Mashallah Mambo mazuri
Eee courage dada kumbe pako vifua vyakugandisha wao!
kipindi kizuri sana tunaomba kiendeleye ila maashaallah Naskia hao wako sawa wanaelewana tutaftie sasa wengine ili tufaidike zaidi
bi Rehema unasema kweli kuhusu apo kwenye maneno watu njoo wabaya wanaletaga maneno huku na huku
Mama Kembo yeye yuko tu sambamba na wanaume😅😅mwanaume lazma awe na firgo ya kugandisha awo kwa ungine msemo awe nakabati
Assalaam alaykum warahmatulahi wabarakatuh Dada yangu ifadhi kufua hakika imeka uchi