Mashaallah shekh Diwani na shekh Ahmad nawapenda Kwa ajili ya Allah kupitia Dua zenu Sina Cha kuwalipa zaidi yakuwaombea yaliyo mema na Bora na mzidi kutupa yaliyo bora
"Bismillahir Rahmanir Rahim"" Allahumma ya manradda Musa ila ummihi ❤wa yaa manradda Yusufa ila abihi bihaqqi innahuu alaa raj ihi la kadir arjii❤ (Fulani) ilaa❤ (fulaani) mutia ❤muhibba❤ masruuran❤ ya maan idhaa aradaaa shay an an yaquula lahuu qun faya qun
We unadhani utapewa tu hazina za watu!! Yani masheikh kukupa hazina za siri za dua sio rahisi utapewa labda kwauchaaache uambiwe njoo njoo. Pia dua unaweza kupewa zote lkni sio kma nawe ztafanya kazi kma kwake
Mashaallah shekh Diwani na shekh Ahmad nawapenda Kwa ajili ya Allah kupitia Dua zenu Sina Cha kuwalipa zaidi yakuwaombea yaliyo mema na Bora na mzidi kutupa yaliyo bora
"Bismillahir Rahmanir Rahim"" Allahumma ya manradda Musa ila ummihi ❤wa yaa manradda Yusufa ila abihi bihaqqi innahuu alaa raj ihi la kadir arjii❤ (Fulani) ilaa❤ (fulaani) mutia ❤muhibba❤ masruuran❤ ya maan idhaa aradaaa shay an an yaquula lahuu qun faya qun
Mashallah
@@omarikable 💜💙
Hapo arjiii fulan,mfano waandika Ahmad Ila asha hatujaelewa hapo
Shukraan ❤
Mariam Mohamed
AllahuAkbar,Allah azidi kukuhifadhi Sheikh 2nanufaika na elmu mbalimbali akuzidishie umri In shaa Allah
MashaAllah tabarakallah sheikh Yusuf Allah akuzidishie ilmu na akufutie madhambi yako 🤲
Asante sana mungu awalipe sn mm nashida na Dua shekhe tumetolokwa😢
Assalam alaykum wa rahmatullah wa barakatuh naomba uniandikiye iyo Dua ameniterekeza na watoto na omba unileze jinsi yakuisoma
Kama siwez kusoma hyo sura ninafantaje
Mashallah , niko Busia kenya nilikimbiwa na na mume na watoto wa 2 hawatembei yapata miaka 4 tokea hapo anaowa wanawake yofauti nisaidie
Pole dear Mimi mwenyewe mpenzi wangu alipewagwa maneno akapndokaga bila mawasiliano na mimi muda
Shekhe atakama kaondoshwa na kafungwa kichawi
Masha Allah
Jina zuri nalipendaga la yusufu jina la kaka yangu
Mungu nisaidie
Ahaa duwa hiyo ndio wanasemaga ni nzur
Asalam ww shekh mie mtoto wangu alitukimbiya ivi myaka2 nataka arudi kwetu naomba unipe namba yako ya sim
Shehee naomba nindikie duya yakumudisha mpenzi wang
Je unaweza kufanya ikiwa hauko twahara?
MashaAllah naomba hiyo number niwapigie Shekh
Naomba musaada mume wangu ameniasha nataka arudi
Ibrahim namba ya tarakim inakuaje naomba msaada
Allahmdulillah 🇲🇿🙏
Ahsant saana shekhe
Tunaomba utusomee unapatikana wapi
Tuandikieni Dua plz
Na mimi nina matatizo hayo nipo mozambique utanisaidiaje ustaz?
Bismilah rahaman rahm
Mi naomba uniandikie dua ya kumrudisha mpenz wangu
Wlkm slm warahmatuallh wabarkatu mashaallah
Mashaallha ahsant saana shekhe
Jambo sheikh nataka dua yako
Shehk dua ndo tatizo tupen namba zenu mtuandikie
Walkum msalm Shekhar naomba dua ama namba ya sm plz
Mwaregesha na pesa ngp
Shekhe Yusuph diwani Unapatikana wapi na tupatie no# zako pls
Naomba hiyo dua
Na wa miaka 5 na ameoa wengine
A alaykum..shekh naomba namba zako za nipate kuwasiliana na ww
Dua ndo shida ulikua utuandikie
Namba munaziandika ndogo
Mfano festo
Vipi hassan
Tupeni namba zenu na pia duwa tuandikieni plz
We unadhani utapewa tu hazina za watu!! Yani masheikh kukupa hazina za siri za dua sio rahisi utapewa labda kwauchaaache uambiwe njoo njoo. Pia dua unaweza kupewa zote lkni sio kma nawe ztafanya kazi kma kwake
Na wala usiwalaumu nawe kasome kama raha yani
Mimi nawe tutafute saatul ijaba ijumaa wenyetu
Habari
Mwalimu dua yake naomba uniandikie samahani sijailewa
ALLAHUMMA YAA MAN RADDA MUSSA ILAA UMMIHI WA YAA MAN RADDA YUSSUF ILAA ABIHI BIHAQI INNAHU ALAA RAJIIHI LAQADIR ARJII FULANI (UNATAJA JINA) ILAA AHMADA MUTWIA, MUHIBBAN, MASRURAN, YAA MAN IDHAA ARADA SHAY AN ANYAKULA LAHUKUN FAYAKUN