Tunaomba Huyu Mungu mnayemuimbia akawapatie Amani katika nchi yenu. Nyimbo zenu zinatubariki sana, Nimaombi yangu kwa Mungu kwamba akawatunze nyinyi pamoja nyote, familia zenu, kazi zenu, huduma yenu pamoja na Taifa lenu. Jehovah Shammah twaomba usikie Maombi yetu.
Mungu aku sikiye naakubariki saana kwani na mimi n'a shukuru Mungu sababu wa christu wamataifa mengine wana tuombeya Usalama ili tuendeleye kumabudu n'a kumsifu Mungu pamoja n'a hali nzuri ya Usalama. God bless you my brother Patrick i respect your anointing
Asante sana kaka Patrick Bubuya, Mungu aku bariki sana. Merci infiniment pour ces belles chansons qui nous font monter dans les hauteurs en présence de notre Dieu. Baraka kwako
This is a must download . eeiiish tunaanza ma kuabudu mwanzo wa mix roho anashuka alafu tunasifu kisha mwisho wa mix nikumchezea Mungu kilingala. Aaaah this was amazing wooou. Nawapenda Sana from Kenya sante kwa kuimbwa kwa lugha inayoeleweka Afrika mashariki yote na Mungu awape Amani. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪. Much love from kenya this band is so mazing.
Mungu na akubariki sana ,Mtumishi Patric kwa karama ya uimbaji ,pia una huduma ya kichungaji ndani yako, Mungu alieumba mbingu na nchi awabariki wote kwa utumishi
Tunaomba Huyu Mungu mnayemuimbia akawapatie Amani katika nchi yenu. Nyimbo zenu zinatubariki sana, Nimaombi yangu kwa Mungu kwamba akawatunze nyinyi pamoja nyote, familia zenu, kazi zenu, huduma yenu pamoja na Taifa lenu. Jehovah Shammah twaomba usikie Maombi yetu.
Mungu aku sikiye naakubariki saana kwani na mimi n'a shukuru Mungu sababu wa christu wamataifa mengine wana tuombeya Usalama ili tuendeleye kumabudu n'a kumsifu Mungu pamoja n'a hali nzuri ya Usalama. God bless you my brother Patrick i respect your anointing
. rddñnn BBB mnn
⁹
If you don't mind me, hawa waimbaji wa inchi gani?
a
Binafsi nabarikiwa saaaana na nyimbo za huyu patrick
🇴🇲🇴🇲🇹🇿🇹🇿 TUNAENDELEA KUWAPATA KUTOKA OMANI MUSCAT MUNGU AWAINUE ZAID.....🙏🙏🙏👍👍📌
nabarikiwa. zaidi na Shamah
Nice one wapi like zangu huku
Dear Patrick you're so great for preparing your songs be courageous Jesus is with you.
Thank you for the powerful worship im south African i dont get the language but i coonent in spirit 😢
When i was sick this song gave me strength and hope,Glory be to GOD
These songs really bless me.
NI Yesu kweli kama leo nimetatika......banger😇😇😇😇😇😇
💃🕺💃🕺 🎵 🎶 🥁🎸🎷
Nice song be blessed man of God
🙏🙏🙏 Nyimbo Zinaupako, Yesu Wa Neema Awabariki
May God bless you Mr Patrick your songs have been so inspiring to me 🤝
These Songs are very Blessings to hear I feel anointing of God...Thanks Lord my everything ❤🎉🎉😊
Powerful praise and worship 🙌 ❤ The voices are so melodious too. To God be all the glory 🙌💃🕺🥁🎸🎷🙌
Such an amazing playlist.... It's blessed me 🙏
Patrick your songs really bless,I listen everyday they really bless me MUNGU AWABARIKI TENA SANA
Aaamen
from Kenya, glorious and awesome worship! God bless you abundantly Patrick with your team. May His grace be abundant for you.
Thanks for making it downloadable❤ at least am able to worship offline
Still connecting in this worship from south Africa 🌍
Baraka zimininike katika maisha yenu nampokea upako mpya na kibali popote mwendapo ama popote nyimbo zenu zikubalike duniani
Yani Jehova Shammah ombi kwa Mungu.
glory to God la vie en christ assure Dans toutes les conditions
Powerful praise and worship Glory to God... Be more blessed team
Eee Yahwey ❤❤❤❤
Je suis fortement béni par ces chants . Que le Seigneur vous bénisse homme de Dieu
I never get tired of listening to this song .God bless you guys for the beautiful melodies.
God bless you for lifting our spirits with this powerful songs
Asante Mungu kwa kila jambo.Wenzangu mniombee majaribu ni mengi.🙏🙏🙏🙏
Mungu jibu maombi Yangu nakuhitaji zaidi😢🥺🥺🙏🙏
Powerful Worship. Your Ministry is a blessing to me. God bless you and keep expanding your ministry for His glory.
Ina raha yake kufwata songs zako... Barikiwa, compositions zako hakika ni baraka, ina tiya moyo, ina leta uhodari na matumaini zaidi...
Long Live Worship atmosphere and Mr.Patrick Kubuya. You're ministry is a blessing.
Mungu awabariki kwa huduma yenu nyimbo zenu zinatubariki sana🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
GLOIRE A DIEU
Every situation is temporary...naamini nitapita
..na safari nitafika ata iwe ndefu ntafika natabiri kwa imani
So powerful, bila Yesu mimi ni kitu bure, nabarikiwa sana, nyimbo tamu
Am not a christian but I love this dude's songs . They are so converting ......bila wewe mimi si kitu(neema yako)
Asante sana kaka Patrick Bubuya, Mungu aku bariki sana. Merci infiniment pour ces belles chansons qui nous font monter dans les hauteurs en présence de notre Dieu. Baraka kwako
This is a must download . eeiiish tunaanza ma kuabudu mwanzo wa mix roho anashuka alafu tunasifu kisha mwisho wa mix nikumchezea Mungu kilingala. Aaaah this was amazing wooou. Nawapenda Sana from Kenya sante kwa kuimbwa kwa lugha inayoeleweka Afrika mashariki yote na Mungu awape Amani. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪. Much love from kenya this band is so mazing.
Thank you for your playlist it's such a blessing to my life i never get tired of listening almost every day.
Amina mungu akubarikiiiii
Mungu na akubariki sana ,Mtumishi Patric kwa karama ya uimbaji ,pia una huduma ya kichungaji ndani yako, Mungu alieumba mbingu na nchi awabariki wote kwa utumishi
Hallelujah, Glory Glory Glory to God
Tunashukuru Sana na mungu azidi kuwabariki mana mnatufariji
Mubarikiwe sana,Mungu awatunze milele ata milele
Mubarikiwe sana. Nyimbo hizi zina upako
🙏🙏🙏
Haleluya haleluya haleluya
I love these songs so much, they are so amazing.❤
Wimbo mzuri sana, umetubariki sana Mimi na familia yangu.
Hakika Yehova awatunze
Ee bwana wewe wanitosha ee bwana nimebarikiwa sana
Powerfull songs God bless
💯 like🙏🏼
Amen 🙏❤
Groly to God
44:53 nani atayesimama mbele zako!!!!!
Mungu ndio Yote ndani ya Yote.
Barkiw Patrick kubuya
My best powerful worship song 🎵 always 🎉
Powerful 🙏🏾🙏🏾❤️❤️
God bless you..❤❤❤❤
MUNGU AZIDI KUKU BARIKI NÀ KUKU ZIDISHIA KABISA,
NAKUFATA KILA MARA
Powerful praise &worship song
Mungu wangu kumbuka inchi ya Kongo Jehovah ni ww tu daddy akuna mungu mwingine wakuabundu
aaaaaaaa
Powerful mix❤
❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏
Great worship song
🙏🙏🙏🙏🙏
Wewe ni yote....Sina mwingine Baba
Napenda sifa na maabudu aya, ila izo lugha nini njo munakuwa namaanisha ?
Very nice
❤😅😮
sikia maombi baba
huyu mungu
Shammah
courage mon frère, c'est une grâce de t'avoir en cette période du temps de la fin, all your songs are deep
Heal my daughter in the mighty name of jesus
Sooo many adverts????
🙏🙏🙏