#kivumbi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лют 2025
  • #kivumbi "SASA NIPO TAYARI KUFA" TUNDU LISU ATOA TAMKO ZITO LA CHADEMA "NIPO TAYARI KUFA , KUFUNGWA"

КОМЕНТАРІ • 14

  • @titonkwabi7430
    @titonkwabi7430 6 днів тому

    Chizi kakabidhiwa sime 😂

  • @fransicmushenyera9302
    @fransicmushenyera9302 9 днів тому

    umeyamwaga utayazoa mwenyewe

  • @NungulaRais
    @NungulaRais 9 днів тому

    Hii

  • @IsabelaMwenda
    @IsabelaMwenda 12 днів тому

    Watanzania tunapenda amani we sio kabisa watanzania tuamuke sasa

  • @HARUNAMABITA
    @HARUNAMABITA 6 днів тому

    Tunataka mabadiliko

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 8 днів тому

    Mpigeni shaba kwani yy nani?

  • @josephmchila6467
    @josephmchila6467 12 днів тому

    Akina Mdee wakaribishwa

  • @IsabelaMwenda
    @IsabelaMwenda 12 днів тому

    Tumechoka bwana akuna anayekusifia mkenya

  • @bongo39
    @bongo39 12 днів тому

    😂😂😂

  • @OlivaMHANDO
    @OlivaMHANDO 13 днів тому +2

    Mora peke tosha kwako lisu na team yako nzima,, pige magoti muumba wenu,, awasimamie na kuwatangulia katika mikutano yenu yote,, yy ndo pamabanaji wa pambanaji, mpiganaji wa piganaji,na YESu ndo mshindi wa washindi,, akawashindie vita hii ngumu, akawalinde na kuwakinga na damu ya mwanae YESu Christ popote muendapo..

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr 12 днів тому

    Wanasifia nn ? Hiki chama kimefanya makosa kumuondoa Mbowe...subilini kidogo

  • @yaronaWilliam
    @yaronaWilliam 11 днів тому

    Ni wajinga tu wanaompuuza Lissu,

  • @KopiscoIsaya
    @KopiscoIsaya 13 днів тому

    Kichaa kapewa Rungu.chadema mtakoma