Ali kiba ashukuru mungu kwa kufanikisha na sisahau kama aliye fanya naye kazi nimuzazi mwenzake na mushindani wake wenda njoo imefanikisha iyo muziki kuvuka sana. mimi ni jicho la muziki na kesho nitaviweka wazi Africa nzima .kinois salvaday in South Africa
Piga keleeee kiba na hamisa mko vzr
True king kiba hamissa was amazing gd excellent wrk
Watanzania tujivunie kua na star kama king kibaa yebabaaaaaa kizaz san
Tbway Sio host Mzuri Kabisa ...Maswali Ya Ajabu Ajabu Analazimisha Majibu Anayoyataka ...Yaaan Hovyo Kabisa ...Naona Hata Alikiba Alimgundua Mapema Sana
Einstein don’t hate the Host was so engaging and fun to watch hakuforce bamujibu barikatala akakua anaendelea people pple plz .he is there cz he the best one
Yhnpsao RUKEBA He Is Not The Best Anymore In Interviewing Broh ..He Is Just Have Childish Swaggs And He Got Looks .... But Sam Misago Is Far Ahead From Him ... Anajua Jinsi Ya Kuchimba MTU Mpk Akajibu Ila Huyu He Is Just Force
Einstein me on my side irikua kama charisma u saw how he inter twinned question in a away of like make them comfortable yani unamjua kiba bangapi banaweza kumukuza vile, mi I liked how he did it and imma used to sam but I liked tbway somehow I like his charisma and intellect of interviewing tactically 🙏🏼🙏🏼
I really liked that song bigup Alikiba,bzy watching from dubai
Hamisaaa love you mwanangu..Allah blessvyou ...
Very gd excellent kiba nimefurahi ssnaaaaaa hukujibu.dodo is amazing
Mimi nashauri wawe wanafanya mziki pamoja dodo wamependezeana sana more music please kiba and misa perfect much in Tanzania music industry 💯👌🥂🍾✍✍✍✍
Hamisa una sauti nzuri jamane Maa shaa Allaah
Hamisa na kiba 😍😍😍😍👏👏👏🔥🔥🔥
Hongera misa piga kazi mambo mengine baadae maisha Ni yako
King kiba rudi tena zaidi location zakutosha zenjibar hotel mitaa beach good video good song dodo
Hongereni sana Hamisa and your daddy king Kiba nyimbo nzuri mashaallah ofcourse nime enjoy Dodo from Muscat 💃💃🌺😘😘😘👍👏👏👏👏👏
Nimefulah saaaana Ali kiba kufany kazi na huyu mlembo nitakua shabiki wake milele😊😊
Host unalazimisha vitu, flow ya maswali nil....good job King n Mtoto mzuri Hamisa
Hahahhahahaahh keep it up king kiba umenipa amani aiseee your so creative boy
Hamisa nakupenda ila umejibunia kitako haaaa ila ngoma umeitendea haki safi Sana
@@khadijaomar8427 kabisa camera imewatowa vibaya hamisa anakishepu chake cha kubinuka ila hajajibinuwa
King !!!! Naona unajaribu kina cha maji na miguu......🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kiukweli huyu mtangazaji ni kama alikuwa amelewa ni mtazamo wangu kwa jinsi navyomuona.
Aliy kiba nimekupa 👍 kitendo cha kumshilikisha hamisa umeonesha kuwa wa TZ ni ndugu.
Uyu mtamgazaj amelewa kama naww umeona gonga like apa
Alkiba si muongeaje Masha Allah
Ongerra bwana kipa ngoma nzuru na ya heshima big up big bro
Aaaaaa kibaa moto majib mazur kwa DJ dea ataelewaaa tuu
Hamsa dodo Alikiba safi sana kesho tanasha
Journalist your questions is very poor and your very unprofessional job go back to questioning Skool program
King 🤴 hongera xana 💪🏽💪🏽💪🏽
King kiba nakupenda jmn
Munaendna kabisa kiba unalusiwa kuwa na wake waine vpi hamisa uwezi kumuweka apo kwa bi amina nawapenda sana
Namkubali kinoma noma kings & mobeto & na we tbway bila kumsahau DJ professional dea
DJ NDEVU MORO TZ
Tbway umezingua sana kwenye hii interview bro, ushajiona superstar unajisahau.
Kiukweli wamenikomesha mm huwa nawapenda wote misa na kiba🔥🔥🔥
The interviewer should improve in questioning skills....🤔
Lillian Barongo I agree with you, interview questions was really poor, very bad
Mshikaji bado Sana kwenye kufanyia watu interviewer haeleweki Nini anatafuta ufanuzi yy upo kusifia au all question is open question inampa kujibu yes au no Sasa hiyo sio interviewer kachemka na huko sio kumpromot msanii wa kupromot nyimbo akajifunze huo ni mutizamo wangu hapo
Hivi alikiba kimekufanya nn mpaka ukamchukua mama watoto wetu hamisa bila kutushirikisha.
Iko haja uongozi wa EATV kubadilisha mtangazaji kwenye mahojiano na kama haya na ma star...
Baba Ali baba king ukowetu more fire,gonga like za king n queen Amissa
Yaani ww lockdred unamfanyia Alikiba na hamisa umelewa huna adabu hata boss wako anakuruhusu uwe kazini umelewa....nimeangalia hii kwa heshima ya hawa wageni maana wanajiheshimu
Alikiba unanifanya nisifanye kazi
Napenda xana kazi zako sijui nilini
Nitaonana na ww
Hamisa is a leading girl in Tanzania,🥰🥰😆
Mtanfazaji umenichekesha sana mwisho Mwisho
Kweli mashallah king wetu wasikulazimishe kuongee sana wesimuongeaji
Wow watoto wazuri sana interview safiiiii na huyo anouliza ndiye naein nice sana
Ali Kiba na Hamisa mobeto sweetchemistry 🔥🔥🔥
Ongera xn brother king ngoma Kali kinma aisee
Afu kumbe ww hunaga shobo kabisa
Afu huo mtangazaj ajifunze hapo nikzn asiwe anakuja kazn kalewaa maaana anakell nyingiii xn jamn duh
Interviewer: U have chemistry?? Interviewee: Na biology😀😀 haki ya mama hamisa umenifurahisha
What kind of interview is that? The interviewer is learning how to or he is into Mobeto
Kitu sikipendi katika interview ni kutafuta mambo au kulazimisha vitu ambavyo vinahusu mahusiano. Utadhani wamekwenda kuzungumzia ishu ya kukutana na Sio nyimbo mpya... Why?? Alafu hamuoni kama mnamharibia mtu na ndoa yake?? Dah??
Piga kelele kwa king akeee 😙
Big shoutout to Alikiba
Well done misa, aliepoteza muda wako mwambie Huna tena kumbukumbu zake😏😂🇰🇪
Bingwa wa inteeview anayeuliza maswali ya point na mwenye usiliasi na kazi yake ni LILOMMY na MILADAYO hawawengine wanaharibu interview
Huyo mkaka duuh hasa walazimisha watu wamelala pamoja dooh wee noma ally na hamisa mkubalieni aridhike
Ile ngoma noma sana ni👏👏👏👏👏👏👏❤❤❤❤❤❤
King mimi nampenda oyo demoweque.
T bway you know why kwann kapiga pombe kidogo..kumhoji kiba bn c kitu rahis bn...ata akina soud brown.😃😃
I love Kibas laughter😛
Yani hamisa nilikua sikupenda lakini ulivyojiunga na kiba kipenzi changu nimekukubali kinomaaa hongereni sana sana dodo kiboko
No more word is on 🔥🔥🔥🔥🔥
Amisa ni mzuli jaman
Kwann Kila interview watangazaji mnalazimisha wahusika maswali ya mapenz tuuuuuu na sio kazi....kwann usihoj vitu vyenye kuelimisha na viwe mfano kwa wenye kutaka kufanya kz ya Muzik km hawa au waliotangulia?
Hongera hamisa
Piga kazi
Hongera Ally wangu Na Amisa wangu majina yenu ni ya wanangu nawapenda sana
That is good music bro keep it up lameck from Zambia
Maraaaa pa hamisa na ali wanakuwa wapenzi, kwa sababu hamisa achelewi ku babe mimba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Haaaaa !!! Hiyo ni surprise kiba !!!! Ongera sana kiba !!!! Watasema mengi hao
Kiba weka ndani mtoto hamisa mnaendana sanaaa na mnafanana sanaa
Kingkiba
Alikiba ni muislam na hamissa ni muislam na dini imewapa uhurru wakuowa zaid ya m1 soooo nisawaaaa tyuuuuu kibaaaa vuta jikoooo huo ubaba na mwana umetoka wap banaa
Kulthum Mounir uko sawa Ali Kiba umuoe tu,hata suratul Mujadila anakataza watoto wa kupanga kuwafanya kama watoto wenu wa kuwazaa
Sema camera ya EATV imezingua jamani tupo 2020 lakini camera kama ya 2010 inatoa vibaya sana
Nakupenda sanaa alihuna makuu ivyo utadumu milele uko powa nakuomba nenda kwa koffo olomide ukapige sebene moja
alikiba mm naomba upige kazi moja na
ALAIN ITAKUA HAPO UMEUWA BROO
Konyagi sio nzuri nimeamini kupitia uyu host bway
Nimependa sana
Kuna sehem zingine hazichimbiki t bway kausha tu
Much love 👑 bt DODO is 🔥 🔥 🔥
Huyu mtangazaji ndiyo maana Bezz alim chengia haki maswali yake hapana
ManshaAllah nawakubali nyie wtu jmn
Tbway eti ukiekewa Tanasha na Hamisa wachagua nani king uwaga hana shobo brooo mobeto is the best fire
Allykiba bahnaa sasa unashika ndevu ili iweje 🤣🤣🤣😁😁😁mara fuku kushika uso 😝😜😂#DODO
Mumependeza kweli
Safi sana kwa kazi nzuli bro kiba sema tuu unachelewa kuachia ngoma
huyu jamaa anazingua interview mbovu, yupo wapi sam misago.
Sure kabisa,jamaa hajui kabisa hata kuhoji full kuharibu,daaah kaifanya show iwe mbaya..halafu sijui alilewa
Hawa watu nawapenda sana
Yaani interviewer unapata chance kama hii ya ku interview hawa superstar wawili and the only thing unafanya ni kuuliza maswali ya linings hivo😭😭😂😂😂,
Kingkib your the best this is your year sky is the limit though the interviewer was not on point the point here is music big up to hamis and kingkib you really did avery good job👑👑👑
Hamisa kanenepa
Hongereni kwa mazungumzo ya kawaida sana imeojyesha kuwa heshima si lazima ukaribishwe kwenyebmasofa mahojiano yenu yana mafunzo kwa viongozi na vyombonvya habari ambavyo inahisi kuwa bila ya kutengewa sehemu maalum mtu hawezi akahojiwa katika mazingira tofauti. Tujifunze.
All the from South Africa 🇿🇦 just for ali sale kiba...like to juane
Kiba Zama zako zishaisha hiyo sikwaya hiyo kaimbekanusani
@@shukurubilali1505 utakufa kwa roho mbaya 😏😏😏😏😏
Umeongea kitu konk sana hamisa lazima uangalie maisha yako
@@hawasaid6024 tena sanaaaaaa
King kiba uyo na mobeto