Wewe jot anawasanii wake wakina sopa na kipande pia mama dame nawengine ukiona kafanya comedy yake namsanii tafauti jua wanatangaza biashara flani apo naona alikuwa anampa shish kampan kwenye tangazo laiyo coconut coz shsh amekuwa baloz waiyo kampun
@@ellenkamanzi3505 kaka Prince, uko sahihi ulichosema, minazungumzia kwa brand marketing perspective, joti afanye awe anafanya Cameo an watu walioko kwenye media hususa internet superstar, wasanii na ma social media influencers, in long run , JOTI MEDIA GROUP, will be the biggest media Tz hawajai ona..sababu kuu mooja , Joti mwenyew ni super creative na akiweza ku leverage hiyo chance..naamni atafika mbali sana
Hiyo mito umekosea kuweka picha zako umeacha kifua wazi Kuna wateja wanaojiheshim kwa mfano familia mke na mme na watoto wao waone kifua nje nje inakera sana kwa mwanamke
Wale ambao kwenye tangazo la pampass tunasogeza faster.... kuwahi story leo tugonge hapa
😃😃😃
Mimi kabisa wa kwanza
hamna pampas hapo kuna diapers za mtaani na giggles
hahahaha☝️
Tupo wengi✌
Kama huwa unapeleka mbele tangazo la JOTTI mwanzoni Gonga like 🙇🏽♂️🙇🏽♂️🙇🏽♂️
Mimi lishanichosha
Yaani
I'm the one
Angalieni tangazo joti alipike maana sisi kumlipa kwa uchekeshaji wake hatuwezi,, # Tuwashike wasanii mkono
Joti tuletee kiboga 2memisi walio msi kiboga Kama mm twende sawa
Turetee ata reo
Yadada kiboga ruretee tumeimisiiii
Hahaha
Omy Dimpoz kapendeza Mashallah...Mungu n mwema sanaaa 🙏🙏
Ndio
😀😀😀SHISHI UNAJUIS YA MOTO NAONA INANYEWA KAMA UJI👏👏👏👏 HONGERA JOT
Team Joti kutoka Kenya 🇰🇪... Gonga like
@BIDNES BONGO [̲̅Y̲̅σ̲̅υ̲̅т̲̅υ̲̅b̲̅е] sides gani msa
Et shishi una juice ya moto 😂😂😂
kama umemuona ommy dimpoz weka like
Hahaha mambo nimotooo naona
Safi sana mdogo wangu joti nakukumbuka toka shule ya msingi mburahat nilikuaa nakuzaba makofi kwa utundu wako
🤣🤣🤣🤣🤣
@@elizabethtarmo3711 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙆♀️
Shishi una juice ya moto
Shishi sasa Kwann
Joty ndio naiyona leo😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂
Ommy dimpoz Kumbe kiboko wa Comedy Hatariii 🙏🙏
Hapa shishi alikua sio kibonge sana
😂😂😂😂😂 Poz kwa poz juice anavyoivuta kama inaunguza ulimi 😂😂😂😂😂
Joti chief....kipindi chako aanza kuweka cameo ya watu maarufu maarufu...this is a game changing strategy brother, hakuna atakayeweza 💪💪
@Omedia255 kaka unajua maana Ya Cameo?
Wewe jot anawasanii wake wakina sopa na kipande pia mama dame nawengine ukiona kafanya comedy yake namsanii tafauti jua wanatangaza biashara flani apo naona alikuwa anampa shish kampan kwenye tangazo laiyo coconut coz shsh amekuwa baloz waiyo kampun
@@ellenkamanzi3505 kaka Prince, uko sahihi ulichosema, minazungumzia kwa brand marketing perspective, joti afanye awe anafanya Cameo an watu walioko kwenye media hususa internet superstar, wasanii na ma social media influencers, in long run , JOTI MEDIA GROUP, will be the biggest media Tz hawajai ona..sababu kuu mooja , Joti mwenyew ni super creative na akiweza ku leverage hiyo chance..naamni atafika mbali sana
Dah full maraha kukesha raha jamani,,,wako wapi team popo💥💥
Mapema leo nikiwa wa pili weka like twende sawa
Ikusaideje
@@munamamirisho2466 Hayo maomba like ni mandezi kishenzi. Majitu ya FB hayo ushamba tu kama hizo Likes zinawapa hela!
@@munamamirisho2466 nimeipata lkn
@@lolanimals7206 jaribu kuomba na wewe uone utamu wake
@@munamamirisho2466 on. Be.
Aisee joti unajua kutuvutaa..Ila kama umefurah kukuon dimpos na shishi (👍)..😂😂😂😂😂
Imenyweka Kama ya Moto kumbe ya balidi waliona Kama mm
"Eti kwenye Kanga naweka ukuni" dah Joti Mbinguni utapaskia tuu
Hiv ni mm peke yangu ambae huwa namuona Zuwena mzuri bila make up na akiwa na make up namuona wa kawaida
Sanaaaaa
Eti mi mwanamke nampiga kwa kanga ila katikati ya kanga naweka ukuni 😂 😂
Mimi sitaki like 😬
Hhhaaa bc izo tunakupa utazipeleka wp😅😅😅
🙌🏽🔥🔥🔥muko juu joti na shishi 💯✔
🤣🤣🤣🤣🤣 shishi baby na joti waoooow nimeipenda sana ❤❤❤❤❤
😂😂😂😂 Dunia nzma inajuwa shishi upo single na Mimi npo Single 🤣🤣🤣
Shishi, una Juice ya Moto
Juice imenyweka kama ya Moto!!
😂😂😂😂 wasema ndo maana anapigwaa aendee wp ( kwa mwakinyoo)
Me nasemaga wasanii wanaringaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😀😀😂
😂😂😂😂😂Eti me nasemaga kuna wasanii wanaringaga
1:50😂😂😂😂😂😂 juice ya moto.
😂😂😂
Shishi mwili uo upunguze bhaaaaaana
Nimecheka kifala 😄 😄😄 😄🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 joti we noma.
Daah joti ni fire
😂😂😂😂joti ndio mana ana pingwa sio 🤣🤣🤣
Unapost asubuhi sana joti, uwe unasubir na wajumbe waamke
😃😃😝
Joti dishii sana eti Dunia nzima inajua wewe ni single😂
hahahaha eti shishi huna juice ya moto hahahaha
😂😂 hili leo tangazo, 🙌
Eti wapiii 🤣🤣🤣
Juice ya moto...😁😁😁😁
Joti mungu anakuona na shishi😂😁😄😄😄😄🤣🤣🤣😂😂😂😂😂🤣
Sister Duu ulie ukataa Umama ntilie leo una mpa heshima ShiShi
Sahihi kaka Gucci
Jotii km unakubal anajua gonga like apa
Jamn jotiii😍😍😍😍😍😍😂😂😂😂
shishi ndo ulikoanza huko bongomovie
Namimi one day ntaenda shishi food
Daaaah huyu jamaa kwenye matangazo ni mbunifu sana aiseee
Shishi unaendana sana na joti
Masha Allah wow this is nice movie 😘😘😘😘❤❤❤❤🔥🔥🔥🙏🙏🇰🇪🙏
Napiga kwa kanga na ndani ya kaka naweka ukuni😂😂
Uturi😂😂😂sio ukuni
@@yeasrmsafi7152 ukuni
Eti shishi unajoice ya Moto 😀
Eti nenda kwa mwakinyo 😂😂😂🤣
kama hupendi kuangalia matangazo ya joti na kuokoa muda anzia dakika ya 1:10.
Juice ya moto🔥🔥🔥🔥
🤣🤣🤣🤣
Shishi unajuwice ya moto mana nimeiyona hapa
Hiyo mito umekosea kuweka picha zako umeacha kifua wazi Kuna wateja wanaojiheshim kwa mfano familia mke na mme na watoto wao waone kifua nje nje inakera sana kwa mwanamke
KAMA WEWE NI SHOMBE SHOMBE TUJUANEEEEEE🤣😂🤣😂
Uchebe yuko api..washaanza kuact kwa shishi
😂😂😂
Mnajua kutumia fursaa Vzrii saan 😂😂
Unaliona tangazo la pampas unalisogeza mbele ili ukaone comedy. Unafika kule unakutana na tangazo la GIHESHIMU🤣 (GSM)
Daah wale wanaomkubali Shishi na Joti tujuane kwa like jaman
2024 here ❤🎉😊
Joti mungu akupe myaka yote uweze kutupa vitu vizuri
Ww umejuaje kama atakupa yote😄😄🤪
Piga kelele kwa GSM yakeeee! Tukutane tarehe 30 kwa Mkapa
😂😂😂😂😂kwenye kanga ndani anaweka ukuni 😂😂🙌
Anapga kwa khanga half ndan ya khanga anaweka ukuni !
Joti muhuni
Ana maanisha nn ukuni ndan
Hahaha joti we fala sana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂hehe eti shishi changamka basi utaniaua😆😆😆😆😆juisi ya moto😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂kwani lazima aongee?
Heheeheheh..kweli hana upepo na wewe😂😂😂😂😂😂
Hehehehehe..eti shishi unataka kuniteka,kweli watakuroga wanaume😂😂😂😂shishi sweetie😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂shishi ndo maana unapigwaga wewe,nenda kwa mwakinyo😂😂😂😂😂😂😆😆😆😆😆
Aliona kama Ommy hakupenda micamera nani?😃😀
Acha ushamba ndo wametoa comed wote. Pale
Duuuuh ingekuwa kweli wakike yan umetisha saaaaaana
😂😂😂 kofia Kama kizoleo Cha taka
Sasa, Shilole, yale mazoezi kwa ajili kupunguza kitu gani? Pushapu kama unamkaza mtu bana! Hehehehee
😆😆😆😆juice ya moto
Na dunia nzima inajua uko single 😂😂
Shishi unanikataa moto💣💣🔥🤣🤣🤣
Mmetisha sanaa
Eyooo nishai 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yawezekana ikawa ndo sababu ya kupigwa na uchebe
hahahaa ndani ya khangaa anawekaa ukuni😂😂
He!!! Shishi una juice ya moto siku hiz??? Daaah naona kama umenyweka ya moto vile,
😂😂😂😂😂😂😂😂
Haki vile Joti wew hufai
😁😁😁😁😁😁😁
Matangazo ya lazima!!! huo ni wezi. hata you tube inakupa sekunde tano ya kukataa matangazo.
Napiga kwa kanga na ndani ya kanga naeka ukuni...😂😂😂
Dah Ila joti kashindikana daaah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimeipend 😋 hii
Unatixha kk
Hahahahahaha shishi ndo maaan unapigangwa😀
Et shishi unajuis y moto ommy kanywa juice kama chai
Omy kala mikausho kibubu mimi sipigi tutawezana nipooo
Shishi ana sura nzuriiii nyie
Jotiiii so talented
😂 😂 😂 Joti utawezana kweli?
😂😂😂😂muhudum anamwambia mteja anakula sana
Ommy na juice moto 😂😂😂
Hm watu makin San asubuh tote tunaviziana kuwa wa Kwanza🤭 na unashindwa
Where is kipande pliz🇰🇪🇸🇦
Brother ommy achazalau
Unanikata moto lmao🤣🤣🤣
Leta juice ya moto please 😂😂😂🙏🏿
Shishi una juisi ya moto
Mamaeeeeeeee yan kwenye kanga tunaeka ukuni
Shishi kwani una juice ya moto.... Kwa mara ya kwanza ndio naona kuna MTU hapa anakunywa nikajua kuna ya moto, Hahahahahaaa.....
Nimechelewa lkn cwezi pitwa 😃😃😃😃