MSUKUMA Aibua MAPYA - "WATUMISHI WANACHEZEA MAFUTA NA MAGARI"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 133

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 3 роки тому +24

    "Nyuki hawakwenda shule, lakini kazi yao inapendeza wengi kuliko wasomi na viongozi wasiyo na Faida" pongezi Msukuma, Salaam kwa JPM.

    • @benedicttarmo3327
      @benedicttarmo3327 3 роки тому

      Nimempenda sana huyo bwana anajiamini sana na ameongea points tupu! Tunapenda watu/ wabunge wa aina hiyo!

  • @narmyheart2021
    @narmyheart2021 3 роки тому +26

    Msukuma kama msukuma full confidence 💪🏿💪🏿

    • @mkobainnocent2368
      @mkobainnocent2368 3 роки тому

      Ukiwa na fedha pia confidence inaongezekaaa sanaa😃😃😃😃

  • @rahemaally274
    @rahemaally274 3 роки тому +17

    Mashallah mbunge huyu nampenda buree🇬🇧

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 3 роки тому +13

    Msukuma nakukubali Sana wew ni mbunge unae faa kuigwa na wabunge wengine

  • @emmanuelbuganga7325
    @emmanuelbuganga7325 3 роки тому +20

    Msukuma Safi sana, uyo ndo anaitwa, MHESHIMIWA, KING, MSUKUMA.

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 3 роки тому +14

    Msukuma wew unauchungu Sana na nchi hiii Safi San yaan wanyoshe haoooo wakujue we ni king msukuma

  • @sengeremaxleo9295
    @sengeremaxleo9295 3 роки тому +17

    Hahahaah am here watching 2021 to 2025 😁😁😁😁😁 the Future is promising we need more msukuma

  • @abbasmohamed5066
    @abbasmohamed5066 3 роки тому +10

    'KING'

  • @manumbamanumba9468
    @manumbamanumba9468 3 роки тому +17

    Darasa la 7 asumbua wenye taaluma zao

    • @gadafimasoud310
      @gadafimasoud310 3 роки тому +2

      Suala sio kiwango cha elimu ,uelewa ni utendaji wa wasomi wetu upo chini

  • @williammagabe6884
    @williammagabe6884 3 роки тому +7

    Huyu jamaa ni noma

  • @isaacshauri4828
    @isaacshauri4828 3 роки тому +7

    We jamaa safi sana

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 3 роки тому +5

    Ha ha ha king msukuma hatari. Huyu jamaa yuko vizuri.

  • @asumanishabani7539
    @asumanishabani7539 3 роки тому +13

    We msukuma kwa style hiy watatumbuliw wengi

  • @josephmkongwi2323
    @josephmkongwi2323 3 роки тому +6

    Safi

  • @jameslyimo662
    @jameslyimo662 3 роки тому +3

    The gentleman...

  • @mohamedbinfadhil1396
    @mohamedbinfadhil1396 3 роки тому

    Safi safi sana jembe la geita... Piga kazi hakuna kumuogopa mtumishi wa umma hiyo kazi waliopewa ni dhamana kama hawawezi watoke hapo. Halafu mkuu wa wilaya yuko wapi kwani mpaka kazi hiyo unafanya ww msukuma???

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 3 роки тому +1

    Safi Sana mzalendo Msukuma hapa Kazi tu.

  • @allysudihussen3664
    @allysudihussen3664 3 роки тому +4

    Sawa kabisa,

  • @kyambarungwematv6828
    @kyambarungwematv6828 3 роки тому

    King msukuma nomaaaaaa

  • @nestor384
    @nestor384 3 роки тому +1

    The King himself 💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻

  • @adamally8791
    @adamally8791 3 роки тому +7

    Slogan ya bwege, tunaanza upyaaaaaaa

  • @machaggechacha3422
    @machaggechacha3422 3 роки тому

    Safi sana msukuma. Hawa manyumbu suluhisho lao ni kushika mjeledi. Swaga!!! Ukitaka nyumbu afanye kazi lazima utumie fimbo.

  • @kaishazabengesi2971
    @kaishazabengesi2971 3 роки тому +2

    Kiongozi anayeripoti matukio hasi wakati ni sehemu ya uongozi ajitafakari yanatokeaje. Buni, wengine wa kufuate, wasipofuatisha nyendo zako jua wewe ni mtawala tu. Kiongozi huteka nyoyo za waongozwa si kuogofya waongozwa. Tujitafakari!!!!

  • @stanleyfocas8250
    @stanleyfocas8250 3 роки тому +1

    Yeaaaaa king msukuma

  • @emmanuelnzaligo6262
    @emmanuelnzaligo6262 3 роки тому +5

    Nakufuatilia sana mzee napenda nikiona ukiwawashia Moto mapunga wanaonunua gari la 400ml.

  • @loidaandrason1466
    @loidaandrason1466 3 роки тому +6

    Hahahahaaaaaa,Safi sana msukuma

  • @AzizKhan-si8cc
    @AzizKhan-si8cc 3 роки тому +4

    Msukuma km Msukuma

  • @emmanuelmwanzalima4508
    @emmanuelmwanzalima4508 3 роки тому

    Nakukubali sana jamaaaa unajua elimu sio uongozi bola piga KAZI ikiwezekana 2025 tukupe KURA ZA URAISI kuongoza unaweza piga kazi

  • @elishachenya5341
    @elishachenya5341 3 роки тому +7

    💪💪💪💪💪💪

  • @saimonlutengano2569
    @saimonlutengano2569 3 роки тому

    Aloo tungekuwa na wabunge hata kumi na tano kama huyu tz tungekuwa pazuri sana god bless u

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 3 роки тому +7

    Waambie wanaoturudisha nyuma ambaye ataki kuamia uko aache kazi watu wapo wengi tu

  • @senseiamazing1823
    @senseiamazing1823 3 роки тому +2

    the brave man

  • @jkOmar2024
    @jkOmar2024 3 роки тому +2

    safi sana

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla8996 3 роки тому

    Huyu mwamba kapata ubunge safi sana makufuli

  • @fidelslick2086
    @fidelslick2086 3 роки тому

    King Msukuma for President 2025

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 3 роки тому +8

    Mungu amjaliee ana uzalendo, wasomi wamegueka kuwa wafilisi ila ambao hajawasoma wana upeo mkubwa

  • @babanjuru8738
    @babanjuru8738 3 роки тому

    Sawa sawa msukuma

  • @kitovasaidi6753
    @kitovasaidi6753 3 роки тому

    Sio jimno langu lkn kama Mtanzania huyu Mbunge yupo sahihi sana sana kikubwa azungumzie pia hayo maslahi ya walimu kuna mazingira si rafiki sana kwa kipato cha ualimu ingawa subira yavuta kheri lkn maumivu ni makali sana.

  • @softrock7155
    @softrock7155 3 роки тому

    Katiba irekebishwe awe naibu waziri mkuu asafishe Nchi hii. Yuko vzr, anajiamini na kusimamia achokiamini. Namkubali sana Mhe. Msukuma

    • @jabiraxmed7898
      @jabiraxmed7898 3 роки тому

      Haihitaji kubadilisha katiba mheshimiwa rais akimteuwa tu

    • @softrock7155
      @softrock7155 3 роки тому

      @@jabiraxmed7898 hiyo nzr, huyu mbunge namuelewa sana kwani anajitambua na anajua mambo mengi au tuseme ana vyanzo vingi vya hbr. Mhe. Rais ampe rungu tuone matunda yake Nchi nzima.

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 3 роки тому

    Waafrika bado tuna long way to go

  • @jamesriwatuvana9561
    @jamesriwatuvana9561 3 роки тому +4

    Diwani wa Katoro fundi eeh! Asije kufa na ngwengwe😂🤣🤣🤣😂😂🤣🤣🤣

  • @maxmilianpetro968
    @maxmilianpetro968 3 роки тому +2

    Msukuma halali hakuna mtumishi bora Geita nzima aiseee waamusheeee

    • @peterpaul591
      @peterpaul591 3 роки тому

      Punguza sifa wew kila jambo media we ngosha vp ?

    • @alexjohn7361
      @alexjohn7361 3 роки тому +1

      @@peterpaul591 hapo nani kamfuata mwenzie kati ya media na Msukuma. Pia hicho ni kikao au mkutano kama uonavyo na wanahabari wameenda ili kuriport tukio sasa kosa lake nini?

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 3 роки тому

      @@peterpaul591 sifa ipi watumishi wengi ndo wanarudisha hii nchi nyuma halafu wanyonge wanaumia kwenye nchi iliyojaa rasilimali za kila namna wakati Dubai wanapata mvua kwa mwaka Mara moja lakini maisha yao usipime.

  • @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
    @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG 3 роки тому +6

    Inawezekana halmashauri nyingi kuna madudu mengi sana

    • @emmanuelbonifase1114
      @emmanuelbonifase1114 3 роки тому +1

      Huku kwingine ambako awapigi kelele kunanukaa sanaaaa

    • @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
      @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG 3 роки тому

      @@emmanuelbonifase1114 Sanaa nimejifunza kitu kupitia hili itakua sehemu nyingi kuna Madudu

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 3 роки тому +1

      Yaan sana viongoz wa almashauri wengi no ovyo sana ndo maana mikoa haiendelei watu wanakula fedha tu na kufanya maigizo kwa raisi waonekane wanafanya kazi hewa.

    • @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
      @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG 3 роки тому

      @@onesmojustice2348 Nimeona kabisa kuna vitu vingi vinafanyika kutuludisha nyuma watu awana uchungu na shida za wananchi wanakula raha tu

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 3 роки тому +1

      @@Dj_anaetumia_kanda_AloyceG kabisa

  • @nipolive..2745
    @nipolive..2745 3 роки тому

    Hatar sana

  • @wilsondomisian8680
    @wilsondomisian8680 3 роки тому +1

    Ipo hyo

  • @charlesboniphace2249
    @charlesboniphace2249 3 роки тому +3

    Hahaaaaa!!! ...wanawake weupeweupe ote katoro!!!!

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664 3 роки тому

    Msukuma hoyeeee tumbua baba

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 3 роки тому

    Kila hslmashauri iwe na msukuma walao mmoja mmoja

  • @MbashaRobert
    @MbashaRobert 3 роки тому

    Uongozi ni karama si Elimu, na ndiyo maana hata Marekani ilishatawaliwa na maraisi wenye elimu ya kawaida sana , Abraham Lincoln angalau alikuwa na elimu kidogo, ila Andrew Johnson yeye hakuwa hata na Elimu yoyote, bali alifundishwa tu nyumbani tena na mkewe! Hivyo ukilinganisha na hao wamarekani Msukuma ana Elimu ya Kiwango kizuri, na kwa uzoefu ambao anaendelea kuupata akiwa Bungeni si ajabu kwa Mh. Msukuma kuwa kiongozi mkuu wa nchi.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 роки тому +1

    Pambania na mishahara yao na marupu rupu yao, tatizo la ndugu zetu wasukuma Sifa saana, kama kweli ana uchungu na nchi hii, aanze kulalamika Wabunge wapunguziwe mshahara, yeye Kama mbunge analipwa zaidi ya 10 million kwa mwezi, alamike wapunguziwe maposho yao, watumishi hao wanaolipwa 600,000 kwa mwezi wanaenda masoko na maduka tofauti na wabunge? Waache ufala kama kweli sio wanafiki, nao wawasimeshe watoto wao shule zetu, Wabunge wanahimiza umuhimu wa Kiswahili, toa Jina la mbunge mmoja mtoto wake anasoma shule za kata, kama kweli wana uzalendo na nchi wapitishe sheria sharti la kuwa mbunge au Kiongozi wa umma, lazima mtoto wako awe anasoma shule za kata ila mahanisi na wagumba wasamehewe

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 3 роки тому +2

    Utujua Tu badae mara hiii chadema hawamo hakuna wa kumtukana

  • @justinejulius2319
    @justinejulius2319 3 роки тому +2

    Msukuma jembee

  • @jumamohamerd9971
    @jumamohamerd9971 3 роки тому +1

    Msukuma nahene. Ruru

  • @eliyahrobert9340
    @eliyahrobert9340 3 роки тому +1

    Duuu mmmhh

    • @andrewmwankenja3438
      @andrewmwankenja3438 Рік тому

      Mbona wewe mwenyewe unachezea mafuta na kodi zetu huna makato yoyote leo una bwabwaja utumbo wako

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa5931 3 роки тому +2

    Ujumbe umefika

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata4230 3 роки тому

    Iyo nimeikubari saana musukuma chapa kazi utayaonatu matunda.

  • @teddykanondo5753
    @teddykanondo5753 3 роки тому +1

    Huyu ndio mnafiki wa Umma. Viongozi mchungeni sana vinginevyo hamtafika mbali.

    • @sharifuoman6146
      @sharifuoman6146 3 роки тому

      TEDDY KANONDO mnafiki wewe uchaguzi umekwisha wewe bado unamuwazia tundu lissu pole saana endelea kuumia tu hamna namna,,,

    • @josephntungiye6232
      @josephntungiye6232 3 роки тому

      Bilashaka wwe utakua nduguyakenabwegeee! 😆😆

  • @samwelgabriel532
    @samwelgabriel532 3 роки тому +2

    chuma

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 3 роки тому

    Kuna nyumba za kuishi?

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 3 роки тому +2

    Hivi ndivyo mbunge anavyotakiwa kuwa Kwa sababu ndiye raisi wa jimbo husika na ndiye kachaguliwa na wananchi na nduye anapaswa kumsimamia Mkuu wa wilaya na si Mkuu wa wilaya kujivimbisha vimbisha tu.

  • @stevenikwisa5238
    @stevenikwisa5238 3 роки тому +2

    Angekuwa na digrii moja angepata uwaziri

    • @charlesmwambinga4355
      @charlesmwambinga4355 3 роки тому +2

      Elimu na ujuzi alionao anazidi degree hovyo hovyo walizonazo na hawafanyi kitu...atunukiwe PhD kabisa hatuangalii makaratasi na vyeti tunaangalia akili ya mtu na ubongo

    • @stevenikwisa5238
      @stevenikwisa5238 3 роки тому +1

      @@charlesmwambinga4355 ni kweli, pia full uzalendo

    • @japhethgeriad4519
      @japhethgeriad4519 3 роки тому +1

      @@charlesmwambinga4355SAFI KABISA

    • @tedymwandara5480
      @tedymwandara5480 3 роки тому

      @@charlesmwambinga4355 huyu jamaa kapewa kipawa angeenda huko angepoteza muda.

  • @Zamb90
    @Zamb90 3 роки тому +1

    Swala sio wanalala wapi,swala kazi zinakwenda?????

    • @hatibhatib5760
      @hatibhatib5760 3 роки тому

      kazi haziendi, ukifika halmashaur unaambiwa muhusika yuko geita njoo kesho

    • @nelsonmgaya7179
      @nelsonmgaya7179 3 роки тому

      @@hatibhatib5760 Pia gharama za mafuta ya gari za kwenda Geita analipa nani?

  • @isdorynziku4852
    @isdorynziku4852 3 роки тому

    Kaka hata kwetu wapo ila wanajua kujificha

  • @amapiaanocityintz6454
    @amapiaanocityintz6454 3 роки тому +2

    We ni jembe msukuma

  • @Rashidmhedhery
    @Rashidmhedhery 3 роки тому +2

    Kumamayo mnafiki mkubwa,laana Mmoja

  • @yusufwewe8600
    @yusufwewe8600 3 роки тому

    Vp

  • @radhiambwana8787
    @radhiambwana8787 3 роки тому

    Ndouzuri wakula ugal wa dona unakuwa naakili ya asili.

  • @evansmlalo4049
    @evansmlalo4049 3 роки тому

    Mimi nawashangaa sana Watanzania. Akiharibu mtu mmoja mnasema wasomi hawana Faida. Kwa hiyo kazi anazofanya Jafo Waziri waTamisemi na wasomi wengine Serekalini ni za hovyo?. Huyu MSUKUMA ni mnafiki tu nani alimnyima kwenda shule akabaki kufuga nyoka. Tusingekuwa na wasomi Tanzania miradi aliyoianzisha Magufuli nani angesimamia. Kusema wenzake hadharani usifikiri atalipwa zaidi ya wengine sana sana ni kujijengea uhasama na maadui. Nashukuru bungeni wamebaki wengi ni CCM huu unafiki wake utasikia yatakayoendelea. Haiwezekani umfukuze mke wako kisa ugali haujaiva. Aliyenunua gari aina hiyo ni huyo kwani ni yeye peke yake mbona wako wengi mpaka IKULU au kwa sababu ni kabila lingine sio MSUKUMA.

    • @katyetyegosper218
      @katyetyegosper218 3 роки тому

      Ukiumwa ukienda hospital utasema wasomi hawana faida. Baba yako asipotimiza wajibu wake huwezi sema akina baba hatutimiz wajibu wetu at kwakua baba yako hatimiz.

  • @manyakuulaompondelo4419
    @manyakuulaompondelo4419 3 роки тому +2

    Punguza mwendo baba mbele kuna kona.

  • @Mastermind25491
    @Mastermind25491 3 роки тому +1

    Watumishi lazma wafuatwe nakupelekwa nyumbani incase mda sio rafiki,,assume unaitwa usiku kuna "emergency operation" huwezi kutembea hayo mambo yapo ndani ya uwezo wa hospital wanasiasa mtulie

    • @venancemwarabu7168
      @venancemwarabu7168 3 роки тому

      Wewe ndo hujamuelewa. Mtu anatakiwa kukaa nyumba za serikali zilizo karibu mtu anaishi mjini kisa anafanya kazi kijijini ili ambulance impeleke.

    • @Mastermind25491
      @Mastermind25491 3 роки тому

      @@venancemwarabu7168 Kijana mimi niko kwenye sekta ya afya,,hakuna nyumba za watumishi mbali na za wakuu wa idara,,

    • @venancemwarabu7168
      @venancemwarabu7168 3 роки тому

      @@Mastermind25491 Kuna maeneo na maeneo. Kuna sehemu nilifika vijijini nyumba za watumishi hazina watu asilimia kubwa wanakaa center. Na kwa sababu ya usumbufu wa wagonjwa daktari mkuu nae anataka ahame. Sasa huko tusemeje. Hata kama nyumba hazipo bora upange sehem ambayo sio mbali sn na kazini.

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 3 роки тому

      Ww ndio walewale wapigaji na wafujaji wa fedha za umma

  • @kiteteprimary9764
    @kiteteprimary9764 3 роки тому +1

    Natamani msukuma awe ktk jimbo letu

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu 3 роки тому +3

    🤣🤣🤣 jamaa ashakua msaliti maana hataki tena wale pamoja ...

    • @rahemaally274
      @rahemaally274 3 роки тому +1

      Yeye huwa anatoa mpaka chake halagi cha mtu

    • @jabiraxmed7898
      @jabiraxmed7898 3 роки тому +1

      Mie sio ccm lakini msukuma namkubali sana tu muheshimiwa rais ampe uwaziri Huyu au naibu waziri wa serikali za mitaa asaidie jaffo anajua kusoma kila kitu kizungu sio lazima sio lugha yetu .

    • @jabiraxmed7898
      @jabiraxmed7898 3 роки тому

      @@khadijahassan3778 ni kweli

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu 3 роки тому

      @@khadijahassan3778 mi hua sipendi kujibizana na wanawake kwa hio bora upite pembeni maana nikianza kukujibu hapa mpaka mama yako atapandwa na nyege huko aliko...

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk 3 роки тому

    Nani amesikia wanawake wote weupeweupe katoro....... #5:2.

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk 3 роки тому

    Msukuma hongera ila hicho kichwa chako hakipendezi kipara maana kina bonde utosini labda uache nywele ziote uwe unazichana......

  • @mudhihirumikidadi6066
    @mudhihirumikidadi6066 3 роки тому

    Kwamalaya kwanza msukuma nimekuelewa sanna kamahawataki kazi fukuzeni

  • @msetikebwasi6895
    @msetikebwasi6895 3 роки тому +1

    Ee,msukuma sasa umeamua kulala nao mbele.Wacheke tu!!!!!!.

  • @harounbuzohera4797
    @harounbuzohera4797 3 роки тому

    Serikali haijafanya tathmini ya matumizi hasa ya mafuta ya magari ya serikali ikiwa ni pamoja na matengenezo ya magari ya serikali. Magari ambayo ninaona yanatufaa wakati wote yawe ya JWTZ, POLICE, MAGEREZA, ZIMA MOTO, AMBULANCE na Usalama wa TAIFA.

  • @yohanavicent7570
    @yohanavicent7570 3 роки тому

    Unafaa kwer

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 3 роки тому

    Vipi mawazo huwa hatokei

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 3 роки тому

    Mbn unamuiga bwege ayupo tena bungeni acha kumuiga

  • @husseinkhan4889
    @husseinkhan4889 3 роки тому

    Huyu fitna tu hakuna anacho kifanya anatafuta kiki
    tu na ana chuki na hao viongozi wa halimashauri!.

  • @teddyoscar6876
    @teddyoscar6876 3 роки тому +1

    Kweli inauma, wambie ukweli wasitumie pesa hovyo

  • @hemedsalala7184
    @hemedsalala7184 3 роки тому +1

    Nataman msukuma awe rais ata kama hajasoma ili nas tufaid uku

  • @FadyFs
    @FadyFs 3 роки тому +1

    Huyu jamaa anafuatiliaga magari tu

  • @mrpeeh8739
    @mrpeeh8739 3 роки тому +1

    Huyuu nae kashaakua kenge saiv

    • @mkemia_magege5816
      @mkemia_magege5816 3 роки тому +1

      Kenge wewe usiyetaka kuhamia Nzela

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 3 роки тому

      Wewe unataka kupambiwa tu nenda zako

    • @victorkamate9396
      @victorkamate9396 3 роки тому

      Mh. Rais wetu pendwa anakataa hii habari ya mitandao tayari.
      Sijui wapi hatumuoni jpm wetu unamleta millad ayoo kwa sh ngapi????

  • @kilingahamissi6734
    @kilingahamissi6734 3 роки тому

    Waambie hao babaaaa wasomi fake wanaokwamisha juhudi za maendeleo

  • @lawrencegwerino1656
    @lawrencegwerino1656 3 роки тому +2

    Safi sana