MUONEKANO WA IKULU YA DODOMA VS YA DAR ZINATOFAUTIANA NA KUFANANA MAELEZO KWA KINA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 гру 2024

КОМЕНТАРІ • 18

  • @agneskibiki3016
    @agneskibiki3016 11 місяців тому +3

    Ndio tuhamie dodoma sasa mbona kimya au kwa vile mwenyewe hayupo😊

  • @herie16m
    @herie16m 10 місяців тому

    Asante JENAFA TV
    Ninapenda sana kazi zako. Ninajifunza mengi kutoka kwenu.
    Asanteni
    Herie16m

    • @JenafaTV
      @JenafaTV  10 місяців тому +1

      Nipee contact yako nina shida Mr.mbeyela 0753982555 whatsapp

    • @herie16m
      @herie16m 10 місяців тому

      @@JenafaTV ok

  • @johnsonmushi4537
    @johnsonmushi4537 11 місяців тому +2

    Mazingira hali ya hewa pia ni tofauti

  • @SabriAlharthy-gw5bu
    @SabriAlharthy-gw5bu 9 днів тому

    Hata hiyo ikulu ya chamwino mmetumia Ati za Zanzibar na mlango wa Zanzibar door 🚪

  • @SabriAlharthy-gw5bu
    @SabriAlharthy-gw5bu 9 днів тому

    Na ushahidi utizame mlango wa Zanzibar door na unaaya za Quran ikulu ya magogo ni

  • @HarunakiongoziMohamed
    @HarunakiongoziMohamed 6 днів тому

    Kuwa mkweli ikulu ya dodoma imejengwa na rais samia

  • @fransicmushenyera9302
    @fransicmushenyera9302 7 місяців тому +1

    imejengwa na JPM acha kupotosha umetumwa

  • @SabriAlharthy-gw5bu
    @SabriAlharthy-gw5bu 9 днів тому

    Uwongo huo ikulu imejengwa na waisilamu wa kutoka Zanzibar acheni uwongo, mkoloni wa mwanzo mjerumani alipoingia Kalikuta jengo hilo ,na likitumika kama chuo cha ilmu ya kiisilamu mjerumani ameikuta jengo hilo ,na aliposhindwa vita akaingia muengereza ameikuta ,semeni ukweli acheni kudanganya watu .sisi tunajuwa yote , soma history ya ya Zanzibar ndio utaujuwa ukweli sio Tanganyika

  • @samrysamry9812
    @samrysamry9812 11 місяців тому +1

    Nikweli dodoma kuna baridi badae kuna ukame

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km 11 місяців тому

    Ikulu imekaa kama madarasa ya shule wangedizaini ata kidogo

  • @hamisijuma3276
    @hamisijuma3276 2 місяці тому

    RIP JPM

  • @siyabamnubimohamed-yr9jx
    @siyabamnubimohamed-yr9jx 10 місяців тому

    Kuna uongo ndani yake 😢magogoni haijajengwa na British east Africa 😂

  • @theophilmawe9776
    @theophilmawe9776 7 місяців тому

    Mbona ka msikiti

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Місяць тому

      Acha udini wewe, ikulu hii ya Dodoma imefata ramani ya ikulu ya Tanzania ya hapa Dar es Salaam, na hii kajenga magufuli, kwa hiyo naenda kamuulize kwanini amejenga hivyo!!

  • @kainimlowe9646
    @kainimlowe9646 2 місяці тому

    Ujinga tu mbona nyumba yangu nzuri kuliko iyo takataka