RAIS KAGAME ALIVYOSHIKANA MKONO na MARAIS WENZAKE MBELE ya RAIS SAMIA IKULU...
Вставка
- Опубліковано 7 лют 2025
- RAIS KAGAME ALIVYOSHIKANA MKONO na MARAIS WENZAKE MBELE ya RAIS SAMIA IKULU...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
KAGAME SMART MAN
Team kagame💪
Yeye ndo kaomba hayo mazungumzo.ilikuwa anang'olewa.
Aombe nani hivi una mjua huyo mzee au unazani Anabembeleza
Hongela sana mama kwakuifanya inchi yetu kuwa kivutio chaamani kwamataifa mengine ,,Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Africa
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa 🌍
kagame mnyamwez saana
Heri wapatanishi wataitwa wana wa Mungu.
Hongera sana mama yetu
Maamuzi yakumaliza vita na kuleta umoja ndio linaloleta maendeleo na kufukuza weupe maendeleo huletwa na sisi wenyewe tukate kutawaliwa na kuamuliwa na weupe sisi wote ni kitu kimoja wazungu ndio wali kutenga ili watutawale sasa tukate kutumiwa nao
Kagame ana mchezo .tena ni Smart 🎉🎉🎉
Itapendeza sana iwapo mazungumzo haya yataleta mwafaka juu ya mgogoro ulipo DRC
kagame❤❤❤
Wazee lakini ni watata
The tiny country with a super Power and very intelligent President in the whole Africa
demon peoples obwenge
Mwamba yupo jirani na jamaa Lake waloshinda sana porini pamoja watu wa maana sana hawa
❤❤❤❤❤🎉🎉watu waamana sana
MI NAJUA NCHI YETU TZ IMEENDEREA SANA SO SIO RAIS KWAMBA KUSIWE NA MEZA, LABDA IKIWA NDIO KANUNI YA KIKAO HUSIKA APO IRAKUWA SAWA
Yesu ingilia kati
Yaani ndio maana Traore hakuja maana kumkaribisha Kagame na Museven na Ruto ninmuhim kwani hao ndio maadui wakuu wa DRC
Who is Traore?
Aje aseme Nini naafanye Nini? Mbele ya lais pk. Hana neno hata Moja
Ebu jielewe basi.Huu mkutano ni Wa SADC na EAC sasa Traore anahusikaje hapo?
Isitoshe huyo mtoto acheni kumpa sifa kupitiliza
@@chrisostomruta-cw3zfhuyu simutoto mwenzie ndio maana hajui hizi mambo
hahaha malawi ndo haitaki upuuzi wao😂
SASA HADI RAIS MMOJA AMEWEKA KOFIA SJUI KWENYE GOT VIRE?
Hivi SA hawapo SADEC
HII VIDEO INAWWZA KUWA EDITING, KAMA KWER NDIO SEHEM MARAIS WANAFANYIA KIKAO LAZIMA KILA ALIPOKET RAIS PANGEKUWA NA MEZA NDOGO MBELE YA KITI
Live no editing sio kila mahali meza
Huoni hzo mezan kwenye kila kiti pembeni ya kiti??
@@dallasmusic6465 okay,
Mnajadili na haramia mwenyewe namna ya kuzuia uharamia ?hapo mmefeli ,mmengeungana nyinyi mnaoipinga M23 sio na kagame M23
anae wakilishi m23 ni nani ...kwani congo na rwanda wana pigana ...matanganzo inasema m23 sio rwanda ..lakini naona mzee ka wakilishi m23 hapo nimechanganyikiwa kidogo ...ivi m23 hawana mwakilishi wao
@@nyembomajid1262😂😂😂😂😂😂hapo sasa
Kagame miguu miguu myembamba akili nenee
Amewachallenge vijana 10 wa africa 😂😂😂😂
@@JosephBilombelejosbimtungwa ahhhhh imagine
😂😂😂😂😂😂hahahaha🤣🤣
🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🤝🤝🤝🤝🤝❤️❤️❤️❤️❤️💯🫂
Uyo samia ndio mwizi mkubwa
Kama huna la kuongea kher nyamaza
Wewe ndo mwizi mkubwa shubamit zako
Hiyo ndiyo ukwel kbs
Mtakapo zolewa hapo mm stokuwepo uko
@highskills5883 tumezoea aje uku 🇰🇪