Feisal 'Fei Toto' Salum na Jaffar Mohamed 'watambulishwa Yanga SC'
Вставка
- Опубліковано 2 жов 2024
- Kiungo wa timu ya JKU na timu ya taifa ya Zanzibar Feisal Salum 'Toto' na kiungo wa Wanalizombe, Majimaji ya Songea Jaffar Mohamed wamekamilisha uhamisho wa kuziacha timu hizo na kujiunga na miamba ya soka ya Tanzania, Yanga SC.
Miaka hiyoooooo safi sana @Feisal Salum
hongera Jafari
ndo malipo ya uvumilivu wako.Mungu amekukumbuka na wewe brother kaza buti nakutakia kila na heri brother
Trey Ibrahim duuu huo umafia kabxa
Dio.duguzagu tafuteni.maisha.salam USA marekani freedom Zanzibar people
Khamis Juma pw
Khamis Juma wzm
ok
Bongo Sokaaaaa!! Hahaaaa!! Halafu mnatakaaaa tuwafikie Kimataifaaaaa!! Tupunguzeni porojo kwenye ligi ili tuweze kwendaaa mbeleeee, hatuna mipango endelevu tupo kukomoaaanaa tu!!
Sasa kiongoz wa jku na jezu za yanga za nn ha ha ha
ben branco mzm