Makovu ya maandamano Nairobi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лип 2024
  • Familia kadhaa za waliofariki kwenye maandamano ya kushinikiza kuondolewa kwa mswada wa fedha na uongozi bora zinaondoa maiti katika makafani ya City hapa jijini Nairobi kw amaandalizi ya mazishi. Willy Lusige yuko katika hifadhi hiyo ya maiti na sasa anaungana nasi mubashara kwa mengi zaidi

КОМЕНТАРІ • 148

  • @lizahbianca952
    @lizahbianca952 2 дні тому +25

    Familia ipokee pole sana kutoka kwetu kama wakenya 😢 it's so sad indeed.

  • @RichardKazoo
    @RichardKazoo 2 дні тому +19

    May the Lord give strength to the berieved families

  • @christinekedogo9308
    @christinekedogo9308 2 дні тому +38

    😭😭😭😭😭😭😭😭 mungu simama na family ya hawa watoto ruto utakufa vibaya kama ubwa 😭😭😭😭😭

    • @nancy9306
      @nancy9306 2 дні тому

      Ruto HAUTAKUFA mwenye wivu ajinyonge

    • @bellaki4392
      @bellaki4392 2 дні тому

      A boy from didmus barasas county 😢😢😢.. What a shame of an MP

    • @bellaki4392
      @bellaki4392 2 дні тому

      ​@@nancy9306what if you are the one who've lost a son or brother!!!..The same God will judge all of us and our self centered intentions!!!

  • @patriciaa4451
    @patriciaa4451 2 дні тому +9

    Pole sana. May your sacrifice for the country not be in vain. 😢

  • @user-gm6sc8qu7e
    @user-gm6sc8qu7e 2 дні тому +4

    Poleni sana ndugu na marafiki

  • @magerogeorge5337
    @magerogeorge5337 2 дні тому +5

    Poleni sana. Nawaombea Mwenyezi Mungu awafariji.

  • @user-wu2yy8jl9d
    @user-wu2yy8jl9d 2 дні тому +20

    Pole kwa familia

  • @peterkariuki9073
    @peterkariuki9073 2 дні тому +5

    Ruto's true colours! Sad. Ogopa serikali iliyosimika kichwa kanisani.

  • @abdallaabdulrahman1749
    @abdallaabdulrahman1749 2 дні тому +2

    Pole kwa familia....a very special talented young man gone😢😢...so 😭 😭

  • @user-dn2yu1qy4p
    @user-dn2yu1qy4p 2 дні тому +4

    Eee Siz God gives you more strength with your family at this difficult time 😥😥

  • @user-fz3wi5sc4l
    @user-fz3wi5sc4l 2 дні тому +8

    RIP our heroes
    Makiwa Kwa familia

  • @asminmakoha6889
    @asminmakoha6889 2 дні тому +4

    Poleni sana

  • @user-jm2ql4gn5w
    @user-jm2ql4gn5w 2 дні тому +6

    Safe journey mashujaa

  • @sabinamwema8668
    @sabinamwema8668 2 дні тому +3

    Comfort to the family 😢😢it's a real trying moment to the families,poleni sana

  • @lameckogola9757
    @lameckogola9757 2 дні тому +6

    Poleni sana🕊️🕊️ R.I.P 🕊️🕊️my brother😢😢😭😭

  • @dorischengo3848
    @dorischengo3848 2 дні тому +2

    Poleni sana Wana familiar 😢😢😢😢 mungu awafariji kipindi hiki kingumu 😢😢

  • @user-oy5fn8du4u
    @user-oy5fn8du4u 2 дні тому +2

    Polen ndugu zetu 😢😢wa kenya inauma sana😢😢😢

  • @nevilokuthe398
    @nevilokuthe398 2 дні тому +2

    Poleni sana Mungu awape nguvu

  • @abdimarco5368
    @abdimarco5368 2 дні тому +4

    Poleni sana very painful

  • @Mutheu-k7l
    @Mutheu-k7l 2 дні тому +2

    Mungu n mtetezi wa wanyonge,

  • @RobinOyie
    @RobinOyie 2 дні тому +7

    Very painful

  • @ANDREWMILIMO-l1k
    @ANDREWMILIMO-l1k 2 дні тому

    You deserve to be the governor of bungoma county..ulijenga daraja kule mirurii kibingei ward,sai ndo huyu unasaidia familia iliofiwa...mungu akubarikii bwana Zacharia Baraza

  • @agnesmbuli1699
    @agnesmbuli1699 2 дні тому +4

    Mungu na awape nguvu

  • @user-jj1wz6lk4i
    @user-jj1wz6lk4i 2 дні тому +3

    Aky pole

  • @karimimartha1621
    @karimimartha1621 2 дні тому +3

    Mungu arehem familia 😭😭😭

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 2 дні тому +4

    Poleni

  • @douglasomare147
    @douglasomare147 2 дні тому +11

    Pole sana kwa familia

  • @johnteKim-zx5sw
    @johnteKim-zx5sw 2 дні тому +2

    Aky poleni

  • @MareMa-kb3iy
    @MareMa-kb3iy 2 дні тому +3

    Poleni ndugu zetu 😢😢😢😢😢

  • @phylisboat6726
    @phylisboat6726 2 дні тому +2

    My heart breaks for you. May the Lord comfort you all ❤

  • @marywambui9710
    @marywambui9710 2 дні тому +1

    ❤❤❤😢😢 oooooh my goodness. That's painful. May Jehovah give the family peace. ❤❤ Nice one sister.

  • @AsminKhaoya
    @AsminKhaoya 2 дні тому +2

    Neno lamungu linanena yule hallie hatsa kutabuka neno lamatamano hikiwa nimusazi kwa hutumuwa wavijana kuhatamana nakuhuliwa huwomuziko wamafaa kwa matamano niwake kwa sababu neno lamungu liko nalinatukana neno matamano hatusitaili hutumishi wake kutumika kwetu hiyo nikufuja hamuri zamungu naniteyari halie hatsa matamano halifuja hamuri zamungu kwa mahuwaji kwake yamatamano

  • @catherineomariba3196
    @catherineomariba3196 2 дні тому +5

    Heroes

  • @bellaki4392
    @bellaki4392 2 дні тому

    Willy lusige really knows how to conduct himself ❤... may God Almighty console all the bereaved 😢😢

  • @benadettewagio83
    @benadettewagio83 2 дні тому +1

    So painful, may his soul rest in eternal peace

  • @lucymwangi655
    @lucymwangi655 2 дні тому +1

    Poleni familia mungu awafariji

  • @janinesaiti6242
    @janinesaiti6242 2 дні тому

    Pole sana.mungu awape nguvu

  • @user-dn2yu1qy4p
    @user-dn2yu1qy4p 2 дні тому +2

    So.painful..
    Rest in peace bro😢😢😢

  • @AngelaChris-fi4cm
    @AngelaChris-fi4cm 2 дні тому +1

    Poleni sana kwa familia zote,,

  • @sarahkanyaamwangangi4117
    @sarahkanyaamwangangi4117 2 дні тому +4

    Wisdom

  • @titusmaina1949
    @titusmaina1949 2 дні тому +2

    May God comfort you.

  • @BenjaminMashudi-pw6fq
    @BenjaminMashudi-pw6fq 2 дні тому +4

    Sister mzuri,pole aki

  • @Mutheu-k7l
    @Mutheu-k7l 2 дні тому +1

    Poleni sana kwa familia

  • @FANUELODHIAMBO-g1m
    @FANUELODHIAMBO-g1m 2 дні тому +1

    Poleni wenzetu

  • @JoyceAntony-gm1rs
    @JoyceAntony-gm1rs 2 дні тому +3

    What? President call gen z to talk miguna miguna said to them not to do so 😮

  • @mourineanyango2082
    @mourineanyango2082 2 дні тому +1

    Waah 😢😢😢my condolences to the family

  • @badmaned2285
    @badmaned2285 2 дні тому +2

    Poleni sana ,,very painful indeed

  • @aishasaidi1784
    @aishasaidi1784 2 дні тому +3

    Sio machafuko polisi ndo walitumia nguvu kwa waandamanaji na nguvu za polisi ni kufyatua risasi kiholela holela

  • @ruthamisi4492
    @ruthamisi4492 2 дні тому +1

    Poleni sana...rest in peace my son😢

  • @RodahOndiek
    @RodahOndiek 2 дні тому +1

    Rlp brother

  • @lucymburu7082
    @lucymburu7082 2 дні тому +1

    Poleni sana family

  • @WitnessKuboja
    @WitnessKuboja 2 дні тому +1

    Pole sana

  • @officialshenny1
    @officialshenny1 2 дні тому +6

    This is very painful 😢

  • @EmmahAwuor
    @EmmahAwuor 2 дні тому +1

    Very painful haki ,poleni sana

  • @sallykendi6125
    @sallykendi6125 День тому

    Akh pole kwa familia

  • @ibrahscharo2703
    @ibrahscharo2703 2 дні тому

    Pole sana kwa famiy

  • @daudajamada3422
    @daudajamada3422 2 дні тому

    This is why the fight against impunity should not stop until Ruto steps down.... We must continue!!!

  • @JumaGobu
    @JumaGobu 2 дні тому

    Poleni snaa

  • @doreenwanjohi9877
    @doreenwanjohi9877 2 дні тому

    Poleni sana Mungu awape neema na awape faraja kila kitu utendeka kwa wema it is so sad😢😢😢😢😢😢😢

  • @pauline71
    @pauline71 2 дні тому

    Poleni sana watu wngu wa Gen z

  • @user-lg8vx4bn4t
    @user-lg8vx4bn4t 2 дні тому +1

    Mbona mlituma mzigo siku ya maandamano

  • @MilkachepkorirLangat
    @MilkachepkorirLangat 2 дні тому

    Pole Sana Kwa familiar

  • @khadijanjama8721
    @khadijanjama8721 2 дні тому +1

    Laanatu llahi

  • @abdulkadirkassim4806
    @abdulkadirkassim4806 2 дні тому

    Hakuna njia ya kukaa na Ruto kuzumza Ila ni maandamano

  • @otienofredrick2656
    @otienofredrick2656 2 дні тому

    Gteat sorry for the bereaved families,may Our good Lord restore Peace in your hearts ❤ though it's painful 😢.RIP Y'all remain our legends in our hearts.

  • @MaryMwacharo
    @MaryMwacharo 2 дні тому

    Pole sana familia.
    Very sad,very hurting

  • @skybilak5135
    @skybilak5135 2 дні тому +2

    😭😭😭my God please

  • @AloyoMary
    @AloyoMary 2 дні тому

    Pole sana,so sad .

  • @georgekamau9855
    @georgekamau9855 2 дні тому

    Kenyans will pay even more tax repairing & building all what was destroyed by the unruly demonstrators. God bless Kenya.

  • @ForeveryoungNana2019
    @ForeveryoungNana2019 2 дні тому +4

    There should be no negotiations with a killer, ICC where are you for God's sake! You are our only hope🙏🙏🙏

    • @jeptookotos3347
      @jeptookotos3347 2 дні тому +1

      Don't your hope in Icc, put your hope in God

    • @ForeveryoungNana2019
      @ForeveryoungNana2019 2 дні тому

      @jeptookotos3347 speaking of the truth mnaekelea mungu vitu zingine hazifai, a police with no heart should face the harsh decipline.

  • @ruzindazajonas8506
    @ruzindazajonas8506 2 дні тому

    Kenya bwana! Kwa sababu ya kutoa makafaa kwa shetani wanakua chanzo cha damu kumwangika kila mara! 2002 , 2007, 2017 , 2022 now 2024! Wazazi wawe na nidhamu kufundisha watoto wao kutojiingiza ktk maovu anaoletwa na wanasiasa , wanasheria na wanaUA-cams wapumbafu.

  • @AlfredBango
    @AlfredBango 2 дні тому +1

    Hizi ni consequences za mucocezi babu owino ashikwe ama next maandamano auliwe
    Bure KBS

  • @lydiamoraa1253
    @lydiamoraa1253 2 дні тому +1

    😢😢😢😢 Pole Sana sister

  • @damariskemuntoatambo2292
    @damariskemuntoatambo2292 2 дні тому

    Pole kua family

  • @ruda4444
    @ruda4444 2 дні тому +1

    Dance with angels baby boy

  • @JonesMinayo-cl2dy
    @JonesMinayo-cl2dy 2 дні тому +2

    😢😢😢Why

  • @user-wy5vn5xv4f
    @user-wy5vn5xv4f 2 дні тому

    Pole kwa familia waliofiwa na watoto wao police hao wenye waliua hao watoto pia wao watakufa

  • @grammamresh8848
    @grammamresh8848 2 дні тому

    Poleni Sana familia

  • @rosemaryauntie3872
    @rosemaryauntie3872 2 дні тому

    Those police officers that shot those heros nothing will be done to them in 21days the bill will become a law and thats Ruto for Kenyans the altar Nation of Africa

  • @werecollo7256
    @werecollo7256 День тому

    who wrote that head line,it should be" makovu ya polisi"

  • @janifferkameta1388
    @janifferkameta1388 2 дні тому

    It's so hurt breaking for for the family may almighty God be with them

  • @mayaspanic221
    @mayaspanic221 2 дні тому +3

    Fly to Jesus, our fallen heroes, may our almighty grant your souls rest and peace.❤

  • @edwardwangari7441
    @edwardwangari7441 2 дні тому

    May the souls of our hero's rest in peace ❤❤

  • @LucyOnyango-uj6vg
    @LucyOnyango-uj6vg 2 дні тому

    Poleni sana 😢😢

  • @translationafrica2629
    @translationafrica2629 2 дні тому

    Pole 😢

  • @OldisGold1982
    @OldisGold1982 2 дні тому

    It's sad my condolences

  • @JohnMore-jv3sj
    @JohnMore-jv3sj 2 дні тому

    Ruto must go

  • @missnellytv2149
    @missnellytv2149 2 дні тому

    RIP our heroes we salute you all😢😢

  • @langatgeoffrey-tf7cp
    @langatgeoffrey-tf7cp 2 дні тому

    Wewe huna akili ulimwona Rais akiwa na bunduki?

  • @joycenjeri1225
    @joycenjeri1225 2 дні тому +1

    Swali ni, nani ameenda hasara? Ni serikali, polisi, media, wanasiasa, wasio hudhuria maandamano au familia ya mwenda zake? Sad but never be used by anyone..

  • @everlynewanyama3804
    @everlynewanyama3804 2 дні тому

    Makiwa Kwa familia

  • @charlesnteuwa9180
    @charlesnteuwa9180 2 дні тому

    How comes family members wa marehemu wanajua hakua Kwa maandamano na hakuwapigia simu kwenye alikua na alikua anafanya nini,walipata aje info kwamba hakua Kwa protest

  • @GeorgeOdhiamboOndiek
    @GeorgeOdhiamboOndiek 2 дні тому

    so sad bro(R.i.p)

  • @musa-uu8rx
    @musa-uu8rx 2 дні тому

    rest in peace brother😭

  • @missnellytv2149
    @missnellytv2149 2 дні тому

    My condolences 😞😞😞

  • @josephomari9989
    @josephomari9989 2 дні тому

    Warare pema peponi hao vijana ni mashujaa wetu.

  • @aishasaidi1784
    @aishasaidi1784 2 дні тому

    Lahilahillah lahilahahilala inalilahi waina lilahi rajiun 😢😢😢😢😢😢😢

  • @francisjaluu5763
    @francisjaluu5763 2 дні тому

    So heartbreaking

  • @badisylvia3236
    @badisylvia3236 2 дні тому

    Rip Wilson Sitati my cousin

  • @azimiokenyakwanzatv.
    @azimiokenyakwanzatv. 2 дні тому

    Nani aliwatuma kuvamia parliament... congratulations to the police ❤❤❤