Nimesikia kuandika poleni sana kama familia na Mungu awatie nguvu na faraja Mh. Umeacha familia bora ya mfano. Ubarikiwe sana kaka.
Mungu amuweke mahali pema peponi. Asanteni kwa maneno mazuri ya kumkumbuka. Poleni sana familiar ya Lowassa. Kifo chake kimenikumbusha Sokoine na nilikuwa chini ya miaka mitano lakini sijasahau. May he RIP
Poleni sana, i learn something juu ya Mama Regina barikiwa Mama wa Kiebrania. Ubarikiwe Mama Samia wanwake kama wewe Mungu akutunze mpendwa mama.
Mheshimiwa Mama Samia pamoja na Mama Regina Mmejua kuwa mfano Bora na mmetuwakilisha vyema sisi wanawake Tunayo mengi yakujifunza kwenu❤❤❤
Poleni wandugu zetu watanzania. Sisi wamaasai wa Kenya tunaungana nanyi ndugu zetu Tanzania.
Mwenyezi Mungu akusimamie ninyi wote na Mungu awafunge mkanda wa imani daima
Poleni sana wanafamilia ya Ngoyai Edward Lowassa RIP na mungu awape nguvu wakati mugumu wa majonzi , poleni Tanzania jirani wema ❤❤
Mama samia allah akulinde wewe ni wapekee mamaang allah akuhifadhi
Poleni sana Tanzania na familia ya Edward Lowassa, God amlaze pahali pema peponi
Kwa yesu akuna maisha mafupi kuwa namahisha mafupi nifikira zawanadam siyo Kwa yesu mungu arikuja naneno atakee okoka kihimani atahishi kwamahisha marefu mungu wambinguni kwenyenia zawanyoge
Inauma sana kipengele cha mama Regina kimeniliza poleni sana wanafamilia ya lowasa
Poleni sana familiar ya Lowasa natambua kuna pengo Mungu achukue nafasi eneo Hilo kila kitu kitakuwa sawa.
Poleni ndugu jirani zetu. Waziri mkuu Lowassa nilimuezi Kwa mwenendo wake wa upole na heshima Kwa wote.
Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi,kuondokewa na mzazi ni jambo zito sana.Dumuni katika upendo
Napenda hiki kiswahili cha Tanzania hakina dosari.poleni sana
From Sweden poleni sana sana
POLENI SANA JAMANI MUNGU.AWATIE NGUVU MAMA NA WATOTO WOTE KIUKWELI SIO RAHISI.RIP HON.E.LOWASA
Pole sana mungu amempenda zaidi
Poleni saana njamani ndodunia hiyo muzinguko 🙏🏼👏👏🏼❤️
Poleni saana Fred. Mwenyezi Mungu awape faraja.
Mama pole.....kuna kitu kikubwa nimejifunza kwa mama. Poleni familia
Poleni wana familia, Bwana awe faraja kwenu
Kweli pumzika kwa amani Mh Lowasa. Mungu akupe Raha ya milele na awe faraja kubwa ya familia. Lakini zaidi ya hapo ambariki kiongozi wetu wa kitaifa Mh Dkt Samia Suluhu Hassan kwa moyo wake wa upendo alio nao. Ni katika mengi sana amekuwa mwepesi wa kusaidia watu. Mungu akuzidishie kila lenye kheri na mafanikio katika safari nzima ya maisha yako mama yetu. You are really a peace promoter. Be blessed so much Madam.
Fred barikiwa
Mungu awe nawe umoja wenu udumu familiar ya Mh Lowassa
Kama nikelewa hìyo nyimbo kwa kiswahili I will be happy.
Pole Sana mungu awatienguvu
Mungu awajalie Iman na aman hasa katika kipindi hiki kigumu
Hakika umekomaa Fred,mungu awape moyo wa imani
Mwenyezi Mungu awatiye nguvu nakuwa faraja kubwa
Richard hongera kwa wasifu mzuri wa RIP Baba yako iliyojaa umahiri wa kukwepa lawama kutoka popote na kwa yeyote. Huo ni uungwana.
Mungu awatie nguvu familia ya mh Edward Ngoyai lowassa.
huyu mtoto wa malehemu aisee kanyooka sn mungu ampe maono makubwa km baba yake
Mh Fred kuwakumbuka walinzi wa RIP mzee wako hakika unaonesha unyenyekevu. Wengi husahau wadogo lakini muhimu. Uendelee na hulka hiyo ya kutosahau wadogo na hasa wafugaji pia.
Ubarikiwe salamu yako nimeipenda watu wanajali salamu nzuri kama hiyo
Du poleni sana ila ninamuomba Mungu awape faraja ktk kipindi hiki kigumu
Daah huyu kijana kafanana sana na babaake hata uongeaji wake 😢😢
Mungu amlaze mahala pemajl
Wimbo umenigusa sana ,poleni sana familia
Watoto sisi wakiume wapili huwa tunazaliwa na ushujaa wa ajabu sana
Upendo nikujitolea tukuwe tuna kuheshimu sana inaumiza 🙏🏼👏👏🏼❤️
🙏Mungu amweke mahali pema anapostahili🙏
Poleni poleni sana....
Mungu amlaze mahali pema peponi kamanda wetu
Samia Mungu yupo tutolee haya Matozo ya Kaisari
Poleni wanandi kufiwa na mkwelima na shemeji yenu
Rest well 💜 Baba
Mwinyi kaacha watoto wangapi
Mungu awatie nguvu
Poleni sana
Poleni sana watanzania wote
Inalilahi waina ilahi rajiun
Pole San
Poleni sana familia ya lowasa,,
Mama Samiah tunakushukuru sana sana!
Ameni
R.I.P poleni sana wafiwa
Mungu aibariki familia ya Lowassa, amina.
Rip Mzee wetu lowasa
Polen jamniii kufiwa kunaumaaaa
Poleni wana monduli
Sis sot tutarejea kwake 15:47
mung hamlaze mahala pema peponi amen.
Upo smart sana Fred
Poleni ni hali ya maisha
Kikwete acha unafiki, mulimtukana akiwa mzima leo shujaa, vipi nyinyi mbwa koko! Be human! Mukamtoa kafara shauri ya matumbo yenu, hamukumbuki sakata la Richmond? Kikwete, Nape na Kinana should not have gone there. Ishi utukanwe na ufe usifiwe tena sana, ona mlivyopishana msibani, Hanna hata aibu - mnasikitika nini?
hee mtihani kikwete ni mnafiki hatari na anajiona mmiliki wa nchi ni yeye anamajukumu mengi huyu mbele ya Mungu
Wanafik wanasiasa wote km Lowasa hangerudi ccm kweli wangekuwa na usogani kikwete na ccm wenzake. Ukitaka uwe mtu uwe mtumwa wa ccm. Ipo cku! Wamepita wangapi naleo b d wanaendelea kuondoka acheni jinga nyinyi ccm
Hivi kinana nae alihusika eeh? Nape sijamwona kwenye huu msiba, alimtukana sana huyu baba
Mi naomba muwajue wanasiasa sio wa kuwachanganyeni hapa kwenye msiba mambo ya siasa kwa sisi tusiowanasiasa hakika hatuyawezi Wala hatuelewi
Kikwete vipi mbona sijasikia akishukuriwa
Rip mzee lowasa
poleni sana asee
😊
Bahati bukuku
Huyu jamaa yupo vizuri
Sifa zote mnazozitoa hizo ni unafiki tu hilo zee lilikuwa fisadi sana nashangaa sana maneno yenu ya kinafiki ya kumsifia
Wewe ni mpumbavu tena mpumbavu sana ukiwekwa kwenye madaraka mtu kama wewe ndio utamaliza nchi kwa umaskini wako na roho mbaya uliyonayo tena ni heri kwake alipata muda mrefu wa kutengeneza na MUNGU tena nambinguni ameenda ametubia dhambi yake ...wewe unamjua kama fisadi ...MUNGU anamjua kama mtakatifu na mtu safi aliyefaa kwenye ufalme wake pole sana kwa Hilo
Kipindi kama hiki wachawi huwa mnakipenda sana, kwa roho zenu za kichawi.
Hakika wananchi wapenda haki tunasema bila shaka yoyote kwamba kwa historia ya kiutendaji wake na nia yake moyoni, ndani ya ccm na serikali hakuna atakayetokea kuvaa viatu vya kiongozi huyu, labda nje na kwa viongozi wa ccm waliotangulia tu.
Hatukuja na kitu na hatuondoki na kitu na mshahara wa dhambi ni mauti hakika ni fumbo sana hakin mjanja wala bingwa ufalme wa mbingu s elim bal matendo pumzika baba ni safari ya wote
It hurts💔💔💔
Hakuna hata siku moja vyombo vya habari kutoa maendeleo ya Lowasa akiwa hospital 😢 inauuma san
😢😢😢
Polen sana Wana familia
❤❤❤.
Very 😭
😢😢😢 Rest in peace Lowassa
Mungu nimkubwa sana
Rip Lowassa
Rest In peace
Pumzika kwa
Aman shujaa
Da kizuri akidumuuu
Polen sana
Inauma sana lkn ndio hivyo Kazi yake Mola haina makosa
Hivi waziri wa habari alihudhuria huu msiba wa Lowasa
Hata ndugu zako hawatashiriki wote siku yako ya mwisho, ni amali yako na muumba wako tu siku hiyo tujitahidi kujipambania wenyewe
Bwana awaonekanie
Hata mm machoji yamenitoka
Hivi l anawatoto wangapi
Amekomaa kiimani sana
Kumbe mke wa EDUAD ni mnadi wanandi wote piga kelelee
Apumzike kwa amani
Lowasa alilea watoto vizuri huyu fred anaonekana ana utu na busara kubwa polen