DR. MOHAMED ALIPUKA KWA NHASIRA BAADA YA KUIKOSA NAFASI YA PILI | SIMBA IMEFELI TUWEWAWAZI.
Вставка
- Опубліковано 27 тра 2024
- JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136. - Спорт
Chawa akubali yaishe
Ndo mnapokosea etyi mnamuachia Mungu
Reeeeeeeesh yaani
Ndo maana naipenda Yanga tuna maamuzi magumu sio viongozi wala wanachama
Yaani kiongozi haeleweki
Khalaaaaaaaaaaas Ruuuuuh
Nyie simba mashabiki mje yanga mpate rahaa 🎉🎉🎉🎉
Mungu ibariki simba😢😢😢😢😢😢
inauma sana
GB 64 mlimuona hamna kitu leo mnaongea naye lugha moja
Mbona sisi tunavyo raramika urisema viongozi wazuri reo kinacho kuumiza nini?
Ata ahmedi pia aondoke
Hakuna cha football!!! Viongozi wote !! Mangungu, Try Again, na Kajula Waondoke haraka Simba!!! Wakiendelea kukaa tutawaponda kwa mawe kila mahali mpaka Waondoke Simba!!!! Watoke kwa ustalana wao mbwa hawa!!! Wężi wakubwa hata aibu hawana!!! Takataka ambazo hazina chochote. Aibu kubwa sana.
Wewe ndiye kocha?
Kweli madunduka wanahahhaaa
Jamaaa ameongea ukwer kabisa
Tatizo ni mo hapo Simba mnapeleka mashambulizi sehemu siyo
Tuliwaambia mtajifunza mengi kwa Yanga ya Hersi,leo hii kila mfano wenu ni Yanga😂
Kumbe moo hua hatoi pesa
Ww dokta ihefu na simba ipi ilofeli
Ata mimi jobe huwa Anakera sana Akwereeeee
Mama samia Raisi wetu tunaomba uchukue hii timu jamani mimi leo na presha kwa Ajili ya hi timu
Tajiri anashida hao viongozi wanamfichia siri.
Mo aondoke anapata hasara
Chama hakuwepo msimu huu?
Kwavo zile bilioni 24 ni zauongo
Ilo taira wew si ulikuwa ujitumika kueneza propaganda thidi ya yanga Leo VIP? Mmevuna mlichokapanda
Dr Mohamed na GB64 jitahidini kupamana na hawa viongozi wabove au wanyewe agenda ya kuiangusha Simba Sc.
Waondoke tu.
Washakula vya kutosha.
Ila wanaogopa kuondoka wanaogopa ya akina Kaburu.
Posho imekata unawakana viongozi
'waandishi' ka uyoga nowadays Jesus🤣🤣
seen the decline of simba r I p
Sisi tuliwambia nyie presure fc,leo mnacheka kesho presure
Badara wana chama muungane munapiga makerere hayana msaada
Kama zamalek kacheza shirikisho Simba sports ni nani? yeye asicheze?badirika wewe mbu mbu mbu
Kweli makolokwinyo ni MADUNDUKA NI MBU MBU MBU kama alivyosema Rage. Kosa si mangungu, wala try again kosa wachezaji wazee, kosa la pili KATIBA MBOVU unaongea hujui unachoongea Mangungu yupo upande wa asilimia 51 lakini kwenye uongozi anaingia kama mjumbe badala kuwa mwenyekiti wa Bodi mmeshakosea ati wale wa asilimia 49 ndo wameshika madaraka yote ambayo try again ndo mwenyekiti mwenye sauti mwenyekiti wenu mangungu ni wa kufungua na kufunga mkutano tu hata kwenye hafla kubwa anakwenda jaribu tena na MO mangungu kama kibaraka ila kwa kuwa wengi wa wanachama na mashabiki ni MBULULA. rudini kwenye katiba kama Yanga.
Viongozi waondoke
MANGUNGU KIBARAKA TU TUSIUMIZE VICHWA
MMMM Mdomo huo.
Huyu msikilizee anaongea haya baada ya posho kukata msenge kweli huyu, akae asikilizie, dawa imuingie vizuri,sisi wakati tunapiga kelele na kulalamika huyu ndiye alikuwa anadimololorais kelele zetu, mwabieni aache, kelele huyu ni miongoni mwa mashabiki waliochangia kuikwamisha timu, hana lolote mpuuzi,
Acha ukuda wewe una timu yako kama una hasira toa pesa ya usajili kama timu nimali yako
Unawashwa ww yanakuhusu nn
Mchezaji wenu wa mdomoni Ahmed Ally aondoke😂😂😂😂