Museveni Apinga "Ushoga"
Вставка
- Опубліковано 18 вер 2024
- Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametia saini mswada utakaotoa adhabu kali kwa watakaopatikana wakishiriki mapenzi ya jinsia moja. Sheria hiyo inatoa adhabu ya kifungo cha miaka 14 gerezani kwa wale watakaopatikana na hatia kwa mara ya kwanza, na kifungo cha maisha kwa watakaopatikana na hatia zaidi ya mara moja.
Mubarikiwe..sanaana..namungu..akuinuee..hao..niwatu..tuu..wasikutishe
Asante Baba museveni mungungu akujalieee Manisha mema Aisee
Huyo ndio Raisi wa Tanzania
"We are not gays"
- Robert Mugabe
musev baki na msimamo awa wasitupeleke sodoma