MKUTANO MKUU WA SIMBA 2024: Shangwe la wanachama wa Simba baada ya Mo Dewji kuingia
Вставка
- Опубліковано 6 жов 2024
- MKUTANO MKUU WA SIMBA 2024: Tazama shangwe la wanachama wa Simba SC, baada ya Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ambaye pia ni Rais wa Heshima, Mo Dewji kuingia kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere ambako kunafanyika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa 2024.
#MkutanoMkuuWaMwakaSimba2024 #SimbaSC #MkutanoMkuu #AGM
Kama unaipenda Simba SC mpaka milele gonga like hapa l🦁🦁🦁🦁💪💪💪💪
Kumbe huu wimbo umetulia hivi. Big up Kiba
King kiba🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤ love simba spot club
Adi rahaaaaa Simba nguvu moja 💪
Mnyama 🦁🦁
Juzi simba iliniboa sana kudroo na cost
KILA LA KHERI WANA-SIMBA...
Kila la khery mnyama Simba sports katka mafanikio yalioko mbele ye2
SEMENI TAJIRI MO!!
Hii nyimbo itadumu milele
Mkifungwa hatutaki kusikia mangungu sijui kafanyaje
Kweli hawa ndo makolo
Tulia wewe mkund wako inakiuka nini Kmmkkkk kanywe supu huko
😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤
😂😂😂😂😂😂
Wajinga nyie
Pamoja na wewe Kmmkkkk
Umefata nn uku