KUNA TIMU ZIMEKIMBIA CECAFA DAWA YAO IPO’, RAIS WA TFF ATUMA UJUMBE KWA SIMBA NA YANGA
Вставка
- Опубліковано 8 лип 2024
- Michuano ya CECAFA imeanza kutimua vumbi leo katika uwanja uwanja mpya wa KMC ambapo RAIS wa TFF ametoa neno kwa timu zilizoikimbia michuano hiyo
"Is a life's and sports channel our vision is to develop and deliver world class Broadcast-based on local and international market"
#sports #footballclub #zuchu #azamfc #harmonize #harmonize #singidafountaingate #simbanation #footballclub #sports #soccerclub #footballclub #zuchu #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate #zuchu #simbanation #footballclub #sports #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate - Спорт
Huyu mwenyekiti sijui kama anafikiria afya za wachezaji. Kwa maoni yako, inabidi ajiuzulu TFF na CECAFA
Kwani lazima wacheze Simba na yanga
Huyu rais hana akili kwani lazima kila ligi ichezwe? Watu wana ndoto za mbali ulitaka simba day tuende kufanya nn sasa,asilete sheria za kipuuzi tupoteze mapato simba day kisa cecafa embu watuache kidogo
😂😂😂Wamekosa maokoto mamaee..wanaleta ushuuuz
Muda wa hawa mashindani siyo sahihi.... wachezaji ndiyo wametoka likizo uwapeleke kwenye mechi ngumu...
Kwn lazimazicheze timu ziache kujiandaa na maandalizi ya ligi
Huyu PUMBA kabisa, hana lolote lile. Hivi hayo mashindano ya CAFCL na cecafa ni mashindano hayo ya ndondo cecafa. Nia ni kupiga FEDHA. Kalale, huna lolote lile. NYAMAZA
Mashindano yawekwe kwenye ratiba sio ligi inaisha wachezaji wanavunja kambi halafu kuna mashindano mengine yanaibuka tu bila maandalizi
Roho inaliuma kukosa mapato makubwa😂😂😂
Atawafanyaje kama ni jambo la hiari dawa gani sasa
Mmefeli
Yanga na Azam waadhibiwe watu wapo hapahapa timu kwa kudharau cecafa
Acheze yeye na wenzake
Hili lizee lipuuzi la akili kweli kweli kwani ktk hizo timu kuna at mia yako unaitoa kwa ajili ya kuwalipa wachezaji peleka usenge wako uko ufai kuwa kiongozi ktk soka letu la bongo mjinga mmoja ww
We Rais kacheze wewe. Hao wachezaji wameandaliwa lini. Ovyoo kabisa
Wewe laisi wa tff wachezaji wamepata fitinesi muda gani hayo mashindano ya sekafa yange kuwa mwezi wa 8 inge pendeza zaidi jalibu kuli angalia hilo
Mdomo firimbi