Mtoa hoja (Kesi) sio mbunge tena..mpokea hoja (ndugai) sio spika tena na mtolewa hoja(maguful) hayupo duniani.. ...ushindi usiofariji moyo ni sawa na mkosi...
Dimwa hajielewi hataki dogo na kamati ya halmashauri kuu ya taifa inatakiwa lazima imuajibishe dimwa kwanza amekiuka katiba ya chama pili una kiuka katiba ya nchi tatu yeye sio mwenyekiti wa chama ilikuwaje akaiweza kutamka kupitia kikao kikaokipi ambacho kimesibitisha hili
Hizi kelele zilianza hv hv na kipindi Cha Mwendazake wabunge waliibua hoja akiwepo Juma Nkamia. Tafadhali wachumia matumbo acheni kujikomba na fateni katiba, haiingie akilini mtu anaibuka na kutoa hoja isiyo na mashiko Kwa umma.
Aongoze miaka 5 Ili badaye aje Tanzania kama Rais. Akatae wanamfanyia figisu ili asije gombea 2030 Mwinyi ukatae, Wanaogopa Mwinyi kuwa Rais 2030 , Kuna kundi wanajoto na huyo baba
Hii miaka 5 tunaiona miaka elfu tano.. tumechoka nae afunge virago atokomee
Angoze maisha yote na asife milele
Mtoa hoja (Kesi) sio mbunge tena..mpokea hoja (ndugai) sio spika tena na mtolewa hoja(maguful) hayupo duniani..
...ushindi usiofariji moyo ni sawa na mkosi...
POMBE BADO INAWASUMBU HAWA CCM. AKILI ZAO HAZIELEWEKI ZINAFIKIRIAJE 🤣🤣
Wmesahau Mungu Pia anamipango yake
Dimwa hajielewi hataki dogo na kamati ya halmashauri kuu ya taifa inatakiwa lazima imuajibishe dimwa kwanza amekiuka katiba ya chama pili una kiuka katiba ya nchi tatu yeye sio mwenyekiti wa chama ilikuwaje akaiweza kutamka kupitia kikao kikaokipi ambacho kimesibitisha hili
Bimwa mgonjwa tu nawenzewe
Dimwa ana mimba changa,inamsumbua
😊😅 watu wakisha shiba wali mtamuu ,huandika na husema utoporo 😅😂
Namkumbuka Rais mstaafu Amaan Abeid Karume aliposema. "WANA AKILI ZA SAMAKI'
Hizi kelele zilianza hv hv na kipindi Cha Mwendazake wabunge waliibua hoja akiwepo Juma Nkamia. Tafadhali wachumia matumbo acheni kujikomba na fateni katiba, haiingie akilini mtu anaibuka na kutoa hoja isiyo na mashiko Kwa umma.
Aongoze miaka 5 Ili badaye aje Tanzania kama Rais. Akatae wanamfanyia figisu ili asije gombea 2030 Mwinyi ukatae, Wanaogopa Mwinyi kuwa Rais 2030 , Kuna kundi wanajoto na huyo baba
Hilo halitofanyika kamwe labda tuwe hatupo hapa duniani ndio wafanye wanavyotaka CCM.
Mpuuz huo wafwate katiba Dimwa aache uchawa vilishapitwa na wakat hvo ina mana nzanzibar nzima hakuna wasomi wala anayeza kuongoza upuuz uo
Alhamdulillah 🇹🇿 ❤