Nilivyokuwa roma sikuruhusiwa kuijua bibilia namshukuru roho wa Mungu kuniongoza kuwa msabato ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu hakika tangu nimekujua nazidi kuimarika kiroho Mungu akubariki sana
Leo kuna majibu ya maswali yangu nimeyapata namshukuru Mungu nimebonyeza hili hubiri,,,from xian china,,mim ni msabato na siendi chuoni siku ya sabato ,watu wanashangaa lakin nitaendelea kumweshimu Mungu wangu
asante tena mchungaji, ila tungekusii utuandalie somo kwajili kuhusu swala nzima lakuhishi na woga ahu hofu ya signs na masonic numbers kwasababu kuna bahazi ya watu wamesha zitupa nguo na vifaha mbalimbali nakuwa na hofu ya kila kitu, please shetani amewanasa kwakuishi na woga miyoyoni mwao kwajili ya ilo, najuwa huku North America tunakufatilia sana sisi Swahili communities na wanavio kusikilizaga I hope utawasaidia sana. Mungu akujaze mengi zaidi
thank you Pastor for washing my brain by divine words, cause we are living in the communities where people wonder about signs, numbers and all about masonic signs until they forget the greatness of Jesus Christ. Please prepare a lesson about this topic again cause Satan is playing with their mind to scare them. Here where I am, There are persons who threw their clothes, plates, and their own property because of the satanic signs, Please prepare a lesson to help their souls.
MIMI NAPENDEKEZO KWA POST ZA MAHUBIRI YA PR. MMBAGA ZIWE ZINABAINISHA KUWA HAPO ALIFUNDISHA/ ALIHUBIRI AKIWA WAPI, IKIWEZEKANA NA MAELEZO YA TUKIO KATIKA SOMO HILO. Mfano:- Unabii Wa Daniel , by Pr. Mmbaga akiwa Kwenye makambi Iramba. N.k
Paster wewe Mungu ameamua kukutumia kwa ajili ya kazi yake, hivyo acha uoga waambie watu waelewe acha kuwafumba hizi ni siku za mwisho. Umesema 666 ni alama ya ibada ni kweli kabisa lakini waambie watu ibada gani/ipi? Maana watu wengi hawajui hili
PASTA MUNGU AKURAANI KWA KUMKANUSHA MTUME WA MUNGU ULIKUA UNANIFUNDISHA ILA SINTAKUANGALIA TENA KASOME YOHANA 1.19 AMETABILIWA HAPO WEWE NI KAFIRI KWA MUJIBU WA YUDA 4.1 NAJUA UNATAMANI KUA MUISLAM ILA UNATETEA UGALI SIKUTUKANI ALLAH AMENISIHI
Nilivyokuwa roma sikuruhusiwa kuijua bibilia namshukuru roho wa Mungu kuniongoza kuwa msabato ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu hakika tangu nimekujua nazidi kuimarika kiroho Mungu akubariki sana
My favorite Pastor all the time. Yesu akutunze!
Lkn katika yote nampenda sana Pr. Mmbaga, kwa masomo yake mazuri
Leo kuna majibu ya maswali yangu nimeyapata namshukuru Mungu nimebonyeza hili hubiri,,,from xian china,,mim ni msabato na siendi chuoni siku ya sabato ,watu wanashangaa lakin nitaendelea kumweshimu Mungu wangu
Ubarikiwe MTUMISHI Ila watu wa Media wanakuangusha unasikika kwa shida
Tarimo Bony ukisoma maelezo wameomba radhi
Cjawah kuachwa kubarikiwa nawe#haleluya#
Mungu azidi kubariki kaz ya kutangaza utukufu na uweza wake.
AMINA.
Asante Sana nimebalikiwa Pastor, Mungu azidi kukuongoza
Siungo pastor ufunuo usipokuwa na roho mtakati huwezi elewa waeza dhani ni story za bwehaa, mungu atusaidie kumuelewa .
Nibarikiwa sana hemahubiriako Mrungu akurongorie sana
asante tena mchungaji, ila tungekusii utuandalie somo kwajili kuhusu swala nzima lakuhishi na woga ahu hofu ya signs na masonic numbers kwasababu kuna bahazi ya watu wamesha zitupa nguo na vifaha mbalimbali nakuwa na hofu ya kila kitu, please shetani amewanasa kwakuishi na woga miyoyoni mwao kwajili ya ilo, najuwa huku North America tunakufatilia sana sisi Swahili communities na wanavio kusikilizaga I hope utawasaidia sana. Mungu akujaze mengi zaidi
Ongea sana mchungaji, wenye kuongozwa na roho wa kweli nilazima wakuelewe unacho ongea. Mwenyezi Mungu na azidi kukushindia na kukupa nguvu 😍🙏
Duuuuuh, ahsante mtumishi Mmbaga
Barikiwa sana kaka.
Tunabaeikiwa sana
Hallelujah Amen ❤
👏🏼👏🏼👏
Kwenye tv yanarushwa ktk channel gan
ujembe mzuri, ila boresha uskivu, au sauti
Odilia Mchala Watu wa sauti wameomba radhi hapo
Amen
Somo zuri la namba na unabii. Kuna tafsiri nyingi ni kweli.
thank you Pastor for washing my brain by divine words, cause we are living in the communities where people wonder about signs, numbers and all about masonic signs until they forget the greatness of Jesus Christ. Please prepare a lesson about this topic again cause Satan is playing with their mind to scare them. Here where I am, There are persons who threw their clothes, plates, and their own property because of the satanic signs, Please prepare a lesson to help their souls.
Amina
♥♥♥♥
MIMI NAPENDEKEZO KWA POST ZA MAHUBIRI YA PR. MMBAGA ZIWE ZINABAINISHA KUWA HAPO ALIFUNDISHA/ ALIHUBIRI AKIWA WAPI, IKIWEZEKANA NA MAELEZO YA TUKIO KATIKA SOMO HILO.
Mfano:- Unabii Wa Daniel , by Pr. Mmbaga akiwa Kwenye makambi Iramba.
N.k
Asante kwa ushauri
Wazo zuri
naomba tufunulie kuhusu 666 huta weza kuuza wala kununua hii ni ya kiloho au ya kimwili
Paster wewe Mungu ameamua kukutumia kwa ajili ya kazi yake, hivyo acha uoga waambie watu waelewe acha kuwafumba hizi ni siku za mwisho.
Umesema 666 ni alama ya ibada ni kweli kabisa lakini waambie watu ibada gani/ipi? Maana watu wengi hawajui hili
Hiyo somo lake liko mbele,usiwahi kabla ya wakati wa somo husika
PASTA MUNGU AKURAANI KWA KUMKANUSHA MTUME WA MUNGU ULIKUA UNANIFUNDISHA ILA SINTAKUANGALIA TENA KASOME YOHANA 1.19 AMETABILIWA HAPO WEWE NI KAFIRI KWA MUJIBU WA YUDA 4.1 NAJUA UNATAMANI KUA MUISLAM ILA UNATETEA UGALI SIKUTUKANI ALLAH AMENISIHI
Hata wew uko sahihi sikupingi
Kwa wakat wako ubarikiwe ila dini zetu hazitupeleki mbinguni remembers this
Pastor ahsante kwa somo zuri.
Muhammad sio mtume wa MUNGU