Hosana-FGS Choir FPCT Kurasini
Вставка
- Опубліковано 18 вер 2024
- Ni ujio mpya wa kwaya ya Free Gospel Singers (FGS) kutoka Kanisa la The Free Pentecostal Church of Tanzania (FPCT) Kurasini Dar Es Salaam Tanzania.
Hossana ni wimbo unaomtukuza Mungu wetu maana yeye ni Mungu wa Sifa. Kupata Video kali zaidi kutoka FGS subscribe katika UA-cam Channel yetu ili uwe wa kwanza kujua nini kinatokea kutoka Free Gospel Singers.
Mtukuze Mung pamoja nasi kwa kusema "Wewe ni Mungu wa Sifa"
Kazi ni njema sana. Mungu azidi kuiinua zaidi kwaya hii
Amina
Hakika hakuna wa kugusa utukufu wa Mungu... Mungu wetu anastahili sifa zoteee.
Amen
Mungu awabariki watumishi wa Mungu, hakika ni Mungu pekee asitahiliye kupewa sifa.
Endelea kutuombea mtumishi
Amina Nice Song
Kazi nzuri sana. MUNGU azidi kuwatumia na kuwainua katika viwango vya juu.
Amen. Kazi yako ni njema pia Mungu azidi kukutumia kwa viwango bora zaidi na zaidi.
Amen. Barikiwa pia kwa kazi nzuri
Amena nimependa sana
Endelea kupitia UA-cam Account ya Free Gospel Singers utapenda zaidi na zaidi. Endelea kutuombea.@@graceboniface9137
Mungu awabariki sana watumishi Kazi yenu ni Njema
Amen. Endelea kutuombea
+Free Gospel Singers Munguazidi kuwapandisha viwango hadi viwango
Nice song
Glory be to the Almighty
Safiiiiiii mbarikiwe sana
Amina utuombee.
Blessed
Amen
Fantastic
Fgc mna bariki sana Mungu azidi kuwatumia
Waoooh mbarikiwe sana...kazi ni nzuri...Mungu azidi kuwabariki
Amen, Sifa na Utukufu kwa Mungu wetu atupaye vyote
Amina. Endelea kutuombea
Mbarikiwe kwa wimbo mzuri
Amen. Asante sana
Hongeren viongoz kwa kazi nzuri
Amina, endelea kutuombea
Bila shaka umesubscribe kwenye channel yetu ili upate mapya kila siku.
Kama ukitaka kuona quality Nzuri ya video weka 360 naamini utabarikiwa sana
Amen nimebarikiwa sana
Haki Mungu ni mwema kazi nzuri sna Mubarikiwe Sana.na Mungu aweinue kwenda hatuanyingine
Endelea kubarikiwa zaidi na zaidi. Usisahau ku-subscribe kwenye channel hii ili upate vitu vipya.
Nawe pia
Fpct sku hizi mnagonga chord safi sana
Mungu ni mwema sana kwa wote wanaomtumainia
Ilitakiwa kuwa live video ingependeza
Asante kwa ushauri wako