SIMBA SC 3-1 NKANA FC; FULL HIGHLIGHTS & INTERVIEWS (CAF CL - 23/12/2018)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 гру 2018
  • Simba SC imefuzu kuingia hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya leo kuichapa Nkana FC magoli 3-1 katika mchezo wa maruadiano uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
    Matokeo hayo yameifanya Simba ifuzu hatua hiyo kwa jumla ya mabao 4-3 kufuatia kufungwa mabao 2-1 katika mchezo wa kwanza uliopigwa nchini Zambia wiki moja iliyopita.
    Katika mchezo wa leo Nkana ndiyo waliotangulia kupata bao dakika ya 17 kupitia kwa Walter Bwalya akimalizia kwa mpira ambao mabeki wa Simba waliuzembea kwa kufanya mchezo wa kuotea.
    Simba walitulia na kupata bao la kusawazisha kupitia kwa Jonas Mkude dakika ya 29, kabla ya Meddie Kagere kupachika bao la pili kwa kichwa dakika ya 45 na baadaye dakika ya 88, Clatous Chama kuipa Simba bao la ushindi.
    Baada ya kuaga mashindano haya, sasa Nkana FC wanakwenda kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika ambapo watalazimika kupitia hatua ya mchujo ili kufuzu hatua ya makundi ya michuano hiyo ya pili kwa ukubwa barani Afrika.
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 1,1 тис.

  • @BasuleBasule
    @BasuleBasule 6 місяців тому +52

    Kama unaangalia hii game mwaka 2024 like hapa tafadhar

  • @africangorilla
    @africangorilla Рік тому +11

    kaka unaangalia hii mwaka 2023 piga like wana simbaaaaaa hata haturingi

  • @khadijaahmad9539
    @khadijaahmad9539 2 роки тому +128

    Jamani kama unaangalia 2022 like❤️❤️❤️🦁🙏

  • @luluray2115
    @luluray2115 5 місяців тому +15

    Who is still watching 2024

  • @dicksonaroka6961
    @dicksonaroka6961 4 роки тому +36

    Ni wangapi bado wanakuja hapa kujikumbushia jinsi Nkana Fc walivyo kufa kwa mkapa December 23 2018.......achia like kama tupo pamoja......2019....2020

  • @moseshaji1177
    @moseshaji1177 4 місяці тому +25

    Walio rudia tena na tena kuangalia hii mechi ya kihistoria kama mimi ndani ya mwaka huu 2024 gonga like

  • @DESUGARTV
    @DESUGARTV Рік тому +4

    Jamn umeludia hii mechi kuangalia 2023. Gonga like yako nione

  • @sm5tv
    @sm5tv 4 роки тому +57

    Bado naiangalia mpaka 2020
    Kama na ww upo gonga like hapa

  • @emmanmwakuka4938
    @emmanmwakuka4938 5 років тому +137

    Hii clip inanimalizia mb zangu maana si chokagi kuiangalia gonga like kama tupo pamoja wanasimba #Do or Die

  • @agnessjohn8404
    @agnessjohn8404 5 років тому +73

    nakukubali Sana #Barakampenja unatangaza vizuri Sana mpaka nashindwa kuelewa wewe ni shabiki wa timu gani huna ubaguzi mungu akubariki Sana Love u

  • @adammasanja27
    @adammasanja27 5 місяців тому +5

    Unforgettable match the best emotion, feeling 4 simba fans,love m best African giants SSC mnyama❤❤❤

  • @vicentmbise245
    @vicentmbise245 3 роки тому +15

    Gonga like kama 2021 umeichekii ,,,simba forever

  • @user-up8mj7mw2t
    @user-up8mj7mw2t 5 років тому +225

    Chama chama chama kwani ndo chama la SIMBA mm sielew jmn like kwa SIMBA #simbanguvumoja# 😁😁

  • @halkhaji4288
    @halkhaji4288 5 років тому +118

    Marhaba marhaba marhaba buuuuuuu chama hii ndo simbaaaa usipite bila kulike

  • @juliuskened4571
    @juliuskened4571 4 роки тому +170

    Kama umeangalia highlights hii 2020 gonga like za kutosha😁😁

    • @vickkipaule1205
      @vickkipaule1205 4 роки тому +4

      Mimi hapa nimeangalia leooo yaani kila nikiangalia mechi hii nasikiaga kulia tu

    • @kelsonkenedy6473
      @kelsonkenedy6473 3 роки тому

      Sitosahau maneno ya baraka mpenja mwishoni dramatical win rekodi inafikiwa means 2003 Christopher Alex massawe anafunga penati ya mwisho dhidi ya zamalek miaka 13 baadae rekodi inafikiwa

    • @eliasbukombe2235
      @eliasbukombe2235 3 роки тому +1

      Hui

    • @charlesnjau8252
      @charlesnjau8252 3 роки тому

      December 2020 !

    • @tinabryson2574
      @tinabryson2574 3 роки тому +1

      January 2021

  • @stewardmwanuke5268
    @stewardmwanuke5268 5 років тому +32

    Hongeleni wachezaji wangu wa SIMBA kwakunipa raha japo tunamajonzi ya mwanachana mwenzetu alie fariki inauma Mungu ailaze roho yake mahara pema PEPONIY AMEEN

  • @wisekingtony6370
    @wisekingtony6370 5 років тому +57

    Sema..simbaaaaaa alafu like.......#group stage ni motooo

  • @japharimandalafamily6868
    @japharimandalafamily6868 4 роки тому +18

    2020 wapi wanasimba yetu

  • @mwenyasamhando8262
    @mwenyasamhando8262 2 роки тому +16

    Mechi ya maisha yangu, mechi ya historia ya kuishabikia simba na mechi bora kwa upande wangu katika KLABU ya simba . Simba nguvu moja

    • @annamosha968
      @annamosha968 Рік тому

      Mimi pia maana nilisali mpaka nikasali tena🙏🙏🙏🙏

  • @paulsengelemasengelema8950
    @paulsengelemasengelema8950 4 роки тому +36

    Kama upo unaitazama hii mwaka 2020 gonga like twenzetu

  • @asha_homedecorations
    @asha_homedecorations 5 років тому +81

    Mnyama Simbaaaa On 🔥🔥🔥🔥🔥 mtangazaji ni nomaaaaa

  • @halkhaji4288
    @halkhaji4288 5 років тому +14

    Simba rahaaaa msikereke kwa shughuli isiokua yenu kamanawe unaipenda simba like

  • @maulakaroli8323
    @maulakaroli8323 3 роки тому +19

    Kama unaaangalia mechi hii kwa hisia Kali huku ukiifikiria game ya platnam kwa mkapa hapa January 6 gonga like twende na simba yetu

  • @ferouzmasoud4870
    @ferouzmasoud4870 2 роки тому +5

    Sichoki kuludia kutazama game hii SIMBA Sc 🦁 Raha sanaaa

  • @beghaezra296
    @beghaezra296 5 років тому +4

    Huwa siwezi kuisahau hii game daaaa Simba ni hatari fire

  • @thomasnyarusanda2608
    @thomasnyarusanda2608 5 років тому +18

    Will done Simba,Bravo great Simba. Nkana wamepata taabu sana. Nana hamuwezi kukaa Jedi za Simba mlizopatia ushindi kwenu mje kupata ushindi kwetu,mwiko. Simba heshima.

  • @agnessjohn8404
    @agnessjohn8404 5 років тому +49

    vyura wanateseka 😀😁😀 Asante mungu kwa ushindi huu mnono

  • @raiphodytzkaundatz6244
    @raiphodytzkaundatz6244 5 років тому +76

    Mtangaz mungu anakuona ety marahaba chama
    Ety magool kama haya yanalusiwa kweri

  • @kelsonkenedy6473
    @kelsonkenedy6473 2 роки тому +18

    Best day ever in Tanzanian Football

  • @mohammediallykaboza5862
    @mohammediallykaboza5862 5 років тому +2

    Mo , kocha benchi la ufundi na wadau wengine bila kujisahau kama Tim mashabiki mungu asiyuingizie mgogororo acha wateseke zam yao moto haupoi respect simba

  • @popperkuch669
    @popperkuch669 5 років тому +9

    Hakika kk haji manara upo vzr hongera zako
    Hongera kwa timu yetu nzm

  • @amedeuslyimo2315
    @amedeuslyimo2315 5 років тому +26

    Pia kwa nidhamu hii ya mchezo wa simba tutafika mbali sana kilaa LA heri timu yangu simba sc inshallah..

  • @ayoubfadhili4695
    @ayoubfadhili4695 5 років тому +15

    this battle was like war of seven manusia,, i love simba from india

  • @magdalenapeter4851
    @magdalenapeter4851 9 місяців тому +1

    Nakaaga nikimisi kuona maajabu ya mnyama narudia mechi Kama hiz aiseee sijutiiikuipenda hii timu ❤️🦁🦁🦁🦁🦁

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 3 роки тому +4

    Asante Sanaa chama langu la SIMBA 🙏 Mw/MUNGU awajalie afya njema wachezaji wote

  • @stanleymathias7877
    @stanleymathias7877 3 роки тому +31

    Tunayerudia naye 2020 like

  • @amanioroma8806
    @amanioroma8806 2 роки тому +4

    Leo tarehe 25 Oktoba, 2021 tunacheza na galaxy imenifanya nirudi hapa kuangalia hii match

  • @prosperndonjekwa5143
    @prosperndonjekwa5143 5 років тому +47

    Kazeni buti Katika Ligi . Mtakamiwa sana . Kila time inataka kuwafungeni Ili isemme nimeifunga time kubwa

    • @msyanituntufye3441
      @msyanituntufye3441 5 років тому +1

      Kweli kabisa mzee baba watakamiwa sana lkn naamini ubingwa wa TPL tutauchukuwa tuu

    • @amrymgeveke9592
      @amrymgeveke9592 5 років тому

      Yeyote aje tu

    • @sephujeupe1040
      @sephujeupe1040 5 років тому

      chama magol kama haya yana luhuxiwakwel

  • @officialamirionaire3731
    @officialamirionaire3731 3 роки тому +8

    Naiangalia Leo baada ya simba kuifunga fc platinum ya Zimbabwe na kufuzu kutinga atua ya makundi

  • @kingayo999
    @kingayo999 5 років тому +52

    simba akiona jini anazidi kunyanyua manyoa na kuwa mkali zaid this is simba kaka

  • @user-bi1pv8gp4v
    @user-bi1pv8gp4v 5 років тому +11

    baraka mbenja we ni next level thnx simba for simba for this

  • @amedeuslyimo2315
    @amedeuslyimo2315 5 років тому +8

    Kuna watu wanaumia sana .. This is simba blaaza. Usipoikubali mbele ya kadamnasi lazima uikubali kimoyomoyo.. #simbanguvumoja hongereni sana chama kangu kwa kutinga hatua ya makundi

  • @sekeyifabian9517
    @sekeyifabian9517 5 років тому +35

    Waambieni wasije kichwa kichwa.This is Simba.

  • @ibrahimjuma8349
    @ibrahimjuma8349 5 років тому +42

    Yaan we chama wewe c Wa Africa bwana unadanganya hujatokea uraya kwer! Yaaan Wa kwanza kukoment jaman like zang bas!!!

  • @samwelhojatuba1314
    @samwelhojatuba1314 2 роки тому +5

    Kweli Simba inanikumbusha mbali Sana naomba waendelee kutufurahisha zamani Kila siku nikiangaliaga hii mechi nasema Simba no Bora Sana africa

  • @amehassanrehanirehani5061
    @amehassanrehanirehani5061 Рік тому +1

    Ah ilikua raha simba raha hii mechi tam san haitoshi na imepat mtangazaj mechi inasisimua I love you simba sc

  • @Ram_1893
    @Ram_1893 3 роки тому +3

    Kuna mtu aliniambia kuwa kuna shabiki alimwambia Mkude Pigaaa
    Leo nimesikia vyema hiyo sauti
    #NGUVU MOJA#
    ❤🇹🇿❤🇹🇿❤🇹🇿

  • @peterbandah5560
    @peterbandah5560 5 років тому +12

    Yan hizi highlights kila nikirudia kuangalia huwa nashangilia kwa mzuka kama naangalia live vile....POLE KWA WANAOTESEKA...THIS IS SIMBA BROTHERS AND SISTERS

  • @barakajulius5938
    @barakajulius5938 5 років тому +9

    Baraka Mpenja wewe ni hatari,hauendani kabsa na mwili wako na jinsi unavotangaza,nakupenda mno bro.

  • @yorrammabugas5856
    @yorrammabugas5856 5 років тому +25

    Oooooohhh yeeeeeessss, kuna watu wanateseka, cjajua hapo mpenja alikuw anawaongelea wat gan, jmn naomb mnisaidie

  • @muddydamdeok5098
    @muddydamdeok5098 5 років тому +17

    This is Simba brother the great Team Of Tanzania

  • @wilisonpatrick9696
    @wilisonpatrick9696 5 років тому +220

    Kama nawe umefurahi bas gonga like

  • @thomasshaila5990
    @thomasshaila5990 4 роки тому +7

    Nikiwa na umwa na huzuni huangaliwa mumechi huu wakati nalia na kupona kabisa ....simba nguvu moja this iz simba.dawa ya corona .20/04/2020

  • @mosimndeme9618
    @mosimndeme9618 13 днів тому

    Unyama unaludi tena Kama unaamini nipe like zangu simba nguvu Moja 💪

  • @bht5185
    @bht5185 2 роки тому +5

    Unyama sana

  • @fredrickmangera9520
    @fredrickmangera9520 5 років тому +10

    Tripo C utawaua hao, kila goli umehusika. Congrats boe

  • @estabaro6538
    @estabaro6538 5 років тому +157

    Kama we we shabiki kama Mimi like APA

  • @paulokiruwa9879
    @paulokiruwa9879 2 роки тому +4

    Baraka mpenja uliitendea kazi mechi hii kwa utangazaji wako big up

  • @ferouzmasoud3104
    @ferouzmasoud3104 4 місяці тому +2

    2-3-2024 naludia Tena kuangalia Simba hii ndiyo ilikuwa Simba kubwa

  • @paziramadhani8331
    @paziramadhani8331 5 років тому +4

    nani anateseka kama unateseka Fanya kama unajikuna BC Cheka kwadharauuuuuu!!!! nani kama simba kama wewe shabiki Wa simba gonga like hapo chini

  • @mohamedidd3145
    @mohamedidd3145 3 роки тому +24

    What a Historical and Unforgettable match for Simba fans, Simba Nguvu Moja

  • @hatibukimbondile1392
    @hatibukimbondile1392 3 роки тому +17

    Simba is the football's icon ...in Tz🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @kelvinbadili2223
    @kelvinbadili2223 3 роки тому +3

    Hii game ilikuwa bora sana na mpaka xaxa

  • @hemedbacco4719
    @hemedbacco4719 Рік тому +3

    Simba nguvu moja.. Still watching in 2022

  • @dgt6303
    @dgt6303 5 років тому +15

    Hii simba nmeielewa. Lakin zaidi leo nmeona mashabiki kama ulaya. Sapoti ya mashabiki haikuwa ya kitoto

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 2 роки тому +2

    Dah safi Simba mkude asante sana kwa goli zuri

  • @masautfromtz
    @masautfromtz 5 днів тому +1

    Kama unaangalia game ya Simba sc vs Nkana fc ngonga like

  • @harunimfaume6280
    @harunimfaume6280 5 років тому +70

    yan goli kama hili ni zalau kubwa na wale walio mbeza chamaa ooo eti chama hana ujanjaa kwakua wanamjua hayaa semeni

  • @mamohamed5914
    @mamohamed5914 5 років тому +4

    Wazungu wana sema this is simba brother I love this matche coz it's nice game

  • @paulfrank13
    @paulfrank13 9 місяців тому +1

    kama unaangalia mechi hii 2023 😅😅gonga like apa

  • @hamisirashidi3518
    @hamisirashidi3518 5 років тому +15

    Yaan Huyo kes kabla yampila alkua añaiponda simba Leo baada yakidundo anaikubali kwel nmeamin anayekucheka Leo kesho atakuheshimu BIG UP SIMBA kuna aliye onewa

  • @dismashaule1631
    @dismashaule1631 5 років тому +8

    ivi macho yako yanaona kama mm😁😁😁😁😁 simba raha sana

    • @fadhilaimamu7620
      @fadhilaimamu7620 4 роки тому

      Tunaoiangalia hii mechi 2020 kwa bashasha gonga like hapaa wana msimbazi wenzanguuuu Love you more SSC

  • @davidmchome949
    @davidmchome949 5 років тому +142

    Goli la Chama litakufanya usahau shida zote za 2018.
    R.I.P Christopher Alex Massawe

  • @jeremiahsengasu6894
    @jeremiahsengasu6894 5 років тому +30

    This is simbaa

  • @djstone255tz
    @djstone255tz 5 років тому +24

    Asante Simba kwa zawadi ya funga mwaka

  • @violethelly9594
    @violethelly9594 4 місяці тому +4

    Kama unaangaria 2024 like hapa😂😂😂

  • @tulivu6377
    @tulivu6377 5 років тому +152

    Kama unaipenda simba ngoga like
    Twende sawa

  • @jrmusty759
    @jrmusty759 2 роки тому +1

    Kama bado unaangalia hii mechi hadi leo mwaka 2022 achia like yakoo

  • @agnessjohn8404
    @agnessjohn8404 5 років тому +148

    siamini Kama kweli wewe mtangazaji huna timu unayoishabikia hapa tz 😀au na wewe ni mmoja wa wale wanaoteseka 😀nakupenda Sana mtangazaji Kwasababu sijajua timu yako ni ipi maana kila anae funga unasifia kweli huo ndo utangazaji big up kwako simpendi kitenge

    • @denissaid2545
      @denissaid2545 5 років тому +1

      SMB

    • @shanunishanuni7751
      @shanunishanuni7751 5 років тому +1

      Agness John xxnx

    • @yuzotv458
      @yuzotv458 5 років тому +1

      simba nguvu moja daima..

    • @hamismohamed3920
      @hamismohamed3920 5 років тому +1

      Agness John hahaaahaa

    • @abuuhafsah9630
      @abuuhafsah9630 5 років тому +2

      Baraka mpenja ...a.k.a....sauti ya radi....huyo ni Simba lia lia ....na ndio atakuja kua msemaji mkuu Simba sports .....over

  • @taysonibrahimmnyambugu8640
    @taysonibrahimmnyambugu8640 5 років тому +30

    Mamb ni fire je kunamutu anaumia km yup ajifanye km anajikuna

    • @josephgomalo41
      @josephgomalo41 5 років тому

      Ndio Tay, kuna mmoja paleee juu.. katikati ya waleeeee paleee juu kabisa.. wenye jezi za njano..teheeee! NguvuMoja!

  • @robertkimario6266
    @robertkimario6266 5 років тому +50

    aliemwona askari anachek gonga lile eneo2

  • @sonjon7483
    @sonjon7483 Рік тому

    Tuliopoo hapa mwezi wa nane 2022 tujuanee kwa likee, wanaliaaa polee e asantee sana mpenjaa

  • @omarmussa2325
    @omarmussa2325 2 роки тому +1

    Dah mechi hii naikumbuka Sana ilikuwa baada mda mrefu simba ikatinga tena hatua ya makundi chama atakuwa katika mioyo ya Simba daima

  • @geofreykadala
    @geofreykadala 5 років тому +23

    Mr. mkude naona alikua anawaonesha kua ntawaparua kipara kama mnavyonielekeza niwaparue!!!!

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 4 роки тому +7

    Jamani wale tunaoangalia 2020 kipindi hk cha corona tujuane #simbanguvumoja

  • @shenymohamed3313
    @shenymohamed3313 5 років тому +118

    SIMBA HATA WAKITAKA UBNGWA AFRIKA WANAWEZA!! NI KUJITOA TU KWA MOYO

  • @Datiusleonidassimon-qj9go
    @Datiusleonidassimon-qj9go Місяць тому

    2024 nipo naangalia simba hiii ilikua moto sana❤

  • @teklamahenge5212
    @teklamahenge5212 5 років тому +150

    Kwa mara ya kwanza kumuona mcheza mieleka Patrick anashangilia

    • @keyakeya8911
      @keyakeya8911 5 років тому

      @tekla mahenge kumbe na wewe Leo ndo umemuona mm nimefurai Sana kumuona Patrick anashangilia

    • @michaellimu2332
      @michaellimu2332 5 років тому

      Kijiba hichoooooo,na bado.

    • @sepetukamaisala2040
      @sepetukamaisala2040 5 років тому +2

      hilli goli sitasahauu kamweee

    • @ashasaidi4803
      @ashasaidi4803 3 роки тому +2

      hii ndiy simba

  • @elizabethjohn4549
    @elizabethjohn4549 5 років тому +24

    Jaman goal la mkude limeua mwanachama wa simba Mr kessy amefariki dunia leo baada ya simba kusawazisha ni uzuni kwa wanasimba kwa ujumla

    • @frankemanuely4461
      @frankemanuely4461 5 років тому

      Elizabeth John polen xna familia ya kessy R.I.P kessy

    • @verdadirodesouza8558
      @verdadirodesouza8558 5 років тому

      Elizabeth John r.i.p

    • @agiejunio998
      @agiejunio998 5 років тому

      Jaman pole yet sote

    • @nellydjfutado4789
      @nellydjfutado4789 5 років тому +1

      Elizabeth John chama ni noma make wachezaj wa nkana hawakuelewa yeye yukoje cha ni noma saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaan

    • @hemedyadam5116
      @hemedyadam5116 5 років тому

      Elizabeth John kweli

  • @ammarhedeb2464
    @ammarhedeb2464 5 років тому +76

    naitwa OMARY rashidi kutoka tanga chama chama utafungwa wewe magoli gani hayo like hopo bs

  • @adilcosmas
    @adilcosmas Рік тому +1

    Mechi ilioweka historia ndani ya club ya simba🔥🔥🔥🔥⚽️

  • @zamzamrashid9534
    @zamzamrashid9534 5 років тому +3

    mabilionea yetu niboratukamaliziye uwanjawetu ili nass tuzidi kuwa timu bora imara nayenyekilakitu hongera simba hongereni mashabiki wanachama nawafuwasi wasimba tuwepamoja kwakila namna big up simbaaaaaaaa

  • @ibrahimmfundo8455
    @ibrahimmfundo8455 5 років тому +32

    Mashabiki hao wanaoishangilia nkana wamekuwa kama machoko

  • @OmanOman-hr6cb
    @OmanOman-hr6cb 5 років тому +5

    Simba simba simba nakufa nakufa simba konk uwiiiiiii wanateseka uku mama weeeeeeeeeeee

  • @wabumbuli2581
    @wabumbuli2581 5 років тому +90

    Kama umemuona mkude akishika nywele kama wachezaji wa nkana gonga like yak hapa

  • @elizabethjohn4549
    @elizabethjohn4549 5 років тому +7

    Simba hii jaman ni shidaaaaaa hadi mtangazaji wa TBC kasahau kurudisha matangazo studio

  • @trumplee9960
    @trumplee9960 4 роки тому +4

    2020 weka likes Nguvu mojaaa

  • @hilallymayota8720
    @hilallymayota8720 Рік тому +1

    20/06/2023 dah hii sjawahi isahau kabisa ❤

  • @isackmshahara8812
    @isackmshahara8812 5 років тому +17

    Nkana wa tz polen sana naona mnavoteseka niwaambie tu kuvaa suti kwa sherehe ya jirani hicho ni kiherehere

  • @emmanuelmussa8331
    @emmanuelmussa8331 5 років тому +40

    Siku hiyo nilikuwa na furaha kuliko siku zote