Viongozi wajitokeza mtandaoni kuomba msamaha baada ya kuupigia kura mswada wa fedha 2024

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 вер 2024
  • Viongozi wajitokeza mtandaoni kuomba msamaha.
    Wengi wapata wakati mgumu kutangamana na wananchi baada ya kuupigia kura mswada wa fedha 2024.
    #TV47Matukio
    Thank you for watching this video. Kindly subscribe for more content from 'Home of The Untold Stories.'
    About TV47
    'TV47 is on GOtv (Channel 102), DStv (Channel 268), SIGNET, Gotv, BAMBA and STARTIMES.
    __
    For Breaking News, kindly subscribe by sending ‘NEWS’ to 22047.
    __
    Connect with us:
    Website: www.tv47.digital/
    Facebook: / tv47ke
    Twitter: / tv47news
    Instagram: / tv47ke
    TikTok: / tv47_ke
    Telegram: t.me/tv47_ke
    WhatsApp: 0797 047 047
    __

КОМЕНТАРІ • 627

  • @imma791
    @imma791 3 місяці тому +64

    Hamkuweka chini , vijana ndio waliweka chini!!!!! Accept the truth.

  • @sammymaingi4467
    @sammymaingi4467 3 місяці тому +48

    We shall not forgive them.
    What about the lives lost?

    • @BMboss108
      @BMboss108 3 місяці тому +1

      Kwanza wanakuwaga na mdomo sana

    • @aloiceNgoda
      @aloiceNgoda 3 місяці тому +1

      Yess bunge litajengwa na hao watoto

    • @JacklineOmbogo
      @JacklineOmbogo 2 місяці тому

      Exactly

  • @muziki79
    @muziki79 3 місяці тому +35

    Ruto left them under the bus 😅

    • @joshuakithyoma9575
      @joshuakithyoma9575 3 місяці тому +4

      Venye ameachwa na USA kwa mataaa ....Hawa watu sio viongozi😂

    • @edwinkidambu165
      @edwinkidambu165 3 місяці тому +1

      Then wanaclap...this guys wako na kiburi mpaka they can't think. They stopped thinking..Ruto must go.

  • @danomolo7365
    @danomolo7365 3 місяці тому +84

    They thought Ruto will be there 24/7 for them.

  • @luckyluchano1
    @luckyluchano1 3 місяці тому +12

    Maji yakimwagika hayazoleki...the blood of our fellow comrades was spilled on the streets. We want them to resign and go home to there families.

  • @devyivar4872
    @devyivar4872 3 місяці тому +5

    Forgiving them, is voting them out period

  • @muthomindumba5225
    @muthomindumba5225 3 місяці тому +4

    Mambo ni matatu
    1): Ruto
    2): Must
    3): Go!

    • @winnywin6988
      @winnywin6988 3 місяці тому

      Thank you,for now hatutambui these government

  • @EdwardMuriuki-nb8vh
    @EdwardMuriuki-nb8vh 3 місяці тому +4

    Hahaha uyo interviewer bana ATI "Tuwasalimie" 😂😂😂

  • @eveeveatieno
    @eveeveatieno 3 місяці тому +12

    What for after watoto wa wenyewe kupigwa risasi

  • @madsonmmbwanga3037
    @madsonmmbwanga3037 3 місяці тому +9

    Wanezoea tumesema ku resighn ndyo suluhisho

  • @lucasomolo8443
    @lucasomolo8443 3 місяці тому +3

    Ombeni Mungu msamaha but as for us.... RUTO MUST GO plus the Yes MPs who voted YES

    • @juliamongina6084
      @juliamongina6084 3 місяці тому

      Why are you lamenting i said one day you wake up and find Ruto out of power what will happen to you. You thought you're clever than those are in power 80 % of you were rigged in by Ruto 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @JacintaMbinyaz-yl6ho
    @JacintaMbinyaz-yl6ho 3 місяці тому +3

    This is the time you have to no that You're not chosen to please ruto but to work for your nation

  • @mahmoudrafat9532
    @mahmoudrafat9532 3 місяці тому +9

    Msamaha na watoto wa watu wamekufa

  • @angash8071
    @angash8071 3 місяці тому +1

    You must go!

  • @wambuamusyoka267
    @wambuamusyoka267 3 місяці тому +3

    Hakuna msamaahhh apo wacheni unjiga😂😂😂😂😂😂

  • @hemarokcrown.
    @hemarokcrown. 3 місяці тому +2

    Hawa wanadharau sana wananchi😭😭😭😭😭😭juu ya 2 million Vijana wamekufa manze for no reasons,,, Mp whoo voted yes damu haigemwagika😭😭

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 3 місяці тому

    Safi Sana Wakenya , nimewapenda. Heshima kutoka Tanzania

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 3 місяці тому +2

    We will never forgive them wenye wali Vote Yes Yes, Mungu awa curse mpaka vizazi vyenu. Mpaka tumepoteza maisha ya watoto wetu Shame on them.

    • @user_784-d3m
      @user_784-d3m 3 місяці тому

      Kwanza wakiwa alive ndo wajue uchungu WA kuzika mtoto ni kusema nini, wabinafsi watupu hawa MPs.

  • @davidkea5701
    @davidkea5701 3 місяці тому +2

    😢Shenzi saana,,,waennde nyumbani

  • @munaberyl
    @munaberyl 3 місяці тому +1

    Mp from Turkana voting yes,I wonder

  • @winnywin6988
    @winnywin6988 3 місяці тому +1

    Just resign,if indeed they are genuine

  • @wambuamusyoka267
    @wambuamusyoka267 3 місяці тому +2

    Kiatu ni two milion

    • @sugarcandy3895
      @sugarcandy3895 3 місяці тому

      Helipads while pple r suffering kiburi kiburi

  • @markmunyiri5563
    @markmunyiri5563 2 місяці тому +1

    Kusema kweli hii financial bill doesn't belong here

  • @anyole8953
    @anyole8953 3 місяці тому +1

    You never heard them in the first place!

  • @eastermwaniki1297
    @eastermwaniki1297 3 місяці тому +1

    They must pay......✊🏼✊🏼✊🏼✊🏼✊🏼

  • @Jt.updates
    @Jt.updates 3 місяці тому

    Bado hatujamalizana na nyinyi msitu adress kwa mkutano wowote na mngoje 2027 tujue sisi na ruto nani ndio boss wenyu!!!😢

  • @NelsonJackson-z7r
    @NelsonJackson-z7r 3 місяці тому +1

    Kwanini mlipitisha, watu wamekufa je mnawez kurudisha uwahi wawo.

  • @achibelatotolakijaka4687
    @achibelatotolakijaka4687 3 місяці тому

    After mumeshatulia watoto wetu hampatii Kura zetu tena plus huyo Ruto wenu

  • @presentertelence1679
    @presentertelence1679 3 місяці тому +1

    *Wakwende na uko wao ni kids wavote yes then waje kwomba msamaha*

  • @beatricekhangayi-qh5ny
    @beatricekhangayi-qh5ny 2 місяці тому

    Mafi nyinyi mutaena home soon shenzi😂😂😂

  • @mwembad
    @mwembad 3 місяці тому

    They not only owe Kenyans an apology, but they should also resign ASAP. Nobody has time for shenanigans

  • @faruqharo991
    @faruqharo991 3 місяці тому

    NO MERCY!!!!!!!!!

  • @FreddieMwass
    @FreddieMwass 3 місяці тому

    Hawa watu waongo Sana Kenya tumeelefuka

  • @naishoruamooke
    @naishoruamooke 3 місяці тому

    Hakuna msamaha,mumetuzoe sana,Gen Z shika wao 😡😡😡😡😡😡

  • @shammillajibera9007
    @shammillajibera9007 3 місяці тому

    Warudi parliament na waombe na microphone za parliament na bado wajue hawatambuliki na wananchi

  • @albertambila
    @albertambila 3 місяці тому

    Nyinyi kazi menu kwisha Tunawangoja kwa uchaguzi

  • @shiqowb5450
    @shiqowb5450 3 місяці тому

    No mercy for the wicked

  • @abdullahkazungu4025
    @abdullahkazungu4025 3 місяці тому

    Hatutaki hao walichangua Ku support Ruto badala ya mwananchi wa Kenya wakwende kabisa.

  • @Officialkelvoh
    @Officialkelvoh 3 місяці тому

    Gen z kudos 💪💪💪💪

  • @josehjinja254
    @josehjinja254 3 місяці тому

    They messed big time and can keep their apologies to themselves

  • @marywambui7997
    @marywambui7997 3 місяці тому +1

    If you voted you voted, don't come near us, kitawaramba!!!!

  • @piusmutuma9842
    @piusmutuma9842 3 місяці тому

    No forgiveness. They were called on phones and got sms from Kenyans

  • @CEOMwikali
    @CEOMwikali 3 місяці тому

    TumeTENGA forgiveness ; will the people mliua resurrect? Forgiveness ombeni mungu

  • @felixmomanyi2615
    @felixmomanyi2615 2 місяці тому

    Hawa wa yes waende home.

  • @agripinabukhala649
    @agripinabukhala649 3 місяці тому

    Sio kamaa

  • @williammbuthiamaitai5274
    @williammbuthiamaitai5274 3 місяці тому

    They should place 2m on the table first before saying sorry

  • @kilonzimunyalo6038
    @kilonzimunyalo6038 3 місяці тому

    Wake mlipiga yes you need to be impeached

  • @peterwachira5986
    @peterwachira5986 3 місяці тому

    Resign don't apologise, nkt

  • @martinkiruku1041
    @martinkiruku1041 3 місяці тому

    Hakuna kujadiliana na mafala. Fresh elections. New leaders. Ruto na Kenya Kwanza must go

  • @johnstonekoech5275
    @johnstonekoech5275 3 місяці тому

    Aron is a honest leader

  • @kitsaorichardkitsao
    @kitsaorichardkitsao 3 місяці тому

    Haiwezekani vijana wamepoteza maisha halafu munaomba msamama wakazi Gani nyinyi ni watu wabaya sana

  • @bahatihellen6296
    @bahatihellen6296 3 місяці тому

    Waresign tuamini they are truly sorry

  • @Michael-qr4jb
    @Michael-qr4jb 3 місяці тому

    We don't teloret drama future is the most important to the life of the people

  • @Gachemah
    @Gachemah 3 місяці тому +1

    Peleka 2M kwa familia walifiwa. Utaongea are ikiwa kwa mfuko?
    Ata kesho utafanya hivyo hivyo.
    Na kama unfeeli very guilty, solution ni kamba.

  • @joysabena5879
    @joysabena5879 3 місяці тому

    We will never forgive you,labda you bring back the lifes of those who passed away

  • @gashogumuturi
    @gashogumuturi 3 місяці тому

    They voted yes because they already had 2 millions shillings in their pockets.

  • @jameskaruri5350
    @jameskaruri5350 3 місяці тому

    Abolish heavy salary for all political class position
    And all cdf money to be directed to education and make education from grade 1 to university free

  • @saidipara4134
    @saidipara4134 2 місяці тому

    Acheni kujifanya wema.munaogopa kifo nyoko nyinyi

  • @ellyotiende444
    @ellyotiende444 3 місяці тому

    Watatii kabsaaaass

  • @EDWARDZIRO-v2l
    @EDWARDZIRO-v2l 2 місяці тому

    Nisawa,je waliokufa kwa sababu yenu?nyinyi pia niwakuuliwa.

  • @vanierdesludge7156
    @vanierdesludge7156 3 місяці тому

    We will visit you one by one

  • @jotonyae-04
    @jotonyae-04 3 місяці тому

    Hatuna haja na msamaha wao

  • @mmilly8952
    @mmilly8952 3 місяці тому

    Ata waki jitetea. Wata salimiwa tu. It's too late

  • @Rasmajnoon
    @Rasmajnoon 3 місяці тому

    Too little,too late

  • @eliudlunani942
    @eliudlunani942 3 місяці тому

    Why are they sorry, did they do something wrong unknowingly ?

  • @MuthamaSabastian
    @MuthamaSabastian 3 місяці тому

    You must be seen behind the tent...

  • @sylviahkinyangi9892
    @sylviahkinyangi9892 3 місяці тому

    It's late to apologize...

  • @alicekinyua9249
    @alicekinyua9249 3 місяці тому

    Hama kenya

  • @roykipngetich6826
    @roykipngetich6826 3 місяці тому

    no mercy yyyyyyy

  • @JacintaMbinyaz-yl6ho
    @JacintaMbinyaz-yl6ho 3 місяці тому

    Waende wakakule 2m zenye ruto aliwapea maumbwa sisi ni criminal and goons, how comes now sisi ni watoto wenu wakati mliua half of them, shaimon on you

  • @ShoaibKhokar-ck7bt
    @ShoaibKhokar-ck7bt 2 місяці тому

    No forgiveness just save kenya resign

  • @erickithuka6997
    @erickithuka6997 3 місяці тому

    No wakufe mbaki they were passing the bill for Kenyans to continue suffering

  • @danielmutua1935
    @danielmutua1935 3 місяці тому

    After blood shed never....we should not listen to this ppl,what they wanted it happened n let it be ...we can't use force to get justice..

  • @AlfredLonza
    @AlfredLonza 3 місяці тому

    Hao mabro wa aaron watoke tuhakikishe

  • @BS-kl9yf
    @BS-kl9yf 3 місяці тому

    Waombe msmaha wakiwa nje. Watu waliaga dunia kutokana na kiburi walionayo.

  • @josephmuriithi1031
    @josephmuriithi1031 3 місяці тому

    Tunataka kuwapiga mawe, wasijaribu kukujia huku kwanza ndindi nyoro na ichungwa

  • @g-mystic_ke
    @g-mystic_ke 3 місяці тому

    Kama hatungekuwa rada wangekuwa behind curtains wakitucheka vile sisi ni mafala

  • @MartinKipkeino
    @MartinKipkeino 3 місяці тому

    Mnatoa wapi nguvu za kukaa kusikiliza hizi nyangau

  • @WorldLesson
    @WorldLesson 3 місяці тому

    Mkae huko huko wasaliti nyinyi mlilipwa!!!!

  • @rizikiprospa4069
    @rizikiprospa4069 3 місяці тому

    rudisheni ile hongo mlipewa ya 2m each

  • @evanskirangi4664
    @evanskirangi4664 3 місяці тому

    If anyone wants to apologize to Kenyans for betraying them in parliament, they should first raise the young men and women whom they killed by their acts of commission or ommission. They should go to the hospitals and meet those fighting for their lives in peril after suffering gun violence. Anything less than that is unacceptable.

  • @jeradkanyuru5745
    @jeradkanyuru5745 3 місяці тому

    Mutajuwa..amujui..sisi..ndiyo tulieatuma..sasa.
    Mumejisa..cho..chakike

  • @MableGayi
    @MableGayi 3 місяці тому

    Mtaenda nyumbani

  • @lucyoyiela6718
    @lucyoyiela6718 3 місяці тому

    Pesa zenye walilipwa zote warejeshe

  • @dmiyare4900
    @dmiyare4900 3 місяці тому

    Waende nyumbani wote, bure kabisa!

  • @raphie9706
    @raphie9706 3 місяці тому

    Hafai ata kupewa time ya kuongea

  • @dotytydo2342
    @dotytydo2342 3 місяці тому

    Wakija twawatandika adi wawe na akili wapumbuvu sana na maduka yao tutaiba

  • @hillarykasamba867
    @hillarykasamba867 3 місяці тому

    Maji yakimwagika...

  • @priscahochami1099
    @priscahochami1099 3 місяці тому

    Enough is enough tooo late to apologise

  • @SwabahaFaridi
    @SwabahaFaridi 2 місяці тому

    Mlifaa mkatae before hiyo maandamano too late

  • @benardmakori6924
    @benardmakori6924 3 місяці тому

    All who voted yes must go!

  • @lewisokiri9346
    @lewisokiri9346 3 місяці тому

    Apology not accepted

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff3119 3 місяці тому

    Ruto must go

  • @mauriceokothowino1427
    @mauriceokothowino1427 3 місяці тому

    The likes of Harun has portrayed that kalenjins can not be trusted with governing a state

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 3 місяці тому

    Wabunge ndo wenye makosa sio Rais aliwatuma

  • @kennedykuria4644
    @kennedykuria4644 3 місяці тому

    Wote wanaenda nyumbani

  • @genesiscyber7358
    @genesiscyber7358 3 місяці тому

    2027 mtaenda nyumbani direct

  • @deejayzeddy7191
    @deejayzeddy7191 3 місяці тому

    hakuna kitu mnatuambia

  • @carolnzioki7248
    @carolnzioki7248 3 місяці тому

    Cheruiyot hata kama unaongea 15000 unakanyagia chini????

  • @saidmohamed7178
    @saidmohamed7178 3 місяці тому

    Hatuwataki na wala hatutaki misaada yao wasubiri 2027