FULL VIDEO: TAZAMA MASOUD KIPANYA ALIVYOANZA KULITENGENEZA GARI LA UMEME HADI KUKAMILIKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 вер 2024
  • #MasoudKipanya #GarilaUmememe
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24news@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24Tz
    ⚫️ Facebook: @dar24news
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #masoudkipanya #garilaumeme #Dar24Media

КОМЕНТАРІ • 100

  • @dmwood5431
    @dmwood5431 2 роки тому +8

    Mimi Nina uwezo wa kutengeneza boat za fiberglass... lakini nimejikuta mkulima....ikiwa nitafikia malengo shambani, nitafanya kama massud kipanya.,sina support...

  • @boniphacebukombe7285
    @boniphacebukombe7285 2 роки тому +2

    Hongera sana Masoud, hakika tunajivunia sana ubunifu wa Kitanzania na mtoto wa Africa. Mungu aendelee kukulinda na kukupa ujasiri wa kukabiliana na changamoto nyingi za upinzani wa kibiashara. Ombi langu kwa Kaypee Motors, "Katika toleo jingine muweke board ya kufunika ili magari hayo tuyatumie ktk mizunguko ya mjini kutokana na changamoto ya nishati ya mafuta duniani

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 2 роки тому +2

    Dunia inatoka Kwa Kasi kwenye matumizi ya mafuta kwenye kwenye matumizi ya nishati safi kukabiliana na Mabadiliko ya tabia ya Nchi, Mradi huu wa Kipanya Moja Kwa Moja unachangia Malengo ya Dunia ya Kupunguza hewa Ukaa inayopelekea ongezeko la joto duniani. Hata kama Serikali haitamsaidia Duniani huko watamdaidia. Hongera sana Masudi Kipanya.

  • @fredsanga9461
    @fredsanga9461 2 роки тому +4

    Elon Musk aliyezaliwa Tanzania, hahitaji kingine zaidi ya support upendo na kumtia moyo.
    Naamini sana Masoud ana zaidi ya hilo.
    Mungu akubariki🙏🙏

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel4671 2 роки тому +11

    Safi sana. Haya ndiyi yaliyokuwa mawazo ya JPM. Akitamani sana kuona watanzania wakifanya mambo kama haya

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 2 роки тому +1

      Hakika Tuombe Mungu atuiburie JPM mwingine miaka ijayo

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 2 роки тому +17

    Tanzania tumelogwa mpaka anayetuloga anakereka na sisi ..huyu jamaa ni hatari Sana Serikali msaidieni huyu nasisi tuwe na chetu

    • @stephanomoses7694
      @stephanomoses7694 2 роки тому

      Sio serekali yetu asee. Yaan atapotezwa chap2 kwani yey ni wa kwanza sasa. Tena na vile wana bifu anavyowakera kuwachoraga na mitumbo mikubwa. Mhhhhh. Namuombea mungu . Ila wacha tuone midomo mirefu waione hii. Utasikia haijakidhi vigezo

  • @butungo1
    @butungo1 2 роки тому +5

    Waziri waziri Waziri wa biashara na viwanda usipoitazama hii, utanidisappoint mno mnoo

  • @hamzaally3780
    @hamzaally3780 2 роки тому

    Mungu akujaalie zaid bro

  • @lungusii
    @lungusii 2 роки тому +7

    KAMA UMECHUKUA IDEA YANGU FLANI IVI, NIKO NA LONG PLAN IDEA KUTENGEZA GARI LANGU BINAFSI NA HII NILIANZA KUFIKILIA TANGU 2011 . NA BADO NIKO NA NIA HIYO NITA KAMILISHA PROJECT YANGU ALLAH AKINIPA UHAI IN SHAA ALLAH

  • @andyjk5974
    @andyjk5974 2 роки тому

    wonderfull kweli tumekua na hizi idea sana. sema tu ndio kupata pa kuanzia.

  • @netlity5532
    @netlity5532 2 роки тому +1

    Very nice brother...keep it up! 👍

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 2 роки тому

    Safi sana kipanya

  • @Bilichaproduction1234.
    @Bilichaproduction1234. 2 роки тому

    Ubarikiwe sana

  • @andrewoscar7762
    @andrewoscar7762 2 роки тому +1

    Hongera Sana kaka masud

  • @godfreyhiza1075
    @godfreyhiza1075 2 роки тому

    Big up br..... tunaweza...tuoneshe njia....

  • @barakathomaskibona1131
    @barakathomaskibona1131 2 роки тому

    Hongera brother Masoud
    You are the best.

  • @Worldunite
    @Worldunite 2 роки тому +5

    Daah laiti hayati angelikuwepo, angefurahi sana maana alipigania sana kukuza vipaji km hivi

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 2 роки тому +2

    Hongera sana kaka. Ila hapo inabidi inayokuja ufanye modify ya kufunga alternator. Na belt ili ijichaji battery yenyew pindi2 inapowashwa. Ili isiwe ya kuchajisha tena

    • @petroprenge8716
      @petroprenge8716 2 роки тому +1

      Wazo zuri sana kaka, natamani asome hii reply. Ila sasa ikijichaji yenyewe kuna watu watakosa ulaji, nazungumzia Charging Centers

    • @stephanomoses7694
      @stephanomoses7694 2 роки тому

      @@petroprenge8716 kweli kabisa kaka umeona mbali. Maana ukizingatia ni kweli . Mtu hawezi fanya jambo kubwa hivyo afu akashindwa kuweka hyo system. Ina maana ametengeneza ulaji wa style nyingine

  • @issamakamba5569
    @issamakamba5569 2 роки тому

    Mungu akubariki kaka
    Wengi Wana vipaji ila hawafiki kwasababu za kimfumo ila wewe umeonyesha Afrika na dunia

  • @frankmnale1900
    @frankmnale1900 2 роки тому

    Ongera sana Masoud

  • @noblestbrokers6290
    @noblestbrokers6290 2 роки тому +1

    So wonderful

  • @ibnbaazalrufiji1468
    @ibnbaazalrufiji1468 2 роки тому +1

    Nnavo wajua wa tz, sasahiv watasema masoud ni (Alien's) kutoka sayari nyingine"

  • @aliomar1986
    @aliomar1986 2 роки тому +1

    Ina speed ngapi

  • @petermusa4745
    @petermusa4745 2 роки тому +1

    Nakubalisana masudi maana waafrika tunajidharau sana, tunaona wazungu ndio wanaweza kumbesote tukosawatu kikubwa ni kwekeza watu wenye vipaji hakika tutapata mafanikio sana

  • @mussabendera1751
    @mussabendera1751 2 роки тому

    Mashaallah

  • @kyakagoro6584
    @kyakagoro6584 2 роки тому

    Hongera sana kk

  • @michaeltilla3527
    @michaeltilla3527 2 роки тому +2

    Mm ni mtanzania mwenye nia ya kuendesha gar ktk kampun ya masoud

  • @mtumzito4045
    @mtumzito4045 2 роки тому

    Africa wakati wetu umefika wa kufanya vyetisasa tujitambuetu na mungu atatubariki

  • @sandefacebooksalondunonusa39
    @sandefacebooksalondunonusa39 2 роки тому

    Salut

  • @jamescustom6699
    @jamescustom6699 2 роки тому

    Safi chief kitu kikubwa

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 2 роки тому

    Kipanya wewe Genius

  • @Worldunite
    @Worldunite 2 роки тому

    Tulishalishwa sumu ya kushindwa, na wakati sasa waafrika kuamka na kuondoa hiyo sumu tuliyolishwa, tz tunaweza sana

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba5787 2 роки тому +2

    IQ yako masoud ni hatari sana

  • @salvatorebaregu9871
    @salvatorebaregu9871 2 роки тому

    Maisha plus, nilipo kuwa nikiona vitu vikifanyika niliamini siku moja kutakuwa na matokeo chanya heko bwana kipanya

  • @dennymkumbala5748
    @dennymkumbala5748 2 роки тому +1

    Bei gan naitaji hii gari kwajili ya mishe zangu za ufugajii tupeni Bei tuagize

  • @butungo1
    @butungo1 2 роки тому +2

    KP tutengenezee magari tuache kuagiza Japan. Hivi waziri wa viwanda na biashara anaangalia hii au anaona aibu? Ningekuwa Rais, KP ungekuwa Katibu Mkuu wa Viwanda

    • @boniphacebukombe7285
      @boniphacebukombe7285 2 роки тому

      Hello brother mambo vp? Ni kweli kabisa tulio wengi tuna matarajio makubwa sana kwa kampuni hii ya Kitanzania kupata support kubwa kutoka Serikalini tofauti na hapo wengi tutakuwa disappointed sana

    • @boniphacebukombe7285
      @boniphacebukombe7285 2 роки тому

      From UJISEMI

  • @Worldunite
    @Worldunite 2 роки тому

    Gharama ya kununua gari hili ni kubwa sana ukilinganisha na Guta

  • @Loyal2
    @Loyal2 2 роки тому

    Usiende inch za wazungu watakupa sumu hata wakuiteje tuma eafwasi wako

  • @kinigarm8239
    @kinigarm8239 2 роки тому

    Lazima Watanzania tumuunge mkono bwana Masoud.

  • @Worldunite
    @Worldunite 2 роки тому

    Tz kuna vipaji, shida ni kwamba hakuna chombo kinachowaunganisha na kuwawezesha

  • @wilsonkaseha2034
    @wilsonkaseha2034 2 роки тому

    Kongole kwako ewe Mwana wa Tanzania.

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 2 роки тому

    Ss hapo ishu nyingine ni kwenye masoko watanZania wengi hawaaamini vya kwao labda awezeahwe sanasana then tuzuiliwe kununua magari nje

  • @ChakoniChako
    @ChakoniChako 2 роки тому

    maelezo kibao tuonyeshe gari fungua boneti fungua mirango ya mbele asa hadithi kibao

  • @vijanafurniture1810
    @vijanafurniture1810 2 роки тому +1

    Good

    • @abrahammwambije2769
      @abrahammwambije2769 2 роки тому

      Hongera brother Ila serikali haitusapoti kilasiku nikurudi nyuma sana Nina tamani kuku Ina malanyingi Nike kusoma kwenye magazeti (vibonzo) ninatamani kukuona brother

  • @shinshi9696
    @shinshi9696 2 роки тому

    Musk kipanya, 🤣🤣🤣

  • @omaryharuna1305
    @omaryharuna1305 2 роки тому +9

    duuh!! nmejkuta natoa machozi tu daah!! mungu akulinde sana! spati picha kama ingelikuwa ni wakat wa mzee wetu bado bulldoza!..

  • @brisketkidari4856
    @brisketkidari4856 2 роки тому +2

    Lait ningekuwa rais hii gari ya mwanzo ningeinunua nikaiweka kumbukumbu ya taifa

  • @as-co2hg
    @as-co2hg 2 роки тому +4

    Nimependa bro ulicho kifanya Mungu awasimamie. Kunavijana wamemaliza vyuo vyaufundi wanakipaji lakini kuendelea nakueza kuendeleza kipaji wanaishia njiani kutokana na changa mototo tofauti.Nadhani ukitanua na Kuwaiti mambo mengi yanaweza kufanyyika.

  • @saidijuma5843
    @saidijuma5843 2 роки тому +4

    Nikweli kaka kipanya, watu tunavipaji lakini hatuaminiwi na taasisi za kifedha yaan mabenki wala watu wenye fedha. Yaan mtu anapenda awekeze pale ambapo tayari pesa imeanza kuonekana.

  • @ukk9798
    @ukk9798 2 роки тому +4

    Watu waliofanikiwa, husimama peke yao na wengine hufuata baadaye. Huu ukimwa ni ishara tosha kuwa watu na hata serikali hawaamini kuwa ni kweli. But the end will justify the means.

  • @selemanshechonge5456
    @selemanshechonge5456 2 роки тому +1

    Mchukue yule kijana wa kigoma zuber pia ana kipaji cha kutengeneza magari na yeye akuze kipaji chake

  • @hdmsasa3355
    @hdmsasa3355 2 роки тому

    Hd Msasa official KITANZI gusa maandish ukasikie nilivyomfunika MBOSO KHAN ua-cam.com/video/Cdyxj5ymOR4/v-deo.html

  • @sospeterurassa9894
    @sospeterurassa9894 2 роки тому +3

    Hongera kaka,naomba kwenye kampuni yako tengeneza mpangokazi wa kuita vijana wenye vipaji vya aina ya wazo lako muungane ,hakika utapata mafanikio ya tija zaidi na ya haraka,Mungu awe nawe

    • @brisketkidari4856
      @brisketkidari4856 2 роки тому

      Ttzo ni mmoja tu kwa vijana wanataka kuwa no1 hawataki kuanza 3

  • @fortidaskashaigili7496
    @fortidaskashaigili7496 2 роки тому +6

    Haya ndio matunda ya JPM kupitia hotu a zake zilikiwa zinatia ujasiri makubwa Sana wakuthubutu

  • @abdulbandidu119
    @abdulbandidu119 2 роки тому

    Bro Abdulsamad nimeona sehem nying sana anajitoa,ilifikia wakat kuna support nilihitaj kutoka kwakwe nikamDM kule Twitter,ila cha kushanganza mpk leo hata hajanijibu.

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 2 роки тому +3

    Congratulations 👏🤣🤩🤩, Sana masudi, waambie hata gorvment,kukopa wamezidi

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 2 роки тому

      JPM ALIKUWA ANATAFUTA WATU KAMA HAWA - RIP

    • @hdmsasa3355
      @hdmsasa3355 2 роки тому

      Hd Msasa official KITANZI gusa maandish ukasikie nilivyomfunika MBOSO KHAN ua-cam.com/video/Cdyxj5ymOR4/v-deo.html

    • @hdmsasa3355
      @hdmsasa3355 2 роки тому

      Hd Msasa official KITANZI gusa maandish ukasikie nilivyomfunika MBOSO KHAN ua-cam.com/video/Cdyxj5ymOR4/v-deo.html

  • @iddyjumanne8504
    @iddyjumanne8504 2 роки тому

    Hawa ndio mainjinia sio walio jaza vyet tu nakuajiriwa maselekarin hakuna lolote hawana ubunifu hawana lolote

  • @gideongerald2846
    @gideongerald2846 2 роки тому

    Sema kagari Kako katatumika mjini TU kwenye umeme vijijini hakawezi kufanya kazi labda watembee na mabetrii

  • @elvisjonas8520
    @elvisjonas8520 Рік тому

    Hongera sana kaka umetuvutia kama watanzania na Africa pia...

  • @josephotieno1253
    @josephotieno1253 2 роки тому

    Tumekubali na tumekuheshimu brow.

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 2 роки тому

    Elon musk wa bongo jamani tujivunie huyu jamaaaaa

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 2 роки тому

    Nasubiri nijue gharama na Mimi niwe miongoni mwa wateja

  • @shamimjuma1262
    @shamimjuma1262 2 роки тому

    Naomba ni uganenanyinyi ninakipagi

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 2 роки тому +1

    UMEFANYA KAZ NZURI, NILIKUCHUKIA SANA ULIPOKUA UNAMCHUKIA MAGUFULI

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 2 роки тому

    Mbona gari hatuioniii

  • @baltazarlucas5000
    @baltazarlucas5000 2 роки тому +1

    Itakuwa bora zaidi ya zao ikiwa na mfumo wa kujichaji pale battery ikipungua chaji na inawezekana . Hongereni sana iko poa sana.Maden in Tanzania 🇹🇿

  • @tdlkonyagi5098
    @tdlkonyagi5098 2 роки тому

    Hongera sana.

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 2 роки тому

    Hongera sana kwa kweli that is a big move

  • @ubunifubashitekibajaji6179
    @ubunifubashitekibajaji6179 2 роки тому

    nice project

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba5787 2 роки тому

    Tuweke nadhiri Kila mwenye uwezo wa kununua magar aanze na gari la Kaylee ndipo anunue Aina nyingine ili kumsapoti huyu mtu jamani nawashauri wenye maduka mjini hii gari inafaa kusogezea mizigo dukani,wauza mayai,wauza mikate,nk tuwekeze kwa huyu mwamba.

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 2 роки тому

    Historia ushaiandika hujaja bure Duniani

  • @raymondndeanka2608
    @raymondndeanka2608 2 роки тому

    HONGERA KAKA, MUNGU AKUBARIKI KWA KUFIKIRI NA KUTHUBUTU, NIMEJIFUNZA KITU.

  • @angelmfinanga2354
    @angelmfinanga2354 2 роки тому

    Masoud hongera brother and Mungu akulinde utuvushe

  • @desngalaba1181
    @desngalaba1181 2 роки тому

    Nazani tutengeneze namna ya watu kuinvest kwenye vitu kama hivi

  • @Worldunite
    @Worldunite 2 роки тому

    ...ndo wanajitokeza baada ya mtu kupata umaarufu

  • @J4UPro
    @J4UPro 2 роки тому

    Upo Safi sana Masoody

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 2 роки тому

    Mungu akusimamie ili tutoke kwenye utumwa wa akili tuanze kutumia vya kwetu Hongera

  • @abdallahburhan5981
    @abdallahburhan5981 2 роки тому

    Daah umeni inspire sana bro masoud

  • @paulinedamian2929
    @paulinedamian2929 2 роки тому

    Big up masood

  • @amanlenatus9067
    @amanlenatus9067 2 роки тому

    Duh akili kubwa

  • @clausemsemwa297
    @clausemsemwa297 2 роки тому

    This man is good....

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 2 роки тому

    uko sawa masood.... hongera sana...

    • @moriskawina7651
      @moriskawina7651 2 роки тому

      Kaypee nimependa jitihada zako toka maisha plus ukibuni nashine na mbinu za maisha mbalimbali na mzee wako Babu wa maisha plus hujawahi kumtupa. Leo umefika hapo ulipofika hongera sana jitihada huzaa mafanikio