MANENO MAZITO YA MPOTO YAMGUSA RAIS SAMIA, AMSHUKURU KWA DHATI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024
  • MANENO MAZITO YA MPOTO YAMGUSA RAIS SAMIA, AMSHUKURU KWA DHATI
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 37

  • @AbdullahTaherAbubakar
    @AbdullahTaherAbubakar 2 роки тому +2

    The message (ujumbe), the eloquency (ufasaha wa ufikishaji), the rhythm (uzani) says a lot about you👌Hongera sana Mjomba, Ujumbe sahihi, Mahala sahihi, Wakati sahihi na Namna sahihi ya ufikishaji 🙏. Wale Mainjia Tunaotamani Kwenda Ikulu tujuane 😀
    Hongera sana Mheshimiwa Rais, Mungu Akuongoze katika kulitumikia Taifa Letu Tukufu. Amen.

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Рік тому +1

    Kweli kabisa watu wote wanapaswa kuwachukulia wanawake kwa heshima kubwa. Ni heshima na tunu kubwa binadamu woooote wamepitia kwenye tumbo la mwanamke👏👏
    Tusiwachukulie poa mama zetu, dada zetu, mabinti zetu, na shangazi zetu.
    Heshima kwa mama jamani....asante mrisho kwa kutukumbusha na kusisitiza 🙏❤

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 2 роки тому +2

    Hongera sana lais samia

  • @nadanasser1020
    @nadanasser1020 2 роки тому +1

    Mashaa allah mama kaupiga mwingi Jana tulikuwa sote Oman Leo Tanzania tunakupendaaaaaa mamaaaaaaa yetu

  • @tinahabel6092
    @tinahabel6092 2 роки тому +2

    Hongera kwa kuvaa buti leo mjomba balozi wa maji tanzania

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Рік тому

    Mrisho Mpoto nimekukubali sana

  • @athumaniomari2833
    @athumaniomari2833 2 роки тому +2

    Ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU mkuu nazidi kukuomba endelea kumuongoza vyema raisi wetu

  • @walinaziontime7300
    @walinaziontime7300 2 роки тому

    Mladi alianzisha mjomba Magu ilipaswa ata akumbukwe hapa ila imekuwa ndivyo sivyo
    Kiukweli Mama hana jipya alilo lifanya katika nchi
    Nje ya kuungua masoko
    Bei kupanda mafuta
    Royal tour
    Ngorongoro watu wanauwawa
    Wafanya biashara wajasiliamali block
    Wakulima pembejeo zimepanda alafu leo etii mpoto anakwambia mkulia anamshukuru Mama dhaaa😭😭😭😭 MUNGU iangalie Tanzania 🙏🙏🙏

  • @salomeanyosisye2626
    @salomeanyosisye2626 Рік тому

    Jamaa nalikubali

  • @WilbertMmary
    @WilbertMmary 2 роки тому +1

    Heko kwa Mama!

  • @mcmwamba8152
    @mcmwamba8152 2 роки тому

    Genius

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 2 роки тому

    Baba na mama wote ni mashujaa bila baba hakuna kitu kwa mama.

  • @lucynagerald9427
    @lucynagerald9427 2 роки тому +3

    Mafuta hayo mnayompaka yabakizeni msiyamalize yote, mbakizieni nayamwaka 2025 mumpake tena mafuta yakumfariji atakapokua anang'olewa ikulu.

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 2 роки тому

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @mohamedasaid7910
      @mohamedasaid7910 2 роки тому

      Huna hoja.Uhasidi tuu wakusumbua.
      Eleza shida yako Serikali ikusikize.
      Uhasidi si hoja

    • @allykiyanga5402
      @allykiyanga5402 Рік тому

      Iwe hivyo iwavyo mm tunae 2030 hapo ndio mtasema kama mnakufa kufeni 2
      Kwawenu uchungu

  • @Nufaila442
    @Nufaila442 2 роки тому +2

    Injinia wa Iringa 🤣🤣🤣

  • @sifamanyori
    @sifamanyori 3 місяці тому

    Kubukeni munapeda kuwapa kiburi wahisiram munasema rais

  • @kapondamsita476
    @kapondamsita476 2 роки тому

    Mwenye kiswali chake uyu

  • @athumaniomari2833
    @athumaniomari2833 2 роки тому

    Ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU mkuu nazidi kukuomba endelea kumuongoza kumsimamia kumlinda kokote aendapo raisi wetu pamoja na wasaidizi wake wote ewe mwenyezi MUNGU

  • @NiyomwungeliTheophire
    @NiyomwungeliTheophire 2 місяці тому

    Robuging

  • @mhifadhi797
    @mhifadhi797 2 роки тому

    Wouey

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 роки тому

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌️

  • @mauricempinga935
    @mauricempinga935 2 роки тому

    Mpoto hauna jipya ushapunguzwa makali

  • @erickasenga2594
    @erickasenga2594 2 роки тому +3

    Mpoto wewe ni maana halisi ya msanii. Una gani mashahiri sio mchezo

  • @bwagizoselemani8434
    @bwagizoselemani8434 2 роки тому +1

    Msifien tu lakini nyienyie mtakuja kulaumu kuleni hela tu ila nisaswala la muda tutaona kama tutafika

  • @evangelistdanielsenyagwa4018
    @evangelistdanielsenyagwa4018 2 роки тому

    Nitho p namuona

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn 8 місяців тому

    Mpoto pubavu sana wewe t unahangaika hivi maji shezi wewe

  • @mwalimumasoudy4699
    @mwalimumasoudy4699 2 роки тому

    Mpoto bhana

  • @damasmwakyambiki2009
    @damasmwakyambiki2009 Рік тому

    Mpuzi wewe siumeupiga mwingi pumbavu

  • @samwelihale7232
    @samwelihale7232 2 роки тому

    Wasanii mna shobo

  • @saumsaum1916
    @saumsaum1916 2 роки тому

    Sio magu wetu ambaye alibeba maono ya African?

  • @naomiphilipojohn2940
    @naomiphilipojohn2940 2 роки тому

    Unasifia ujinga Fala ww njaa tupu

  • @seifualiminji5173
    @seifualiminji5173 2 роки тому

    Tafuta kula yako

    • @maikokivuyo2657
      @maikokivuyo2657 2 роки тому +1

      Mboto sioni unasifia nni hakuna chochote kinachoendelea