КОМЕНТАРІ •

  • @DianaroseLema
    @DianaroseLema 7 місяців тому +17

    Lowasa alilea watoto vizuri huyu fred anaonekana ana utu na busara kubwa polen

  • @rhodanyanguss3543
    @rhodanyanguss3543 7 місяців тому +5

    Nimesikia kuandika poleni sana kama familia na Mungu awatie nguvu na faraja Mh. Umeacha familia bora ya mfano. Ubarikiwe sana kaka.

  • @truetanzania
    @truetanzania 7 місяців тому +2

    Mungu amuweke mahali pema peponi. Asanteni kwa maneno mazuri ya kumkumbuka. Poleni sana familiar ya Lowassa. Kifo chake kimenikumbusha Sokoine na nilikuwa chini ya miaka mitano lakini sijasahau. May he RIP

  • @manbelami
    @manbelami 7 місяців тому +1

    Poleni sana, i learn something juu ya Mama Regina barikiwa Mama wa Kiebrania. Ubarikiwe Mama Samia wanwake kama wewe Mungu akutunze mpendwa mama.

  • @DianaLewanga-xm8kc
    @DianaLewanga-xm8kc 7 місяців тому +5

    Mheshimiwa Mama Samia pamoja na Mama Regina Mmejua kuwa mfano Bora na mmetuwakilisha vyema sisi wanawake Tunayo mengi yakujifunza kwenu❤❤❤

  • @ReginahNdiema-hj1tb
    @ReginahNdiema-hj1tb 7 місяців тому +8

    Poleni wandugu zetu watanzania. Sisi wamaasai wa Kenya tunaungana nanyi ndugu zetu Tanzania.

  • @SamsonMwangama
    @SamsonMwangama 19 днів тому

    Mwenyezi Mungu akusimamie ninyi wote na Mungu awafunge mkanda wa imani daima

  • @kerambopaul3539
    @kerambopaul3539 7 місяців тому +3

    Poleni sana wanafamilia ya Ngoyai Edward Lowassa RIP na mungu awape nguvu wakati mugumu wa majonzi , poleni Tanzania jirani wema ❤❤

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 7 місяців тому +3

    Mama samia allah akulinde wewe ni wapekee mamaang allah akuhifadhi

  • @luuborafia5796
    @luuborafia5796 7 місяців тому +2

    Poleni sana Tanzania na familia ya Edward Lowassa, God amlaze pahali pema peponi

  • @sifamanyori
    @sifamanyori 7 місяців тому

    Kwa yesu akuna maisha mafupi kuwa namahisha mafupi nifikira zawanadam siyo Kwa yesu mungu arikuja naneno atakee okoka kihimani atahishi kwamahisha marefu mungu wambinguni kwenyenia zawanyoge

  • @NassirSeifu
    @NassirSeifu 7 місяців тому +3

    Inauma sana kipengele cha mama Regina kimeniliza poleni sana wanafamilia ya lowasa

  • @WellnessJosephatMakusanya
    @WellnessJosephatMakusanya 7 місяців тому +2

    Poleni sana familiar ya Lowasa natambua kuna pengo Mungu achukue nafasi eneo Hilo kila kitu kitakuwa sawa.

  • @silvamoz6299
    @silvamoz6299 7 місяців тому +4

    Poleni ndugu jirani zetu. Waziri mkuu Lowassa nilimuezi Kwa mwenendo wake wa upole na heshima Kwa wote.

  • @evafidelis382
    @evafidelis382 7 місяців тому

    Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi,kuondokewa na mzazi ni jambo zito sana.Dumuni katika upendo

  • @njagiwinfredwanjiku573
    @njagiwinfredwanjiku573 7 місяців тому +3

    Napenda hiki kiswahili cha Tanzania hakina dosari.poleni sana

    • @djkellyb5539
      @djkellyb5539 7 місяців тому

      Try Kenyan Kiswahili very nice

  • @mamalaobabalao67
    @mamalaobabalao67 7 місяців тому +2

    From Sweden poleni sana sana

  • @NorahIminza-oe7dm
    @NorahIminza-oe7dm 7 місяців тому +1

    Thanks for recommending Mzee Ntimama and Jonah Kin

  • @rehemamwasomola4362
    @rehemamwasomola4362 7 місяців тому +2

    POLENI SANA JAMANI MUNGU.AWATIE NGUVU MAMA NA WATOTO WOTE KIUKWELI SIO RAHISI.RIP HON.E.LOWASA

  • @stanleynyakunga2038
    @stanleynyakunga2038 7 місяців тому +1

    Pole sana mungu amempenda zaidi

  • @bitishoriziki1113
    @bitishoriziki1113 7 місяців тому +2

    Poleni saana njamani ndodunia hiyo muzinguko 🙏🏼👏👏🏼❤️

  • @julianamliga5264
    @julianamliga5264 7 місяців тому +3

    Poleni saana Fred. Mwenyezi Mungu awape faraja.

  • @eneamwaijande5089
    @eneamwaijande5089 7 місяців тому

    Mama pole.....kuna kitu kikubwa nimejifunza kwa mama. Poleni familia

  • @joyceamsi6396
    @joyceamsi6396 7 місяців тому +1

    Poleni wana familia, Bwana awe faraja kwenu

  • @twisilemwabukusi4981
    @twisilemwabukusi4981 7 місяців тому

    Kweli pumzika kwa amani Mh Lowasa. Mungu akupe Raha ya milele na awe faraja kubwa ya familia. Lakini zaidi ya hapo ambariki kiongozi wetu wa kitaifa Mh Dkt Samia Suluhu Hassan kwa moyo wake wa upendo alio nao. Ni katika mengi sana amekuwa mwepesi wa kusaidia watu. Mungu akuzidishie kila lenye kheri na mafanikio katika safari nzima ya maisha yako mama yetu. You are really a peace promoter. Be blessed so much Madam.

  • @JacquelineMahumbe
    @JacquelineMahumbe 7 місяців тому +3

    Fred barikiwa

  • @marcelastephen4247
    @marcelastephen4247 7 місяців тому +1

    Mungu awe nawe umoja wenu udumu familiar ya Mh Lowassa

  • @StellahKilonzo
    @StellahKilonzo Місяць тому

    Kama nikelewa hìyo nyimbo kwa kiswahili I will be happy.

  • @VeronicaIsimalilo
    @VeronicaIsimalilo 7 місяців тому +2

    Pole Sana mungu awatienguvu

  • @LucyAloyce-sb8he
    @LucyAloyce-sb8he 7 місяців тому +1

    Mungu awajalie Iman na aman hasa katika kipindi hiki kigumu

  • @robertedward1992
    @robertedward1992 7 місяців тому +5

    Hakika umekomaa Fred,mungu awape moyo wa imani

  • @ToshaEmedi-gi4je
    @ToshaEmedi-gi4je 7 місяців тому +2

    Mwenyezi Mungu awatiye nguvu nakuwa faraja kubwa

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 7 місяців тому

    Richard hongera kwa wasifu mzuri wa RIP Baba yako iliyojaa umahiri wa kukwepa lawama kutoka popote na kwa yeyote. Huo ni uungwana.

  • @FransiscaAlex
    @FransiscaAlex 7 місяців тому +2

    Mungu awatie nguvu familia ya mh Edward Ngoyai lowassa.

  • @msa-pn8yt
    @msa-pn8yt 7 місяців тому +3

    huyu mtoto wa malehemu aisee kanyooka sn mungu ampe maono makubwa km baba yake

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 7 місяців тому +1

    Mh Fred kuwakumbuka walinzi wa RIP mzee wako hakika unaonesha unyenyekevu. Wengi husahau wadogo lakini muhimu. Uendelee na hulka hiyo ya kutosahau wadogo na hasa wafugaji pia.

  • @gracekavishe9823
    @gracekavishe9823 7 місяців тому +5

    Ubarikiwe salamu yako nimeipenda watu wanajali salamu nzuri kama hiyo

  • @yohanashega
    @yohanashega 11 днів тому

    Du poleni sana ila ninamuomba Mungu awape faraja ktk kipindi hiki kigumu

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 7 місяців тому +3

    Daah huyu kijana kafanana sana na babaake hata uongeaji wake 😢😢

  • @CkuckuOmande
    @CkuckuOmande 7 місяців тому +1

    Mungu amlaze mahala pemajl

  • @YohanaDaniel-f9t
    @YohanaDaniel-f9t 7 місяців тому +3

    Wimbo umenigusa sana ,poleni sana familia

  • @cedrickpangani8218
    @cedrickpangani8218 7 місяців тому +12

    Watoto sisi wakiume wapili huwa tunazaliwa na ushujaa wa ajabu sana

    • @limymasele21
      @limymasele21 7 місяців тому

      Kabisa

    • @PrayMbowe
      @PrayMbowe 7 місяців тому

      Kwann na sio wa kwanza

    • @dazuujuma778
      @dazuujuma778 7 місяців тому

      ​@@PrayMboweuyooo ashaanza wivu😂 joky

  • @bitishoriziki1113
    @bitishoriziki1113 7 місяців тому +1

    Upendo nikujitolea tukuwe tuna kuheshimu sana inaumiza 🙏🏼👏👏🏼❤️

  • @dainessmyovela2115
    @dainessmyovela2115 7 місяців тому +3

    🙏Mungu amweke mahali pema anapostahili🙏

  • @maddnzomo1
    @maddnzomo1 7 місяців тому +2

    Poleni poleni sana....

  • @MgayaAdhumani
    @MgayaAdhumani 7 місяців тому +10

    Rais Samia anamoyo WA utu na ubinadamu pia ana busara

  • @rizioniramadhan1674
    @rizioniramadhan1674 7 місяців тому

    Mungu amlaze mahali pema peponi kamanda wetu

  • @RizenPrime
    @RizenPrime 7 місяців тому

    Samia Mungu yupo tutolee haya Matozo ya Kaisari

  • @charleskarume6312
    @charleskarume6312 7 місяців тому +1

    Poleni wanandi kufiwa na mkwelima na shemeji yenu

  • @rosejulius7756
    @rosejulius7756 7 місяців тому +3

    Rest well 💜 Baba

  • @aminayussuf7215
    @aminayussuf7215 7 місяців тому

    Mwinyi kaacha watoto wangapi

  • @NdeshiKaaya
    @NdeshiKaaya 7 місяців тому +1

    Mungu awatie nguvu

  • @GRECEIPULI
    @GRECEIPULI 7 місяців тому

    Poleni sana

  • @RESTUTADAMAS-to4eg
    @RESTUTADAMAS-to4eg 7 місяців тому

    Poleni sana watanzania wote

  • @HassanSalmin-u7r
    @HassanSalmin-u7r 7 місяців тому +3

    Inalilahi waina ilahi rajiun

  • @AnnasitaziamadengeMadenge
    @AnnasitaziamadengeMadenge 7 місяців тому +1

    Pole San

  • @Sengakarera
    @Sengakarera 7 місяців тому

    Poleni sana familia ya lowasa,,

  • @davidrweyemamu938
    @davidrweyemamu938 7 місяців тому +2

    Mama Samiah tunakushukuru sana sana!

  • @GlaydceChiloloma
    @GlaydceChiloloma 7 місяців тому

    Ameni

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 7 місяців тому +1

    R.I.P poleni sana wafiwa

  • @kianda973
    @kianda973 7 місяців тому

    Mungu aibariki familia ya Lowassa, amina.

  • @DanifordMvumbagu
    @DanifordMvumbagu 7 місяців тому +2

    Rip Mzee wetu lowasa

  • @DesdeliaKombaa
    @DesdeliaKombaa 7 місяців тому

    Polen jamniii kufiwa kunaumaaaa

  • @SaunaMyonga
    @SaunaMyonga 7 місяців тому

    Poleni wana monduli

  • @MiliamPaulo
    @MiliamPaulo 7 місяців тому

    Sis sot tutarejea kwake 15:47

  • @Khajiadamseif
    @Khajiadamseif 7 місяців тому +1

    mung hamlaze mahala pema peponi amen.

  • @tumainiisrael9378
    @tumainiisrael9378 7 місяців тому

    Upo smart sana Fred

  • @kirumpas318
    @kirumpas318 7 місяців тому

    Poleni ni hali ya maisha

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 7 місяців тому +5

    Kikwete acha unafiki, mulimtukana akiwa mzima leo shujaa, vipi nyinyi mbwa koko! Be human! Mukamtoa kafara shauri ya matumbo yenu, hamukumbuki sakata la Richmond? Kikwete, Nape na Kinana should not have gone there. Ishi utukanwe na ufe usifiwe tena sana, ona mlivyopishana msibani, Hanna hata aibu - mnasikitika nini?

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 7 місяців тому +3

      hee mtihani kikwete ni mnafiki hatari na anajiona mmiliki wa nchi ni yeye anamajukumu mengi huyu mbele ya Mungu

    • @TunauzaSimu-fn2ff
      @TunauzaSimu-fn2ff 7 місяців тому +2

      Wanafik wanasiasa wote km Lowasa hangerudi ccm kweli wangekuwa na usogani kikwete na ccm wenzake. Ukitaka uwe mtu uwe mtumwa wa ccm. Ipo cku! Wamepita wangapi naleo b d wanaendelea kuondoka acheni jinga nyinyi ccm

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 7 місяців тому

      Hivi kinana nae alihusika eeh? Nape sijamwona kwenye huu msiba, alimtukana sana huyu baba

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 7 місяців тому

      @@judyngowi391 mtihani

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 7 місяців тому +1

      Mi naomba muwajue wanasiasa sio wa kuwachanganyeni hapa kwenye msiba mambo ya siasa kwa sisi tusiowanasiasa hakika hatuyawezi Wala hatuelewi

  • @KheriAlmasi
    @KheriAlmasi 7 місяців тому +3

    Kikwete vipi mbona sijasikia akishukuriwa

  • @josephosborne3072
    @josephosborne3072 7 місяців тому

    Rip mzee lowasa

  • @lemamolelilemamoleli7740
    @lemamolelilemamoleli7740 7 місяців тому

    poleni sana asee

  • @GlaydceChiloloma
    @GlaydceChiloloma 7 місяців тому

    😊

  • @Simfrosa-b8c
    @Simfrosa-b8c 7 місяців тому

    Bahati bukuku

  • @farajilalah8379
    @farajilalah8379 7 місяців тому

    Huyu jamaa yupo vizuri

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 7 місяців тому +4

    Sifa zote mnazozitoa hizo ni unafiki tu hilo zee lilikuwa fisadi sana nashangaa sana maneno yenu ya kinafiki ya kumsifia

    • @noelabeli3346
      @noelabeli3346 7 місяців тому

      Kawe na wewe fisadi...baladhuli we

    • @geey7893
      @geey7893 7 місяців тому

      Umeonaee😅😅. RIP mzee

    • @ramadhanihamadi6304
      @ramadhanihamadi6304 7 місяців тому

      Daaa umekosa utu we jamaaa

    • @karibunyumbani3824
      @karibunyumbani3824 7 місяців тому +1

      Wewe ni mpumbavu tena mpumbavu sana ukiwekwa kwenye madaraka mtu kama wewe ndio utamaliza nchi kwa umaskini wako na roho mbaya uliyonayo tena ni heri kwake alipata muda mrefu wa kutengeneza na MUNGU tena nambinguni ameenda ametubia dhambi yake ...wewe unamjua kama fisadi ...MUNGU anamjua kama mtakatifu na mtu safi aliyefaa kwenye ufalme wake pole sana kwa Hilo

    • @dominapetertarimo3236
      @dominapetertarimo3236 7 місяців тому +1

      Kipindi kama hiki wachawi huwa mnakipenda sana, kwa roho zenu za kichawi.

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 7 місяців тому +1

    Hakika wananchi wapenda haki tunasema bila shaka yoyote kwamba kwa historia ya kiutendaji wake na nia yake moyoni, ndani ya ccm na serikali hakuna atakayetokea kuvaa viatu vya kiongozi huyu, labda nje na kwa viongozi wa ccm waliotangulia tu.

  • @FelisterMunissy
    @FelisterMunissy 7 місяців тому +1

    Hatukuja na kitu na hatuondoki na kitu na mshahara wa dhambi ni mauti hakika ni fumbo sana hakin mjanja wala bingwa ufalme wa mbingu s elim bal matendo pumzika baba ni safari ya wote

  • @SubiraShaban-m4z
    @SubiraShaban-m4z 7 місяців тому

    It hurts💔💔💔

  • @adamuyohana
    @adamuyohana 7 місяців тому

    Hakuna hata siku moja vyombo vya habari kutoa maendeleo ya Lowasa akiwa hospital 😢 inauuma san

  • @janemakundi5095
    @janemakundi5095 7 місяців тому

    😢😢😢

  • @AllyRazak
    @AllyRazak 7 місяців тому

    Polen sana Wana familia

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 7 місяців тому

    ❤❤❤.

  • @EsterMalimi
    @EsterMalimi 7 місяців тому +1

    Very 😭

  • @marteuboutros1715
    @marteuboutros1715 7 місяців тому

    😢😢😢 Rest in peace Lowassa

  • @frankmganda2424
    @frankmganda2424 7 місяців тому

    Mungu nimkubwa sana

  • @jameskay-U18
    @jameskay-U18 7 місяців тому

    Rip Lowassa

  • @ibiyarebeccapaul7895
    @ibiyarebeccapaul7895 7 місяців тому

    Rest In peace

  • @ClaudiKimaro
    @ClaudiKimaro 7 місяців тому

    Pumzika kwa
    Aman shujaa

  • @michaelmollel3585
    @michaelmollel3585 7 місяців тому +1

    Pole

  • @JosephNgowi-w4y
    @JosephNgowi-w4y 7 місяців тому +1

    Da kizuri akidumuuu

  • @AngelTito-k5w
    @AngelTito-k5w 7 місяців тому

    Polen sana

  • @leilamdoe-zu1lt
    @leilamdoe-zu1lt 7 місяців тому

    Inauma sana lkn ndio hivyo Kazi yake Mola haina makosa

  • @nicksonshoo429
    @nicksonshoo429 7 місяців тому

    Hivi waziri wa habari alihudhuria huu msiba wa Lowasa

    • @dazuujuma778
      @dazuujuma778 7 місяців тому +2

      Hata ndugu zako hawatashiriki wote siku yako ya mwisho, ni amali yako na muumba wako tu siku hiyo tujitahidi kujipambania wenyewe

  • @ThomasMntelemkobunga
    @ThomasMntelemkobunga 7 місяців тому

    Bwana awaonekanie

  • @idrisajuma9314
    @idrisajuma9314 7 місяців тому

    Hata mm machoji yamenitoka

  • @khadijashabani5509
    @khadijashabani5509 7 місяців тому

    Hivi l anawatoto wangapi

  • @jacquelineulomi2557
    @jacquelineulomi2557 7 місяців тому

    Amekomaa kiimani sana

  • @charleskarume6312
    @charleskarume6312 7 місяців тому

    Kumbe mke wa EDUAD ni mnadi wanandi wote piga kelelee

  • @SkoraIssa
    @SkoraIssa 7 місяців тому

    Apumzike kwa amani