Paul Clement ft Calvin John - Atainyosha Njia Yako (Official Video) Skiza Code - 7385233
Вставка
- Опубліковано 22 вер 2024
- Wimbo Wa umeimbwa na Mtumishi wa Mungu Paul Clement ATAINYOSHA NJIA YAKO kutoka kwenye Album yake ya AWE Live Recording.Akiwa Amemshirikisha Calvin John
Audio - Fisher Records
Video - Magulu
Producer - Taz Goemi & John Marco
Music Director - Joel Alfredy
Aux Keys - Victor
Lead guitarist - Emmanuel Gripa
Bass guitarist - John Marco
Drums - Tito Philemon
Back-vocals - Derick, Calvin, Edina, Lidya, Vaileth na Nice.
#paulclement#ataionyoshanjia#fisherzrecord
Mungu anainyosha njia Yangu, barikiwa saana mtumishi wa Bwana Paul Clement. Ani playlists yangu priority songs n nyimbo zako, sometimes naona huwa unatunga nyimbo zako kwa ajiri yangu bac,
Mungu azidi kukuinua ili ziendelee kuja za kutosha mpaka shetan aone aibu
Amen barikiwa sana mtumishi
Ameen mtumishi.
Amina
Sana
I know I'm kinda randomly asking but do anybody know of a good site to watch new movies online ?
UIMBAJI MZURI MZURI UBARIKIWE SANA, NASHAURI USITUNGE NYIMBO FUPI NAMNA HII KURUDIA RUDIA MANENO WAKATI KUNA MISTARI YA BIBLIA IPO MINGI KUHUSU NJIA
Saut nzito y Calvin inanifanya nimfatilie, nampend Sana.. Nyimbo yke y NI wew NI ringtone yngu..
Asante bro Paul kwa huo wimbo umeubariki moyo wangu,Mungu atainyosha njia yangu Amen Amen
kweli njia yangu ina mabonde ...mapito nayo ni mengi BUT Mungu unanambia Nisiogope....
Natamani kuhudhuria live matamasha ya paul clement lkn sijawahi kupata nafasi ,na hata ck nikipata chance ya kuongea nae hta dk 5 nitatoa sadaka kanisani cause n m2 anayeimba kiasi cha kwamba wa2 wanafarijika kuliko hata anavyodhani,GOD BLESS U.
Yesu asante kumtumia mtumishi wako kunivusha mahali naomba endelea kumuongoza zaidi "kiukweli kk Paul umenitungia huu wimbo umenitia nguvu sana Mungu akubariki
Waooh nikwer atainyosha njia yangu just bilivu👏👏👏👏👏👏
Jmn nmebarikiwa mpk xo poaaaa guyz Mungu awabariki kwa colabo fantastic.........
Yaani utukufu huu ni Mkubwa mno barikiwa sana mtumishi hii ni level ya juu mno
Amen barikiwa Mungu akupe hekima akufundishe vyema ukawe manukato madhabahuni pake
Hakika atainyosha njia, nimebarikiwa sana na huu ujumbe Mungu akubariki sana
Napenda nyimbo zako sana unafanya vizuri,unasautu nzuri sana Mungu akubariki
mtumishi napenda sana jinsi unavyoimba huku unaringa kwa kujiamini kwa kuwa unafahamu hakika kuwa Mungu ni mwaminifu milele
Nic San broo
God bless you mtumishi mnafanya kazi nzuri sana nabarikiwa sana mimi na familia yangu
Ubarikiweeee mnoo mtumishii
Nakukubali bro👍 fanya kazi ya Mungu ila nyimbo hii imenigusa sana 🙏
nyimbo ipo vzr mzd kubarkw na BWANA YESU
Aliemuona Elizabeth Michael katika tamasha aseme Amen.
This is for me once again,,,uliniandkikia mm,,I don't know ulijuaje Kuna ck ntakuwa Kwenye worse situation.MUNGU NA AINYOOSHE NJIA YANGU
Kwa Imani atainyosha njia yangu
Calvin mdogo wangu Mungu azidi kuinuliwa kupitia sauti yako. God bless you
Atainyoosha njia yako, ubarikiwe mtumishi pau clement
Unanibariki mno paul Mungu aendelee kukupata mafuta mabichi
We are having a worship Night in September and in our playlist we have 7 of your songs, this is proof that you are taking over East Africa at large. Your songs have been a blessing to us here in Kenya. God bless you Paul Clement
Karibu ndugu,ni vipi naeza nkaungana na fisherRecords kutoka Kenya
Powerful sana hii ..wow
His songs are a blessing to us
Asanti kwa wimbo hu wanipa furaha. Mungu awa bariki
nimelia kwa furaha,kupitia huu wimbo umenipa imani kwa ninayopitia
Mungu azidi kukuinua Paul Clement,I can feel God is here🙌🏻🙌🏻🙌🏻
This song deserves 1000 likes and a 1000000 views
Mungu azid kukuinua bro, mashair yako hayabariki tuu Bali yanapandikiza hatua mpya mioyoni
atainyosha tu njia yangu,ataondoa viging vikwazo vingi vyoote
Mungu akufunike Poul na Calvin kaz nzur
Utukufu wa mwisho utakuwa mkubwa kuliko wa kwanza atainyosha njia yako ni wimbo uliobeba maneno yenye nguvu sana🔥🔥🔥 barikiwa mtumishi wa BWANA
Calvin john....made the song awesome.....big up kidoooo......your a bless to me and my family.....you sang with our late sister catherine mkami.....we hear the song together with her its a blessing
Ameeen kazi njema na mungu ataendea kuonyesha njia kuu
Calvin john ....we ni htri kijan. daah ww ni moooto nimevuaa ... kofiaaa
Yes i agree with Gods word that yes it is him who makes straight our crooked psth.May the Lord straighten in my life every psth that seems u straight.
Nyimbo zako zimekuwa baraka kwangu. Mungu akuinue zaidi
Tanzania bado saan kwenye mamb ya kumuabudu mung katika roho MTU anapokuw anaimb tunaon kam anaburudisha tu ..na sio kutupeleka sehem nzuri...nashangaa San ... wat wamekaaa wametulia ... tu daah hata kupata msisimko mm nmeuskia tu alivyoaanza nikapata feeling flan za kumuamudu mungu Lakin watu waliop live wamekaaaa daaah kweli bado saan sisi watanzani Paulo Clement ..we ni hatr kaka keep it up Broo...
Kwa nin Kila saaa tuisemee Tanzania yetu vibaya.
Kwani poul Clement ni wa wapi?na wew ni wawapi? Na unajuaje mahusiano yao na Mungu wao.
Kama umeona hawapo katika roho waombee.
Pia ifike mahali tuisemee mema Tanzania yetu.,tuibariki,na tuwasemee wengine baraka.
Naumia Mara nyingi naona watu wanaisemea Tanzania bado Sana.
Tusijidharao.....sisi no uzao mteule,ukuhani kwa kifalme...... ......... Tanzania Mungu atainyosha njia yako🏞️🎵🎵🎶🎶🎼🎼🎼🎼🎧🎧
Naiona Tanzania yangu ikipiga hatua kwenye live band asante Mungu kwa hatua hii ...tunatamani zaidi na zaidi ....
May the Lord bless you paul✨.words in your songs carries powerful messages.Napokea🙏 kunyooshewa njia yangu
Kwa kweli na hakika
Great sana, Bwana azidi kukutumia kama apendavyo
Atainyoosha njia yako mtumishi paul clement
Mimi nataka DVD za hii AWE nazipataje kaka Paul Clement
Nijapopitia magumu sitaogopa,Amen
Kaka naipenda kazi ya Msalaba ndani yako...Jina LA Yehova liinuliwe milele..asante kwa himizo kupitia utenzi huu.Nasubiri kukuona Ijumaa ijayo Nairobi CITAM Karen pamoja na Soweto Gospel Choir
TRULLY ATAINYOSHA NJIA YANGU......HATA VIJE VIKWAZO NA MABONDE KIBAO, ATAINYOSHA TU KWA WAKATI WAKE SIOGOPI..!! BARIKIWA PAUL CLEMENT KWA BONGE LA TRACK, ONE LOVE FROM MOMBASA KENYA..!!
Nabarikiwa sana na huu wimbo. MUNGU Awabariki
Brorher paul siku zote unahudumia nafsi yangu Mungu aishiye ndani yako na Adumu milele wewe ni baraka sana. Atainyosha njia yangu
Hallelujah, Bwana wetu Awabariki saaaana!
Nice song my dad jimbo inanibariki sanaaa
Am blessed this way is to long but mungu atainyosha hadi nifike pale ninapo patamani kufika
Mungu awabariki
Very nice song barikiwa sana Mungu azidi kukuinua
njia inamabonde na mapito mengi but siiogopi AMEN. brother PAUL CLEMENT
Hii nyimbo imenijenga kitu. Calvin John, Mungu huinua watu wake kwa wakati wake. Nyimbo ya Genesis nimesikiliza siku nzima
Uyu Calvin namuona mbaliii sanaaaa but definitely am blessed with the song
Naamini Mungu atainyosha njia yangu 2020 mbarikiwa mtumishi Mungu azidi kukuinua
Wow!At first i thought it was Nigerian or SA song,,Only to realise its Kenyan..God bless your ministry Paul Clement !!These are the last days.Lets repent and thank God for wvery breathe of life we receive.He will make our ways straight.The worship in this place is so strong that i can feel it as i listen to this song.God bless Kenya.Type an Aimen to Gods work through Paul Clement
Alex Mwangi Its not kenyan its Tanzanian bro.
Oooh🥺It is so lit👌
I cannot stop listening to this song.Awesome Worship from Paul Clement.
Congratulation bro Paul Clement your doing amazing your phenomenal minister a lot are influenced through your life style may God increase abundance .
Kuuona 2 nkatafut like button,,,its powerful..
Mungu wa mbinguni akubarik sana kaka kwa nyimbo hizi,, ninapo zisikiliza na kuitazama , Ghafra Uwepo wa BWANA hunitembelea kwa nguvu na mala humuadhimisha yeye kwa namna ya tofauti Sana.
MUNGU WA MBINGUNI ALIYE MKUU SANA AENDELEE HATA KUINYOSHA NJIA YAKO, ADUI ASIPATE NAFASI KABISA.
Kaka hakika wanibariki sana mungu akuinui zaidi na zaidi
Naipenda huduma hii,mob love from kenya
Calving unasautii nzur ubarkiwe mungu akuinue kwa viwango vya juu
Kila nikisikiliza nyimbo zako napata nguvu na hali ya kumtegemea mungu na kuona mafanikio yangu
Amen
Mungu akubariki Paul kwa kazi yako murua
Wimbo umekuwa Baraka sana mtumishi
Uzidi kubarikiwa
MBONA WANAMZIKI HAWAONESHWI SANA SECOND PIANIST HATUMUON #maoni
I prophesy before this year is over God will going to straight my ways
Paul wewe nimtumushi wa Mungu. Anaedhani una Fanya entertainment hajakusoma bado.Unanigusa sana nauimbaji wako. NAKUPENDA from a brother to a brother.
Ni kweli atainyosha njia yangu , hata kama Ina mabonde mengi kiasi gani, Yeye atainyosha njia yangu maana hajawai kushindwa. Barikiwa Sana mtumishi
Atainyosha njia fire fire🙌🙌🙌
Amazing man of God ...Mungu anaita watu kwa namna tofauti. .am just thinking wewe brother umeitwa kuleta faraja katika jamii ya watu waliokataa tamaa. .Joel lwaga ameitwa katika ukiri wa maneno ...naona Dr ipyana ameitwa in total surrender to God ...sijui mawazo yangu ama nini ..God is doing something in Tanzania for the revival ambayo itasweep dunia yote
Am blessed
God will indeed straighten our crooked path and remove the obstacles that the enemy has laid against us.this is a very powerful and scriptural song.May the almighty God and our savior Lord Christ grand u more grace for his service. Be blessed as you bless God's people.
Paul Clement anajua.......
Atainyosha njia yangu AMEN 🙏🙏
Atainyosha njia yangu...AMEN
Wooooow Tanzanian Gospel goes classic stay blecd broh
@paulclement
I always sing this song every time l love this song may God bless you Paul clement
I hope one day will just meet you and give u a big hug brother, your songs ,bring healing to the broken hearted,you give hope and speak life and gives the discouraged a chance to smile and fight every battle .may God use yoy always ,for his glory.we in Kenya love you .
Double C(Clement en Calvin)..........you are doing an awesome job there .....may your cup never run dry.....God bless
Ndaga ndaga kaka,Atainyoshaa Njia yangu
Mungu atainyosha njia yangu.Amen
Paul clément nimejifunza mengi kwako wewe ni mwalimu bora kwangu ijapo haunijui asante sana mimi Jérémie basua from congo
Yani hukoseagi mzee baba'napenda jumbe zako sana'na jinsi unavomtukuza Mungu:sikuizi wengi wameanza kuimba gospel taarab'yani mipasho ya kufuraisha watu tu:
Kaka Paul Clement
Unaonekana mbaali saan ndio maombi yangu usiache kunyenyekea najua uko mnyenyekev don't get tired
🙌🙌🙌amen Yesu atainyosha njia yangu yenye mabonde na vikwazo Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu paul clement your songs are such a blessing!
Iyi nyimbo inanifurahishaka sana
TA TE TI TO TU. Safiii sana. Ridia ume waka kweli Mungu ana nyoosha njia. Thanks Paul clement vocalist ninae kuelewaaa sana
Nyimbo yenye utukufu
aloooooooooooooo brooo every time nkisikiliza nyimbo unazotunga zina uwepo wa MUNGU mkuuu i prepared some event in dodoma nliimba nyimbo zako mbili mwaminifu na usiyeshindwa dooooh broooo your too amizing nimekutext whatsap broo nkutumie hizo clips barikiwa naamini ipo siku we will meet in jesus Name AMEN
Atainyosha njia yako is among of the best song ever because of the strong 💪 words which reveal out situation in real life 🔥🔥go servant of GOD kazi yako ni nkema sana kaka paul clement barikiwa
Huu ni ushuhuda wangu
Mimi nilisubiri kuuona huu wimbo....nlichoka kuona vipande...mweh....nimebarikiwa...asubuhi hii.......Mungu akubariki.....
Wooooooow.............. powerful song
Ninaamini Mungu atainyosha njia yangu licha ya mabonde na vikwazo vingi Asante sana Paul kwa kusema kabisa na moyo wangu
Mungu akubariki bro ....wimbo ni mzuri unatia nguvu na kuuwisha nafsi na mioyo iliovunjika ...I have faith to any one who will listen to this song will never be the same including me .....Kama unaamini na mimi unaweza ukaitikia AMEN 🙏
Mungu akubaliki sana kaka paul clement
Barikiwa mno kaka
I cant fathom where you were at the moment writing this song. Its a song that have come to love God bless you sir
Its speaks through any valley obstacle worry fear doubt and it has spoken to me
Am super blessed