Asante sana Prof. Kabudi. Unaielewa historia ya taifa letu vizuri sana. Kiswahili chako ni cha kuigwa na kila Mtanzania hasa wale wenye ulemavu wa kuchanganya Kiswahili na Kiingereza wakidhani ndo wataonekana wasomi. Unakipa heshima Kiswahili chetu.
Prof. Well done siku nitakutafuta niombe historia hii bora kabisa Mungu akihifadhi na kila lililo ovu na akupe maisha marefu ili tusome mengi toka kwako binafsi saluti kubwa kwako
Asante Profesa na salamu kwa wanasingida. Mheshimiwa kabudi bado nakuomba uongee na Mheshimiwa Raisi kuhusu Mkataba wa Bandari Kwani Mheshimiwa Rasi alituambia wewe ni Mtu wa Mikataba. pamoja na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambao kwa kweli unahitaji marekebisho makubwa kwani wazanzibar kwa asilimia kubwa wanasema tanganyika inawanyonya nami sielewi. kabisa Tangyika inawanyojnyaje zanzibar. Mimi Naona tuwe na Nchi Moja tu. na serikali tatu hiyo inahitaji kura ya maoni pande zote Mambo haya naona ni vyema yaongelewe na ninyi wazee sasa hivi. na sio kesho.
Kama huoni Zanzibar inadhulumiwa vipi na Tanganyika basi acha Muungano ubakie hivi hivi lakini sasa mamlaka yote iliyonayo Tanganyika kwa Tanzania sasa ipewe Zanzibar na Tanganyika iwe na Serikali yake kama ilivyo leo Zanzibar. Wazanzibar HATUKUBALI hata siku moja iwe nchi moja, kimsingi hatuutaki tena Muungano kwa sababu Watanganyika wengi hamuujuwi Muungano kwa sababu hauwaumizi, Wazanzibar wote wanatafautiana kusiasa lakini kwenye kudhulumiwa na Muungano wote wanaelewa. Nakutajia mambo machache Wazanzibar hawahawahi kuwa na hata Naibu Spika, Naibu Gavana, kuna taasisi kadhaa za Muungano kama vile NECTA, TCRA, ATCL nk Wazanzibar hawapati hata ujumbe wa bodi achilia mbali management. Kwenye Katiba ibara ya 133 - 144 imezungumzia masuala ya fedha ikiwemo kuanzishwa akaunti ya pamoja, mikopo na misaada, CAG nk mbona ibara hiyo hadi inadaiwa Katiba Mpya HAZIJATEKELEZWA. Fedha ndio uchumi mkiizuwia hapo Zanzibar ndio mumeiua kabisa. Ndio tunasema Katiba mpya tuangalie na tuujadili upya Muungano kwanza tuone uendelee au uvunjwe. Wazanzibar HATUTAKUBALI Katiba Mpya ambayo ni Mkataba mpya bila kuelewana vizuri kwenye hii. Yanayoidhulumu Zanzibar hayatokani na Katiba iliyopo ni kutokutekelezwa tu, kuna assurance gani kwamba Katiba Mpya ITATEKELEZWA 100%?
Amesha ramba asali uzalendo umemshinda sasa anafukuzia vyeo. Tuliambiwa yeye ndio mzee wa mikataba na matumda yake tumeyaona bandari wanakabidhiwa Dubai na watanzania wanafukuzwa kwenye ardhi ya nchi yao wapewe wageni hongera Prof.
Singidani NI jina la kimangati ua barbagi pia hujakosea Sana watindiga NI WA barbagi WA mbugani na wanyaturu hawakutokea ethopia wametokea Somalia wao na Watusi waliondoa wakati moja
Nabii hanaga heshima kwao,,,,,watu kama hawa ingepaswa kuonekana wamekalia ngazi za juu za uongozi wa nchi ili tuyafaidi madini yaliyomo vichwani mwao,,,,ila ndivyo hivyo
Prof. Well done siku nitakutafuta niombe historia hii bora kabisa Mungu akihifadhi na kila lililo ovu na akupe maisha marefu ili tusome mengi toka kwako binafsi saluti kubwa kwako
Prof. Kabudi you are the best!! Asante kutukumbusha Watanzania tulikotoka na tulipo sasa!!!
Mzee Kabudi,sauti ya mamlaka,safi sana.
Asante sana Prof. Kabudi. Unaielewa historia ya taifa letu vizuri sana. Kiswahili chako ni cha kuigwa na kila Mtanzania hasa wale wenye ulemavu wa kuchanganya Kiswahili na Kiingereza wakidhani ndo wataonekana wasomi. Unakipa heshima Kiswahili chetu.
Asante sana Prof. Kabudi
Sikuwahi kufahamu mambo mengi kuhusu mkoa wa Singida
From Kenya i love listening ..to him fluency..
Vizuri sana Mzee.🙏🙏🙏🙏 Kumbe ni ndugu yetu👍
UHUYU BABA NI HAZINA NA RASILIMALI WATU KUBWA SANA KWA TAIFA LETU TANZANIA. TUNAKUOMBEA AFYA NJEMA PROF P. KABUDI. HAPA KAZI TU NA KAZI IENDELEE.
Historia nzuri sana kabudi
Najivunia sana
Prof. Well done siku nitakutafuta niombe historia hii bora kabisa Mungu akihifadhi na kila lililo ovu na akupe maisha marefu ili tusome mengi toka kwako binafsi saluti kubwa kwako
Asante mheshimiwa kwa kutupa elimu kuhusu umhimu wa mkoa singida
the only Prof we have in Tanzania
🎉🎉🎉
Big up Prof Kabudi, popote unapokwenda na kutoa hotuba ...unakuwa super hii haina kupinga... proud of Tanzania...uko vizuri Sana.
Asante Profesa na salamu kwa wanasingida. Mheshimiwa kabudi bado nakuomba uongee na Mheshimiwa Raisi kuhusu Mkataba wa Bandari Kwani Mheshimiwa Rasi alituambia wewe ni Mtu wa Mikataba. pamoja na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambao kwa kweli unahitaji marekebisho makubwa kwani wazanzibar kwa asilimia kubwa wanasema tanganyika inawanyonya nami sielewi. kabisa Tangyika inawanyojnyaje zanzibar. Mimi Naona tuwe na Nchi Moja tu. na serikali tatu hiyo inahitaji kura ya maoni pande zote Mambo haya naona ni vyema yaongelewe na ninyi wazee sasa hivi. na sio kesho.
Kama huoni Zanzibar inadhulumiwa vipi na Tanganyika basi acha Muungano ubakie hivi hivi lakini sasa mamlaka yote iliyonayo Tanganyika kwa Tanzania sasa ipewe Zanzibar na Tanganyika iwe na Serikali yake kama ilivyo leo Zanzibar.
Wazanzibar HATUKUBALI hata siku moja iwe nchi moja, kimsingi hatuutaki tena Muungano kwa sababu Watanganyika wengi hamuujuwi Muungano kwa sababu hauwaumizi, Wazanzibar wote wanatafautiana kusiasa lakini kwenye kudhulumiwa na Muungano wote wanaelewa. Nakutajia mambo machache Wazanzibar hawahawahi kuwa na hata Naibu Spika, Naibu Gavana, kuna taasisi kadhaa za Muungano kama vile NECTA, TCRA, ATCL nk Wazanzibar hawapati hata ujumbe wa bodi achilia mbali management. Kwenye Katiba ibara ya 133 - 144 imezungumzia masuala ya fedha ikiwemo kuanzishwa akaunti ya pamoja, mikopo na misaada, CAG nk mbona ibara hiyo hadi inadaiwa Katiba Mpya HAZIJATEKELEZWA. Fedha ndio uchumi mkiizuwia hapo Zanzibar ndio mumeiua kabisa. Ndio tunasema Katiba mpya tuangalie na tuujadili upya Muungano kwanza tuone uendelee au uvunjwe. Wazanzibar HATUTAKUBALI Katiba Mpya ambayo ni Mkataba mpya bila kuelewana vizuri kwenye hii. Yanayoidhulumu Zanzibar hayatokani na Katiba iliyopo ni kutokutekelezwa tu, kuna assurance gani kwamba Katiba Mpya ITATEKELEZWA 100%?
Mimi sinashaka pro kabudi
Namkubali sana.
Huzee wako unafaida kwetu vijana pa kujifunza mengi ya kimaarifa Na kizalendo big up prf kabudi long life💐
Sana Mashaallah
Asante kabudi uko vizuri tunakuhitaji
It's very good
Real profro
Hongera sana
Amina Amina sema amen ukombozi wa kweli unakuja
Good man
He is always unique...
Asante kwa kuitaja shule yangu ya Mwenge Sekondari sauti ya Mamlaka hiyo.
Huyu ndio professor
Huyu niwaukweli sio wengine wanao ota kama uyoga
SAUTI YENYE MATUMAIN SAUTI UKISIKIA UJUE KUNA KITU HAPO ..HONGERA MH.KABUDI
🔥
Umesoma sana lakini umetuagusha kisa cheyo simamiya ulicho someya
Cheyo kafanya mini tens hapo? Au cheo
Mungu akutunze ww Baba
Baba Pinga kazi nakubari ww mze
Huyu ndo angekuwa rais nampenda sana
Haswaaaa uongozi wa urais unahitaji mtu mwenye akili
Professional person God helps you for everything
Unashangaa dhahabu kama hii haithaminiwi kisa simwenzetu,ila Mungu akuongoze pr Kabudi
Hk kichwa ni balaa,,RIP MAGUFULI
Prof Kabudi apewe majukwaa ili aendelee kutuo historia sahihi na uasilia wa Kiswahili.
Keep it up, Prof Kabudi
Kwa Nini mama kamtoa w ya mambo ya ndani?
Niliuzika Sana.
Samahani mambo ya nje
Jembe jembe jembe sauti haijawahi badirika safi saaana mama akitoka kura yangu nakupa roho saaaafi.
Hiii ndo sauti ya kutunzwa sasa
Mbojo ni hatariii saana kwa wakati huo
Nyerere alikuwa na akili sana
Amesha ramba asali uzalendo umemshinda sasa anafukuzia vyeo. Tuliambiwa yeye ndio mzee wa mikataba na matumda yake tumeyaona bandari wanakabidhiwa Dubai na watanzania wanafukuzwa kwenye ardhi ya nchi yao wapewe wageni hongera Prof.
huyu akiongea hatulii macho
Singidani NI jina la kimangati ua barbagi pia hujakosea Sana watindiga NI WA barbagi WA mbugani na wanyaturu hawakutokea ethopia wametokea Somalia wao na Watusi waliondoa wakati moja
Wana manyoni singida hoyeee
Nabii hanaga heshima kwao,,,,,watu kama hawa ingepaswa kuonekana wamekalia ngazi za juu za uongozi wa nchi ili tuyafaidi madini yaliyomo vichwani mwao,,,,ila ndivyo hivyo
Kabun we ni baraa mkuu mpe uwazir
Vipi yale makonteina ya makinikia na mikataba yake imeishia wapi...
Lengo la historia hiyo kwa mda huu nini,tunaomba kuelewa,na anayesomewa historia hiyo lengo afanye nini
Noah zetu ziko wapi?
9
Mwamba huyu
Vee umnyaturu mbuyani
Mnyampaa
Kwanini ulijitukana mwenyewe nakukumbusha uliokotwa wapi? Do you still remember
Akili yako ndio inaona hivo
Endelea kukumbuka historia na roho yako ya chuki...huwezi mfikia huyu mwamba kwa lolote !!!
Nimeipanda bureee hii historia ya Singida kutoka kwa Kabudi umetishaaaaaaaaaa ungesema na kinyaturu kidogo tukusikie.
Maua yako tunakupatia 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Acha upumbavu wewe nani kakuuliza
Kuwa na heshima kwa viongozi wako
Si lazima kumsikiliza,,,kalale
Prof. Well done siku nitakutafuta niombe historia hii bora kabisa Mungu akihifadhi na kila lililo ovu na akupe maisha marefu ili tusome mengi toka kwako binafsi saluti kubwa kwako
Huzee wako unafaida kwetu vijana pa kujifunza mengi ya kimaarifa Na kizalendo big up prf kabudi long life💐
🎉🎉