BABA YAKE NYAGOMAN AMEONGEA YAKE YA MOYONI KUHUSU MZIKI WA MWANAE NYAGOMAN/DAR /FULL INTERVIEW
Вставка
- Опубліковано 5 лют 2025
- Kupitia UA-cam Channel Yetu,baba yake NyagoMan ameongea yake ya moyoni kuhusu mziki wa mwanae NyagoMan
"Wakati ambao NyagoMan alianza kazi zake za mziki,familia nzima tulimchukulia ni mweu(mvuta bangi),lakini nimekaa chini na kuwaza mambo mengi,nikagundua Nyago ana kijapaji cha kuimba,kwaiyo nimeamua ku sapoti kazi ya mwanangu(mziki wake)...!!!
Mwaka huu namjengea mtoto wangu(NyagoMan) nyumba hapa dar es salaam
Ili kuwa mwanafamilia wa AloboVibes,basi hakikisha ume
SUBSCRIBE / LIKE / COMMENT / SHARE
#AloboVibes
#WereAfricans
#WereHereForAloboVibes
majitapo wababa tunakujuwa vizuri bwana kwaanza ulikuwatapeli muhuni tunakujuwa
Kizazi sana bro 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kama unajuwa wewe nishabiki wa kiruwii bisoshii ebu gonga like 👍
Sitaki kuwa mnafki yangu iyoo
😀😀😀😀😀😀Babu huyooo
Vzuri sana kabsa mzee
Asante sana
😀😀😀😀Bashimmuma tuko juu kweli
Kbs tuko juu
Tarabu
Kwahiyo hiyo Tv ni ya grand music
My dad 🥰🤗
Kali sana hii
Asante sana
Bashimmuma tumebarikiwa
Ébémbé to the world 🌍🌍
Vizuri sana
👏
Hacheni kuwa mnataja walipo zaliwa watu maana kutoboa kunaitaji mambo mengi
Safi sana
yes kama mara 4
Bashim’muma tumejaliwa vipaji
Kununuwa gari Tu 🤣🤣🤣🤣🤣mzee anamajitapo huyo
Wow 😂😂😂
Mzee Hana shikilia mahiki Kama atakeye hoji
Baba yetu ametembea sana jamani ivii nyie wengine baba zenu wako wapi haoo ndo makabwela tu 😆😆😆 baba zenu awaonekanagi niatali
acha kukejeli wazazi wa watu mbwa ww
Poa sana IYO
Bashi m'muma
My dad 🥰🤗
Iyoo mzee nimkali
👊👊👊💪
Ajifundishe kwanza kuongea uyu babab
Kwaiyo anafanye je “”? Apo
Pepa zipo Ama kweli apo akuna kuangaika
good
Mzee anajuwa kujitapa huyo anavyokaa sasa Kama rais micro phone yenyewe anahishika utazani yeye ndo mtangazaji😂😂😂😂😂😂😂
hesinge shindwa kusapoti tunamju wamuhuni hela hana kafata utundu ushirikina mwingi muhongo huyo acha hushirikina
AG DJ