Ngoja ni waze kama musad pager ina run amr mcu ambay na gpio siyo zote zilizotumika tunaweza tengeneza firmware mpy then tukaiweka ndan ya device ambayo itafanya kaz kwa kupokea specific command kutoka kwetu inakaruhus gpio ambayo haitumiki tuitumie cc then tuweke c4 explosive material ambayo fuse yake itaunganishwa na gpio ambyo tuloiruhus ifanye kaz maana kama tukiwe c4 kwenye battery battery za pager ni removable so pager yake ni kama time bom ambayo inasubiria specific command ili iwezw lipuka apo vip mkuu
Kwa Mimi naunga mkono nadharia ya Coding kwa sababu kuu mbili 1 kwa mujibu wa maelezo pagers zilizolipuka ni matoleo mapya yaan Latest wasiwas wangu ni kwamba huenda Kuna updates za kimawasliano zilifanywa kwenye vifaa hivyo jambo ambalo linaweza pelekea kuhakiwa.. na kawaida kifaa kikihakiwa kinaweza kufanywa chochote..
Shukrani sana mwalimu
Usijali Mr. Kassim
@@HGvv-bh1igunaijua mita 200 lakini? Ehhh labda uniambie mita 2 na siyo 200
Ngoja ni waze kama musad pager ina run amr mcu ambay na gpio siyo zote zilizotumika tunaweza tengeneza firmware mpy then tukaiweka ndan ya device ambayo itafanya kaz kwa kupokea specific command kutoka kwetu inakaruhus gpio ambayo haitumiki tuitumie cc then tuweke c4 explosive material ambayo fuse yake itaunganishwa na gpio ambyo tuloiruhus ifanye kaz maana kama tukiwe c4 kwenye battery battery za pager ni removable so pager yake ni kama time bom ambayo inasubiria specific command ili iwezw lipuka apo vip mkuu
Bless mwalim Nk
Amiin, Asante sana.
Bro yaan ni big up sana unachambua k2 km computer yaan mpk ushahid unatoa i say ichi k2 ni adimu mno kukipata kw m2 mwengine
Asante sana ndugu yangu
Mimi hii ya mwisho nimeiyunga mkono pia naujume wako mwalim uko vizuri sana kama kama selelikali yetu wanachakujifunza hapa
Sahihi, asantee
Uishi Maisha Marefu Sana Mwalimu
Aamiin aamiin
Sensor hapo kwny tank ni ultrasonic inakuwa brogrammed
Sahihi.
Kwa Mimi naunga mkono nadharia ya Coding kwa sababu kuu mbili 1 kwa mujibu wa maelezo pagers zilizolipuka ni matoleo mapya yaan Latest wasiwas wangu ni kwamba huenda Kuna updates za kimawasliano zilifanywa kwenye vifaa hivyo jambo ambalo linaweza pelekea kuhakiwa.. na kawaida kifaa kikihakiwa kinaweza kufanywa chochote..
Hoja ina nguvu na yenyewe maana baadae walilipua vivaa vyengine tofauti kabisa na pagers 📟
Nadhariayamwisho inamashiko piaujumbeWako nimzurisana tenaufikekwaserekalizotezakiafrika maanaafrikaukivumbuakitu umefungwa
Sahihi kabisa wanaua vipaji vya raia wao.
Mim mwalim nawezakusem ni battery iliyo ripuka kwa %99 kwasababu kifa hakiwez kuwaka kam hakina battery ama nishat yoyote.
Ok nayo ni nadharia bila shaka, Asantee.
Bro unaongea ukwel tu saiv lazima tujipange na tukilegea bx tutaripuliwa sote...
Enhee
Bro mm nitakua mwanafunz wako rasmin kwanzia leo coz naona unachoongea for sure una facts tupu
Asantee na karibu sana NK
Hizo ziliwekewa vilipuzi na kulipuliwa hizo nyingine ni propaganda hakuna ajabu
Labda wewe ni tochi ya kuangazia njia ya kuelekea nchi ya ahadi.