nilikuwa uko miez sita ilopita nmeona mabadiliko makubwa hongeren viongoz lkn bado nyumba na majengo ya mji ni duni,ni mngetenga baadhi ya maeneo kama mjini(steshen) kuja mwanga kukawa na restriction ya aina za nyumba ili kuufanya mji kuwa wa kisasa coz saiv haieleweki center ni wap.pili endeleen kupigania angalau kabla ya 2025 mkoa uwe connected na mikoa ya kagera na tabora plus grid ya taifa.Hayo yakikamilika mtakumbukwa sana na wananchi hawatakuwa na LA kusingizia kwenye umaskin
Tunakulewa vizuri unachofanya kwa Maendeleo ya Jamii ,Sio rahisi kukwepa au kukupinga ..Tuko PAMOJA Mbunge wa wananchi .Tunashukuru sana ua-cam.com/video/nPvYV_7H2FE/v-deo.html
nilikuwa uko miez sita ilopita nmeona mabadiliko makubwa hongeren viongoz lkn bado nyumba na majengo ya mji ni duni,ni mngetenga baadhi ya maeneo kama mjini(steshen) kuja mwanga kukawa na restriction ya aina za nyumba ili kuufanya mji kuwa wa kisasa coz saiv haieleweki center ni wap.pili endeleen kupigania angalau kabla ya 2025 mkoa uwe connected na mikoa ya kagera na tabora plus grid ya taifa.Hayo yakikamilika mtakumbukwa sana na wananchi hawatakuwa na LA kusingizia kwenye umaskin
Tunakulewa vizuri unachofanya kwa Maendeleo ya Jamii ,Sio rahisi kukwepa au kukupinga ..Tuko PAMOJA Mbunge wa wananchi .Tunashukuru sana
ua-cam.com/video/nPvYV_7H2FE/v-deo.html
act wazalendo 2020 ndo itashindana na chadema kama na ww una amini kama mm like hapa kumtoa hofu zitto
Zitto Kabwe Ww NDIO MBUNGE. BORA Tanzania 2020, KurA yang CHUKUA
Safi sana, Naomba Mungu azidi kukulinda na kukupa uwezo wa kutetea si wanakigoma tu bali Watz wote kwa ujumla.
Mubarikiwe
nakubal sana yuor our hero
hakika zityo watu watakuponda ila wananch watawaelewa tu .
karii zitoo kabwe
upo sahihi sana yaniiiii
Sema serikali imejenga!
Fara wew
Hii ni kazi ya CCM,,pimbi wewe
Fara wew