😂😂😂😂mwanaume wa hovyo sana uyo ndio akawa anaona nikimuacha nani atakulea 🤣🤣🤣m2 unakaa kwenye nyumba ya mwanamke alafu unasema nyumban kwako kaka unazo kwwli 😂😂😂so far simulizi isha ni kwanza siwenzi kusikiliza kabsa mwanaume anaee vumilia ujinga 🙌🙌🙌🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
mwanamke bahili kweli, mtu mkimiya siwakuaminika hata kidogo, Green snake in the green grass, alafu huyo muoaji sasa hovyo kabisa, kama ni mm talaka ingekua yamngoja 🤣🤣🤣
Ni bora upate pigo la mara moja na siku ztaenda utasahau kulko kufuga kdonda moyon mana hlo ni kama bomu siku lkilpuka ni shda unakua kama mbogo wa porini🤦♀️🤦♀️
😂😂😂😂mwanaume wa hovyo sana uyo ndio akawa anaona nikimuacha nani atakulea 🤣🤣🤣m2 unakaa kwenye nyumba ya mwanamke alafu unasema nyumban kwako kaka unazo kwwli 😂😂😂so far simulizi isha ni kwanza siwenzi kusikiliza kabsa mwanaume anaee vumilia ujinga 🙌🙌🙌🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Majina n FM asante sana simulizi mix be blessed
Uyu nae na msamaa jamani yaani unaona MTU anatembea na wanaume na anamusamee tu aja tusikie vile kutaenda anataka kuama mbuuzi sana uyu mwanaume
Hongera yake bro F M
Duu mwanamkee.mkatili yani mimba umetoa mana unajua ni yainjee yandoa pili mnafikii kweli
Mm ni mwanamke lkn hayo pia cwezi himili
Mmmmh mapenzi bwana
yooo pole sana kadhara
sasa wanawake kamahawa jamani mbona wanatutukanisha wangi watasababisha wenye hawajaolewe
Dah kazara anaficha na yote anaelezew Sasa n Simon dah maneno ya Simon nataman kutoa machoz dah
Kazara atakua kalishwa knyamaaa😂😂😂😂chenye nywele zakeee🤣🤣🤣🙌🙌🙌
😆😆
Simulizi tamu
Kupenda kubaya Sana, huyu mwanamke ni nyoka
Ur voice Fm MashAllah ❤️❤️👌
Nice
Jamn huo ni upendo na nusu a.k.a uzuzu 😳😳😳 mwanaume Umepooza huna hekaheka jmn uwiiiiiiii
Hahahaaaaa uwiii et huna heka hekaa 😂😂😂🙌
Uyo mwanamke mnafiki na muuaji
Uko na sauti nzuri sana nazikiza nikiwa Nairobi Kenya 🇰🇪
Mke wako ni tembele la uani huyo
Kumbe wanaume zuzu bando wapo
Mapenzi haya jamani uteseke tu kwa sababu ya kuwa nimzuli si ubwenge sasa
Love 😘 Felix
Alafu huyu mwanawume ni bwege kbx
Si dhani kunauvumilivu kama huu, so far nimesha kwazikaa. Wanaume kama hawa awapo, labdaa FM😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣eti fm ndio kuna nini
Eti mimi nani kwako mke wangu😁hapo hakuna mke ni chagundua🤭eti utapata mke mnzuri kama susan sasa unzuri wake uko wpi lakini makubwa.unafķi tuh😏😏
Sauti ya fm ni sauti ya mwangi kwenye mawimbi ya bahari
mwanamke bahili kweli, mtu mkimiya siwakuaminika hata kidogo, Green snake in the green grass, alafu huyo muoaji sasa hovyo kabisa, kama ni mm talaka ingekua yamngoja 🤣🤣🤣
🔥🔥🔥🔥🔥👌
Really painful akii 😰😰😰
Dunian kunamambo
Asante
Ni bora upate pigo la mara moja na siku ztaenda utasahau kulko kufuga kdonda moyon mana hlo ni kama bomu siku lkilpuka ni shda unakua kama mbogo wa porini🤦♀️🤦♀️
Mimba sio yako Kazara ndo mana yataka kutolewa jamani jamani wanawake
Nafsi ya mtu kichaka. Ugopa Sana mtu mnyemavu
Mhm Mungu kaniumba mwanamke ningekuwa mwanamme nisingeyaweza siwezi kustahamili hata sekunde kama huyu mhm🤔 FELIX weye je ungeyaweza haya?😁
❤️❤️❤️
Asante