Hatari; Majambazi Yamekamatwa na Silaha Hizi Zote

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 61

  • @mirajikinuke6636
    @mirajikinuke6636 6 років тому +1

    Hii ndo serikali tunayoitaka, inatekeleza, na inatulinda wananchi, Ahsanteni JESHI LA POLISI kwa kazi nzuri

  • @verocletus1082
    @verocletus1082 7 років тому +2

    Mungu yupo upande wenu fanyen kazi👍

  • @jajinyanda3552
    @jajinyanda3552 8 років тому +1

    safii sana kwa kazi muliyoifanya maasakar wetu

  • @tedyjonass8204
    @tedyjonass8204 8 років тому +1

    kazi nzuri kwa polisi

  • @allyfaraji6472
    @allyfaraji6472 7 років тому +2

    Safi sana Makamanda wetu. msiache hata kidogo waaasha Motooo

  • @mussamussa435
    @mussamussa435 7 років тому

    hongera sana jeshi letu la polisi mnafanyaka kazi kubwa na nzito sana mungu awasimamie sana bila ninyi kwa kweli sisi maisha yetu yangekuwa ya wasiwasi mno kwa hiyo hongereeni sana

  • @msaniimpyaBMW
    @msaniimpyaBMW 7 років тому +2

    Kazi nzuri!

  • @AliMohammed-zb8xf
    @AliMohammed-zb8xf 8 років тому

    Asanteni kwa kufanya wajibu wenu endeleeni kuwa updated hamna kulala

  • @samwelimwasola5287
    @samwelimwasola5287 7 років тому +1

    kamanda silo ongela sana mungu akupe maisha malefu na polele kuondokewa na askali vijana kabisa mungu yuko nawe pambana tunaimani nawe

    • @rahmashaban8693
      @rahmashaban8693 6 років тому

      Kiswah ili chako kibovu sana hakieleweki.

  • @boyseleman658
    @boyseleman658 5 років тому

    Nakubali mzee

  • @kafaidojulius8798
    @kafaidojulius8798 7 років тому +3

    safi sana sasa wako wap

  • @furahasengo7630
    @furahasengo7630 7 років тому

    safi sana kamanda

  • @felixchiluka9925
    @felixchiluka9925 6 років тому +1

    hongeren xn lakin wapo wenzenu ambao wenyewe wakiamka nawaza Leo nikakamate bodaboda kumi hawazi kama kuna majambaz yanayo Fanya uharf linategeme litaongezwa cheo Lin sijui

  • @johnkasala8478
    @johnkasala8478 7 років тому +1

    pongez kwa kaz nzur endeleen na ulinz wa RAIA na Mali zao

  • @rehemasaidi9943
    @rehemasaidi9943 8 років тому +1

    police mumefanya vizuri

  • @margaretmkangala7774
    @margaretmkangala7774 6 років тому +1

    Kamanda hizo sare Za polisi wamezipata wapi?

  • @lovenessgerald3161
    @lovenessgerald3161 8 років тому +1

    pongezi kwa polisi wetu na wasamalia wema waliowapa habari

  • @erckimahenge5422
    @erckimahenge5422 7 років тому +2

    poleni makamanda wetu kwakazingumu ushauli wangu kuweni makini pia kwa vijana waliopitia mafunzo ya jeshi na hawakupatiwa ajila nao inaweza kuwa chanzo cha ujambazi

    • @peterpaul4850
      @peterpaul4850 7 років тому

      ercki Mahenge hatakuandika jaman ushauli ndo nn au ajila ni nn rudi shule mdogo wangu

  • @EcoEssence_wellness
    @EcoEssence_wellness 7 років тому +1

    Good....

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga809 8 років тому

    Safi jamani wanatuumiza sana

  • @atuwilliam9094
    @atuwilliam9094 8 років тому

    gud job

  • @richardmadege2760
    @richardmadege2760 8 років тому +4

    Ikiwezekana waokoke itakuwa ni Jambo zuri zaidi. Mwisho wa kunukuu.
    Hii injili iwafikie na viongozi wote kuona thamani ya wokovu

  • @davidgidion5389
    @davidgidion5389 7 років тому

    Hongera kwa jeshi la polis, na polen pia

  • @yusufalmamari4236
    @yusufalmamari4236 7 років тому +1

    kazi zur

    • @festokanandi7194
      @festokanandi7194 7 років тому

      Mungu tunakuomba uwalinde Askari were.
      "aminaaa"

    • @festokanandi7194
      @festokanandi7194 7 років тому

      Mungu tunakuomba uwalinde Askari were.
      "aminaaa"

  • @arafatimjungu2510
    @arafatimjungu2510 7 років тому +1

    kamanda wetu nakukubali kwa ulinzi

  • @winfraysango9646
    @winfraysango9646 7 років тому +1

    ingekuwa vema askari wetu wawe ktk operetion kama hz siku zote,raia watakwisha kama ni hivi jamani?

  • @mponjolimwakasege782
    @mponjolimwakasege782 7 років тому

    Pongezi kubwa Kwa jeshi la polisi kazi hii iwe endelevu tutashinda tu

  • @zuwenasalim38
    @zuwenasalim38 7 років тому

    hatari sana kwakweli jitahidini sn askari

  • @janewacera7812
    @janewacera7812 8 років тому +3

    Kazi Nzuri sana police

  • @mrishomvyongopolensana5
    @mrishomvyongopolensana5 7 років тому +2

    poleni askari kwa yaliotokea.nasikitika wale wapenda matukio hawajalalama nakulalamika bungeni? je wangeuwawa hao majambazi nane mpaka leo ingekuwa kazi.lkn kimya mpaka Leo.washindwe.

  • @jumannemarco2598
    @jumannemarco2598 7 років тому

    we unaetaka kuwaona,so ukishawaona ndo utafanyeje kikubwa ulishaambiwa wamekamatwa na mtandao bado ni mkubwa so kikubwa na sisi pia raia tuoneshe ushirikiano kwa jeshi letu la police kuwabaini waharifu ktk nchi hii hakika me naliamin sana jeshi langu la police kwa kazi zake,,,,Na ninashangaaa sana haswa pale ninapoona mtanzania mwenye akili timamu akifurahia kuuwawa kwa askari hajui km kuuwawa kwa askari ndo kutoweka kwa amani ktk taifa hili leo utafurahia lkn kesho utaitafuta aman ilipo na kutambua thaman ya askari,M/mungu awe pamoja na jeshi letu hakika hamna kinachoshindikana naamin wote watapatikana

  • @peterjohn1969
    @peterjohn1969 6 років тому

    mlinzi wakwanza juuya taifaletu ni mwananchi mwenyewe usisite kukemea uovu juuya taifa letuu

  • @rizikibakar3186
    @rizikibakar3186 8 років тому

    Dah

  • @stelaamosi2549
    @stelaamosi2549 8 років тому

    Nazi nzuri kwa police wetu na kwalaia wema

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 6 років тому

    Ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kuzidi kuripa nguvu majeshi yetu ya polisi

  • @bintiwayesumacha9605
    @bintiwayesumacha9605 8 років тому +1

    safi polic wetu zaidi MUNGU na hao wasamaria walionyesha

  • @metalcombat4470
    @metalcombat4470 8 років тому +1

    kukamatwa na silaha za polisi, sare za polisi + kupelekwa msituni kuonesha wenzao walipo ÷ wafe majambazi tu, bila ya wao "walio tegwa" kuguswa = jipu!

  • @hasaniyusufu1171
    @hasaniyusufu1171 7 років тому

    Silo fanya kazi

  • @leahchristofa4710
    @leahchristofa4710 3 роки тому

    Leah Christopher

  • @geofbeka1669
    @geofbeka1669 7 років тому

    duh, hayo majambazi au jeshi dogo!?

  • @bxrkeshorts738
    @bxrkeshorts738 7 років тому +3

    tuonyesheni hao majambazi sio kutuonyesha masilaha tu tunatoka kuona majambazi km ni kweli

    • @modernfarming5938
      @modernfarming5938 7 років тому +2

      Khadija Said kuna watu akili ndogo
      ukishaona unawafanya nn

    • @mikongotijaneth5900
      @mikongotijaneth5900 7 років тому +1

      sidhani kama akili yako ni salama ukiwaona uwafanye nini sasa watu wengine bwana kama unachakuandika lala.

  • @dunstanmnuga7556
    @dunstanmnuga7556 8 років тому

    safi

  • @omarially9157
    @omarially9157 7 років тому

    tuacheni siasa mbona atuwaoni ao majambazi mlimkamata mtu alie vaa sale za polisi mlituonyesha ila ao amkutuonyesha ii ndio Tanzania Mbwana

    • @shahakaisi1920
      @shahakaisi1920 7 років тому +1

      Omari Ally jitahidi kuelewa mazungumzo uliambiwa hao majambazi baada ya kuwataja wenzao walipo,waliwapeleka askari lkn ulikuwa mtego baada ya kufika huko mafichoni walishambuliwa na wenzao na wamekufa..

  • @omarially9157
    @omarially9157 7 років тому

    ww ujamuwelewa uyo amesema wamewakamata na wamewaua kwa kuwapiga risasi je ww inakuingia akilini polisi waonyeshe siraa bila kuwaonyesha jiongeze ww

  • @luganomwankyoko2653
    @luganomwankyoko2653 8 років тому

    Duuuuuuuu

  • @saidmapande6175
    @saidmapande6175 7 років тому

    xxxxx

  • @johnkasala8478
    @johnkasala8478 7 років тому +1

    pongez kwa kaz nzur endeleen na ulinz wa RAIA na Mali zao

    • @emmanuelmsigwa714
      @emmanuelmsigwa714 7 років тому

      Cku nyingine mshirikiane majeshi yote mfanye oporeshen nchi nzima Dedishen wote.