usiogope majaribu na vikwazo penye vikwazo ndipo utakapo toa kazi nzuri km hii usivunjike moyo japo sio kila mtu ata penda kazi zko usihofu kazi yko nzuri sn na Mungu Akubariki
Unasauti nzuri na naomba video zako jaribu kuiweka vizuri maan unamwimbia Mungu...mavzi...stly ya nywele zako jaribu kuviweka vizur... Unajua mwenekano tu unatosha kuwavutia watu waje kwa Mungu.. Maan nyimbo za kumsifu Mungu tu. Na kuna nyimbo za kuvuta watu waje kwa Mungu... Kuna nyimbo za kufariji... Kuna nyimbo za maombi zote ni nyimbo..ila zimebezi kwa Mungu..sasa jaribu kuboresha video kwa upande wa mavaz na nywele...Mungu akujalie kibali cha kuimba nyimbo za kumgusa yeye Amina
Wooooow nyimbo nzur sanaa maana mashair mazur yamenvutia sana ukiachilia mbal videos pamoja Na beat ziko saw instort nimekuerewa more shabiki wako kwass ongera
Ubarikiwe Sana ❤ wimbo nzuri Sana
Asanten saana wapendwa Mungu awabariki
Nimebarikiwa sana..Mungu azidi kukuinua
Ok,thank you kwa kunifollow whatsstup.Ngoma nzuri🙏🙏
Nicee song
Ok
Allah akuzidishie inshaallah
Asanten saana wote mao ni support Mungu awabariki sana ninaona coment zenu na zinanitia Moyo saana.
Irene Robert ikobomba sana kaza iliufike pare unapo pataka mungu akufanyie uwepesi
Good songa mbele
Irene Robert uko vizuli
Nice c*
Wouh
Yap unastahiki pongezi ipo ck ulimwengu mzima utatufahamu one day I really like it kama umeisapot hii song naomba uweke like yako hapa
LOVE FOREVER
MUNGU wa mbingu na nchi akupe viwango vingine katika kazi ya kuujenga Mwili wa Kristo Yesu
kweli Mungu ni pendo na upendo wake haukomi.... watu wanakukataa lakini Mungu hakukatai.....heko dada
Kazi safi kama umeikubali kazi hii kama nilivyoikubali mm gonga like au share
Mdogo wangu hakikisha unajitia chini ya ya baba wa kiroho atakaekufa vizuri ulijisahau kuna watu wameomba wewe kufika hapo.
Mungu azidi kukubariki Ña kuinua huduma Yako katika Kristo YESU
😘😘😘😘😘😘😘unaweza mama LA mama
Dada mungu akuinue katika kazi zako
nimeipenda sanaa atanishangaza kwa vitendo vya kishindooo nisichoke kuomba sababu yeye anasikia Alfa and omega
Wimbo ni mzuri cna Hakika Mungu ni pendo tena upendo wake wadum milele ubarikiwe cna mtumishi
dada mtu hongela kwako kama umeikubar ngoma hii ngogalike hapa
Amina Dada....Irene Robert Mungu azidi kukupa hatu zaidi....endelea Kunyenyekea my dada. Nakupenda siku zote
Safi sana nyimbo nzuri video imetulia na haichoshi kuangali pigap.
Ufike mbali na huduma yako mpendwa my dada Mungu ni pendo
Mungu azidi kuku tumia zai na zaidi dada balikiwa Sana Dada yangu
Amina kubwaa
nitazidi kuomba naamini Maombi Mungu anaskia
Barikiwaaaa
Good job, mungu akutangulie ili uzid kutuinjilisha Kwa nyimbo zaid ya hii
usiogope majaribu na vikwazo penye vikwazo ndipo utakapo toa kazi nzuri km hii usivunjike moyo japo sio kila mtu ata penda kazi zko usihofu kazi yko nzuri sn na Mungu Akubariki
Unasitahiri kila aina za baraka kwa kazi nzuri yakumuimbia BWANA....kazi nzuri
Hongera airin nyimbo nzur kila hatua dua mungu yu pamoja nawewe my
Nyimbo nzr sana mungu azdi kukujalia kukupa wepesi wakufanya vizuri sana zaidi...
Safi Sana cc we mkali eeeh
Jaman nyimbo hii inanifanya nijiisi mwenye furaha hongera dada
Kazi yako nj nzuri sana. Mungu akuzidishe katika upako zaidi.
SINA MENGI YA KUSEMA KWA HUU WIMBO BALI TU , AMEN MARA SABA
Ogaaah! wimbo safi na bora kabsa MUNGU AKUBARIKI sana mtumishi.
Hongera sana kwa kuchagua kumwimbia mungu mwenye kutuhuisha na kutulinda, nimeupenda wimbo huu
Umejitahidi..endelea mbele zaidi.Ombi langu kwa Mungu ni mafanikio na kuinuliwa katika huduma yako
hongera Sana umeimba vizuri Sana Mungu aendelee kukupa maono ufanye vikubwa zaidi ya hivi hongera sana
Uko vizuri Dada. Mtangulize Mungu katika kazi yako naye atafanya.
hongera sana Mtumishi wa Mungu , kazi nzuri Mungu akuinue kwa viwango vingine
wimbo mzur hakika Mungu atakushangaza kwa vitendo
Well done...... mungu akufanikishe malengo na mipango yako katika kazi zako za kuimba
Teyali mama nimeona kazi ako ni nzuri
Ameen barikiwa kwa kazi nzuri sana dada angu
Upo vzr sana,muda cyo mrefu utaenjoy matunda ya hii kazi. Nina uhakika na hilo kutokana na utunzi na uimbaji mzur na sauti
Unasauti nzuri na naomba video zako jaribu kuiweka vizuri maan unamwimbia Mungu...mavzi...stly ya nywele zako jaribu kuviweka vizur... Unajua mwenekano tu unatosha kuwavutia watu waje kwa Mungu.. Maan nyimbo za kumsifu Mungu tu. Na kuna nyimbo za kuvuta watu waje kwa Mungu... Kuna nyimbo za kufariji... Kuna nyimbo za maombi zote ni nyimbo..ila zimebezi kwa Mungu..sasa jaribu kuboresha video kwa upande wa mavaz na nywele...Mungu akujalie kibali cha kuimba nyimbo za kumgusa yeye Amina
Natamani sana ck moja uje kanisani kuhudumu nimebarikiwa na huu wimbo. Ubarikiwe sana
wimbo mzuri sana nmeupenda kwa kweli Mungu akuinue Juu zaidi barikiwa mnooo
mungu ni mwema hongera sana mumy akulinde uzidi kukupa kipaji hicho wimbo mzuri sana
Nyimbo nzuri sasa irine....tena sana kaz buti my dear one day yes
Nyimbo inaujumbe barikiwa Sana Madame,,wadau kama umeikubali nyimbo gonga like twende sawaaa
makofi kwako Dada. Hii ni hatua kubwa. Pia Mimi nimeanza kimziki na natarajia mungu atasaidia
bro utafika far. nimeenda kwa channel yako na uko na bidii
super talent baraka
@@collinskhaniri9439 👊
Hongera sana dada yetu mpendwa! Mungu akupe kila hitaji la Moyo wako🙏🙏🙏🙏
Atanishangaza kwa vitendo tena vya kishindo
kazi safi kabisa nimeikubali kabisa
Hongera swna Irene,kazi nzuri sana najua yote uliyoimba yatatimia kwako pia kwa uhalisia,tuko nyuma yako usikate tamaa
Ni kweli kabisa akuna kuchoka kuomba mungu yupo nasi
Ireen hakika uko vzr sauti and very thing mungu azidu kukupa mafunuo
Irene ukiendelea hv utafka mbal kwa kuifanya kaz ya mungu nafurah na ntazd kukuombea unanitia na kuwa tia moyo watu wa baba
Mung yu najua atkufungulia njia iliy ya hakii na wabay wako wakitazam barak za mung zikkuinua wzishudie kabla hawajafa 👏👏
kweli mungu ni pendo na lake kubwa kweli
Hongera sana nyimbo nzuri, Mungu ni pendo kweli
wimbo mzuri sana barikiwa MTUMISHI wa Mungu.
Wooooow nyimbo nzur sanaa maana mashair mazur yamenvutia sana ukiachilia mbal videos pamoja Na beat ziko saw instort nimekuerewa more shabiki wako kwass ongera
Nimepenfa presentation zako kabisa......za kutia moyo kweli.
Hakika kupitia yeye ,,,yote yatapita ,,,ubarikiwe sana
Vizuri sana nyimbo nzuri nimeipenda pambana sana
Ubarkiwe Sana irene Mungu azid kukuinua wimbo uko mzur kwakwel
daah hongera sana dadangu kwa wimbo wako mzur umeimba kwa kujiamin wala hujaogopa camera hongera sana
Hongera sana dada....Mungu azidi kukutumia kwa viwango vya juu...
Safi sana unajuwa mnoooo nautafika kabisa bila tabu
hongera kazi nzuri ila usije fanya kama wenzio
Kwel dadaangu ngoma nzul tuongeznanyingin
Irene Mungu akubariki nyimbo nzuri sanaa
Nyimbo nzur sana mtumish melod,biti na video
Woooow mamy nimebarikiwa san kwa wimbo wako na umeutendea kz video yk k mung awe pamoj naw mpndwa
Nyimbo hizi watu wasilaumu hazitaji jina la YESU
JITAIDI WEWE UTAJE JINA LA YESU
Dah kumbe tangiapo ni gospel... Dah haya bhn dada nilikulupuk kido vizur
kwel Dada Mungu atatushangaza kwa vtendo
Hongera
Mungu azidi kukuinua kilaiitwapo Leo kwa utukufu wake
uko vizuri Dada yangu mungu azidi kukulinda na kuilinda karama yako
wahoo Irene kazi nzur sana barikiwa sana sana big up sana kwako
Nice song pia kuna ujumbe mzuri! Barikiwa
Ngoma kali lakini jaribu uimbe bongo freva unaweza sana una sauti nzuri Sana #Irene_Robert..
Kaz nzuriiiii. Songa mbele naBwana best
Iko vizuli sana mungu aibaliki kazi yako
Yaani da Irene unaimba vzuri,Mungu akuzidishie🙏🙏
Nimefurahia kazi yako dada. Uko juu ya paa. Video yapendeza
Ubarikiwe kwa wimbo mzr Mungu akuinue kwa viwango kingne kwa utukufu wake
Kazi nzuri sana hii..endelea hivo hivo..
Napenda hapo unavyoimba maneno kweny verse ya kwanza, umeua mumy keep it up
Barikiwa sana nimeupenda sana nakuombea uende mbali
hongera xana mpendwa kazi nzuri
Ubarikiwe mtumishi.Kazi nzuri
#lawrencendosi
Ok poa ipo poa sanaaaa dada jkaze tu uweo unao
Ubarikiwe kwa huduma nzuri ya uinjilisti
Hongera sana sister Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juu nimeipenda sana
irene ongera nyimbo nzuri
nice song mungu abaliki kazi yako dada angu mpenz
hongera mdada mzuri
kazi nzuri
Nakukubali sasa dadaaaangu endeleeeeaaaaaaa mungu amekubaliki
Ujumbe mzury sanaaa irene mungu akuinue zaidi ya hapo
Kutoka kenya nakukubali dadangu
Kali Sana wimbo yako my frend
Video ni Safi..Nimebarikiwa..Love from Kenya
Big up Dada ..nyimbo iko ok ....location pia imetulia ......
uko poua sana dada yangu kazi muzri