FULL VIDEO: TAZAMA MASOUD KIPANYA ALIVYOANZA KULITENGENEZA GARI LA UMEME HADI KUKAMILIKA
Вставка
- Опубліковано 28 вер 2024
- #MasoudKipanya #GarilaUmememe
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#masoudkipanya #garilaumeme #Dar24Media
Mimi Nina uwezo wa kutengeneza boat za fiberglass... lakini nimejikuta mkulima....ikiwa nitafikia malengo shambani, nitafanya kama massud kipanya.,sina support...
Fibergrass ndio Nini?
Hongera sana Masoud, hakika tunajivunia sana ubunifu wa Kitanzania na mtoto wa Africa. Mungu aendelee kukulinda na kukupa ujasiri wa kukabiliana na changamoto nyingi za upinzani wa kibiashara. Ombi langu kwa Kaypee Motors, "Katika toleo jingine muweke board ya kufunika ili magari hayo tuyatumie ktk mizunguko ya mjini kutokana na changamoto ya nishati ya mafuta duniani
Dunia inatoka Kwa Kasi kwenye matumizi ya mafuta kwenye kwenye matumizi ya nishati safi kukabiliana na Mabadiliko ya tabia ya Nchi, Mradi huu wa Kipanya Moja Kwa Moja unachangia Malengo ya Dunia ya Kupunguza hewa Ukaa inayopelekea ongezeko la joto duniani. Hata kama Serikali haitamsaidia Duniani huko watamdaidia. Hongera sana Masudi Kipanya.
Elon Musk aliyezaliwa Tanzania, hahitaji kingine zaidi ya support upendo na kumtia moyo.
Naamini sana Masoud ana zaidi ya hilo.
Mungu akubariki🙏🙏
Safi sana. Haya ndiyi yaliyokuwa mawazo ya JPM. Akitamani sana kuona watanzania wakifanya mambo kama haya
Hakika Tuombe Mungu atuiburie JPM mwingine miaka ijayo
Tanzania tumelogwa mpaka anayetuloga anakereka na sisi ..huyu jamaa ni hatari Sana Serikali msaidieni huyu nasisi tuwe na chetu
Sio serekali yetu asee. Yaan atapotezwa chap2 kwani yey ni wa kwanza sasa. Tena na vile wana bifu anavyowakera kuwachoraga na mitumbo mikubwa. Mhhhhh. Namuombea mungu . Ila wacha tuone midomo mirefu waione hii. Utasikia haijakidhi vigezo
Waziri waziri Waziri wa biashara na viwanda usipoitazama hii, utanidisappoint mno mnoo
Mungu akujaalie zaid bro
KAMA UMECHUKUA IDEA YANGU FLANI IVI, NIKO NA LONG PLAN IDEA KUTENGEZA GARI LANGU BINAFSI NA HII NILIANZA KUFIKILIA TANGU 2011 . NA BADO NIKO NA NIA HIYO NITA KAMILISHA PROJECT YANGU ALLAH AKINIPA UHAI IN SHAA ALLAH
Endelea kuwaza
Miaka 11 unawaza tu
Ndugu yangu pambana wazo lako litimie usife moyo
wonderfull kweli tumekua na hizi idea sana. sema tu ndio kupata pa kuanzia.
Very nice brother...keep it up! 👍
Safi sana kipanya
Ubarikiwe sana
Hongera Sana kaka masud
Big up br..... tunaweza...tuoneshe njia....
Hongera brother Masoud
You are the best.
Daah laiti hayati angelikuwepo, angefurahi sana maana alipigania sana kukuza vipaji km hivi
Hongera sana kaka. Ila hapo inabidi inayokuja ufanye modify ya kufunga alternator. Na belt ili ijichaji battery yenyew pindi2 inapowashwa. Ili isiwe ya kuchajisha tena
Wazo zuri sana kaka, natamani asome hii reply. Ila sasa ikijichaji yenyewe kuna watu watakosa ulaji, nazungumzia Charging Centers
@@petroprenge8716 kweli kabisa kaka umeona mbali. Maana ukizingatia ni kweli . Mtu hawezi fanya jambo kubwa hivyo afu akashindwa kuweka hyo system. Ina maana ametengeneza ulaji wa style nyingine
Mungu akubariki kaka
Wengi Wana vipaji ila hawafiki kwasababu za kimfumo ila wewe umeonyesha Afrika na dunia
Ongera sana Masoud
So wonderful
Nnavo wajua wa tz, sasahiv watasema masoud ni (Alien's) kutoka sayari nyingine"
Ina speed ngapi
Nakubalisana masudi maana waafrika tunajidharau sana, tunaona wazungu ndio wanaweza kumbesote tukosawatu kikubwa ni kwekeza watu wenye vipaji hakika tutapata mafanikio sana
Mashaallah
Hongera sana kk
Mm ni mtanzania mwenye nia ya kuendesha gar ktk kampun ya masoud
Africa wakati wetu umefika wa kufanya vyetisasa tujitambuetu na mungu atatubariki
Salut
Safi chief kitu kikubwa
Kipanya wewe Genius
Tulishalishwa sumu ya kushindwa, na wakati sasa waafrika kuamka na kuondoa hiyo sumu tuliyolishwa, tz tunaweza sana
IQ yako masoud ni hatari sana
Maisha plus, nilipo kuwa nikiona vitu vikifanyika niliamini siku moja kutakuwa na matokeo chanya heko bwana kipanya
Bei gan naitaji hii gari kwajili ya mishe zangu za ufugajii tupeni Bei tuagize
KP tutengenezee magari tuache kuagiza Japan. Hivi waziri wa viwanda na biashara anaangalia hii au anaona aibu? Ningekuwa Rais, KP ungekuwa Katibu Mkuu wa Viwanda
Hello brother mambo vp? Ni kweli kabisa tulio wengi tuna matarajio makubwa sana kwa kampuni hii ya Kitanzania kupata support kubwa kutoka Serikalini tofauti na hapo wengi tutakuwa disappointed sana
From UJISEMI
Gharama ya kununua gari hili ni kubwa sana ukilinganisha na Guta
Usiende inch za wazungu watakupa sumu hata wakuiteje tuma eafwasi wako
Lazima Watanzania tumuunge mkono bwana Masoud.
Tz kuna vipaji, shida ni kwamba hakuna chombo kinachowaunganisha na kuwawezesha
Kongole kwako ewe Mwana wa Tanzania.
Ss hapo ishu nyingine ni kwenye masoko watanZania wengi hawaaamini vya kwao labda awezeahwe sanasana then tuzuiliwe kununua magari nje
maelezo kibao tuonyeshe gari fungua boneti fungua mirango ya mbele asa hadithi kibao
Good
Hongera brother Ila serikali haitusapoti kilasiku nikurudi nyuma sana Nina tamani kuku Ina malanyingi Nike kusoma kwenye magazeti (vibonzo) ninatamani kukuona brother
Musk kipanya, 🤣🤣🤣
duuh!! nmejkuta natoa machozi tu daah!! mungu akulinde sana! spati picha kama ingelikuwa ni wakat wa mzee wetu bado bulldoza!..
Lait ningekuwa rais hii gari ya mwanzo ningeinunua nikaiweka kumbukumbu ya taifa
Nimependa bro ulicho kifanya Mungu awasimamie. Kunavijana wamemaliza vyuo vyaufundi wanakipaji lakini kuendelea nakueza kuendeleza kipaji wanaishia njiani kutokana na changa mototo tofauti.Nadhani ukitanua na Kuwaiti mambo mengi yanaweza kufanyyika.
Nikweli kaka kipanya, watu tunavipaji lakini hatuaminiwi na taasisi za kifedha yaan mabenki wala watu wenye fedha. Yaan mtu anapenda awekeze pale ambapo tayari pesa imeanza kuonekana.
Watu waliofanikiwa, husimama peke yao na wengine hufuata baadaye. Huu ukimwa ni ishara tosha kuwa watu na hata serikali hawaamini kuwa ni kweli. But the end will justify the means.
Mchukue yule kijana wa kigoma zuber pia ana kipaji cha kutengeneza magari na yeye akuze kipaji chake
Hd Msasa official KITANZI gusa maandish ukasikie nilivyomfunika MBOSO KHAN ua-cam.com/video/Cdyxj5ymOR4/v-deo.html
Hongera kaka,naomba kwenye kampuni yako tengeneza mpangokazi wa kuita vijana wenye vipaji vya aina ya wazo lako muungane ,hakika utapata mafanikio ya tija zaidi na ya haraka,Mungu awe nawe
Ttzo ni mmoja tu kwa vijana wanataka kuwa no1 hawataki kuanza 3
Haya ndio matunda ya JPM kupitia hotu a zake zilikiwa zinatia ujasiri makubwa Sana wakuthubutu
Bro Abdulsamad nimeona sehem nying sana anajitoa,ilifikia wakat kuna support nilihitaj kutoka kwakwe nikamDM kule Twitter,ila cha kushanganza mpk leo hata hajanijibu.
Congratulations 👏🤣🤩🤩, Sana masudi, waambie hata gorvment,kukopa wamezidi
JPM ALIKUWA ANATAFUTA WATU KAMA HAWA - RIP
Hd Msasa official KITANZI gusa maandish ukasikie nilivyomfunika MBOSO KHAN ua-cam.com/video/Cdyxj5ymOR4/v-deo.html
Hd Msasa official KITANZI gusa maandish ukasikie nilivyomfunika MBOSO KHAN ua-cam.com/video/Cdyxj5ymOR4/v-deo.html
Hawa ndio mainjinia sio walio jaza vyet tu nakuajiriwa maselekarin hakuna lolote hawana ubunifu hawana lolote
Sema kagari Kako katatumika mjini TU kwenye umeme vijijini hakawezi kufanya kazi labda watembee na mabetrii
Hongera sana kaka umetuvutia kama watanzania na Africa pia...
Tumekubali na tumekuheshimu brow.
Elon musk wa bongo jamani tujivunie huyu jamaaaaa
Nasubiri nijue gharama na Mimi niwe miongoni mwa wateja
Naomba ni uganenanyinyi ninakipagi
UMEFANYA KAZ NZURI, NILIKUCHUKIA SANA ULIPOKUA UNAMCHUKIA MAGUFULI
Mbona gari hatuioniii
Itakuwa bora zaidi ya zao ikiwa na mfumo wa kujichaji pale battery ikipungua chaji na inawezekana . Hongereni sana iko poa sana.Maden in Tanzania 🇹🇿
Hongera sana.
Hongera sana kwa kweli that is a big move
nice project
Nami nakipaji Lakini cnawakuniendeleza
Tuweke nadhiri Kila mwenye uwezo wa kununua magar aanze na gari la Kaylee ndipo anunue Aina nyingine ili kumsapoti huyu mtu jamani nawashauri wenye maduka mjini hii gari inafaa kusogezea mizigo dukani,wauza mayai,wauza mikate,nk tuwekeze kwa huyu mwamba.
Historia ushaiandika hujaja bure Duniani
HONGERA KAKA, MUNGU AKUBARIKI KWA KUFIKIRI NA KUTHUBUTU, NIMEJIFUNZA KITU.
Masoud hongera brother and Mungu akulinde utuvushe
Nazani tutengeneze namna ya watu kuinvest kwenye vitu kama hivi
...ndo wanajitokeza baada ya mtu kupata umaarufu
Upo Safi sana Masoody
Mungu akusimamie ili tutoke kwenye utumwa wa akili tuanze kutumia vya kwetu Hongera
Daah umeni inspire sana bro masoud
Big up masood
Duh akili kubwa
This man is good....
uko sawa masood.... hongera sana...
Kaypee nimependa jitihada zako toka maisha plus ukibuni nashine na mbinu za maisha mbalimbali na mzee wako Babu wa maisha plus hujawahi kumtupa. Leo umefika hapo ulipofika hongera sana jitihada huzaa mafanikio