UKiwa msomi afu unaweza kureason Halima anatumia taaluma yake vizuri kuna wabunge wengi hapo ata hawajamwelewa Halima wanasubiri posho maana hawawez wakakaa chini wakasoma wakajenga hoja
Halima uko sahihi kabisa ngoja msiba wa Mh Lowasa upite Tumtume Mh Makonda atembelee hapo kitaeleweka tuu na Mh Makonda usimuogope mtu tutakufunika kwa damu ya YESU!
Spika kuwa mwelewa bunge lako lina makundi mawili kuna watu wa ndio mwanzo mwisho hawataki kuikosoa serikali hata wakikuona unakosea kwao ni raha tu.Kuna kundi la upinzani hupata siri hata kabla yako wakitaka kuepusha Serikali na migogoro isiyo ya lazima katika maamuzi yake kundi hili lina msaada kwako.Ni juu yako kupima maamuzi unayotaka kuyafanya.Always be careful usishangae kundi dogo linakuwa na usumbufu katika kazi zako nzuri
Halima akili kubwa pamoja kuwa msaliti wa chadema shida unaongea na akili dogo na watalamu wa majizi hakuna majibu hapo walishapiga hao wabunge na mawaziri wa mchongo
Ukovizuri Madam Halima, nijasiri sana hauogopi ,nakupa 🎉 yako Mungu akulinde kuna siku watakuelewa
Uko vizur Mh Halima Mdee MUNGU akutunze sana
UKiwa msomi afu unaweza kureason Halima anatumia taaluma yake vizuri kuna wabunge wengi hapo ata hawajamwelewa Halima wanasubiri posho maana hawawez wakakaa chini wakasoma wakajenga hoja
Saaaaafi sana ❤
Hawa wana faa kuitwa WABUNGE wa KITAIFA maana hawana chama kwa sasa 😂😂😂😂 safi sana halima mdee
Siku zote Halina uwa namuelewa sana hoja zake.
Halima uko sahihi kabisa ngoja msiba wa Mh Lowasa upite Tumtume Mh Makonda atembelee hapo kitaeleweka tuu na Mh Makonda usimuogope mtu tutakufunika kwa damu ya YESU!
Naombeni no.ya harima mdee jamani
Wataalam wa ulaya walishasema africa si rahisi kumaliza miradi yao kwa sababu viongozi wa africa wanapata amri kutoka kwa viongozi wa ulaya!
Hilo liko wazi kwa anayejielewa❤❤❤🎉🎉🎉 point Iko poa sana
Uko vizuri hlm
Wewe unayecheka pembeni anaongea mambo yakitaifa acha tumsikilize
Spika kuwa mwelewa bunge lako lina makundi mawili kuna watu wa ndio mwanzo mwisho hawataki kuikosoa serikali hata wakikuona unakosea kwao ni raha tu.Kuna kundi la upinzani hupata siri hata kabla yako wakitaka kuepusha Serikali na migogoro isiyo ya lazima katika maamuzi yake kundi hili lina msaada kwako.Ni juu yako kupima maamuzi unayotaka kuyafanya.Always be careful usishangae kundi dogo linakuwa na usumbufu katika kazi zako nzuri
Duh Halima umenona sana mdogo wangu
Huyu na wenzake kwani bado ni wabunge??
Hawa ni Wabunge, itake CHADEMA iitishe Mkutano Mkuu ifanye maamuzi ya mwisho.
Halima akili kubwa pamoja kuwa msaliti wa chadema shida unaongea na akili dogo na watalamu wa majizi hakuna majibu hapo walishapiga hao wabunge na mawaziri wa mchongo
Halima akili kubwa hakuna anayeweza kukujibu wabunge wa ccm wa mchongo akili dogo jitu kubwa mvii mpka ukuda mtupu