Mfanyeni Mnavojua Lakin Ss 2nampendatu..Angekuwepo Shujaa Magu Ndo Angemuunga Mkono Xxa Maana Aliyakataa Hayo Machanjo Ww Unafkir Akifufuka Leo C,Utavuliwa Ubunge Ww Hayo Ndo Waliyokutuma Wanainch Wa Jimbo Lako
Hili bunge litaangusha CCM kwa mda mufipi tu na Mama atabaki akishangaa. Yaani kuna wajanja ndani wanajifanya kondoo kumbe ni mbwa mwitu. Wanasema sema eti Askofu.......Mama Samia, wewe ni msomi, waangalie tu kiisha uibuke na msimamo utakao save chama unachosimamia ili isiandikwe kwenye historia kam mama mtanzania, Mungu amempa nafasi kwa siku chache tu akaharibu.
Sasa hiyo mamlaka kama ni ya huozo afanyaje,acha uwoga was kuongea ww mzee,kama hauwezi kutetea wananchi wako toka huko bungeni haufai kabisaa ww unayempinga anayetetea ukweli
Yaan kwanza hustahili kumsema Rais Maguful. Maana hakuwa na uozo Kama WA kwenu, watu wanajilipa pesa huko hazna, na kudivate mafta, mpo kimya mmekazana kupandisha tozo tu na makato. Hamna lolote.
Napenda kuwa jeuri kama Shedrack, Meshach na Abednego....Ili nisiinamie Mamlaka za Dunia zenye hila mbaya na watu wa Mungu.....ili nisiambiwe tii Mamlaka iliyopo.
This papaaa is too small 4 ngwajima to send thunder from heaven 4 u,, coz Hata a achoseme hapo story tu za wahenga sahani ya ubwa ubwa, kipindu pindu, na enzi za nyerere, adhubu unayo shindilia Kwa mwenzio,,, dhambi zako mungu akuesabie na jiwe juu,, utupwe baharini,, but kama umtakatifu basi gwajima aongezewe adhabu,,
Hawa machizi vipi wanatoka wapi kwani Gwajima kapinga, (Nimsema kweri Gwajima, dini-dano hiyo duniani kote imepingwa wewe vipi unawewesukanini ! Acha bangi😷)Magufili usimchokoze ndugu yangeongerewa wapi? hayo unazani Mjomba Magufuli alikuwa bwege kama wewe , Mjomba alikuwa na msimamo hizo chanjo za Covid19 kwanini kipindi cha Mjomba hazikuwepo na kwanini hukuwahi sema zije leo kwakutokuwa na msimamo mnahalibu Taifa kwajili ya matumbo yenu !😭😭😭😭 Mumeamuwa kumusaliti Mjomba Magufuli kweri ila alisema wasaliti watatoka katika chama chake na ndio ninyi hamtaki kusema kweri badala yake wanaosema kweri mwapinga na kuwatupilia mbali sawa mtavuna mnachopanda Mjomba Hakika tunakumbuka Daina wasaliti ni wengi wamehalibu Taifa plz Mjomba watokee hata kwenye ndoto wanamunyasa mama plz
@@ndamugobaivan1 Hakika hawa kama sizani wapo salama wanaongea tu pasipo kufikilia , Gwajima hapo anaetetea familia yake ya ufufuo na uzima na ni hiali hizo fitina wataisoma no tu ipo siku wao wataomba msamaha tu, Magu angekuwepo wangekuwa wanafanya hayo ? Mjomba aliikata na alisema ni vita vya kiuchumi kweri wamefikia hatua ya kumpola mkate wake , sure Dady plz amka watazame wasaliti
Gwajima oyeee Jerry oyeee Wabunge acheni unafiki IPO siku kitaeleweka, kwanza serikali yenyewe ni 0 hamtaki kukosolewa,samia jitathmini wanaokuzunguka ndo hao hao watakaokudhihaki miaka ijayo,Mungu nipe umri mrefu niyaone yajayo
Gwajima yuko sahihi saaan hata mimi Niko pamoja nae kwasbb mtu wa mungu nilazima aseme na mungu kwanza kwasbb anaoneshwa jinsi dunia inavoteketea....tunapaswa kumuamin mungu tu na kuwa na iman , Nakusali ili atuondolee ili janga kubwa la korona maan dunia mimea na vitu vyote vilivyomo dunian kaviumba yy tunapaswa kumuomba mungu yeye ndiye mponyaji asiye shindwa na chochote.
Alie kwambia walio kataa kuchanja itawapata Garika ni nani siajabu mlio chanja ndo mtapigwa garika maana mmekuwa vigeugeu wa kutupwa tana hatujui mko upande gani yaaani ata aibu hamna kabisa
Ni kweli FARAO ni mamlaka iliyotoka kwa MUNGU Lkn mbona MUSA alitumwa na uyo uyo Mungu kumuonya FARAO aache kulipeleka taifa upotevuni kwa kujiona yy ndo Mungu Yasomeni maandiko vizuri sio mnasoma vichoroba choroba
yani WaBunge ni wanafilki sana yani mimi hapa ni UVCCM damu lakini kwa mara ya kwanza 2025 naenda kupiga kura kwa wapinzani maana sioni jipya yani nchi kwa sada haina unafuu popote
Mwl Julius K Nyerere ulihangaika Sana kutengeneza taifa hili, ukapambana kuitengeneza ccm ukamaliza yakwako ukaenda zako mbali lakini leo hii ccm yako haioni mbele ni Kama inaenda kupotea waliobaki na ccm yako sio waamifu wengi ni wanafiki " olewenu ninyi wanafiki" inasema biblia.
Acha kutupotosha' kwanza kabisa napenda kumshukuru Gwajima,Polepole,kwa kutuelimisha kuhusu Chanjo' Anayejisikia akachanjwe. Nanukuu maneno ya Rais sio lazima kuchanjwa
Msicheze na mungu nyie wanasiasa acheni mungu aitwe mungu najua Ngwajima yupo sahihi kutusaidia watanzania namungu atampandisha Mara saba naatang,arishwa zaidi
Wabunge wengi wasenge Wanafirwa Akiwemo na uyu choko mzee Bunge la kichoko Sana Mikuma ya Mamaa zenu nyie Bora Amza angevaa mabumu akaja kujilipua uko bungeni
Ninajua ktk hili wapo waliokasirika na waliofurahia na wasioupande au wasiomsimamo wowote, msitukanane wala ktukana,tumieni lugha bila matusi,mnaowalenga watasikia tu na kuwaelewa. Tengenezeni hoja badala ya malalamiko kuhoji chochote kilichotokea kati ya Gwajima,Slaa na bunge ndipo Mungu atawasikia, mkiukana,ohoo! hapo tena,mnamshirikisha shetani Mungu mwenye haki hatawasikiliza ili kuwadaidia au kupokea mnachosema,zaidi sana mtaingia hukumuni.
Uyu baba bora angesinzia msaa yapite,,, kwa hawa watu bungeni hawasomagi comment waka jua upepo unapoelekea,,, ngwajima hata ikimpendeza mungu wasishangae akawa rais,,, coz ni kichwa,, fear no one but God
Gwajima ni balaa yule hafai bungeni wala ndani ya CCM angekuwepo Magufuli kweli angemuweza, lakini Magufuli ameenda ndio amekua huru kufanya atakavyo afutwe chama tu arudi huko chadema yake CCM liangalieni hili.
@@stephanomtatiro6221 kwani kuna mtu kakulazimisha kuchanja? Kama hutaki wewe kuna wengine wanataka na wanaotaka kuchanja wako kimya, ila nyie msiotaka ndio mnabwabwaja hovyo hamjitambui, gwajima Askofu au mchawi yule😳 ukimsikiliza gwajima basi wewe chizi acha kuchanja kivyako na si kwa kuyafuata ya gwajima.
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Mimi hapa kutoka Kenya nimekataa hotuba Yako Mzee Kiara.Gwajima ana hekima na busara.Ukitaka enda ukachanjwe mara kumi lakini sisi Hamna chanjo hapa !
Hivi kweli, kwa kodi zetu kutwa nzima mnajadili ngwajima tuu, hebu jengeni hoja bana watu wanashida lukuki !!, madawa, hospital, wodi za wazazi na kadhalika acheni hizo si kamati ilishaliza??!!
Hujamjua vizuri Mungu wa Israeli ambaye Gwagima anamtegemea, Najua hata yeye asipokujibu Mungu atakujibu NA adhabu za Gwajima mnazompa IPO Sikh mtajuta kitabu kitakapowageukia , nasi tunasema Hachanjwi MTU damu Yesu inatosha basi
Mpaka naona kichefuchefu juu ya hawa vibaraka wa spika, tunajua mmetumwa kuwadhihaki, kuwachafua, kuwadhalilisha, na kufanya mtakavyo sio vigeni Hata Yesu alidhihakiwa na kupewa kila aina ya karaha na hii Leo tunajua ni Nani. Endeleeni tu.
Uliwahi kusikia wapii? Hakumbuki wakina Danieli walifanya nini hili sijui la wapi!? Tena walikuwa ugenini na wakagoma. Hata mimi sitaki lichanjo lao... Wachanjane wenyewe.,Yesu nilie nae ananitosha.
Ikiwezekana huyo mbunge jibolanke apewe gwajima analopoka tu kusubili posho hata mungu hamjui gwajima akiongezewa adhabu sana nakupatisha tenki la maji kwenye mnala ilionekane kuwa juu na salama
Wewe Gwajima siyo wa kuongezewa adhabu isipokuwa cheo maana Ni msema kweli.
Msema kweli ni mpenzi hao wapiga dill 2025 mtaisoma namba mtajua hamjui watanzania tuko tumefunguka macho Gwajima hoyeeeee
Mfanyeni Mnavojua Lakin Ss 2nampendatu..Angekuwepo Shujaa Magu Ndo Angemuunga Mkono Xxa Maana Aliyakataa Hayo Machanjo Ww Unafkir Akifufuka Leo C,Utavuliwa Ubunge Ww Hayo Ndo Waliyokutuma Wanainch Wa Jimbo Lako
gwajima mitano tena kwa kweli Allah akulinde mtumishi wa mungu
Hatuchanchi ng'oooo, damu ya Yesu ndo chanjo yangu, Gwajima juu
Mungu aendelee kukupa maono na akuongezee ujasiri zaidi Askofu Gwajima
Kutoka Kenya nimeipenda hao wabunge gwajima na slaa watu wenye maamuzi ya kweli
Hata kama angekaa viti vya nyuma GWAJIMA AMESEMA UKWELI.. YUPO SAHIHI SANAAAAA
💪💪 gwajimaa babaa wasikutishee hao God is with you
Hivi!! Mnajitambua kweli muda wote mnamzungumzia gwajima hamna vitu vingine vya kudiskas acheni Mambo yene ya ajabu
@@furahajacob506 we mpubavuuu nn ww kwanzaa unajitambua kweii ww nyooo
Mwanaume mzima unasema nyoo!! We ni pic Kali😀😄🥰😁
@@furahajacob506 kama alivo baba ako mbwaa ww
Jirani yangu amepata chanjo anaumwa hadi Leo.Je? mnafatilia afya za waliopata chanjo?
Waka chanjwe wenyewe ; watuache na amani
Sema wewe kiazi
acha kufananishaa mamboo ya mung na mamboo yenuu ambayoo hayana kituu alaaah
Hili bunge litaangusha CCM kwa mda mufipi tu na Mama atabaki akishangaa. Yaani kuna wajanja ndani wanajifanya kondoo kumbe ni mbwa mwitu. Wanasema sema eti Askofu.......Mama Samia, wewe ni msomi, waangalie tu kiisha uibuke na msimamo utakao save chama unachosimamia ili isiandikwe kwenye historia kam mama mtanzania, Mungu amempa nafasi kwa siku chache tu akaharibu.
Mungu atawashugulikia subirini tu
Wanacheza na MUNGU wetu, wakamuulize Dogo Makonda
Acha zako wewe, kwahiyo unafikiri Hilo bunge ni la kwako? Mwacheni Gwajima ni Chaguo la Mungu
Mungu yupo ipo siku . Atawashughulikia ukweli. Mnaujuwa.
Amen
Istruee
Hatutaki chip hizo mchanje wenyewe gwajima msema ukweli ww mchangiaji huna Cha maana
Acheni siasa nyie chama kimoja, wapigaji hela wakubwa nyie, UNANIKERAAA
Chama kimoja hahahahahhahaaaaa!
Ccm yangu duu Sasa imekua ni mapambano ya kovd jamani wananch tunamengi namatatizo lukuki haaa wabunge tuoneeni uluma jamani
Mpe ukwer akajifundishe
Azabu ndogo sana
Tunakereka wengi hoja kibao badala na ya kujadili unamjadili gwajima kisiasa mpinge gwaji kwa hoja
Sasa hiyo mamlaka kama ni ya huozo afanyaje,acha uwoga was kuongea ww mzee,kama hauwezi kutetea wananchi wako toka huko bungeni haufai kabisaa ww unayempinga anayetetea ukweli
Kumbe mnajua ? Kweli baba awesome madhabahun
Yeye ndo amejitoa mhanga
Mungu Jehovah anaishi!!!
Rais magufuli angekuwepo gwajima angesema anayosema anayosema leo.wangapi?wamesikia hiyo kauli wapige like
Magufuli aliwaamini na sisi tukawaamini..Subirini 2025..Watanzania wana akili sana kuliko mnavyodhani
Muache gwajima wetu
Sasa JPM Angekuepo ..
Yeye na Chanjo Wapi na Wapi??..
Daah Ee Mungu tunakuomba Utuletee Magu Mwingine...😢😢
Mamlaka ya kuuwa inatoka kwa Mungu
Yaan kwanza hustahili kumsema Rais Maguful. Maana hakuwa na uozo Kama WA kwenu, watu wanajilipa pesa huko hazna, na kudivate mafta, mpo kimya mmekazana kupandisha tozo tu na makato. Hamna lolote.
Walimuua jpm
Walimuua magu iliwajinafas gwajima waonyeshe
Mungu anawaona
Kuwa na mtazamo tofauti sio kutokuheshimu katiba. Sasa hivi watu wameenda shule, Freedom of Speech as democracy pillar...
Kwahyo ni lazma ja? Tuelezen tozo za cm
Mamlaka hiyo itatuua
Napenda kuwa jeuri kama Shedrack, Meshach na Abednego....Ili nisiinamie Mamlaka za Dunia zenye hila mbaya na watu wa Mungu.....ili nisiambiwe tii Mamlaka iliyopo.
Umekula ela..
Tushajua mmekula hela.
Huna hoja.
This papaaa is too small 4 ngwajima to send thunder from heaven 4 u,, coz Hata a achoseme hapo story tu za wahenga sahani ya ubwa ubwa, kipindu pindu, na enzi za nyerere, adhubu unayo shindilia Kwa mwenzio,,, dhambi zako mungu akuesabie na jiwe juu,, utupwe baharini,, but kama umtakatifu basi gwajima aongezewe adhabu,,
From Burund tunamfuata Gwajma mtumish wa Mungu . Hata mpinge hamwezi kumuzidi pharaon alipinga lakini mwisho alikuja kumtambua Mungu ni Mungu
Mungu atawashuhulikia bunge mmemshika mtuminishi wa Mungu tunawapa muda
Kwan maguful angekuwepo hoy chanjo ingetoka wap?
Rahis wetu ni mwelewa siyo wakuchonganishwa na wewe unaetafuta ujiko
Huyu mh naye anatafuta kukaa kiti cha mbele nyuma kubaya jmn
Wewe mbunge ni mtu unaekufa Taratibu.
Pesaaaaa...... Mshakula pesa...
Na maneno ya Mungu huyajui.
Umeambiwa umtii Mungu kwanza...
Hawa machizi vipi wanatoka wapi kwani Gwajima kapinga, (Nimsema kweri Gwajima, dini-dano hiyo duniani kote imepingwa wewe vipi unawewesukanini ! Acha bangi😷)Magufili usimchokoze ndugu yangeongerewa wapi? hayo unazani Mjomba Magufuli alikuwa bwege kama wewe , Mjomba alikuwa na msimamo hizo chanjo za Covid19 kwanini kipindi cha Mjomba hazikuwepo na kwanini hukuwahi sema zije leo kwakutokuwa na msimamo mnahalibu Taifa kwajili ya matumbo yenu !😭😭😭😭 Mumeamuwa kumusaliti Mjomba Magufuli kweri ila alisema wasaliti watatoka katika chama chake na ndio ninyi hamtaki kusema kweri badala yake wanaosema kweri mwapinga na kuwatupilia mbali sawa mtavuna mnachopanda Mjomba Hakika tunakumbuka Daina wasaliti ni wengi wamehalibu Taifa plz Mjomba watokee hata kwenye ndoto wanamunyasa mama plz
Hawa jamaa angewatokea Magu pasingetosha.
Unasema kweli.
Wamfute ubunge wasimuuwe kama walivyo mfanyia daddy Magufuli.
Kama wasipomuua Gwajima ataishi vizuri bila huo ubunge beberu na wataanza kuaibika akiwatazama.
Lisilo kuuwa hukuimarisha.
@@ndamugobaivan1 Hakika hawa kama sizani wapo salama wanaongea tu pasipo kufikilia , Gwajima hapo anaetetea familia yake ya ufufuo na uzima na ni hiali hizo fitina wataisoma no tu ipo siku wao wataomba msamaha tu, Magu angekuwepo wangekuwa wanafanya hayo ? Mjomba aliikata na alisema ni vita vya kiuchumi kweri wamefikia hatua ya kumpola mkate wake , sure Dady plz amka watazame wasaliti
@@rwenenahomechannel1634 kabsa Mungu amtete mtetezi wawanyonge Joseph t Gwajima
Kweli chizi jamani
Gwajima usife moyo pambamba mungu you pamoja nasi usitetereke kwaajili ya watu ckuzote mti wenye matunda ndiyo upigwao mawe
Hatuangamii kwa jina la Yesu wa Nazareth Mungu aliye hai
🤣🤣🤣🚮
Viva Gwajima💪
Napaua zako hizo mmeambiwa ukweli mkachukia 😏😏😏😏😏
Hata jambo la hovyo watu wasiseme we mbona hujitambui.?
Inaonekana huna uelewa ndio maana uñakaa viti vya nyuma jaribu kuangalia hoja za Gwajima na zako ktk mda mfupi alioingia bungen we n kilanza
Gwajima tupo pamoja 💪💪💪 hawa watu ni wapuuzii,,,,, they are trying to run from reality,,,,
Kweli nyie wanafiki wabunge kweli mnajali tu matumbo yenu gwajima usiogope mungu awezi kukuachaa watanzania tupo pamoja nawe nakupenda sana mtetezi wetu
Safi Sana Mheshimiwa,
Gwajima yupo sawa
Gwajima oyeee
Jerry oyeee
Wabunge acheni unafiki IPO siku kitaeleweka, kwanza serikali yenyewe ni 0 hamtaki kukosolewa,samia jitathmini wanaokuzunguka ndo hao hao watakaokudhihaki miaka ijayo,Mungu nipe umri mrefu niyaone yajayo
Gwaji boy hoyeeeeeeeee yupo juuu
Gwaji boy yupo juuu
Tunao watu wenye upizani wa kila kitu ndio wanamushangilia Ngwajima.ili wanaccm wagombane ndio wengi hao.
Mmmmh mungu anawaona atawajibu kwa mda wake
Gwajima ni zaidi ya wataalam !
Hata , Shadrack , Mashaki na Albelnego , hwalikataa kuitiii mamlaka iliyojuu kwa sababu ya uozooooo. Huwezi kuisujudia chanjoooooooooo.
Mungu akusamehe hujui usemalo
Gwajima yuko sahihi saaan hata mimi Niko pamoja nae kwasbb mtu wa mungu nilazima aseme na mungu kwanza kwasbb anaoneshwa jinsi dunia inavoteketea....tunapaswa kumuamin mungu tu na kuwa na iman , Nakusali ili atuondolee ili janga kubwa la korona maan dunia mimea na vitu vyote vilivyomo dunian kaviumba yy tunapaswa kumuomba mungu yeye ndiye mponyaji asiye shindwa na chochote.
Mungu yupo
Njaa mbaya. 😂😂😂😂
Wabunge wanaongea mishipa ya shingo inawatoka , kisa kulinda ugali wao
Eti wasomiii ,hakuna kitu hapa ,vijana tujitafuteni
Gwaji boy,yuko sahihi kwa mtazamo na uelewa wake, lkn angeenda taratibu,
Ngoja tuone gwaji boy vs serikali....
Hilo sio bunge bali nyumba ya majungu na fitina na unafiki
Alie kwambia walio kataa kuchanja itawapata Garika ni nani siajabu mlio chanja ndo mtapigwa garika maana mmekuwa vigeugeu wa kutupwa tana hatujui mko upande gani yaaani ata aibu hamna kabisa
Hata wanavoongea unajua tayali yashakua mazombi hayajielewi nahayana hoja mpaka lile lispika jeusi kama mukaa
@@eliyajeremia1447 kikwazo kwakweli
sasa nimegundua kumbe wabunge ndo waliagiza chanjo sio samia
Hamna hoja tupeni faida na hasara za chanjo yenu, kingine chanjo ni hiari Gwaji boy hajazuia watu ameshauri na hata kamati ilisema chanjo ni hiari.
Namuona gwajima na slrah wakisimama Kama abelndego na meshak kwenye biblia
Ni kweli FARAO ni mamlaka iliyotoka kwa MUNGU
Lkn mbona MUSA alitumwa na uyo uyo Mungu kumuonya FARAO aache kulipeleka taifa upotevuni kwa kujiona yy ndo Mungu
Yasomeni maandiko vizuri sio mnasoma vichoroba choroba
.
Kwendaa si kila mamlaka inatoka kwa Mungu i hate politician
Absolutely
Their all a bunch of hypocrites 😡🚮
Hakika
Muongo wewe serikali imeruhusu pombe lakini kqnisani linakemea ulevi na uzinzi
KUMBE NYIE WANAFIKI SASA WANACHEKA NINI?
yani WaBunge ni wanafilki sana yani mimi hapa ni UVCCM damu lakini kwa mara ya kwanza 2025 naenda kupiga kura kwa wapinzani maana sioni jipya yani nchi kwa sada haina unafuu popote
Mwl Julius K Nyerere ulihangaika Sana kutengeneza taifa hili, ukapambana kuitengeneza ccm ukamaliza yakwako ukaenda zako mbali lakini leo hii ccm yako haioni mbele ni Kama inaenda kupotea waliobaki na ccm yako sio waamifu wengi ni wanafiki " olewenu ninyi wanafiki" inasema biblia.
Acha kutupotosha' kwanza kabisa napenda kumshukuru Gwajima,Polepole,kwa kutuelimisha kuhusu Chanjo' Anayejisikia akachanjwe. Nanukuu maneno ya Rais sio lazima kuchanjwa
Safi Sana. Umeongean
Mungu atampandisha tuu
Wew ni mbuge mshenziiiiiiiiiiio
Msicheze na mungu nyie wanasiasa acheni mungu aitwe mungu najua Ngwajima yupo sahihi kutusaidia watanzania namungu atampandisha Mara saba naatang,arishwa zaidi
Kumbe mnajijua mnatudanganya wanachi!!! Lazima muunge mkono hoja hata kama siyo.
Sio Kila mamlaka ni ya mungu acha kuongea pumba
Wabunge wengi wasenge
Wanafirwa
Akiwemo na uyu choko mzee
Bunge la kichoko Sana
Mikuma ya Mamaa zenu nyie
Bora Amza angevaa mabumu akaja kujilipua uko bungeni
Umejitoa sawa subiri ,tuone baada ya kujitoa
Unamudanganyiya.
Ninajua ktk hili wapo waliokasirika na waliofurahia na wasioupande au wasiomsimamo wowote, msitukanane wala ktukana,tumieni lugha bila matusi,mnaowalenga watasikia tu na kuwaelewa. Tengenezeni hoja badala ya malalamiko kuhoji chochote kilichotokea kati ya Gwajima,Slaa na bunge ndipo Mungu atawasikia, mkiukana,ohoo! hapo tena,mnamshirikisha shetani Mungu mwenye haki hatawasikiliza ili kuwadaidia au kupokea mnachosema,zaidi sana mtaingia hukumuni.
Wewe ndio ungesema hayo kama Magufuli angekuwepo?
Au mbona hukusema hayo kipindi kile?
Uyu baba bora angesinzia msaa yapite,,, kwa hawa watu bungeni hawasomagi comment waka jua upepo unapoelekea,,, ngwajima hata ikimpendeza mungu wasishangae akawa rais,,, coz ni kichwa,, fear no one but God
Tunawasomi wengi Sana Tanznia Ila walio na elimu ni wachache tukutane 2025 kwanguvu ya Mungu hamutarudi humo tena
Na iwe hivyo
Wasikutishe Askofu wetu, hata wasemeje sisis tunakuamini sana hao wanabwabwaja2 tueleze ukweli sisi
Mtashushwa Nyie .
Gwajima ni balaa yule hafai bungeni wala ndani ya CCM angekuwepo Magufuli kweli angemuweza, lakini Magufuli ameenda ndio amekua huru kufanya atakavyo afutwe chama tu arudi huko chadema yake CCM liangalieni hili.
Hatutaki kuchanjwa pigeni kelele mtatukuta 25
Upo sahihi saana
@@stephanomtatiro6221 kwani kuna mtu kakulazimisha kuchanja? Kama hutaki wewe kuna wengine wanataka na wanaotaka kuchanja wako kimya, ila nyie msiotaka ndio mnabwabwaja hovyo hamjitambui, gwajima Askofu au mchawi yule😳 ukimsikiliza gwajima basi wewe chizi acha kuchanja kivyako na si kwa kuyafuata ya gwajima.
Pumbavu wewe huna akili bendela wewe kichwa kaa boga
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Mimi hapa kutoka Kenya nimekataa hotuba Yako Mzee Kiara.Gwajima ana hekima na busara.Ukitaka enda ukachanjwe mara kumi lakini sisi Hamna chanjo hapa !
Hamjamuelewa Askofu Gwajima. Jibuni hoja zake.
Hatuchanjwiiiiiiii hapa
Bunge la chama kimoja ni noma sana.
Mimi nimkenya na nasimama na gwajima mia kwa mia anamsimamia magufuli nyinyi wengine nyooote hamna la msingi kwa nnchi yenu rambeni na mavi pia
Hivi kweli, kwa kodi zetu kutwa nzima mnajadili ngwajima tuu, hebu jengeni hoja bana watu wanashida lukuki !!, madawa, hospital, wodi za wazazi na kadhalika acheni hizo si kamati ilishaliza??!!
Mbunge ganzezetahuyo ngwajima ndo mwanaume pekebungeni haowengine tumbotu rana 😏😏😏
Mtajua, hamjui!
Hujamjua vizuri Mungu wa Israeli ambaye Gwagima anamtegemea, Najua hata yeye asipokujibu Mungu atakujibu NA adhabu za Gwajima mnazompa IPO Sikh mtajuta kitabu kitakapowageukia , nasi tunasema Hachanjwi MTU damu Yesu inatosha basi
Mpaka naona kichefuchefu juu ya hawa vibaraka wa spika, tunajua mmetumwa kuwadhihaki, kuwachafua, kuwadhalilisha, na kufanya mtakavyo sio vigeni Hata Yesu alidhihakiwa na kupewa kila aina ya karaha na hii Leo tunajua ni Nani. Endeleeni tu.
Bunge limekuwa la ajabu jaman ivi hivyo ndo mnavyotumia kodi zetu?
Mheshimu mungu.
Huyu katokea wapi subiri kifo na huyo sijui Nani unamheshimu chanja ufe mwenyewe garika ipo kwa hao wanaochanja safina kwa wanaoamini
Mungu atawalipa
Aise wabunge tunao! Mbona Mh. Raisi hajasema chochote juu Gwaji! nyie ndio mnamsemea.
Utiii mamlaka ambayooo inapotoshaaaa
Uliwahi kusikia wapii? Hakumbuki wakina Danieli walifanya nini hili sijui la wapi!? Tena walikuwa ugenini na wakagoma. Hata mimi sitaki lichanjo lao... Wachanjane wenyewe.,Yesu nilie nae ananitosha.
Ikiwezekana huyo mbunge jibolanke apewe gwajima analopoka tu kusubili posho hata mungu hamjui gwajima akiongezewa adhabu sana nakupatisha tenki la maji kwenye mnala ilionekane kuwa juu na salama
Usitumie maneno ya Mungu kuidhinisha uovu ,aMungu akupige kusema kweli ni shida ktk ulimwengu huu
Naomba mungu usiludi bungeni wasikuchague tena
Ukweli unauma siku zote,, Gwajima tunakuunga mkono kwa sana, Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪tupo chanjo hatuchanjwi ngo! Ata kwenye ndoto
Kuna tofauti ya utiii na uzwazwa...sio kila kitu unatakiwa kutiiiiiii
Mazee manafiki sana haya..!!
Subirini gharika humo bungeni... afya zetu c mabenchi mnayopigia makofi bungeni!! Mungu atawachapa... gwajima go forward 2025 crown is urs Acts news news hizini afya we ndugu!
Tunatii. Ikiwa iko sawa lakini kama sio sawa lazima tukatae kwa sawa yuko sawaa
Asante wabunge leo mfanya kazi.
Kumbe kuingia bungeni gwajima walichukia sana ,angalia sana baba hao si watu wazuri, hata wakijifanya wanakuchekea ni simbi wala watu