SIMBA SC 3-1 NKANA FC; FULL HIGHLIGHTS & INTERVIEWS (CAF CL - 23/12/2018)
Вставка
- Опубліковано 4 лют 2025
- Simba SC imefuzu kuingia hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya leo kuichapa Nkana FC magoli 3-1 katika mchezo wa maruadiano uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Matokeo hayo yameifanya Simba ifuzu hatua hiyo kwa jumla ya mabao 4-3 kufuatia kufungwa mabao 2-1 katika mchezo wa kwanza uliopigwa nchini Zambia wiki moja iliyopita.
Katika mchezo wa leo Nkana ndiyo waliotangulia kupata bao dakika ya 17 kupitia kwa Walter Bwalya akimalizia kwa mpira ambao mabeki wa Simba waliuzembea kwa kufanya mchezo wa kuotea.
Simba walitulia na kupata bao la kusawazisha kupitia kwa Jonas Mkude dakika ya 29, kabla ya Meddie Kagere kupachika bao la pili kwa kichwa dakika ya 45 na baadaye dakika ya 88, Clatous Chama kuipa Simba bao la ushindi.
Baada ya kuaga mashindano haya, sasa Nkana FC wanakwenda kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika ambapo watalazimika kupitia hatua ya mchujo ili kufuzu hatua ya makundi ya michuano hiyo ya pili kwa ukubwa barani Afrika.
kaka unaangalia hii mwaka 2023 piga like wana simbaaaaaa hata haturingi
nakukubali Sana #Barakampenja unatangaza vizuri Sana mpaka nashindwa kuelewa wewe ni shabiki wa timu gani huna ubaguzi mungu akubariki Sana Love u
Agness John Sauti ya radi
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ndio timu inayo Nipa raha zaidi Tanzania Kama nawe inakupa raha gonga like.
Hii ndo simbwa wa Africa
Kama unaangalia hii game mwaka 2024 like hapa tafadhar
11/6/2024
Silvanus
Mm hapa uwiiiiiiiiiii 😊
😢
@@Shadrack-oz1bh15/09/2024 simba vs alhaly tripoli😮
Nakaaga nikimisi kuona maajabu ya mnyama narudia mechi Kama hiz aiseee sijutiiikuipenda hii timu ❤️🦁🦁🦁🦁🦁
Walio rudia tena na tena kuangalia hii mechi ya kihistoria kama mimi ndani ya mwaka huu 2024 gonga like
❤❤❤❤❤❤
Sema..simbaaaaaa alafu like.......#group stage ni motooo
Fantastic
Chama chama chama kwani ndo chama la SIMBA mm sielew jmn like kwa SIMBA #simbanguvumoja# 😁😁
خديجه علي ximba nguvu 1
خديجه علي Atari jaman chama
خديجه علي poa jama
Simba oyeee
@@mussakarim4866 eeh baba chama weee ni Mimi ninaona unaona kama mim
Who is still watching 2024
Hongeleni wachezaji wangu wa SIMBA kwakunipa raha japo tunamajonzi ya mwanachana mwenzetu alie fariki inauma Mungu ailaze roho yake mahara pema PEPONIY AMEEN
Steward Mwanuke hata mpenja
Simba rahaaaa msikereke kwa shughuli isiokua yenu kamanawe unaipenda simba like
Mnyama Simbaaaa On 🔥🔥🔥🔥🔥 mtangazaji ni nomaaaaa
aisha hamis mpenja noma anajua tena anajua
Aliowapokea awaonyeshe njiayakurudia waambie
aisha hamis
@@danteshaa5487 lbs 9
Uko vizr mtngazaj
Marhaba marhaba marhaba buuuuuuu chama hii ndo simbaaaa usipite bila kulike
Chama baba lao
@@cosoratafaraja2582 9
8
Unforgettable match the best emotion, feeling 4 simba fans,love m best African giants SSC mnyama❤❤❤
Trueeeer 12:58
Gonga like kama 2021 umeichekii ,,,simba forever
Jamani kama unaangalia 2022 like❤️❤️❤️🦁🙏
Haichoshi kutizamaa
❤❤❤❤❤
@@amanshillartz1380 we have a it is
Nimerudi tena 2023 mie kuangalia
19/6 /2023
Kama unaaangalia mechi hii kwa hisia Kali huku ukiifikiria game ya platnam kwa mkapa hapa January 6 gonga like twende na simba yetu
This is Simba brother the great Team Of Tanzania
this battle was like war of seven manusia,, i love simba from india
Will done Simba,Bravo great Simba. Nkana wamepata taabu sana. Nana hamuwezi kukaa Jedi za Simba mlizopatia ushindi kwenu mje kupata ushindi kwetu,mwiko. Simba heshima.
vyura wanateseka 😀😁😀 Asante mungu kwa ushindi huu mnono
true
mavugosimba
Asante Sanaa chama langu la SIMBA 🙏 Mw/MUNGU awajalie afya njema wachezaji wote
Nakubali sana
@@allyramadhannassoro2198 pamoja 👊 sanaaa 👊
Kama unaipenda simba ngoga like
Twende sawa
Yeap
Sichoki kuludia kutazama game hii SIMBA Sc 🦁 Raha sanaaa
Noma
Pia kwa nidhamu hii ya mchezo wa simba tutafika mbali sana kilaa LA heri timu yangu simba sc inshallah..
Mo , kocha benchi la ufundi na wadau wengine bila kujisahau kama Tim mashabiki mungu asiyuingizie mgogororo acha wateseke zam yao moto haupoi respect simba
Jamn umeludia hii mechi kuangalia 2023. Gonga like yako nione
Hakika kk haji manara upo vzr hongera zako
Hongera kwa timu yetu nzm
Baraka mpenja uliitendea kazi mechi hii kwa utangazaji wako big up
baraka mbenja we ni next level thnx simba for simba for this
Mechi ya maisha yangu, mechi ya historia ya kuishabikia simba na mechi bora kwa upande wangu katika KLABU ya simba . Simba nguvu moja
Mimi pia maana nilisali mpaka nikasali tena🙏🙏🙏🙏
Kazeni buti Katika Ligi . Mtakamiwa sana . Kila time inataka kuwafungeni Ili isemme nimeifunga time kubwa
Kweli kabisa mzee baba watakamiwa sana lkn naamini ubingwa wa TPL tutauchukuwa tuu
Yeyote aje tu
chama magol kama haya yana luhuxiwakwel
Best day ever in Tanzanian Football
Kama unaangalia 2024 weka like tujuane
Hii clip inanimalizia mb zangu maana si chokagi kuiangalia gonga like kama tupo pamoja wanasimba #Do or Die
Hata mm
pmj
Yan mm naiyangalia kila mda
@@hassanmaganga1544 m mm
2024 nipo naangalia simba hiii ilikua moto sana❤
Yaan we chama wewe c Wa Africa bwana unadanganya hujatokea uraya kwer! Yaaan Wa kwanza kukoment jaman like zang bas!!!
PAULO
PAULO
Huwa siwezi kuisahau hii game daaaa Simba ni hatari fire
2020 wapi wanasimba yetu
Bado naiangalia mpaka 2020
Kama na ww upo gonga like hapa
Balaaa san
Ii ndio mechi bora kabisa
ni mimi kabisa
Mimi leo 2021 bado naiangalia
Halafu hizo jezi msimu huo zilikuwa niza bahati Sana kwetu tuling' ara Sana.
Mtangaz mungu anakuona ety marahaba chama
Ety magool kama haya yanalusiwa kweri
Waambieni wasije kichwa kichwa.This is Simba.
Simbamleweti.anaoshu
This is simbaa
HONGERA mnyamaa
Awaz ao ni watoto wadogo
2-3-2024 naludia Tena kuangalia Simba hii ndiyo ilikuwa Simba kubwa
Kama umeangalia highlights hii 2020 gonga like za kutosha😁😁
Mimi hapa nimeangalia leooo yaani kila nikiangalia mechi hii nasikiaga kulia tu
Sitosahau maneno ya baraka mpenja mwishoni dramatical win rekodi inafikiwa means 2003 Christopher Alex massawe anafunga penati ya mwisho dhidi ya zamalek miaka 13 baadae rekodi inafikiwa
Hui
December 2020 !
January 2021
Wazungu wana sema this is simba brother I love this matche coz it's nice game
Kuna watu wanaumia sana .. This is simba blaaza. Usipoikubali mbele ya kadamnasi lazima uikubali kimoyomoyo.. #simbanguvumoja hongereni sana chama kangu kwa kutinga hatua ya makundi
Good
Simba nguvu moja
Kama umengalia hii moja ya mechi bora kabisa ambayo simba amewahi cheza like hapa tafadha na hii ni December 2024
Kama umemuona mkude akishika nywele kama wachezaji wa nkana gonga like yak hapa
Hongera mtangazaji
Mm apa nilmuona afu anashka shwele kama wachezaj wa Nkana, afu yey alkua anacheka kabxaa
Mimi niliona hahaaa
Jhanse
Jhansi
Kweli Simba inanikumbusha mbali Sana naomba waendelee kutufurahisha zamani Kila siku nikiangaliaga hii mechi nasema Simba no Bora Sana africa
Kama nawe umefurahi bas gonga like
CCC
n uzinzi tu!
Wilison Patrick ghnnvghhnj
@@matiasjohn5116 Max.jr
simba akiona jini anazidi kunyanyua manyoa na kuwa mkali zaid this is simba kaka
Okwi
Simba is the football's icon ...in Tz🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Simba vita
Baraka Mpenja wewe ni hatari,hauendani kabsa na mwili wako na jinsi unavotangaza,nakupenda mno bro.
Kuna mtu aliniambia kuwa kuna shabiki alimwambia Mkude Pigaaa
Leo nimesikia vyema hiyo sauti
#NGUVU MOJA#
❤🇹🇿❤🇹🇿❤🇹🇿
Oooooohhh yeeeeeessss, kuna watu wanateseka, cjajua hapo mpenja alikuw anawaongelea wat gan, jmn naomb mnisaidie
Yorram Mabugas alikua anawaongelea
🐸🐸🐸🐸🐸🐸
haha wiliam
Yorram Mabugas 😀😁vyura hao
Vyura ndo wanaoteseka
Yorram Mabugas o
Kama we we shabiki kama Mimi like APA
esta baro gabuvsusb
Mimi naangalia sahi 💥💥💥💥❤️❤️❤️❤️💯💯💯simba high
it was a wonderful match
kama unaipenda simba gonga like zakutosha
Niilipita ila nagonga like.
Kama upo unaitazama hii mwaka 2020 gonga like twenzetu
Ilkua Raha Sana hiii game
@@azizathabity8573 yaani nililia kwa furaha aisee
Saf
Tupo pamoja
Tunayerudia naye 2020 like
Mm narudi leo
@@rehemabakali494 qarer1axlsdl
Mi hapa 2021 jaman Simba 💪 👊🥂
Tripo C utawaua hao, kila goli umehusika. Congrats boe
Dah mechi hii naikumbuka Sana ilikuwa baada mda mrefu simba ikatinga tena hatua ya makundi chama atakuwa katika mioyo ya Simba daima
What a Historical and Unforgettable match for Simba fans, Simba Nguvu Moja
Was amazing
Nm. M n on k m.
Ah ilikua raha simba raha hii mechi tam san haitoshi na imepat mtangazaj mechi inasisimua I love you simba sc
ivi macho yako yanaona kama mm😁😁😁😁😁 simba raha sana
Tunaoiangalia hii mechi 2020 kwa bashasha gonga like hapaa wana msimbazi wenzanguuuu Love you more SSC
Tuliopoo hapa mwezi wa nane 2022 tujuanee kwa likee, wanaliaaa polee e asantee sana mpenjaa
Naiangalia Leo baada ya simba kuifunga fc platinum ya Zimbabwe na kufuzu kutinga atua ya makundi
Dilungaaaaaaa super sub mbish abishe
hakuna ubishi hapo!
nani anateseka kama unateseka Fanya kama unajikuna BC Cheka kwadharauuuuuu!!!! nani kama simba kama wewe shabiki Wa simba gonga like hapo chini
Wakwanza mm kuendelea kutizama na kukumbuka ukubwa wa time yangu mungu ibariki simba mwaka 2023 tuwe na mwendelezo mwema, time yet ifike marina.
Asante Simba kwa zawadi ya funga mwaka
Mechi ilioweka historia ndani ya club ya simba🔥🔥🔥🔥⚽️
siamini Kama kweli wewe mtangazaji huna timu unayoishabikia hapa tz 😀au na wewe ni mmoja wa wale wanaoteseka 😀nakupenda Sana mtangazaji Kwasababu sijajua timu yako ni ipi maana kila anae funga unasifia kweli huo ndo utangazaji big up kwako simpendi kitenge
SMB
Agness John xxnx
simba nguvu moja daima..
Agness John hahaaahaa
Baraka mpenja ...a.k.a....sauti ya radi....huyo ni Simba lia lia ....na ndio atakuja kua msemaji mkuu Simba sports .....over
Naipenda Sana yutube
Yan hizi highlights kila nikirudia kuangalia huwa nashangilia kwa mzuka kama naangalia live vile....POLE KWA WANAOTESEKA...THIS IS SIMBA BROTHERS AND SISTERS
Hii mechi ndiyo ilinifanya nikawa shabiki wa Simba..
Alafu ni haya haya marudio..
Ushabiki nikaanza 2021
Unyama sana
Leo tar 6-3-2024. Nimerud kujikumbusha ukubwa wa Simba yangu Hapa!!!!
kwakweli
Goli la Chama litakufanya usahau shida zote za 2018.
R.I.P Christopher Alex Massawe
sikuzote muchezo wa simba ingalikuwa hivi basis shabiki wangeongezeka
Best 10 Funny peenarty kicks ua-cam.com/video/HWi-e-xouz0/v-deo.html
Alikufa nan
@@stevenjonathan7001 Vb90
Pamoja kaka simba yetu haiboi❤❤❤❤❤
Kama unaangaria 2024 like hapa😂😂😂
Nguvu moja hatukati tamaa
Sahih
Unyama unaludi tena Kama unaamini nipe like zangu simba nguvu Moja 💪
Yaan Huyo kes kabla yampila alkua añaiponda simba Leo baada yakidundo anaikubali kwel nmeamin anayekucheka Leo kesho atakuheshimu BIG UP SIMBA kuna aliye onewa
Tulioangalia leo tarehe 8/8/2024
Tujuane apa
🎉
Nikiwa na umwa na huzuni huangaliwa mumechi huu wakati nalia na kupona kabisa ....simba nguvu moja this iz simba.dawa ya corona .20/04/2020
Nimerudi kuangalia tena Leo 2023
Simba 3:1 YangaNkana
Mmmmm macho yako ya
Bigap sana
Mussa Kadikilo 😂😂😂vyura wamepanic
Mussa Kadikilo
Yaga tazania
Dah safi Simba mkude asante sana kwa goli zuri
SIMBA HATA WAKITAKA UBNGWA AFRIKA WANAWEZA!! NI KUJITOA TU KWA MOYO
Sheny Mohamed
Jaman kamdada mm naombeni comments na like Kama kuna mtu anaangalia hii mechi kwa mwezi huu
Hii simba nmeielewa. Lakin zaidi leo nmeona mashabiki kama ulaya. Sapoti ya mashabiki haikuwa ya kitoto
mwendo mdundo!
❤❤❤❤❤
Leo tarehe 25 Oktoba, 2021 tunacheza na galaxy imenifanya nirudi hapa kuangalia hii match
kama unaangalia mechi hii 2023 😅😅gonga like apa
Simba nguvu moja.. Still watching in 2022
Baraka mpenja unajuwa kutangaza mpira mungu akupe nguvu
yan goli kama hili ni zalau kubwa na wale walio mbeza chamaa ooo eti chama hana ujanjaa kwakua wanamjua hayaa semeni
13/10/2024 ❤🦁
2020 weka likes Nguvu mojaaa