Assalam alaikum brother and sister. Tuweni ni wenye kuelimisha Ummah. Tatua tatizo tusingiliane Ummah wahitaji kuelemishwa. Tafathali elemisha Ummah tatizo Matusi na kukejeliana haisaidi, bali twajiaibisha katika Ummah. Tatueni Matatizo Tuacheni kulalamikiana. Allah atuezeshe Kupendana kwa Ajili ya Yake na atujaalie Umoja na kushikana kwa Ummah. Amin Amin Let's us not be personal.
Tatizo langu na Humeid ni kumkufurisha dr Islam na ustadh bachu. Ki mimi nahisi angewatafuta waelimishane sio kuwadhalilisha ovyo wakati wote wapinga bidaa
Ila fatwa ya kupiga punyeto mwezi wa Ramadhani na haiaribu swaumu ni Albani ndio ametoa Nenda ukasome na walimu wako wakufundishe kupiga punyeto mana kwa mawahabi ni halali
@@ShabaniMkumbega fiq-hi yako ndogo weweee,ktk swala hilo khilaaf ipo,na ametangulia na ibnu hazmini dhwaahiiriyyi,ispokua tu,sheikhul albaaanii amekwenda kinyume na qauli ya jumhuurul ulamaa,na sheikhul albaanii rahimahu llah ametoa dalili iliyowazi kwa mwenye kuzingati hilo,ila pamoja na kutoa qauli hiyo,akasema itapasa mtu ajiepushe na punyeto,masufi hamsomi kwa tadabbur,bali mnasoma kwa hawaa,ili mpate kuja kawadanganya watu, Kiufupi sheikhul albaanii kasema hilo,na wapo walomtangulia,akiwemo ibnu hazmin,lkn hakusema kua punyeto ni halali,kasema ikiwa mtu kapiga punyeto,kisha yakatoka manii,swaumj haiharibiki,na katoa dalili, Haya wapi na wapi na hayo anayoyasema kijana aweso😁
@@ShabaniMkumbega Kwanza albaaniy hakusema halali wewe ndio ukasome lete maneno ambayo yaeleza ni halali ya sheikh albaaniy أتحداك nakuchallenge, kisha amekosea sheikh albaaniy na wanazuoni wetu wamemkosoa, Alichosema haiharibu swaumu, pia hakuwa muwahabi humjui, wakurupuka wewe upo kumtetea huyu jamaa we waona kazungumza kielimu hapo?, kanukuu madai yeyote kaleta ushahidi na je kajenga hoja zake kielimu, nyie jamaa mnashida gani.
Nyie ndio mnafatawa za ajabu za kuwambia wanawake wajisage na wanaume wapige punyeto alibaan amezitoa nendeni mkasome na huyo mafuta awafundishe punyeto ndicho anacho jua kutoka kw alibaan
ABUL Khattwaab Abdallah Humeid ALLAH amuhifadh mwamba wa masuffiy na mahzibii
Hapa kila SUFI ALLAH ANAMUUUMBUA TARATIIIBU.....KUNA YULE MWINGINE DK SULE SAAAHIR
duktur islam akiskia hii atasema masalafi wajitakasa wajiona ni wao tu wa peponi
Unawachokoza mahizby 😂 wana matusi mabaya jiandae
@@Muislamu shida yako wewe hutaki kufuatilia mambo uvivu unasumbua sana lakini ungekua uko makini na dini yako usinge sema hivyo
الله المستعان،
Huyu SI sheikh, ni Wala meruingi. Amevalia kanzu tu ndiyo wasiokuwa waislamu wadhani ni muislamu
MASUFI MCHENI ALLAH.... MUMEZIDI
Eti Vijan hawana kazi watafutiwe kazi,
Swali miraa ni buree??
Assalam alaikum brother and sister. Tuweni ni wenye kuelimisha Ummah. Tatua tatizo tusingiliane Ummah wahitaji kuelemishwa. Tafathali elemisha Ummah tatizo Matusi na kukejeliana haisaidi, bali twajiaibisha katika Ummah. Tatueni Matatizo Tuacheni kulalamikiana.
Allah atuezeshe Kupendana kwa Ajili ya Yake na atujaalie Umoja na kushikana kwa Ummah.
Amin Amin
Let's us not be personal.
Hawana kazi? Je mira ni bure?
Awesome awesome ♥️♥️♥️♥️♥️♥️😎❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉😢😢
Majajida unaweza dhani wanazo funguo za jana siungii marungi lakini fujo mko nazo wacha tu lakini wapo wengine wamepita mfano wenyu
Duu shekhe gani huyu yuwatukana azugumza kama amvuta bangi utaogoza vipi uma kwa kutumiya matusi
Khurafi ni kama iblis amejigeuza mwili ya mtu wako swa kweli hawa
Mzee wabidaa badotu anaendeleza uwongo wake mtihani anasumu sanahuyu
Hata jisura lake ukiliangaliaa vizur utaliona ajua kama anapiga fiks.....KHURAFI KATIKA UBORA WAKE......BADO MAULIDI
Ajabu comments za watu... nyie maskizi yenu yamekosa ufahamu... kosa sio lenu
Sio jukumu la serekali kuhakikisha vijana wote wamepata ajira..Tujiajri tuache kuskuma lawama pasipo kwa uvivu wetu..
ALLAHUAKBAR
من انحرف عن طريق الرسول فإنه لا يتبع ولا يقتدى به ولوا كان عالما!!!!!!!!!!!
Tatizo langu na Humeid ni kumkufurisha dr Islam na ustadh bachu. Ki mimi nahisi angewatafuta waelimishane sio kuwadhalilisha ovyo wakati wote wapinga bidaa
Amewakufurisha wapi??. leta ushahidi
Kamkufurisha wapi?
Wacha urongo hajawakufurisha kama ni ukweli leta ushahidi
Vijana hamuna kazi na hizo zakununuwa miraa mwazitowa wapi
Subhnallah
Subhanallah eti Imam
shaukani alikuwa akila gati? Itakullah
Mashia walimIngizia hilo imam showkani!😢
Wewe unaye ita wenzio wajinga wspumbavy ni sawa.?
Eleza hija zako bila kutukana wenzako
Nkipiga punyeto kwa kuepuka madhara ya zinaa halali😂😂😂 dr mubaarak aweesooo,usuufi uchizi
Hayo maneno unamzulia hajasema kuhusu punyeto
Ila fatwa ya kupiga punyeto mwezi wa Ramadhani na haiaribu swaumu ni Albani ndio ametoa Nenda ukasome na walimu wako wakufundishe kupiga punyeto mana kwa mawahabi ni halali
@@ShabaniMkumbega fiq-hi yako ndogo weweee,ktk swala hilo khilaaf ipo,na ametangulia na ibnu hazmini dhwaahiiriyyi,ispokua tu,sheikhul albaaanii amekwenda kinyume na qauli ya jumhuurul ulamaa,na sheikhul albaanii rahimahu llah ametoa dalili iliyowazi kwa mwenye kuzingati hilo,ila pamoja na kutoa qauli hiyo,akasema itapasa mtu ajiepushe na punyeto,masufi hamsomi kwa tadabbur,bali mnasoma kwa hawaa,ili mpate kuja kawadanganya watu,
Kiufupi sheikhul albaanii kasema hilo,na wapo walomtangulia,akiwemo ibnu hazmin,lkn hakusema kua punyeto ni halali,kasema ikiwa mtu kapiga punyeto,kisha yakatoka manii,swaumj haiharibiki,na katoa dalili,
Haya wapi na wapi na hayo anayoyasema kijana aweso😁
@@ShabaniMkumbega قس على هذا تصادف رشدا
وتلطف بكل ما يناسب هذا ،هداني وهداك الله
Ukielewa hayo,utajua kwa nn nimetoa mfano huo,😁
@@ShabaniMkumbega
Kwanza albaaniy hakusema halali wewe ndio ukasome lete maneno ambayo yaeleza ni halali ya sheikh albaaniy أتحداك nakuchallenge, kisha amekosea sheikh albaaniy na wanazuoni wetu wamemkosoa, Alichosema haiharibu swaumu, pia hakuwa muwahabi humjui, wakurupuka wewe upo kumtetea huyu jamaa we waona kazungumza kielimu hapo?, kanukuu madai yeyote kaleta ushahidi na je kajenga hoja zake kielimu, nyie jamaa mnashida gani.
Anaetaka ushahidi aje
Bangi ina nguvu zaidi na rahisi
Nyie ndio mnafatawa za ajabu za kuwambia wanawake wajisage na wanaume wapige punyeto alibaan amezitoa nendeni mkasome na huyo mafuta awafundishe punyeto ndicho anacho jua kutoka kw alibaan
Unaakili wewe kweli
Hebu rudia kusoma hicho ulichoandika alaf tafakar,muogop Allah ndugu
Namuogopa Allah vizuriii na akili ninazo ndio maana cwezi kuwa wahabi kwa ujinga wanao ufundisha
Akili ninazo ndio maana nikasema ukitaka ushahidi SEMA mana nyinyi hamsomi
Leta ushahidi tujifunze sotee