tusiseme bwana yesu asifiwe

    • @stephenkomolo1085
      @stephenkomolo1085 3 роки тому

      Mkuu Yesu ni Mungu sisi wkristo tunamuabudu, tunachomwomba anatupa.

  • @racjidiyssmdias7597
    @racjidiyssmdias7597 3 роки тому +1

    Swadakta sheikh, barakaAllah fik

  • @francismangula2715
    @francismangula2715 3 роки тому +2

    Ww mwanadamu kama mimi tu.Bwana yesu asifiwe ndugu zangu waislam..amuaminiye baba aniamin na mimi..sasa kama yeye mwenyew anamuita mungu baba sisi iweje tusimuite mwana wa mungu..BWANA YESU ASIFIWE.

  • @ashuahmed8625
    @ashuahmed8625 3 роки тому +8

    Dr. Amkeni samahani..lakin wasikia jirekibishe kaka

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 3 роки тому +4

    Asalamu alykum sheikh umegonga hapo ndipo walituahidi mpka walimu wa madrasa watawalipa county mwanake serikali kuwalipa walimu wa madrasa hawawezi hawatupendi Ila county pia nao walitoa ahadi za kirongo hawa mungu atuepushe nao mwanake watu ukimtaja Fulani ataka kuukuua kukutusi na nimuislam

  • @mwana4599
    @mwana4599 3 роки тому +1

    Bwana Yesu ndio Mtume Issa.

  • @alfoncejohn2104
    @alfoncejohn2104 3 роки тому +1

    Bwana mungu. Ni uongo sheh. Mungu ni Mungu

    • @subiramohd1895
      @subiramohd1895 3 роки тому

      Ni bwana wa mabwana ni mfalme wa wafalme sasa bwana wa mabwana hawi bwanaa

  • @aishasaid8813
    @aishasaid8813 3 роки тому +1

    Mashalla shukran jazakallwah kheri

  • @benyavan5774
    @benyavan5774 3 роки тому +1

    Nyie waislamu subiruni siku ya Kiama ndo mtajua Yesu ni ni nani,, Yesu siyo mtume,,Elimu ya Dini ya kikristo hamuwezi elewa maana uislamu una sababu yake, ni bora kusema Bwana Yesu asifiwe kuliko kusema maneno yote duniani,, Yesu katuweka huru na dhambi mtajua siku ya Kiama mtajua tu sasa hivi hamtaelewa

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 Рік тому

      Subiri ww mwanzo kabla ya kiyama pale ukifa ukitolewa roho uwone unakoenda motoni tu na yesu atakua peponi na waisilamu coz yesu mtume tu wamungu yy mwenye yesu ataingizwa peponi na mungu ama jina lengine Allah

  • @ashuashu3843
    @ashuashu3843 3 роки тому +5

    Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh

  • @takdirmahmoud
    @takdirmahmoud 3 роки тому

    Shukran sana Sheikh Kwa fatwa yako hii

  • @radhiaali8043
    @radhiaali8043 3 роки тому +1

    Shukran sana Sheikh

  • @Minister_Jamesdavid_Tv
    @Minister_Jamesdavid_Tv 3 роки тому +1

    Hamuwez kubali Kua Bwana YESU Maana mnajua kua mkikubar mtaonekana hamna maana mnayofanya.
    Bwana Yesu asifiwe
    Maana yake tunakubali kua tumekombolewa naye pia ni Emmanuel Mungu pamoja nasi
    ISSA NI NAN?
    YESU SI NABII NAKUKATISHA KABISA HUYO NI MUNGU KAMILI

    • @ShaniJSalim
      @ShaniJSalim 3 роки тому

      yesu ni mwanadam aliyetumwa kwa wana wa Israel tu (mathayo 15:21-26)

    • @subiramohd1895
      @subiramohd1895 3 роки тому

      Yesu ni mungu gani angezaliwa na kufaa kama miye na weye kuwa na akili wee huyo mungu wa kibaniani hafi mana ni wa jiti ila wenu kwa mujibu wa maneno yenu alikufa sasa mungu gani huyu anayeshindwa kujiokoa akakuokowe weyee usijipumbaze ingia kwenye uislamu na ubaya wenu wakiristo mungu wenu aliuliwa na watu alowaumba mwenyewe na wakamsulubu wakamuadhibu kwa kutumia msalaba na misumari halafu mulivokua hamuna fikra msalaba munaupenda munauabudu maana yake munafurahiya na kuungana na wale walomuua mungu wenu kuweni na mawazo basii musikubali kuburuzwa kiasi hichoo

  • @assalamtv8820
    @assalamtv8820 3 роки тому +2

    Assalam alaikum kwema shehe salama naomba namba zako za whatsapp

  • @gift-AA
    @gift-AA 3 роки тому +1

    BARALLAHU FIYK ALLAH akulipe kher sheikh Izudin

    • @racjidiyssmdias7597
      @racjidiyssmdias7597 3 роки тому

      Kaka cheki spelling,yako maana tofauti na nia yako. Samahani

  • @dekathuva6443
    @dekathuva6443 3 роки тому +4

    Jesus is the prince of peace, savior the bread of life, the way to eternity and son of the most high God...
    One day you will truly confess this on your knees

    • @kareemalamoody6345
      @kareemalamoody6345 3 роки тому

      Seek knowledge please

    • @abdul-fatahyussuf7439
      @abdul-fatahyussuf7439 3 роки тому +2

      Yesu sio Mungu wala so mtoto wa Mungu so soma ujue ukwel upate kujua ipi Dini sahihi ipo siku utajua ukwel n mda utakuw haupo ten Dini sahihi ni Uislamu tu

    • @subiramohd1895
      @subiramohd1895 3 роки тому +1

      Mtafute Allah muda ndio huu usijidanganye na dunia yesu mwenyewe alitaka msaada kwa mungu mana anamaanisha yeye ni kiumbe dhaifu sasa wewe akusaidiye nini

    • @rugemalilalucas4533
      @rugemalilalucas4533 3 роки тому

      @@subiramohd1895 hujui itikadi ya ukristo kaa na uelewa wako.

    • @subiramohd1895
      @subiramohd1895 3 роки тому

      Dini ya kweli haina itikadi ina sheria za mungu sawaa itikadi ni za milaa dini haina mila wala tamaduni ina sheria zakee huujui ukiristo ni nini unafata mkumbo tu na pale munapofata mila zenu mukisingizia ukiristo ndipo munapokosea

  • @medardrembesha3073
    @medardrembesha3073 3 роки тому +1

    Bwana Yesu asifiwe sana.

    • @subiramohd1895
      @subiramohd1895 3 роки тому

      Sisi tunamsifu sana mana alitufanya waislamu tufike hapa alifanya kazi ya Allah ys kuutangaza uislamu kwa iyo shida wewe unamsifu halafu humfati aliofundisha yeye unafanya yako

  • @mirajisalehe742
    @mirajisalehe742 3 роки тому +1

    Ni kweli Isa sio Bwana Yesu, Bwana Yesu ni mwana wa Mungu maana yake Yesu ni Mungu aliye hai kwa maana Simba huzaa Simba,Bali nabii Issa ni Mtu wa kawaida kabisa

  • @suleimandaraja49
    @suleimandaraja49 3 місяці тому

    Swadakta shehe

  • @muniramohammed2328
    @muniramohammed2328 3 роки тому

    Shukran

  • @omarkategille4591
    @omarkategille4591 3 роки тому +1

    Ma Sha Allaah umesema kweli tu

  • @mwidinijuma8214
    @mwidinijuma8214 3 роки тому +3

    Mashaalh uko sahihi shekh

    • @hamisishabani4072
      @hamisishabani4072 3 роки тому

      SHUKRAN SHEIKH WETU KWA KULIWEKA WAZI HILI JAMBO AMBALO HIVI SASA LIMEKUWA NI KAWAIDA KWA BAADHI YA WENZETU WASIOTAMBUA THAMANI YA UISLAM WETU NA KUJIINGIZA,KATIKA MILA AMBAZO ZINA KWENDA KINYUME NA UISLAM,NA HATIMAE WANAJIKUTA WANAMSHIRIKA MWENYEZI MUNGU BILA WAO KUJIJUA,KWA AJILI YA KUWAFURAHISHA JAMAA ZAO.TUMUOMBE ALLAH ATUJAALIE TUWE NA ISTIQAMA JUU YA KUMPWEKESHA MWENYEZI MUNGU,NA ATUJAALIE MWISHO MWEMA KILLA ISLAM.SHUKRAN SHEIKH KWA UFAFANUZI.

    • @michaelsimon4860
      @michaelsimon4860 3 роки тому

      Yesu ni mwana wa Mungu na ndiyo mkombozi wako ana hii hoja yako haina mashiko katika kumjenga mtu kiroho chake na kumwandaa katika kumjua Mungu na hoja yako ya kulikataa hili jina la Yesu na kuwazuia watu huo ni ubaguzi na uchochezi usiyokuwa na tija na msaada katika kujengana bali waeneza chuki tu Mungu akusaidie ili uweze kuijua kweli yote

  • @yahayaali7970
    @yahayaali7970 3 роки тому +3

    Mesejj iwaendee wotee ama soote tujifunze kuanzia leo inshaallah

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 3 роки тому

      In Sha Allah

    • @saramalya6264
      @saramalya6264 3 роки тому

      Unakwama wapi shehe pambana na hali yako ila yesu ataendeleya kusifiwa tuu?

    • @hilalalhabsy4890
      @hilalalhabsy4890 3 роки тому

      @@saramalya6264 hapa wanaongeleshwa waislamu tuu.

  • @mutomubaya
    @mutomubaya 3 роки тому

    Shukran Sheikh kwa kutuelimisha

  • @fuadshell5188
    @fuadshell5188 3 роки тому +2

    Masha'Allah

  • @sullecom
    @sullecom 3 роки тому +1

    Bwana Yesu sio Yeso ni kwamba huwezi tamka vzr au hutaki

    • @abdul-fatahyussuf7439
      @abdul-fatahyussuf7439 3 роки тому

      Huwezi kufananiza lafudhi kuwa moja wwushaelew lengo la hii ni kukumbushw Waislamu tu wasiingie huko na sio kukosoa kutamka Yesu

    • @subiramohd1895
      @subiramohd1895 3 роки тому

      Ni matamshi ya kimombasa ni mgunya yulee mbona weye L unaitamka R na R unaitamka L ni usikasirike

    • @jamilamasoud7566
      @jamilamasoud7566 3 роки тому

      Umenena wifi yangu subira,hajielewi huyo Alfred maana ya matamshi

  • @sylvesterhezron8062
    @sylvesterhezron8062 3 роки тому +1

    TUMSIFU YESU KRISTO MILELE AMINA.

  • @fadhatihussein6700
    @fadhatihussein6700 2 роки тому

    Twaibalasmai

  • @hilalalhabsy4890
    @hilalalhabsy4890 3 роки тому

    Hata wakiristo wanaamini kuwa yesu ni mungu pia ni mtume pia ni mtu. Lakini ukisema Bwana wao wanajua ushamkubali yesu ni mungu

  • @omarjeylani9144
    @omarjeylani9144 3 роки тому +2

    Ukweli kabisaa hao wanasiasa ndio vaccine ya corona, ni warongo sana kupindukia, sasa wanabadilisja timu na fulana, ilikuwa KANU, DP UPD WIPER ODM JUBILEE NA SASA UDP, NI haohao tu. Is like Chtistiano Ronaldo changing teams from his home town team of Portugal to Manchester United then Real Madrid n now Juventus. When u supported Manchester United how did Ronaldo help us in anyway? The politicians are the same, wote ni Gora moja.

  • @omarjeylani9144
    @omarjeylani9144 3 роки тому +5

    Hao wanaosema hivo wataka wakubaliwe na wakristo na kutaka kura za wakristo tu.

  • @ahmednasir2630
    @ahmednasir2630 3 роки тому

    Wasem kweli wamekua wachache ALLAH Akuhifadhi na usiogope kusea haqi

  • @mzeerajab9154
    @mzeerajab9154 3 роки тому

    Shabbaash sheikh.

  • @dekathuva6443
    @dekathuva6443 3 роки тому

    Bwana yesu Ni chenye nguvu...

    • @subiramohd1895
      @subiramohd1895 3 роки тому

      Kama ananguvu mbona alishindwa kujiokoa alipotaka kusulubiwa sasa nguvu iliishia wapi tumia akili soma dini wewe njoo pemba huku nikuslimishe

  • @abdulbabalao3160
    @abdulbabalao3160 3 роки тому +2

    Mashaallah

  • @danielmsangi7271
    @danielmsangi7271 3 роки тому

    Mtazamo wa shekh huo zakuambiwa changanya na zako

  • @ikabako2454
    @ikabako2454 3 роки тому +3

    Yesu hakuwahi kusema yeye asifiwe na salamu yake ilikuwa ni ya kiebrania na ilikuwa hivi “Shallom Aleichem” yaani “Amani iwe kwako” na ilijibiwa kwa kusema “Aleichem Shallom” yaani “Amani iwe kwako pia”. Hizo bwana asifiwe sijui tumsifu yesu kristo hazikuwahi kuwa salamu za Yesu. Ni mambo waliyoyaleta wajanjajanja wavurugaji wa mambo.

    • @vallerinejesse2299
      @vallerinejesse2299 3 роки тому

      Bwana YESU Kristu akurehemu.macho ya akili yako yatiwe Nuru.upate kujua uzuri usio na kifani wa kumjua YESU Kristu wa nazareth Alie HAI MZIMA.

    • @subiramohd1895
      @subiramohd1895 3 роки тому

      Sasa umekubali slimuu mana hiyo salamu ya yesu ndio hii tunayotumia waislamu sasa nyinyi wakiristo hamumfati hata moja huyo yesu sisi waislamu ndio tunafata mila za yesu

  • @aminimushi6945
    @aminimushi6945 3 роки тому

    Kwa maelezo ya sheikh, basi hata kauli zinazo tamkwa na masheikh wengine kuwa ushindwe kwa jina la Yesu si sahihi.

  • @sherbanieabdoul9552
    @sherbanieabdoul9552 3 роки тому

    Kweli kabisa sheikh wangu

  • @ibrahimmohd4046
    @ibrahimmohd4046 3 роки тому +2

    Sheikh watu izudin endelea hivo hivo kutuelimisha inshaallah

  • @modesteessau8032
    @modesteessau8032 3 роки тому +1

    Hata mumjatae bwana yesu ataendelea kuwa bwana ukubali usikubali bwana yesu ataendelea kuwa

    • @ramadhanilukambuzi9760
      @ramadhanilukambuzi9760 3 роки тому

      Ww husibishe kwani wataka sema Yesu ndiye mtume peke yake?mbona mtume wa kwanza mtume Adam humpi sifa zote au mbona humshangai mtume ambaye ni chimbuko la wanadamu wote kwa izini ya mwenyezi mungu na hakuzaliwa bali aliumbwa na Allah subhuhana watahallah

    • @benyavan5774
      @benyavan5774 3 роки тому

      Waislamu hamuwezi kuusemea ukrsto maana hamuujui sawa na wakiristo wasivoweza kuusemea uislamu maana hawaujui,, Achen kusema Yesu ni mtume, sijui, adamu mnapotoshwa,

    • @ramadhanilukambuzi9760
      @ramadhanilukambuzi9760 3 роки тому

      Ww ndiye umepotoshwa kwa sababu gani umepotoshwa ww huwezi kumuita Yesu(Nabii Issa)kwamba ni mwana wa mungu;wakati huo huo mnasema ni mungu na vile vile sarah zenu zimejaa Yesu asifiwe tu na je mwenyezi mungu aliye umba mbingu na ardhi,akaumba viumbe vyote vinavyoonekana kwa macho na visivyoonekana na sisi wanadamu pamoja na Yesu akiwemo,mwenyezi mungu hana mfano wake,hana ukoo yy ni wakipekee na ukiona Masheikh wetu wa Kislamu wanazungumzia ukristo husizani wanachuki na Ukristo rahasha wanasema kwasababu wamesoma biblia na wanasoma hadi leo na wanalinganisha na Quruani ndipo wanakuja kusema hayo wanayoyasema nia yao nikutaka sisi tuelewe njia iliyo nyooka sio vinginevyo na wamesoma dini kwelikweli sio kwamba wanakurupuka,Hivi unajua Yesu alitumwa wapi?yeye alitumwa Israel kwa wana wa Israel make kipindi hicho watu wa pale walikuwa wamepotea sasa ww ni Mwisrael na kwanini munamfanya anakuwa mtume wa ulimwengu mzima?wakati hakupewa majukumu hayo?hivyo hivyo hata kwa nabii Musa hata kwa wengine kama Ibrahimu,Daudi na wengine wengi kila mtume alipewa jukumu lake,Hata mimi nilikuwa Mkristo nimesali Roman na nimesali Porosestant lakini nilielewa njia sahihi ni Islamu tu

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 3 роки тому

    Mashaallah shukrani

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 3 роки тому +3

    Hii dini ni ya mpinga Kristo (1Yohana 2:12-22; 4:3; 2Yohana 1:7).

    • @bennymochiwa4800
      @bennymochiwa4800 3 роки тому

      sio kweli

    • @khuzeimaabdul4275
      @khuzeimaabdul4275 3 роки тому

      Kasome kwako

    • @fatumamroki2716
      @fatumamroki2716 3 роки тому

      Kistor ni nini

    • @subiramohd1895
      @subiramohd1895 3 роки тому +1

      Ni kweli tunapinga wakiristo mana hamuna dini hamuna mungu mupo mupo tu hamujui huyo yesu ni mungu au mtoto wa mungu au mjukuu wake hamujielewi nyiye kondoo mulopotea

    • @subiramohd1895
      @subiramohd1895 3 роки тому

      Ni kweli tunapinga wakiristo mana hamuna dini hamuna mungu mupo mupo tu hamujui huyo yesu ni mungu au mtoto wa mungu au mjukuu wake hamujielewi nyiye kondoo mulopotea

  • @sebastianbwiri4441
    @sebastianbwiri4441 3 роки тому +1

    Hubiri habari za mtume mohamad unayemwamini ,mambo ya Yesu yanakuhusu nini kama humwamini waachie wanao mwamwamini acha kueneza chuki

    • @amanikhamis8392
      @amanikhamis8392 3 роки тому +2

      Hujafahamu anachozungumza hapa anawazungumzia waislam ambao hufanya unafik kwa kutaka waonekane wema majukwaani

    • @abdul-fatahyussuf7439
      @abdul-fatahyussuf7439 3 роки тому

      Na ww pia hii haikuhusu sababu hapa Wanakumbushw Waislamu na sio ww Kafiri ,ww endekea kuamini Yesu usubir mwisho wa siku laa hutaki hilo Usilimu ufuate Dini sahihi

    • @subiramohd1895
      @subiramohd1895 3 роки тому

      Sisi tunamuamini mana ni mtume wa Allah na kitabu kipo katika vitabu 4 vya Allah hawamuamini hao wakiristo ndo mana kitabu chake walikijadili wakakichakachua wakaeka agano la kale na la leo na kila siku wanakirekebisha hawamuamini mungu wao hata kwa dakika moja

  • @hassanambarakmbarak8759
    @hassanambarakmbarak8759 3 роки тому +1

    Izzudin mashallah

  • @misbamohamed8230
    @misbamohamed8230 3 роки тому

    Masha Allah barakallah fik

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 3 роки тому

    YESU KRISTO anawatesa sana ila ukweli utabaki palepale atasifiwa milele yoteeee kwa sababu yeye ni yuleyule juzi jana leo kesho na hata milele....
    Bwana YESU asifiwe...

    • @Basma-eu9ol
      @Basma-eu9ol 3 роки тому

      Its only about greetings....
      Jews...Shalom Aleikhum...
      Muslims...Salaam Aleykum...
      Christians...Praise the Lord...
      Thats it....🤷🏼‍♂️🤷🏼‍♂️

    • @subiramohd1895
      @subiramohd1895 3 роки тому

      Kama alivoteswa yeye siku tatu msalabani na alishindwa kujitetea wale ndo kiboko wa huyo mungu wenu alipoona mambo makubwa alikimbia hadi leo akawaachia dunia

  • @mwanakombaabbas93
    @mwanakombaabbas93 3 роки тому

    Ma shaa Allah

  • @eugenaxwesso9321
    @eugenaxwesso9321 3 роки тому

    Kwa uelewa wangu mdogo YESU ni MUNGU MWANA nafsi ya tatu ya MUNGU na MOHAMMAD ni mtume wa Mungu
    Zaidi wote hawa Sisi tumehubiriwa na watu kuja kwa maana ya Wazungu waliohubiri ukristo na Waarabu waliohubiri uislamu. Ifike mahala tisipakanepakane imani waislamu salamu zenu tumianeni mkiwa wenyewe na misikitini, wakristu tusalimiane tukiwa wenyewe na makanisani

    • @salumumchucha8923
      @salumumchucha8923 3 роки тому

      Acha kujipa moyo yesu siyo mungu ni nabii

    • @subiramohd1895
      @subiramohd1895 3 роки тому

      Hunaakili mfuasi wa shetani sasa wewe unatofauti gani na walomuita firauni ni mungu ni hao hao katika wewe kumuita binaadamu mwenzio ni mungu utachomwaaa

  • @omarynassor6313
    @omarynassor6313 3 роки тому

    Kululhaki laukanamurwa

  • @joshuaadauth4150
    @joshuaadauth4150 3 роки тому +1

    Kwa habar ya siasa sina chakusema yamkini umenena vyema maana wengi wa wanasiasa wanajipendekeza wapohitaji kura...
    ila kwa habari za Yesu....
    kama ungeljua yale yaletayo amani na uzima wewe ndio unayakanyaga, usingalitenda hayo utendayo bali ungemkimbilia the only one mkombozi wa ulimwengu, hakuna mkombozi mwingine isipokuwa YESU tu. Yesu pekee yake ndio njia kweli na uzima... kama haumwamini umepotea, tena upo gizan Nikushauri tu usiendele kutembea gizani ikubali nuru leo ikuangazie... YESU ANAWAJUA WALIO WAKE NA TULIO WAKE TUNAMJUA KUWA YEYE NI NANI KWETU Yohana 10:1- ... mwisho sio lazima kuitumia hiyo salamu ila ipo siku utaisema kwa kinywa chako, maana siku yaja ambayo KILAGOTI LITAPIGWA KILA ULIMI UTAKILI YAKWAMBA YESU KRISTO NDIYE BWANA. amen
    1yohana 4:15 yohana 14:6, 1yohana18-27, 4-6.

  • @mkushplatnam1595
    @mkushplatnam1595 3 роки тому

    naona yesu ana trend, vibaya sana,👏👏👏👏

    • @Basma-eu9ol
      @Basma-eu9ol 3 роки тому

      I thought ni vizuri sana....😄

    • @subiramohd1895
      @subiramohd1895 3 роки тому

      Yesu ni msanii wa wapi kwani sijawahi kumuona bado wacha apatiwe kiki kidogo

  • @bashiryusuf6686
    @bashiryusuf6686 3 роки тому

    Alhadhulillahi kwa mafunzo

  • @sullecom
    @sullecom 3 роки тому

    Mbona swala la mabucha mlileta shida kwani lzm tule nyama zilizochinjwa na waislamu.hata sisi hatupendi nyama zilizochinjwa na waislamu

    • @zainabibrahim4183
      @zainabibrahim4183 3 роки тому

      Kama hupendi sio lazima,hakuna anaekulazimisha.HAKUNA KULAZIMISHANA KTK DINI

    • @saidswalehe2807
      @saidswalehe2807 3 роки тому

      Ww wajinja kwa dula gan Ili watu wote wale nyama

    • @subiramohd1895
      @subiramohd1895 3 роки тому

      Na mpaka hao makafiri wakubwa duniani wanaamini nyana inayochinjwa na waislamu ndio nyama pekee iliyobarikiwa mana bibilia inasema unapochinja mnyama uelekee kaskazini lakini nyiye munaangusha tu hamufati hata maandiko mupo mupo tu sasa hamuelekei huko mana munajua kaskazini ni kibla kwa iyo mumeonekana dunia nzima kuwa hamuna lenuu mbele ya uislamu nukupinga wanaume pale Allah aliposema mukatwe magozi mutohariwee mukapingaa sasa dunia nzima munaambiwa musiokatwa magozi munaleta maradhi dunia nzima munakatwa musishindane na mungu nyiyee hamutowezaa

    • @kondokibugula6551
      @kondokibugula6551 3 роки тому

      @@subiramohd1895 mashaallah. Mpe vipande vyake huyu

  • @musaabudi6318
    @musaabudi6318 3 роки тому +2

    Yaasalaam ya Sheikh izudin Maneno Mazuri kabisa

  • @mohamedally8663
    @mohamedally8663 3 роки тому

    Ukwel ulioj shekh wetu

  • @dastancharlesslukindo6529
    @dastancharlesslukindo6529 3 роки тому

    Jina la YESU linawasumbua sana. Na kwetu hakuna issa. Bwana YESU asfiwe kulitamka majini hayapendi maana yanamjua sana huyu YESU. Pole shekh.

    • @ShaniJSalim
      @ShaniJSalim 3 роки тому

      yesu ni mtu kama wewe (yohana 8:40 )

    • @dastancharlesslukindo6529
      @dastancharlesslukindo6529 3 роки тому

      @@ShaniJSalim pole mno huwezi kujilinganisha na YESU soma vizuri.Yohana 8:36-37.53-58.

    • @subiramohd1895
      @subiramohd1895 3 роки тому +1

      Majini hayapendi vipi na kutwa maombezi makanisani munatolewa majini kama majini yanamuogopa yesu yangeingia humo kanisanii mpaka yanatolewa kwa mafuta ya upako lakini si kwa yesu aliyepachikwa pale mbele fungua macho wewee usijifanye kipofu

    • @dastancharlesslukindo6529
      @dastancharlesslukindo6529 3 роки тому

      @@subiramohd1895 Jina la YESU tunafahamu ni shida kwenu. Majini tunayatimua huku kanisani hatuyapendi ila nyie mnayakumbatia ndio maana mkiwa kwenye mkiingia msikitini hata uko peke yako una toa salam kulia na kushoto maana majini yako humo yanafanya ibada pia.

  • @mzeerajab9154
    @mzeerajab9154 3 роки тому

    Wanaamini vilevile kuwa yeye ni mungu si mtume

  • @greatiq7835
    @greatiq7835 3 роки тому

    Swadaqta!

  • @emmanuelchifupa4934
    @emmanuelchifupa4934 3 роки тому +2

    Hao waislam hujipendekeza kwa kuomba kura.

  • @kareemalamoody6345
    @kareemalamoody6345 3 роки тому

    Uko 💯❤️👏

  • @gabrielmwikanu1160
    @gabrielmwikanu1160 3 роки тому

    Waislamu wana vineno vidogo vidogo vya uchokozi.
    Hivi kwa Viongozi kusema
    Bwana Yesu asifiwe
    Tumsifu Yesu kiristo
    Salaamaleikum
    Viongozi wakisema hivyo Kuna mapungufu gani??

    • @suleimanmumani4180
      @suleimanmumani4180 3 роки тому +1

      Bwana yesu asifiwe sio salamu

    • @norberterasto6105
      @norberterasto6105 3 роки тому

      Kwetu sisi ni salam

    • @subiramohd1895
      @subiramohd1895 3 роки тому

      Kwetu kidini ni kosaa ndipo akasema tusema habari zenuu hilo tu hajachochea mtu anatufundisha sisi waislamu

    • @antonyedward7295
      @antonyedward7295 3 роки тому

      Acha kuleta udini na ubaguzi wewe ndugu Mungu alishasema tupendane na kuwa na umoja na kuishi kwa amani

    • @antonyedward7295
      @antonyedward7295 3 роки тому

      Hujasoma wewe na kuielewa dini vizuri mwenyezi mungu akupe lehema na amani za kutomdhalau binadam mwenzio

  • @Neverbe478
    @Neverbe478 3 роки тому

    Assalam Alaykum naomba contant yako Maalim

  • @godfreymbuya2659
    @godfreymbuya2659 3 роки тому

    Ni Yesu sio Yeso.Mapepo yanamjua moto wake,ndio maana ukitamka mapepo yanakukaba maana yanaungua.

  • @frankmsasa948
    @frankmsasa948 3 роки тому +1

    Umekosa chakuwaambia watuwako mzee mbn unavuka mipaka jielewe bac

  • @kimwanahamisi3015
    @kimwanahamisi3015 3 роки тому

    Dah shukran

  • @samirybinaliy2564
    @samirybinaliy2564 3 роки тому

    muambie ukweri mpumbav yule njaa zinampenda

  • @msafirikilongo2836
    @msafirikilongo2836 3 роки тому

    Hujui kufundisha

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 3 роки тому +2

    NDIO MAANA YA DEMOCRASIA NI UKAFIR

  • @selemanmohamed8169
    @selemanmohamed8169 3 роки тому

    Haifai kabisa

  • @عبداللهباحميد-ت7ج
    @عبداللهباحميد-ت7ج 3 роки тому

    Salam. Aleikum. Shekhe. Kufagia. Usiku. Inafaa. Au. Hsifai.

    • @ramazubery2641
      @ramazubery2641 3 роки тому

      Inafaa usitupe taka ulizofagia nje zitupe asubuhi

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 3 роки тому +1

    Na wanaosheherekea x mass au kupeana zawadi hivyo hivyo. Wanamuamini Allah na wakati huo huo ikifika Xmass wanaungana na wakiristo kumpa mwana/kumfanya Mungu hali yakua hawajitambui.

    • @yusufmwangichannel6692
      @yusufmwangichannel6692 3 роки тому

      Hio ni haraam muislamu kusherekea Xmas na kutoa zawadi kwa mkristo kwa ajili ya kusherekea Xmas au pia kumtakia heri ya Xmas pia ni haraam

  • @hilalalhabsy4890
    @hilalalhabsy4890 3 роки тому

    NENO BWANA KWA WAKIRISTO NI MUNGU.

  • @danielmsangi7271
    @danielmsangi7271 3 роки тому

    Kwanini watanzania twahangaika na maswala ya kidini nawakati walioziketa wametulia wanaish vema na sisi tunahangaika

    • @marthaaron2247
      @marthaaron2247 3 роки тому

      Kwa hiyo na ninyi tuwaanbiaje.acheni ubaguzii wa dini Kwan ukisema bwana yesu .mnajifanya ndio mnamjua mungu Sana.acheni ukilitimba pumbaf

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 3 роки тому

    YESU NI ZAIDI YA NABII NA MTUME.
    HAMTAKI KUSALIMIA ACHENI . ALLAH ANA MABINTI WATATU AMBAO MUHAMMAD ALIWASIFU

    • @jamalijamali6820
      @jamalijamali6820 3 роки тому

      wewe ni mpumba wa mwisho

    • @jamalijamali6820
      @jamalijamali6820 3 роки тому

      Allah hana binti hata mmoja
      kwanza huyo muhammad umemjulia wapiiii ushamba wako peleka kanisani

    • @subiramohd1895
      @subiramohd1895 3 роки тому

      Mmoja mamaako pia ni binti wa Allah mana ndiye aluyemuumba au unasemaje

  • @iddijumaali7192
    @iddijumaali7192 3 роки тому

    Haifai