| VUGUTA LA UCHAWI | Maeneo ya Kisii yameshuhudia wakongwe kuuawa kwa madai ya uchawi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 вер 2024
  • Kwa miaka sasa, visa vya watu wanaodaiwa kuwa wachawi kuteketezwa vimeendelea kugonga vichwa vya habari katika kaunti ya Kisii. Ni matukio ambayo yamezua mdahalo kuhusiana na kiini cha visa hivi vya mauaji ambavyo vimeonekana kuongezeka siku za punde. Gatete Njoroge amerejea kutoka kaunti ya Kisii kuangazia suala hili ambalo limewagawanya wakaazi, baadhi wakiamini kuwepo kwa uchawi huku wengine wakidai kuwa ni mawazo tu potovu.

КОМЕНТАРІ • 91

  • @hkmeme5437
    @hkmeme5437 2 роки тому +22

    Mchawi ni mtu mwenye wivu, asiependa maendeleo ya watu

  • @monicakavata6503
    @monicakavata6503 2 роки тому +6

    Wewe unawatetea wakati mchawi atakulogea mtoto ukiwa umeuza kila kitu umsomese ndio utachukia mchawi kabiza. Mimi siezi ogea juu mchawi ana huruma ata kidogo

    • @sallyedward533
      @sallyedward533 2 роки тому

      There is God in heaven and if you pray the witch craft will never have way in your life

  • @billalphilip5776
    @billalphilip5776 2 роки тому +6

    Dungwa software ndio utajua uchawi is real ...no chills for them black eyed

  • @nancybitutu7861
    @nancybitutu7861 2 роки тому +14

    witchcraft is real, wametusumbua sana kwa vijiji, hawataki maendeleo kamwe. Hata wakichomwa hawataisha, dawa yao ni kuwaombea tu wabadilike.

  • @magufuli2465
    @magufuli2465 2 роки тому +5

    Ucyawi uko sana kijijini kote Africa Wivu njo uzaa ucyawi. Wepewe hazabu kbs

  • @Amirak254
    @Amirak254 2 роки тому +14

    Kwanza mi nipate mahali ameshikwa lazima ni changie , they are worse than thief

    • @hkmeme5437
      @hkmeme5437 2 роки тому +4

      Hafadhali mwizi kuliko mchawi

  • @sallyedward533
    @sallyedward533 2 роки тому +4

    It's good to take them to court instead of killing them

    • @graceneema8755
      @graceneema8755 2 роки тому

      Waaache uchawi ,LA sivyo mtajua hamjui

    • @graceneema8755
      @graceneema8755 2 роки тому

      Wewe unae sema wapelekwe kwa Cort, wewe ndio mchawi

    • @graceneema8755
      @graceneema8755 2 роки тому

      Huwezi kuelewana n mchawi,ht ukimuita njia n hiyo wakufe kabisaa ktk jina l Yesu

    • @pochondigital5004
      @pochondigital5004 2 роки тому

      @@graceneema8755 the problem is that you won't get any evidence against them but it really exists.

  • @faithogata1008
    @faithogata1008 2 роки тому +8

    Mwenye anataka evidence ya mchawi endelea kuongoja kama hatukuamini vile yule mtoi wa marani alivyotaja watu akisema walikua na wao usiku,,,,alaf tulete huruma watoto wadogo wakiendelea kufanywa pupu bila sababu wachawi wachomwe

  • @monicakavata6503
    @monicakavata6503 2 роки тому +4

    Mandiko inasema na msimuache mwanamke mchawi aishi wako kwenye mandiko wasilaumiwe.

  • @Winnie2547
    @Winnie2547 2 роки тому +9

    Wachomwe kabisaa

  • @josephmwangi2005
    @josephmwangi2005 2 роки тому +2

    Wachawi wauawe wanakuangA na wivu sana hata gari huwezi enda nayo huko mtoto wako akisoma apite wanamroga tabia gani his.

  • @mwogeramwimeti9902
    @mwogeramwimeti9902 2 роки тому +6

    Even my mother is there to be burnt if she can afford to destroy somebody's life with no apparent reason and also no benefits at all

  • @raphaelmwendo6368
    @raphaelmwendo6368 2 роки тому +2

    "uchawi iko"......" Nilikuwa mchawi".... We should never run away from the truth.

    • @Hillary_Maomba7
      @Hillary_Maomba7 2 роки тому

      tell us more what changed you, how was the experience?

    • @strongmummy580
      @strongmummy580 2 роки тому

      Glory to God alikuogoa tell others come out speak the truth

  • @xjxjxnxn2673
    @xjxjxnxn2673 2 роки тому +5

    So sad,ata kama alikuwa mchawi astahili kuuwa hivo

  • @asparagusonly
    @asparagusonly 2 роки тому +5

    Wakenya tunakuanga mafala aki😂

  • @ii-bt3yj
    @ii-bt3yj 2 роки тому +4

    It was evidenced walimtembeza yule mtoto alipoongea so ongojea nyinyi wakubali walikuwa wachawai.

  • @morganmutwirimukwanjeru6475
    @morganmutwirimukwanjeru6475 2 роки тому +3

    wachawi wako,tuko nao,tunawajua lakini tunawaficha,siku yenu ikifika UA UA bila huruma,LEVITICUS 20:27 inasema mrogi yeyote awe mwanamme au mwanamke auwawe damu yao iko kwa vichwa zao........wauwawe,bado hatujawaua watauwawaaaaa sijui kama wako tayari......mjitayarishe nakuja kuwalipa mshahara yenu in CASH AAAAAHAAAAAAAA

  • @musilivisabala9259
    @musilivisabala9259 2 роки тому +9

    Hiyo ndio dawa mzuri wachomwe

    • @jamesotienomeja3151
      @jamesotienomeja3151 2 роки тому +1

      Don't think that you are safe

    • @hkmeme5437
      @hkmeme5437 2 роки тому

      @@jamesotienomeja3151 wachomwe kabisa

    • @mariamdimosso621
      @mariamdimosso621 2 роки тому +1

      @@hkmeme5437 kumbuka Ata wewe ukizeeka utaitwa mchawi

    • @hkmeme5437
      @hkmeme5437 2 роки тому

      @@mariamdimosso621 hapana sio kila mzee ni mchawi, kuna vijana wachawi wamijikenda sana sana

  • @patriciawaisaac4885
    @patriciawaisaac4885 2 роки тому +3

    Why the government not to take action those who burn the people and condemned life sentense

  • @kabaikubenson5436
    @kabaikubenson5436 2 роки тому +4

    No one have the right to take someones life apart from God.. ..unachoma aje mama ya mtu bwana🤯.

    • @kenya-id9gt
      @kenya-id9gt 2 роки тому

      kwa nn na yy huyo mama aroge mtu amwaribie maisha

    • @lucyann7442
      @lucyann7442 2 роки тому

      It's tit for tat

  • @jacksonmonyoncho2899
    @jacksonmonyoncho2899 2 роки тому +7

    Wachomwe awana mahana katika jamii wako

  • @lilianmwenderanimwenderani1409
    @lilianmwenderanimwenderani1409 2 роки тому +2

    Mchawi afai kuishi wauawe kabsaa

  • @veronicamachok9018
    @veronicamachok9018 2 роки тому +1

    Nawewe kama ni mchawi si uwaje uchawi jamani!!!

  • @gracemacharia5130
    @gracemacharia5130 2 роки тому +3

    They will never know peace forever,kuchoma watu si haki

  • @NoorAhmed-lg8xr
    @NoorAhmed-lg8xr 2 роки тому +4

    Subxan Allah

  • @JumaaNdululu
    @JumaaNdululu 2 роки тому

    Dunia nzuri Watu wabaya

  • @hypemcsouja8893
    @hypemcsouja8893 2 роки тому

    The funny thing here is that Hao wenye walichoma wachawi walipitia kwa wachawi kupewa madawa kwanza

  • @strongmummy580
    @strongmummy580 2 роки тому +1

    The weapons of uchawi ni prayers if you are really strong in the word of God, atakuruka autarogeka in the name of Jesus, till uyu mtu ataokoga , trust in God a witch do nothing

  • @hersonfarah9857
    @hersonfarah9857 2 роки тому +3

    May Allah save uu

  • @rizikimichelle5885
    @rizikimichelle5885 2 роки тому +4

    It’s a bad excuse for burning old people that’s so sad . Thats really primitive.

  • @janewamaitha4930
    @janewamaitha4930 2 роки тому +4

    So sad 💔

  • @janeselineselinejane4377
    @janeselineselinejane4377 2 роки тому +2

    Bona watu wanaamini uchawi,si muokoke muwe munaomba

  • @abublessings.1301
    @abublessings.1301 2 роки тому +2

    اللهم اكفناهم بما شئت.

  • @puritymaxwel5211
    @puritymaxwel5211 2 роки тому

    Mbona wanakalia kiti cha mwenyezi mungu ambae yeye peke yake ndie mwenye kuhukumu

  • @irinemosati5557
    @irinemosati5557 2 роки тому

    Iyo night runner yenu mnasema ati mnalinda boma za watu usiku .ati serekali iwakubalie.shem on you.

  • @Lesliefedy
    @Lesliefedy 2 роки тому +4

    Mob justice is never the right choice

    • @liliannyangasi3445
      @liliannyangasi3445 2 роки тому

      Mob justice is always the best in Kenya cz huwa ukipeleka mtu court utasumbuliwa hadi u give up uwachane na kesi

  • @irinemosati5557
    @irinemosati5557 2 роки тому

    Nyinyi mnasema akuna uchawi na serekali inakubaliana na night runer.

  • @irinemosati5557
    @irinemosati5557 2 роки тому

    Kama mnaendelea kutetea dhambi .siku moja mtajionea wenyewe.

  • @khamiskiandiko2965
    @khamiskiandiko2965 2 роки тому

    Kenya ninchi ya hovyo sana hivi serikali inaendaga likizo ama inawatuma watu wakafanye hiyo upuzi nonsense

  • @virginiamutisya6216
    @virginiamutisya6216 2 роки тому

    If u r a witch run to church receive Jesus

  • @sipendimaringo6631
    @sipendimaringo6631 2 роки тому

    For all those years huyo ajuza ameishi, ndio wameona ni mchawi?

  • @irinemosati5557
    @irinemosati5557 2 роки тому

    Mmelrtea wakisii aibu sana ata watu wa maran tu tatuma pst Ezekiel awageuse mu okoke kabisa

  • @dotytydo2342
    @dotytydo2342 2 роки тому +2

    Hawa wachawi wanatesa kaa nini siz yangu alinyonywa damu tu hivyo kijiji chetu maeneo ya Jomvu mbs uko usiulize alafu uchawi unarithiwa wazee wote wamekufa ukachukiliwa na watoto yaani nivampa

    • @kingpharaoh6981
      @kingpharaoh6981 2 роки тому

      Am starting to believe wachawi wako after I saw Pastor nyakundi confession,nilikuwa nafikiria ni uwongo

  • @antoniothe007
    @antoniothe007 2 роки тому +1

    So sadd sorry my brothers

  • @wairimuwakago1727
    @wairimuwakago1727 2 роки тому

    Matiang'i ako mt.kenya akitafutia baba kura

  • @stephenkamau5055
    @stephenkamau5055 2 роки тому +1

    Wah

  • @alicenyabate8148
    @alicenyabate8148 2 роки тому +1

    Upendo umepoa vile mathew 24 inasema tusiwe na hasira kwa mwenye dhambia maana twasitahili kuwaombea ili wabadhilike katika jina la yesu

  • @wesmaelijah8460
    @wesmaelijah8460 2 роки тому +2

    Wachomwe huyo mama anakaa tu mchawi

  • @virginiamutisya6216
    @virginiamutisya6216 2 роки тому

    Kwani wote that day they were sick?

  • @wuodabala9706
    @wuodabala9706 2 роки тому +1

    What is Matiangi staying

  • @maulinegesare5106
    @maulinegesare5106 2 роки тому +1

    Wait till they do worse to you, hutakuwa na hiyo nguvu ya kuwatetea, this are the worst creatures you will ever meet, adui wa maendeleo anyway tuwaeke kwa maombi hopefully they will change one day

  • @Winnie2547
    @Winnie2547 2 роки тому +2

    Batonyarire gaki basambu pii 😂

  • @ruthnjambi728
    @ruthnjambi728 2 роки тому +1

    This is so inhuman.

  • @dotytydo2342
    @dotytydo2342 2 роки тому

    Sasa jopo lakazi gani nanikitoa wachawi tu nakunyanganywa hivyo vitu vyao basi

  • @CodeCraftTube
    @CodeCraftTube 2 роки тому

    The fuck !! Kwani Kuna communities living in stoneage..? Pure darkness ...mama anauliwa over some crazy shit ...banana republic

  • @francisotieno5086
    @francisotieno5086 2 роки тому +1

    The only thing that a Wich craft person understand is the word of God.

  • @personcriticalthinking7162
    @personcriticalthinking7162 2 роки тому

    So sad

  • @joymsupagladysijeya8384
    @joymsupagladysijeya8384 2 роки тому

    Kiss this is too much

  • @mrben1444
    @mrben1444 2 роки тому

    Huyu msichana anakaa mchawi

  • @verrohwg6086
    @verrohwg6086 2 роки тому +1

    This is so inhuman.

  • @lydiakhamadi7438
    @lydiakhamadi7438 2 роки тому

    So sad,

  • @neno4642
    @neno4642 2 роки тому

    so sad