Dah. 2024 ndo nasikia hili neo tena siku ambayo nmekata tamaa kabisa Leo ndo siku ambayo nilikuwa nmemwamnia Mungu kama s ww bas wacha niendelee na maisha yangu vyovyote na nakutana na hili neno Asantee Mungu najua bado una kusud na maisha yangu licha ya haya yote nnayo pitia
Hakika ana makusudi na maisha yako. Bado ana mpango nawe na anakuwazia mema. Kabla hajakuumba alikujua na kabla hujatoka tumboni mwa mama yako alikutambua... Yeremia 1:5
Dah. 2024 ndo nasikia hili neo tena siku ambayo nmekata tamaa kabisa
Leo ndo siku ambayo nilikuwa nmemwamnia Mungu kama s ww bas wacha niendelee na maisha yangu vyovyote na nakutana na hili neno
Asantee Mungu najua bado una kusud na maisha yangu licha ya haya yote nnayo pitia
Hakika ana makusudi na maisha yako. Bado ana mpango nawe na anakuwazia mema.
Kabla hajakuumba alikujua na kabla hujatoka tumboni mwa mama yako alikutambua...
Yeremia 1:5
Nakuelewa Sana mtumishi
may GOD uplift you from glory to glory
Namkubar sana mwamba
Amen
Hongereni Sana ICT /IT team .
Jaman kanisa Lako lipo wapi kwa apa daresalaam
Lipo Ubungo Shungashunga karibu na bandari kavu ya ufi.
Karibu sana Mpendwa.
Wekeni somo mwanzo mpk mwisho ili na sisi tujifunze
Amen. Tumepokea, asante sana
Matunda yao