Nnachopenda kumskiliza huyu mwamba ni uchambuzi wake wa facts. Ni nzuri akiendelea kubaki neutral, uchambuzi wa haki na facts...Usije chagua upande...endelea kutoegemea upande, haki na facts tu. Safi🎉🎉
Kuna jamaa alikukebehi sana ulipo shidwa kutumia screen pale tbc lakin mabosi zake wakakuona uko vema wakakuchukua dahh Broo usivimbiane nae ongeza juud ya Kazi na ndo litakua tusi kubwa sana kwake
Kassid pandu we ni mbwa ndio maana Kila miaka unaishia robo robo robo yanga msimu mmjona fnal hakia dona shaidi mlenda hata maisha yako inaoshesha ni ya shida Sana sula ka mende shoga ,
yanga endapo itashinda ubingwa wa caf coferderation anaweza kushiriki klabu bingwa???? au itashiriki katika caf coferderation tu kama bingwa mtetezi????
Duh, maswali mengine ,.....kwanza uelewe YANGA ni BINGWA wa LIGI, hivyo nafasi yake ipo Palepale, lkn pia hatua aliyofikia hata asingekua BINGWA wa LIGI automatically angekua anashiriki klabu BINGWA ijayo...! Sasa Kwa maana hiyo ana nafasi mara mbili....na ndio maana unakuwa ADVANTAGE nafasi yake ipo, na nafasi nyingine itaongezwa kwenye VILABU vyetu vya ndani kushiriki kwenye shirikisho..!..UMEELEWA
@@paulmwanyika7622 BADO SIO SABABU PEKEE BOSS pia ukiunganisha pointz zake na simba na pia sababu kubwa simba yupo top 10 ndo mana anacheza club bingwa na hatakama angekuwa nafasi ya pili bado angecheza club bingwa kama mwaka ambao hakuchukua kombe la ligi kuu misismu miwili nyuma
Kuna jambo hujaelewa nafkiri,... fixture inapangwa kabla , na hizi herufi zinaanza kuoneshwa kwenye hatua ya ROBO....Kwa hivyo huwezi kuweka majina ya Timu Kwa sababu haijulikani ni Timu Gani zitafuzu...! Sasa labda mawazo Yako yafikirie herufi zinakuwepo kwenye preminarry round, sio hivyo...kwenye preminarry round ni majina ya Timu, lkn kwenye hatua ya ROBO huwezi kujua Timu zitakazofuzu , ndio maana kwenye upangaji wanaweka herufi...!
Top top Football analyst. Huyu ndiye mchambuzi bora kabisa Tanzania, with facts. Hongera Mbwaduke
Nnachopenda kumskiliza huyu mwamba ni uchambuzi wake wa facts. Ni nzuri akiendelea kubaki neutral, uchambuzi wa haki na facts...Usije chagua upande...endelea kutoegemea upande, haki na facts tu. Safi🎉🎉
Ahsante kaka kwa uchambuzi❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Huyu jamaa Kwa uchambuzi Yuko vizuri sana . YAAN mpaka unajikuta hakuna pakubishia zaidi ya kumsifia
YANGA mwaka huu imeperfom kwa KIWANGO cha juu MNO....!...ni timu yenye VIWANGO vya NAMBA za juu sana kwenye PERFORMANCE
Pole Sana Ramadhani Iddi Mbwaduke Kwa Kufiliwa Na Mama M/Mungu Atampa Kauli Thabit…!!
This is top professional analyst from Tanzania. mbwaduke always talks football
true
Hongerababa tunakushukuru wewe siokama mvimbilwa maharage wa asubuhi alosema yanga kacheza na timu zaifu, asantezee wa data
Uyu jamaaa ni motoooo 🙌🙌🙌🙌
Nakubali kaka
Nakubari san mchambuzi wangu
Yanga bingwaaaaaaa
Wangeangalia idadi ya magoli mwenye magoli nachache ianzie nyumbani na mwenye magoli mengi ianzie ugenini
Boss kasema YANGA BINGWA
Mtangazi rekebisha matamshi yako tafadhali...ni Young African sports club 😊...fanya mazoezi ya kutosha acha usharobaro watu wanaowatazama ni wengi!
hongera sana mwaduke. wewe ni mchambuzi wa mpira. wengine wanachambua Mbuzi tu
Huyu ndo mchambuzi wengine waje kuchukua shule
Huyu Mzee anajua sana sio wale waganga njaa
We jamaa unajua sana kiukweli Allaah akujaalie afya akuepushe na husda najua kuna watu wasopenda ukweli wanapenda tu kusifiwa hata kwenye hamna
Unafact za msingi mnooo,,hawa ndio wachambuzi wa fact
Kuna jamaa alikukebehi sana ulipo shidwa kutumia screen pale tbc lakin mabosi zake wakakuona uko vema wakakuchukua dahh Broo usivimbiane nae ongeza juud ya Kazi na ndo litakua tusi kubwa sana kwake
Nani huyo, ilikuaje
Mjomba nakumbali Kwa uchambuzi mm namfatilia Kila siku kazi njema sanaa
Real Analyst
Naitakia yanga ushindi wakiwa nyumbsni na ugenini.Inshallah.Kutoka LUNGALUNGA KENYA
Amen
Ramadhani we ni bingwa data
Nimekukubali Mzee wa data,tunayo mengi ya kujifunza kwako.
Hii ndo channel ya kuitazama maana unajua usivyo vijua kwny soka
Yanga wajipange wafunge nyumbani zaidi ya BAO 2 na wasiruhusu goli hata moja
Mchambuzi ni mmoja tu Tanzania ndio Huyu Ramadhani
nimekukubali mwamba
Yaani huyu mchambuzi ni Shidaaaa
Kassid pandu we ni mbwa ndio maana Kila miaka unaishia robo robo robo yanga msimu mmjona fnal hakia dona shaidi mlenda hata maisha yako inaoshesha ni ya shida Sana sula ka mende shoga ,
Al ahly walilalamikia kutangazwa kwa uwanja baada ya mechi ya kwanza ya nusu fainali...CAF
uko vzuri .mzee wa data
Hatujutii kujiunga nanyi
Ata kombe lenyewe linawataka wananchi
Kweli huyu jamaa nimwamba
Uchambuzi kisomi sio kama wale wenzangu na mie
Anajua anachoeleza sio wale wachambuzi kenge
Pandu pole na homa. Utaumia sana
66 kwa 77
Kombe letu
mayele 6
wao 4
Samahani Mzee wa data mbona sijawahi kuona final iko Mara mbili Kama nusu fainali
umeanz kushabikia mpira huu mwaka
Tunaomba ufafanuzi
Kwani saiz yanga imekua nafasi yangapi? baada ya kumtoa malumo gallant?
Nafasi ya 18 inapoint 20 nyuma ya USM ALGER ambayo ni ya 17 inapoint 22
MECHI YA YANGA SC VS USM ALGER ua-cam.com/video/nYLlQh2t8UI/v-deo.html💥💥💥
yanga endapo itashinda ubingwa wa caf coferderation anaweza kushiriki klabu bingwa???? au itashiriki katika caf coferderation tu kama bingwa mtetezi????
Yanga itashiriki klabu bingwa kwasababu ni mabingwa wa ligi ya nchi yao....
@@paulmwanyika7622 kwa hiyo nafasi ya bingwa mtetezi wa caf coferderation inakuwaje hapo??
Duh, maswali mengine ,.....kwanza uelewe YANGA ni BINGWA wa LIGI, hivyo nafasi yake ipo Palepale, lkn pia hatua aliyofikia hata asingekua BINGWA wa LIGI automatically angekua anashiriki klabu BINGWA ijayo...!
Sasa Kwa maana hiyo ana nafasi mara mbili....na ndio maana unakuwa ADVANTAGE nafasi yake ipo, na nafasi nyingine itaongezwa kwenye VILABU vyetu vya ndani kushiriki kwenye shirikisho..!..UMEELEWA
@@geraldmwaigomole3465 Yanga atashiriki klabu bingwa kwakuwa ni bingwa wa ligi ya nchi yake...
@@paulmwanyika7622 BADO SIO SABABU PEKEE BOSS pia ukiunganisha pointz zake na simba na pia sababu kubwa simba yupo top 10 ndo mana anacheza club bingwa na hatakama angekuwa nafasi ya pili bado angecheza club bingwa kama mwaka ambao hakuchukua kombe la ligi kuu misismu miwili nyuma
Mie sina cha u Tanzania yanga Apigwe Tu tena za kutosha
Watu kama nyie mpo wengi tu😂😂🤣🤣
Unateseka ukiwa wap mayeleeee
Mayele huyooo
Mkuu wivu unakusumbua huna lolote
Wewe kusharigwa wewe hujijuwi tu bwege wewweee
Hili kombe ni dogo na Ndio Maana ni mechi mbili
Hata club bingwa ni mechi mbili
Upo gizani mkuu,,hata club bingwa ni hvo hvo
Huyu wivu unamsumbua
Dogo? Simba wangeroga hadharani?
Wewe ndo zero, hujui kwamb na hiy unayoita kubwa ni mara 2,pole San, acha kukurupuka
Mimi sikubaliani na maelezo yako Ni lazima hizo initionals Letters Q1 Q2 S1 S2 etc zilielekezwa kwa Timu husika
Kuna jambo hujaelewa nafkiri,... fixture inapangwa kabla , na hizi herufi zinaanza kuoneshwa kwenye hatua ya ROBO....Kwa hivyo huwezi kuweka majina ya Timu Kwa sababu haijulikani ni Timu Gani zitafuzu...!
Sasa labda mawazo Yako yafikirie herufi zinakuwepo kwenye preminarry round, sio hivyo...kwenye preminarry round ni majina ya Timu, lkn kwenye hatua ya ROBO huwezi kujua Timu zitakazofuzu , ndio maana kwenye upangaji wanaweka herufi...!
Huyuuuu
tuereze wew
S1 semifinal ya kwanza
S2 semifinal ya pili
Huwezi jua nan ataenda nusu fainali
naona mwamba kidogo uanze kucheka baada ya kutajiwa idadi ya pasi tuu hukutegemea kupewa data kubwaaaa
Yupo sawa anasema kilicho💪
Yanga Mchukueni Hiyo Jamaa Mzee Wa Data
Kwani kucheza nyumbani na ugenini ilianza lini