MANENO YA ALLY KAMWE AKISHUHUDIA MAZOEZI UWANJA WA KMC | AFUNGUKA MENGINE KWA WANANCHI

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 80

  • @OlivaMHANDO
    @OlivaMHANDO 10 днів тому +15

    Kira la heri, mwenyezi MUNGU awajalie afya njema na uyimara zaidi, awalinde na kuwasimamia katika mechi zijazo, akawaepushe na majeraha akawakinge na damu ya mwanae YESu Christ ameeeeeeeeen

    • @LucaiyaKyaka
      @LucaiyaKyaka 10 днів тому

      Aamina Inshaallah

    • @khamissehel-jr1cs
      @khamissehel-jr1cs 9 днів тому

      ww maombi gani hayooo damu ya mtu toka lini ikatoa ulinzi? unaacha kumuomba mungu unaomba kupitia damu huo ni uzwazwa

    • @KaungaDory
      @KaungaDory 9 днів тому

      Acha ujinga heshimu Imani ya mwenzako hujui Iman yake inamchango gani katika kuleta mafanikio ya timu ambayo ikifanikiwa hata wewe hufurahia. Hauombi unabaki kukosoa utachelewa sana kufanikiwa.​@@khamissehel-jr1cs

    • @KaungaDory
      @KaungaDory 9 днів тому

      ​@@khamissehel-jr1cs😢

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 10 днів тому +3

    Kila la kheri nyote kazi njema MWENYEZI MUNGU awadangulie awapikanie awashindie awaweseshe vyema katika Jina la YESU KRISTO barikiwa Sana Yanga

  • @DominicMakamba
    @DominicMakamba 10 днів тому +6

    Mungu azidi kutusimamia Dar Young African Sports Club

  • @HassanMfullu
    @HassanMfullu 10 днів тому +5

    We win together....We lose together,A point of No return 🔰

  • @zuberimusamazari7003
    @zuberimusamazari7003 10 днів тому +5

    Mungu akulinde na macho ya makolokwinyo

  • @AishaMsungi
    @AishaMsungi 10 днів тому +8

    All the best

  • @saidikomba3120
    @saidikomba3120 10 днів тому +3

    Mungu atufanyie wepesi wake

  • @fatmaomar8335
    @fatmaomar8335 10 днів тому +4

    KILA LA KHERI INSHAA ALLAH DAIMA MBELE NYUMA MWIKO YANGA BINGWA INSHA ALLAH

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 10 днів тому +1

    Safari njema kila la kheri kwenu nyote MWENYEZI MUNGU awadangulie awapikanie awashindie awaweseshe vyema katika Jina la YESU KRISTO barikiwa Sana shalom

  • @hafia.056
    @hafia.056 10 днів тому +1

    Wananchi wooote vipi lakini apo sugar muwaa good 👍 stuff eeeee thank you so much wananchi wooote 😅

  • @patrickmanamla1413
    @patrickmanamla1413 10 днів тому +6

    Yanga bingwa 🎉

  • @JuliusThadeo-z6g
    @JuliusThadeo-z6g 10 днів тому +1

    Tunawaombea snaaaa mungu ibariki Yanga yetu jmn

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 10 днів тому +3

    Daima mbele nyuma mwiko button wananchiiiiiiiii 🟢💚💛

  • @IreneMatambwe-zs6uu
    @IreneMatambwe-zs6uu 10 днів тому +8

    Mungu yu pamoja nasi huu mwaka tutabeba makombe yooote. Nawaaminia vijana pamoja sana.

  • @LucaiyaKyaka
    @LucaiyaKyaka 10 днів тому +1

    Kilalakheir kwenye Safari yk Babaa Allah akulinde na Mabaya Inshaallah

  • @lonickking45
    @lonickking45 10 днів тому +5

    Yanga bingwa

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw 9 днів тому

    Tunaipenda yang yetu

  • @abicotv4897
    @abicotv4897 9 днів тому +1

    Mwambie Engineer Hersi wote wazawa wa midfield ambao hawapati namba saiv awaachie asajiri wengi wapya wazawa... mtu kama mkude, sure boy na Musonda, wameshazeeka waachie nafasi😂😂😂

  • @EliasGetruda
    @EliasGetruda 10 днів тому +3

    Utafk mbal bro unajua san, haukj ynga kwa baht mbaya we mwamba ten mwamb kwel kwel

  • @leoninga-y8i
    @leoninga-y8i 9 днів тому

    Brand yayanganikubwa

  • @pelisiuskalikule1345
    @pelisiuskalikule1345 9 днів тому +1

    Jitahidini kuwa na siri za tambo hasa kwenye mechi muhimu za maamuzi. Mechi ya Makolo Machi 08,2025 msiweke wazi mipango yenu.

  • @MalinoKadwame-u1c
    @MalinoKadwame-u1c 10 днів тому +2

    Aly kamwe ndo mana hunenepi una maneno mazito mno 😂😂😂😂

  • @LucaiyaKyaka
    @LucaiyaKyaka 10 днів тому +1

    Alhamndulilah

  • @alishaplate6290
    @alishaplate6290 8 днів тому

    Team hii naipenda sana nitashuka na ww

  • @saidingumbo-is2oe
    @saidingumbo-is2oe 10 днів тому +1

    Mmetuzingua bwana mmeshindwa song na marefa hamjuwi kilichotumika na mamerod na sisi tumeshindwaje

  • @songombingo108
    @songombingo108 9 днів тому

    Jamani mkae mkijua moto wa Yanga safari hii kwenye Ligi utakuwa balaa. Mark my word kuna timu zitalalamika sana

  • @JamilaMbaruk-j3m
    @JamilaMbaruk-j3m 10 днів тому

    Mungu ibariki Yanga tunaanza ukurasa mpya

  • @sadokimtondoabahenya31
    @sadokimtondoabahenya31 10 днів тому

    Kila la kheri msemaji wa dunia 😊

  • @lumistarboy8499
    @lumistarboy8499 9 днів тому +1

    Daima mbele nyuma mwiko

  • @GodfreyKarino
    @GodfreyKarino 10 днів тому +4

    Yanga Africans

  • @alexferuzi4586
    @alexferuzi4586 10 днів тому

    Yanga bingwa💯

  • @vicentsagudasheyi564
    @vicentsagudasheyi564 10 днів тому +1

    💛💚💛💚💛💚💚

  • @EvaNdayishimiye-n5o
    @EvaNdayishimiye-n5o 10 днів тому +1

    Kwakweli maumivu jama langu ila hakuna namna nikushukuri kwakila jambo inshallah mwaka ujao kwama jaliwa yamwenyezi mugu

  • @DoryGeorge
    @DoryGeorge 10 днів тому

    Kila la heriii❤

  • @OLIVIANGIMBWA
    @OLIVIANGIMBWA 8 днів тому

    Mungu awatangulie

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 9 днів тому

    Mola awe nanyi matokeo mazuri inshallah

  • @MuslihiShafii
    @MuslihiShafii 10 днів тому +1

    Kazi njema

  • @innocentmmandago3029
    @innocentmmandago3029 10 днів тому +3

    Kila la heri, Wananchi

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady2420 10 днів тому

    Allaah Akbar

  • @BarakaNyakuruha
    @BarakaNyakuruha 9 днів тому

    Kuhusu yanga bingwa Hilo haipingiki kabsa

  • @mealsbymana6561
    @mealsbymana6561 10 днів тому +1

    🎉🎉💚💚💚💛💛

  • @beatusmajumbi7125
    @beatusmajumbi7125 10 днів тому +2

    Kilichobaki ni kuchukua makombe YOTE ya ndani na kumfunga Simba goli zaidi ya 3 kwenye derby inayofuata,

  • @YusuphRobert-y6h
    @YusuphRobert-y6h 10 днів тому

    Inshallah

  • @leoninga-y8i
    @leoninga-y8i 9 днів тому

    Kamakawaida yanga bingwa

  • @VIVIANMUKULU-kr8xp
    @VIVIANMUKULU-kr8xp 10 днів тому

    Alhamdulillah, tunaanza tena ila nikuombe semaji tuwe makin na mechi zetu zote maadui maadui niwengi wasije wakatufanyia kama walivyotufanyia klabu bingwa, ukitaka kuamini angalia mechi zote tulizoshindaga maadui wetu walikuwaga nchini? Utapata jibu,

  • @MonicaSimon-py3nx
    @MonicaSimon-py3nx 10 днів тому

    Mbona wachezaji wengine hatuwaon jamani wako wapi nawale wapya

  • @AgenesMugema
    @AgenesMugema 9 днів тому

    Neema ya ushindi ikawe juu yetu tutetee makombe yetu.

  • @ewaldambrose6136
    @ewaldambrose6136 10 днів тому

    Leo umesahau kusema gusa ondoka Rudi kucheza na vitimu vya daraja la nne😂

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 10 днів тому

    msemaji wenu mshamba..bora manala😂
    huyu bado anashangaa business class..hahahahaaha

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 10 днів тому

    Kila la kheri

  • @swaleheukwaju2225
    @swaleheukwaju2225 10 днів тому

    Endeleeni kuwakuwadia wachezaji Malaya halafu mkiambiwa mnasema tunawaonea wivu halafu Kama tutapata ubingwa wowote msimu labda hizo Tabia hiyo muache

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 10 днів тому

    Hayo malengo hayatakikani mdomoni twataka miguu ndio ifanye kazi ata kutoka nje nashindwa 😢

  • @AlfredBowa-b8r
    @AlfredBowa-b8r 9 днів тому

    Vile vindundu vinapendaga KUJITEKENYA vikolo

  • @bernardmboma1461
    @bernardmboma1461 10 днів тому +1

    Hayituhusu sisi wanasimba munajifaliji . Sikwiizi ni achiaa twende makumbusho 😂😂😂

    • @matrida.lunyilija5196
      @matrida.lunyilija5196 10 днів тому

      Rudi shule,hujui kuandika mvunja viti fc dunduka mmoja chomoa kama imekuuma

  • @FatyhiaHusen
    @FatyhiaHusen 10 днів тому

    Ali kamwe usiongee sana tusije tukadhalilika

  • @AthumaniAbdallah-y2l
    @AthumaniAbdallah-y2l 10 днів тому +1

    Aliywewe nibingwa hufananinahaotuliababa

  • @allymaranya
    @allymaranya 10 днів тому +1

    Ujaondok

  • @salomemongi1246
    @salomemongi1246 10 днів тому +1

    Mpare bwana, business class naona ni mara yako ya kwanza

  • @bernardmboma1461
    @bernardmboma1461 10 днів тому +1

    Mambumbu mashabiki wa yanga wanachekelea kufeli club bingwa 😂😂😂.yimebaki historia. Mpira wa magazetini Simba matendo tu. Endeleeni kununua mechi ligi kuu ndo maana kwenye msimamo mupo wa 20😂😂

    • @ladweykiwelu9035
      @ladweykiwelu9035 10 днів тому

      Simba ndo wanaongoza kutuuzia mechi kama. Ubingwa tumeupata baada kuwafunga 5-1 raundi ya Kwanza na 2-1 raundi ya pili yaani goli 7 na point 6

  • @ewaldambrose6136
    @ewaldambrose6136 10 днів тому

    CAF kwenda kuiangalia Simba ikipangiwa Makundi 😂

  • @WelcomedayoMedia
    @WelcomedayoMedia 9 днів тому

    ua-cam.com/video/ZgX20GfyacA/v-deo.htmlsi=qLYe8PWs2uZHXjtG

  • @bernardmboma1461
    @bernardmboma1461 10 днів тому

    Ww umengia lini robo club bingwa danganya hao mashabiki wako mambumbu. Simba club bingwa kafika mara tano. Ligi mutachuwa Kila misimu maana tajiri wenu kununua vilabu 8 ligi kuu. Sisi tutawaonyesha kimataifa 😂😂😂

    • @ladweykiwelu9035
      @ladweykiwelu9035 10 днів тому +1

      Kumbuka yanga ilicheza na mamelodi ilikuwa ishapita robo na ilikuwa inaelekea nusu ndo wakatolewa na mamelodi Kwa penati baada ya goli la Aziz Ki kukataliwa

    • @ladweykiwelu9035
      @ladweykiwelu9035 10 днів тому

      Alafu unajisahaulisha vipi nawakati nimsimu huu uliopita

    • @ladweykiwelu9035
      @ladweykiwelu9035 10 днів тому

      Msimu juzi Shirikisho fainali, msimu Jana club bingwa Robo fainali na Msimu huu imeishia makundi club bingwa. Kizuri unaweza hata kucheki mwenyewe na kujiridhisha usije ukaonekana haufuatilii boli

    • @lucymsheshi5871
      @lucymsheshi5871 9 днів тому

      Nenda shule kajifunze Kwanza kuandika ndio uje huku

    • @bernardmboma1461
      @bernardmboma1461 9 днів тому

      @lucymsheshi5871 😂😂😂 kenge ww umevamia msafala wa mamba kumbe kenge